UJASIRIAMALI: #Biashara ya kuoka Mikate, Maandazi na Keki inakua kwa kasi kutokana na ukubwa wa Soko lake
Vifaa vya muhimu ni Jiko la kuokea Mikate (Oven), Prover kwa ajili ya kuumulia Unga wa Ngano, Mixer ya kuchanganyia mahitaji, Slicer ya Mkate, meza pamoja na mikebe ya Oven
Jifunze uzalishaji, masoko na changamoto za Bakery - https://jamii.app/BiasharaMikate
#JFBiashara
Vifaa vya muhimu ni Jiko la kuokea Mikate (Oven), Prover kwa ajili ya kuumulia Unga wa Ngano, Mixer ya kuchanganyia mahitaji, Slicer ya Mkate, meza pamoja na mikebe ya Oven
Jifunze uzalishaji, masoko na changamoto za Bakery - https://jamii.app/BiasharaMikate
#JFBiashara
BUNGENI: Mbunge wa Kinondoni, Tarimba Abbas amehoji ikiwa Serikali haioni ni muda wa kulifumua Shirika la Umeme (TANESCO) ili kuwe na Kampuni 3 kwa ajili ya Uzalishaji, Usafirishaji na Ugawaji Umeme
Waziri Mkuu asema kutolewa maeneo hayo kwa watu tofauti kunaweza kuleta athari kwenye Usalama wa Nchi
Soma - https://jamii.app/TANESCOBungeni
#JFSiasa
Waziri Mkuu asema kutolewa maeneo hayo kwa watu tofauti kunaweza kuleta athari kwenye Usalama wa Nchi
Soma - https://jamii.app/TANESCOBungeni
#JFSiasa
CHAMA KIMOJA PEKEE KIMEWASILISHA JINA LA MGOMBEA UNAIBU SPIKA
Bunge limesema zoezi la uteuzi limekamilika, na hadi kufikia muda huo CCM ndiyo imewasilisha jina
Litawasilishwa mbele ya Wapiga Kura kesho Februari 11, 2022 kwa taratibu za Uchaguzi
Soma - https://jamii.app/NaibuSpikaBunge
#Democracy
Bunge limesema zoezi la uteuzi limekamilika, na hadi kufikia muda huo CCM ndiyo imewasilisha jina
Litawasilishwa mbele ya Wapiga Kura kesho Februari 11, 2022 kwa taratibu za Uchaguzi
Soma - https://jamii.app/NaibuSpikaBunge
#Democracy
KATAVI: MWALIMU WA MAFUNDISHO AKAMATWA KWA KULAWITI WATOTO 4
Jeshi la Polisi limemkamata Mwalimu wa Mafundisho ktk Kanisa la Katoliki Mpanda Mjini, Joseph John(27)
Alikuwa akiwalaghai Watoto wamsindikize kwenye shughuli za Biashara
Soma - https://jamii.app/MwlRCUlawiti
#JFMatukio #GBV
Jeshi la Polisi limemkamata Mwalimu wa Mafundisho ktk Kanisa la Katoliki Mpanda Mjini, Joseph John(27)
Alikuwa akiwalaghai Watoto wamsindikize kwenye shughuli za Biashara
Soma - https://jamii.app/MwlRCUlawiti
#JFMatukio #GBV
TANZIA: DKT. MWELE MALECELA AFARIKI DUNIA
Aliyewahi kuwa Mkurugenzi wa Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu Tanzania (NIMR), Dkt. Mwele Malecela amefariki Dunia akiwa Geneva - Uswisi
Enzi za Uhai wake, Dkt. Mwele aliwahi kujitangaza kusumbuliwa na Maradhi ya Saratani
#JFLeo
Aliyewahi kuwa Mkurugenzi wa Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu Tanzania (NIMR), Dkt. Mwele Malecela amefariki Dunia akiwa Geneva - Uswisi
Enzi za Uhai wake, Dkt. Mwele aliwahi kujitangaza kusumbuliwa na Maradhi ya Saratani
#JFLeo
Kati ya Mwaka 2030 hadi 2050 Mabadiliko ya TabiaNchi yanatarajiwa kusababisha takriban vifo 250,000 zaidi kwa mwaka
Shirika la Afya Duniani(WHO) limetaja Mabadiliko hayo kuwa tishio kubwa zaidi la kiafya linalowakabili Binadamu
Soma https://jamii.app/AfyaTabiaNchi
#ClimateChange #JFAfya
Shirika la Afya Duniani(WHO) limetaja Mabadiliko hayo kuwa tishio kubwa zaidi la kiafya linalowakabili Binadamu
Soma https://jamii.app/AfyaTabiaNchi
#ClimateChange #JFAfya
#COVID19: Namna Bara la Afrika linavyokabiliana na janga hilo imetajwa kubadilika, lakini kasi zaidi katika Chanjo inahitajika ili kudhibiti maambukizi
Mkurugenzi wa WHO-Afrika asema jitihada inapaswa kuwa kwenye kuhamasisha watu kuchanjwa
Soma https://jamii.app/ChanjoAfrica
#UVIKO3 #JFAfya
Mkurugenzi wa WHO-Afrika asema jitihada inapaswa kuwa kwenye kuhamasisha watu kuchanjwa
Soma https://jamii.app/ChanjoAfrica
#UVIKO3 #JFAfya
Ripoti ya Faharasi ya #Demokrasia imeonesha Demokrasia kushuka Mwaka 2021
45.7% ya Watu Duniani waliishi ktk aina fulani ya Demokrasia pungufu ya 49.4% Mwaka 2020
Ni 6.4% pekee ya Watu ndiyo wanaishi ktk mazingira ya Demokrasia kamili
Soma https://jamii.app/DemocracyFall
#Democracy
45.7% ya Watu Duniani waliishi ktk aina fulani ya Demokrasia pungufu ya 49.4% Mwaka 2020
Ni 6.4% pekee ya Watu ndiyo wanaishi ktk mazingira ya Demokrasia kamili
Soma https://jamii.app/DemocracyFall
#Democracy
ANGOLA YADAI KUREJESHA ZAIDI YA DOLA BILIONI 11.5 ZILIZOIBWA SERIKALINI
Waziri wa Sheria asema ndani ya miaka mitatu iliyopita Serikali imerejesha Mali na Fedha zinazofikia Dola za Marekani Bilioni 11.5 zilizoibwa na kufichwa Mataifa mbalimbali
Soma - https://jamii.app/AssetsAngola
#JFUwajibikaji
Waziri wa Sheria asema ndani ya miaka mitatu iliyopita Serikali imerejesha Mali na Fedha zinazofikia Dola za Marekani Bilioni 11.5 zilizoibwa na kufichwa Mataifa mbalimbali
Soma - https://jamii.app/AssetsAngola
#JFUwajibikaji
SIKU YA KIMATAIFA YA WANAWAKE NA WASICHANA KATIKA SAYANSI
Ushiriki kamili wa Wanawake na Wasichana kwenye Sayansi na Teknolojia ni muhimu zaidi wakati huu ambapo Dunia inaendelea kukabiliana na COVID-19 na janga la Mabadiliko ya TabiaNchi
Ni wakati wa kupinga Ubaguzi dhidi ya Wanawake na Wasichana katika Sayansi
Soma - https://jamii.app/WomenGirlsScience
#WomenInScience
Ushiriki kamili wa Wanawake na Wasichana kwenye Sayansi na Teknolojia ni muhimu zaidi wakati huu ambapo Dunia inaendelea kukabiliana na COVID-19 na janga la Mabadiliko ya TabiaNchi
Ni wakati wa kupinga Ubaguzi dhidi ya Wanawake na Wasichana katika Sayansi
Soma - https://jamii.app/WomenGirlsScience
#WomenInScience
MAREKANI YAHIMIZA RAIA WAKE KUONDOKA UKRAINE
Ni kutokana na vitisho vya Urusi kuchukua hatua za Kijeshi kuongezeka. Rais Biden asema hatotuma Vikosi kuokoa Wamarekani ikiwa Ukraine itavamiwa
Urusi imekuwa ikikataa kuwa na Mipango ya kuvamia Ukraine
Soma https://jamii.app/USUkraine
#Governance
Ni kutokana na vitisho vya Urusi kuchukua hatua za Kijeshi kuongezeka. Rais Biden asema hatotuma Vikosi kuokoa Wamarekani ikiwa Ukraine itavamiwa
Urusi imekuwa ikikataa kuwa na Mipango ya kuvamia Ukraine
Soma https://jamii.app/USUkraine
#Governance
JE, WAJUA: Utafunaji wa Chingamu (Maarufu Big G/Jojo) ulipigwa Marufuku Nchini #Singapore tangu Mwaka 1992 kwa lengo la kuhifadhi Mazingira na kuyaweka Safi
Mnamo Mwaka 2004, Marufuku hiyo ilifanyiwa marekebisho na kuruhusiwa kwa Chingamu zinazotumika kwa Matibabu ya Kinywa ambazo hununuliwa Hospitalini au Famasi
#JamiiForums #JFMaarifa
Mnamo Mwaka 2004, Marufuku hiyo ilifanyiwa marekebisho na kuruhusiwa kwa Chingamu zinazotumika kwa Matibabu ya Kinywa ambazo hununuliwa Hospitalini au Famasi
#JamiiForums #JFMaarifa
MDAU: MZAZI NI KIUMBE WA KIPEKEE SANA
Anasema Siku zote ni ngumu Mzazi kutoa laana kwa Mtoto, lakini hii haimaanishi laana hazitoki. Laana na Baraka hutokana na mapokeo ya Moyo kwa kile anachotendewa na Mtoto wake
Ukiona Mzazi anaomba msaada kwa Mwanaye tambua ana shida kweli kwasababu Wazazi wengi hawapendi kuonekana wasumbufu
Soma, zaidi - https://jamii.app/MzaziMtoto
#JFMdau
Anasema Siku zote ni ngumu Mzazi kutoa laana kwa Mtoto, lakini hii haimaanishi laana hazitoki. Laana na Baraka hutokana na mapokeo ya Moyo kwa kile anachotendewa na Mtoto wake
Ukiona Mzazi anaomba msaada kwa Mwanaye tambua ana shida kweli kwasababu Wazazi wengi hawapendi kuonekana wasumbufu
Soma, zaidi - https://jamii.app/MzaziMtoto
#JFMdau
VIJANA TUWE WABUNIFU, WAAMINIFU NA TUSAIDIE JAMII ZETU
Mdau anasema wimbi kubwa la Vijana wamekuwa Wavivu wa kubuni, wanatumia muda mwingi katika starehe zisizo za ulazima na hata kukosa muda wa kupumzika. Wanasahau kufikiria kuisaidia Jamii
Kuishi ndani ya matendo na kauli nzuri kutafanya wajenge thamani katika Jamii
Msome - https://jamii.app/UshauriVijanaSOC
#StoriesOfChange #JFMdau
Mdau anasema wimbi kubwa la Vijana wamekuwa Wavivu wa kubuni, wanatumia muda mwingi katika starehe zisizo za ulazima na hata kukosa muda wa kupumzika. Wanasahau kufikiria kuisaidia Jamii
Kuishi ndani ya matendo na kauli nzuri kutafanya wajenge thamani katika Jamii
Msome - https://jamii.app/UshauriVijanaSOC
#StoriesOfChange #JFMdau
Jamii Forums kwa kushirikiana na Muhimbili University of Health and Allied Science (MUHAS), Muhimbili National Hospital (MNH), Tumaini la Maisha (TLM) na Wadau wengine wameandaa Mjadala utakaofanyika kupitia Clubhouse ya JamiiForums ili kuongeza uelewa juu ya Saratani kwa Watoto Nchini #Tanzania
Mjadala huu unatarajiwa kufanyika Jumanne, Februari 15, 2022 ambapo Wataalamu mbalimbali wa #Afya wataeleza kwa kina kuhusu Saratani ya Watoto na namna ya kukabiliana nayo
Je, una swali gani au ungependa kufahamu nini kuhusu hali ya #Saratani kwa Watoto? Karibu ujiunge nasi katika Mjadala huu.
#JamiiForums #CancerDay2022 #JFAfya
Mjadala huu unatarajiwa kufanyika Jumanne, Februari 15, 2022 ambapo Wataalamu mbalimbali wa #Afya wataeleza kwa kina kuhusu Saratani ya Watoto na namna ya kukabiliana nayo
Je, una swali gani au ungependa kufahamu nini kuhusu hali ya #Saratani kwa Watoto? Karibu ujiunge nasi katika Mjadala huu.
#JamiiForums #CancerDay2022 #JFAfya
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema Serikali itagharamia matibabu ya aliyekuwa Mbunge wa Mikumi, Joseph Haule (Prof. Jay) anayetibiwa Hospitali ya Taifa Muhimbili hadi hapo atakaporuhusiwa
Ametoa kauli hiyo alipofika Muhimbili leo kumjulia hali
Soma - https://jamii.app/SerikaliProfJ
#JFAfya
Ametoa kauli hiyo alipofika Muhimbili leo kumjulia hali
Soma - https://jamii.app/SerikaliProfJ
#JFAfya
MADAGASCAR: WALIOFARIKI KUTOKANA NA KIMBUNGA BATSIRAI WAFIKIA 111
#Batsirai kilikuwa Kimbunga cha pili kuathiri Taifa hilo ndani ya muda wa siku 14
Kimbunga Ana kilisababisha Vifo 55 na kupelekea Watu wapatao 130,000 kukosa Makazi
Soma - https://jamii.app/Batsirai111
#JFMatukio
#Batsirai kilikuwa Kimbunga cha pili kuathiri Taifa hilo ndani ya muda wa siku 14
Kimbunga Ana kilisababisha Vifo 55 na kupelekea Watu wapatao 130,000 kukosa Makazi
Soma - https://jamii.app/Batsirai111
#JFMatukio
BUNGENI: Mgombea pekee wa nafasi ya Unaibu Spika wa Bunge la Tanzania, Mussa Azzan Zungu (Mbunge wa Ilala) amepata 98.33% ya Kura zilizopigwa
Wabunge 301 walipiga Kura, 296 wamepiga Kura za Ndiyo, 3 wamepiga Kura ya Hapana na Kura 2 zimeharibika
Soma - https://jamii.app/ZunguNaibuSpika
#Democracy
Wabunge 301 walipiga Kura, 296 wamepiga Kura za Ndiyo, 3 wamepiga Kura ya Hapana na Kura 2 zimeharibika
Soma - https://jamii.app/ZunguNaibuSpika
#Democracy
👍1
TANZANIA NA UFARANSA ZASAINI MIKATABA SITA
Miongoni mwa Makubaliano ni Mkataba wa Mkopo wa Masharti Nafuu wa Euro Milioni 178 kwa ajili ya kugharamia Mradi wa Ujenzi wa Barabara wa Mabasi Yaendayo Haraka
Soma - https://jamii.app/MikatabaTZFrance
#Governance
Miongoni mwa Makubaliano ni Mkataba wa Mkopo wa Masharti Nafuu wa Euro Milioni 178 kwa ajili ya kugharamia Mradi wa Ujenzi wa Barabara wa Mabasi Yaendayo Haraka
Soma - https://jamii.app/MikatabaTZFrance
#Governance
🥰1
#SUDAN: Wanaharakati wanaopinga Mapinduzi wamesema zaidi ya Watu 2,000 wakiwemo Waandishi wa Habari, Wanasiasa wanaokosoa Jeshi na Watetezi wa Haki za Binadamu wamekamatwa bila kushtakiwa tangu Jeshi lilipopindua Serikali Oktoba 2021
Soma - https://jamii.app/SudanArrests
#Democracy
Soma - https://jamii.app/SudanArrests
#Democracy