NJOMBE: Israel Msigwa maarufu kama 'Mtoa Roho' anatuhumiwa kumuadhibu Mwanaye Haskad Msigwa (7) kwa nyaya za umeme kwa kosa la kukojoa kitandani, na kumsababishia kifo
Mtuhumiwa alikamatwa Februari 3 Mkoani Iringa alipokimbilia kujificha
Soma - https://jamii.app/KifoNjombe
#JFMatukio
Mtuhumiwa alikamatwa Februari 3 Mkoani Iringa alipokimbilia kujificha
Soma - https://jamii.app/KifoNjombe
#JFMatukio
SONGWE: MBARONI KWA TUHUMA ZA KUMCHOMA MOTO MTOTO WA MIEZI 6
Mariko Kahinga aliyedai Mkewe alipewa mimba na Mwanaume mwingine atafikishwa mahakamani kwa mujibu wa Sheria
Mama wa Mtoto huyo, Patricia Mwilenga asema Mumewe alikuwa akitamka kauli mbaya
Soma https://jamii.app/SongweBaba
#JFMatukio #HakiMtoto
Mariko Kahinga aliyedai Mkewe alipewa mimba na Mwanaume mwingine atafikishwa mahakamani kwa mujibu wa Sheria
Mama wa Mtoto huyo, Patricia Mwilenga asema Mumewe alikuwa akitamka kauli mbaya
Soma https://jamii.app/SongweBaba
#JFMatukio #HakiMtoto
KIRUSI KIPYA CHA HIV CHAGUNDULIKA UHOLANZI
Kirusi kipya cha HIV/AIDS kimegundulika Nchini Uholanzi na kupewa jina la #VBVariant. Kinadaiwa kushambulia Kinga ya Mtu mara mbili zaidi
Siku mbili zilizopita Kampuni ya #Moderna ilitangaza kuanza majaribio ya Chanjo ya HIV (mRNA-based HIV vaccive) ambapo Watu 56 waliojitolewa watapewa Dozi moja na wengine mbili huku wakifuatiliwa kwa Miezi 6.
Soma - https://jamii.app/VBvariantHIV
#JFAfya
Kirusi kipya cha HIV/AIDS kimegundulika Nchini Uholanzi na kupewa jina la #VBVariant. Kinadaiwa kushambulia Kinga ya Mtu mara mbili zaidi
Siku mbili zilizopita Kampuni ya #Moderna ilitangaza kuanza majaribio ya Chanjo ya HIV (mRNA-based HIV vaccive) ambapo Watu 56 waliojitolewa watapewa Dozi moja na wengine mbili huku wakifuatiliwa kwa Miezi 6.
Soma - https://jamii.app/VBvariantHIV
#JFAfya
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ametoa agizo kwa IGP Simon Sirro kuwasimamisha kazi RPC na RCO Mkoa wa Mtwara, pamoja na Mkuu wa Kituo cha Polisi eneo alilofia Mfanyabiashara Mussa Hamisi
Viongozi hao wametakiwa kukaa pembeni ili kupisha uchunguzi
Soma - https://jamii.app/PolisiMtwara
#JFUwajibikaji
Viongozi hao wametakiwa kukaa pembeni ili kupisha uchunguzi
Soma - https://jamii.app/PolisiMtwara
#JFUwajibikaji
WAZIRI UMMY: WANAUME JITOKEZENI KUPIMA TEZI DUME
Waziri wa Afya amesema watu 28,610 hufariki dunia kwa Saratani kwa mwaka. Saratani inayoongoza kwa Wanaume ni tezi dume na Wanawake ni mlango wa kizazi
Tezi dume inapimwa kisasa sio kama awali
Soma - https://jamii.app/TeziDume
#JFAfya
Waziri wa Afya amesema watu 28,610 hufariki dunia kwa Saratani kwa mwaka. Saratani inayoongoza kwa Wanaume ni tezi dume na Wanawake ni mlango wa kizazi
Tezi dume inapimwa kisasa sio kama awali
Soma - https://jamii.app/TeziDume
#JFAfya
URUSI YAFUNGA SHUGHULI ZA SHIRIKA LA UTANGAZAJI LA DW
Urusi imefunga shughuli za Shirika la Habari la DW mjini #Moscow na kuwapokonya Wafanyakazi vibali vya Kazi ili kulipiza kisasi baada ya #Berlin kukifunga kituo cha Russia Today
Soma - https://jamii.app/DWBanRussia
#PressFreedom
Urusi imefunga shughuli za Shirika la Habari la DW mjini #Moscow na kuwapokonya Wafanyakazi vibali vya Kazi ili kulipiza kisasi baada ya #Berlin kukifunga kituo cha Russia Today
Soma - https://jamii.app/DWBanRussia
#PressFreedom
NJOMBE: Mganga wa kienyeji aitwaye Joseph Mgunda (41) anashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kuwaua Suzana Mtitu (38) na Kassim Kitamkanga (35) baada ya dawa ya utajiri aliyowapa kuonekana haifanyi kazi
Anadaiwa kuwaahidi wateja wake utajiri
Soma - https://jamii.app/MgangaAua
#JFMatukio
Anadaiwa kuwaahidi wateja wake utajiri
Soma - https://jamii.app/MgangaAua
#JFMatukio
UTABIRI TMA: KIMBUNGA BATSIRAI KUPIGA KUSINI MAGHARIBI MWA BAHARI
Kimbunga hicho kilijitokeza Januari 27, 2022 na kimesogea Kisiwa cha #Madagascar
Mamlaka imesema uchambuzi unaonesha kutokuwepo kwa uwezekano wa Kimbunga kufika Pwani ya #Tanzania
Soma - https://jamii.app/BatsiraiCyclone
Kimbunga hicho kilijitokeza Januari 27, 2022 na kimesogea Kisiwa cha #Madagascar
Mamlaka imesema uchambuzi unaonesha kutokuwepo kwa uwezekano wa Kimbunga kufika Pwani ya #Tanzania
Soma - https://jamii.app/BatsiraiCyclone
GEITA: Mwanamke aliyefahamika kwa jina la Naomi amejinyonga kwa kamba ya manila katika choo cha nyumba ya wageni inayomilikiwa na Mumewe
Alifika kwenye nyumba hiyo na kuomba mhudumu amsaidie kumshika Mtoto wa miezi minne akidai anajisikia vibaya
Soma - https://jamii.app/NyumbaYaWageni
#JFMatukio
Alifika kwenye nyumba hiyo na kuomba mhudumu amsaidie kumshika Mtoto wa miezi minne akidai anajisikia vibaya
Soma - https://jamii.app/NyumbaYaWageni
#JFMatukio
RIPOTI UN: MALI YAONGOZA KWA VIFO VYA WALINDA AMANI MIAKA 8 MFULULIZO
Wanajeshi 24 na Mfanyakazi 1 wa UN waliuawa Mwaka 2021 huku 19 kati yao wakiuawa nchini Mali
> Inaelezwa kuwa hakuna aliyekamatwa wala kuwajibishwa kwa mauaji hayo
Soma - https://jamii.app/DeathPeaceKeepers
#HumanRights
Wanajeshi 24 na Mfanyakazi 1 wa UN waliuawa Mwaka 2021 huku 19 kati yao wakiuawa nchini Mali
> Inaelezwa kuwa hakuna aliyekamatwa wala kuwajibishwa kwa mauaji hayo
Soma - https://jamii.app/DeathPeaceKeepers
#HumanRights
ARUSHA: James Sindio (16) anatafutwa na Polisi kwa tuhuma za kumuua kaka yake, Zakayo Sindio walipogombana kuhusu kulisha mifugo
> Baba mzazi wa watoto hao, Paulo Sindio alikwenda kuwaamua alikuta tayari Zakayo amechomwa kisu na James
Soma https://jamii.app/NduguWauana
#JFMatukio
> Baba mzazi wa watoto hao, Paulo Sindio alikwenda kuwaamua alikuta tayari Zakayo amechomwa kisu na James
Soma https://jamii.app/NduguWauana
#JFMatukio
MBEYA: Gloria Kibira (38) ambaye ni Afisa Ustawi wa Jamii wa Kituo cha Mahabusu ya Watoto cha Kabwe, Kata ya Iyela amekutwa amenyongwa kwenye nyumba yake ndani ya eneo la Kituo cha Mahabusu
Watu wawili wanahojiwa kubaini chanzo cha mauaji
Soma - https://jamii.app/MbeyaAnyongwa
#JFMatukio
Watu wawili wanahojiwa kubaini chanzo cha mauaji
Soma - https://jamii.app/MbeyaAnyongwa
#JFMatukio
#AFCON2021: #TeamSenegal imetwaa ubingwa wa Kombe la Mataifa ya Afrika baada ya kuifunga #TeamEgypt 4-2 kwa mikwaju ya penati
Hii ni mara ya kwanza kwa Senegal kutwaa Ubingwa huo baada ya kucheza jumla ya Fainali tatu za #AFCON
Soma https://jamii.app/SenegalAFCON
#JFSports
Hii ni mara ya kwanza kwa Senegal kutwaa Ubingwa huo baada ya kucheza jumla ya Fainali tatu za #AFCON
Soma https://jamii.app/SenegalAFCON
#JFSports
TUNISIA: RAIS SAIED AVUNJA BARAZA KUU LA MAHAKAMA
Kitendo hicho kimetajwa kuwa kinyume na Sheria, huku Majaji wakisema hawatokaa kimya. Rais amewashutumu Majaji kwa upendeleo na ufisadi
Julai 2021, Rais huyo alisitisha shughuli za Bunge
Soma - https://jamii.app/TunRaisMajaji
#Democracy
Kitendo hicho kimetajwa kuwa kinyume na Sheria, huku Majaji wakisema hawatokaa kimya. Rais amewashutumu Majaji kwa upendeleo na ufisadi
Julai 2021, Rais huyo alisitisha shughuli za Bunge
Soma - https://jamii.app/TunRaisMajaji
#Democracy
MADAGASCAR: Watu 6 wamefariki baada ya Kimbunga #Batsirai kupiga Kisiwa hicho. Kisiwa cha Mananjary na Miji ya karibu vimekumbwa na uharibifu mkubwa
Zaidi ya Watu 47,000 wameyakimbia makazi yao kutokana na dhoruba iliyoletwa na Mvua kubwa na Upepo mkali
Soma https://jamii.app/BatsiraiMadagascar
#JFMatukio
Zaidi ya Watu 47,000 wameyakimbia makazi yao kutokana na dhoruba iliyoletwa na Mvua kubwa na Upepo mkali
Soma https://jamii.app/BatsiraiMadagascar
#JFMatukio
#COVID19 YATISHIA JITIHADA ZA KUKOMESHA UKEKETAJI
UNICEF imesema mlipuko wa Corona umevuruga programu za kulinda Wasichana na vitendo hivyo
> Inakadiriwa kuwa, visa milioni 2 vya Ukeketaji vinaweza kutokea katika muda wa miaka kumi ijayo
Soma - https://jamii.app/UNICEF-FGM
#EndFGM
UNICEF imesema mlipuko wa Corona umevuruga programu za kulinda Wasichana na vitendo hivyo
> Inakadiriwa kuwa, visa milioni 2 vya Ukeketaji vinaweza kutokea katika muda wa miaka kumi ijayo
Soma - https://jamii.app/UNICEF-FGM
#EndFGM
JE, WAJUA?: #TeamSenegal imefuzu kushiriki mashindano ya #AFCON mara 15 na kuingia fainali mara tatu, ikipoteza fainali za Mwaka 2002 na 2019
Kocha wa Senegal, Aliou Cisse alikuwa mmoja wa wachezaji waliopoteza penalti ktk fainali 2002
Soma - https://jamii.app/Senegal2022
#AFCON2021 #JFMaarifa #JFSports
Kocha wa Senegal, Aliou Cisse alikuwa mmoja wa wachezaji waliopoteza penalti ktk fainali 2002
Soma - https://jamii.app/Senegal2022
#AFCON2021 #JFMaarifa #JFSports
AUSTRALIA KUFUNGUA MIPAKA BAADA YA TAKRIBAN MIAKA MIWILI
Itafungua Mipaka kwa Wasafiri waliopata chanjo dhidi ya #COVID19 ifikapo Februari 21
#Australia ni miongoni mwa Nchi zilizoweka kanuni kali zaidi Mipakani kufuatia Mlipuko huo
Soma - https://jamii.app/MipakaAus
#UVIKO3
Itafungua Mipaka kwa Wasafiri waliopata chanjo dhidi ya #COVID19 ifikapo Februari 21
#Australia ni miongoni mwa Nchi zilizoweka kanuni kali zaidi Mipakani kufuatia Mlipuko huo
Soma - https://jamii.app/MipakaAus
#UVIKO3
AU YAKEMEA WIMBI LA MAPINDUZI AFRIKA
Mkuu wa Baraza la Amani na Usalama, Bankole Adeoye asema hakuna wakati katika historia AU ilisimamisha Uanachama wa Mataifa manne ndani ya miezi 12
AU imesitisha Uanachama wa Burkina Faso, Mali, Guinea na Sudan
Soma https://jamii.app/AUCoupsAfrica
#Governance
Mkuu wa Baraza la Amani na Usalama, Bankole Adeoye asema hakuna wakati katika historia AU ilisimamisha Uanachama wa Mataifa manne ndani ya miezi 12
AU imesitisha Uanachama wa Burkina Faso, Mali, Guinea na Sudan
Soma https://jamii.app/AUCoupsAfrica
#Governance
RAIS SAMIA: KWA SERIKALI MAJI SI BIASHARA, NI HUDUMA
Akiwa Bunda, Mkoani Mara amesema, "Kwa Serikali ndoo moja ya maji ya lita 20 inauzwa kwa Tsh. 37. Wananchi mnaonunua maji ni mashahidi dumu moja la lita 20 mnanunua Tsh. 1,000 na kwenda mbele"
Soma - https://jamii.app/MajiWananchi
#JFSiasa
Akiwa Bunda, Mkoani Mara amesema, "Kwa Serikali ndoo moja ya maji ya lita 20 inauzwa kwa Tsh. 37. Wananchi mnaonunua maji ni mashahidi dumu moja la lita 20 mnanunua Tsh. 1,000 na kwenda mbele"
Soma - https://jamii.app/MajiWananchi
#JFSiasa