RAIS SAMIA AWATAKA VIONGOZI WAENDELEE KUSIMAMIA UTOAJI CHANJO
Asema waliopata Chanjo hawapati madhara kama wasiopata Chanjo
Ameongeza Tanzania imekumbwa na mawimbi kadhaa na kwasasa kuna wimbi la 4 ambalo halijaua sana kama yaliyotangulia
Soma - https://jamii.app/ChanjoViongozi
#UVIKO3 #JFAfya
Asema waliopata Chanjo hawapati madhara kama wasiopata Chanjo
Ameongeza Tanzania imekumbwa na mawimbi kadhaa na kwasasa kuna wimbi la 4 ambalo halijaua sana kama yaliyotangulia
Soma - https://jamii.app/ChanjoViongozi
#UVIKO3 #JFAfya
Rais Samia amesema baada ya kujenga Masoko na kuboresha maeneo wataweka Kodi itakayotakiwa kulipwa na Machinga ambapo amewaasa walipe kadiri itakavyowekwa
Pia, amewaasa kutotumika na wenye Maduka kusambaza Bidhaa hali inayoinyima Serikali Kodi
Soma - https://jamii.app/KodiMachinga
#JFSiasa
Pia, amewaasa kutotumika na wenye Maduka kusambaza Bidhaa hali inayoinyima Serikali Kodi
Soma - https://jamii.app/KodiMachinga
#JFSiasa
KENYA YARUHUSU NDEGE ZA ABIRIA KUTOKA UMOJA WA FALME ZA KIARABU KUTUA
Januari 10, 2022, Kenya ilizuia Ndege za Abiria toka Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kutua Nchini humo baada ya marufuku iliyowekwa na UAE dhidi ya Ndege za Abiria toka Kenya
Soma https://jamii.app/UAEVsKenya
#JFSiasa
Januari 10, 2022, Kenya ilizuia Ndege za Abiria toka Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kutua Nchini humo baada ya marufuku iliyowekwa na UAE dhidi ya Ndege za Abiria toka Kenya
Soma https://jamii.app/UAEVsKenya
#JFSiasa
NINI HUSABABISHA SARATANI?
Hakuna sababu moja, Saratani tofauti zina vyanzo vyake. Miongoni mwa Visababishi visivyozuilika ni Umri
Umri unapokuwa mkubwa, uwezekano wa kutokea dosari katika mabadiliko ya DNA yanayosababisha Kansa huongezeka
Baadhi ya Visababishi vinavyozuilika ni pamoja na uvutaji wa sigara, ulaji mbovu, kutumia pombe kupita kiasi na kutofanya mazoezi
Soma - https://jamii.app/SarataniOR
#JFAfya #Cancer #Saratani
Hakuna sababu moja, Saratani tofauti zina vyanzo vyake. Miongoni mwa Visababishi visivyozuilika ni Umri
Umri unapokuwa mkubwa, uwezekano wa kutokea dosari katika mabadiliko ya DNA yanayosababisha Kansa huongezeka
Baadhi ya Visababishi vinavyozuilika ni pamoja na uvutaji wa sigara, ulaji mbovu, kutumia pombe kupita kiasi na kutofanya mazoezi
Soma - https://jamii.app/SarataniOR
#JFAfya #Cancer #Saratani
MDAU: FIKRA BORA NA UHURU WA MAONI VITACHOCHEA MAPINDUZI YA KIUCHUMI
Anashauri;
1) Mfumo wa Elimu ulenge kujenga zaidi uwezo: Anasema bado Tanzania ina changamoto kwani Jamii imeshaamini kusoma ni kuruka Vidato na sio kupima mtu anafahamu nini
2) Kuondoa Sheria zinazominya Uhuru wa Maoni: Kuwa na jamii iliyofungwa mdomo humaanisha Serikali itabaki kuamini Sera zake ni nzuri hata kama si uhalisia
Soma - https://jamii.app/FikraUhuruSOC
#StoriesOfChange #JFMaarifa
Anashauri;
1) Mfumo wa Elimu ulenge kujenga zaidi uwezo: Anasema bado Tanzania ina changamoto kwani Jamii imeshaamini kusoma ni kuruka Vidato na sio kupima mtu anafahamu nini
2) Kuondoa Sheria zinazominya Uhuru wa Maoni: Kuwa na jamii iliyofungwa mdomo humaanisha Serikali itabaki kuamini Sera zake ni nzuri hata kama si uhalisia
Soma - https://jamii.app/FikraUhuruSOC
#StoriesOfChange #JFMaarifa
RIPOTI: ONGEZEKO LA UFISADI LINAKANDAMIZA HAKI ZA BINADAMU
Ripoti ya Transparency International inasema #COVID19 imetumiwa na Nchi nyingi kama kisingizio cha kuacha kufanya ukaguzi
Serikali zatakiwa kuwa wazi kuhusu namna Fedha zinavyotumika
Soma - https://jamii.app/RipotiUfisadi
#HumanRights
Ripoti ya Transparency International inasema #COVID19 imetumiwa na Nchi nyingi kama kisingizio cha kuacha kufanya ukaguzi
Serikali zatakiwa kuwa wazi kuhusu namna Fedha zinavyotumika
Soma - https://jamii.app/RipotiUfisadi
#HumanRights
JE, UNAYAFAHAMU MAGARI YENYE UWEZO WA KUTEMBEA NCHI KAVU NA MAJINI?
Yanaitwa βAmphibious Vehiclesβ ambapo huwa na Injini kwa ajili ya kutembea Nchi kavu na propela ili kutembea Majini
Magari haya hayahitaji uwepo wa gati kuingia kwenye Maji
Soma https://jamii.app/AmphibiousVehicles
#JFMaarifa #JFGarage
Yanaitwa βAmphibious Vehiclesβ ambapo huwa na Injini kwa ajili ya kutembea Nchi kavu na propela ili kutembea Majini
Magari haya hayahitaji uwepo wa gati kuingia kwenye Maji
Soma https://jamii.app/AmphibiousVehicles
#JFMaarifa #JFGarage
#AFCON2021: SENEGAL YAFUZU KUCHEZA ROBO FAINALI
- #TeamSenegal imefuzu baada ya kuifunga #TeamCapeVerde goli 2-0 ndani ya dk 90. Wachezaji wawili wa Cape Verde walipewa kadi nyekundu
- Senegal itakutana na mshindi wa mechi kati ya #TeamMali na #TeamEquatorialGuinea
#JFSports
- #TeamSenegal imefuzu baada ya kuifunga #TeamCapeVerde goli 2-0 ndani ya dk 90. Wachezaji wawili wa Cape Verde walipewa kadi nyekundu
- Senegal itakutana na mshindi wa mechi kati ya #TeamMali na #TeamEquatorialGuinea
#JFSports
MOROCCO YAFUZU KUCHEZA ROBO FAINALI #AFCON2021
- #TeamMorocco imefuzu kwa kuifunga #TeamMalawi goli 2-1 ndani ya dk 90
- Morocco itakutana na mshindi kati ya #TeamCotedIvoire na #TeamEgypt
- Hii ilikuwa ni mechi ya 10 ya Malawi kwenye michuano na imeshinda mechi 2
#JFSports
- #TeamMorocco imefuzu kwa kuifunga #TeamMalawi goli 2-1 ndani ya dk 90
- Morocco itakutana na mshindi kati ya #TeamCotedIvoire na #TeamEgypt
- Hii ilikuwa ni mechi ya 10 ya Malawi kwenye michuano na imeshinda mechi 2
#JFSports
MTWARA: MAAFISA POLISI 7 WAFIKISHWA MAHAKAMANI KWA MAUAJI
Wanatuhumiwa kwa mauaji ya Mfanyabishara Mussa Hamisi Hamisi aliyekuwa akiwadai Maafisa hao zaidi ya Tsh. Milioni 33.7
Inadaiwa walijipatia fedha hizo wakati wakimfanyia upekuzi
Soma - https://jamii.app/MaafisaPolisiMauaji
#JFUwajibikaji
Wanatuhumiwa kwa mauaji ya Mfanyabishara Mussa Hamisi Hamisi aliyekuwa akiwadai Maafisa hao zaidi ya Tsh. Milioni 33.7
Inadaiwa walijipatia fedha hizo wakati wakimfanyia upekuzi
Soma - https://jamii.app/MaafisaPolisiMauaji
#JFUwajibikaji
IDARA YA HABARI TANESCO YAVUNJWA KWA KUSHINDWA KUTIMIZA MAJUKUMU YAKE
Waziri January Makamba amesema Serikali haifurahishwi na malalamiko ya Wananchi kuhusu kukatika kwa Umeme na upungufu wa taarifa zinazotolewa kwa Wateja
Soma - https://jamii.app/MawasilianoTANESCO
#Accountability
Waziri January Makamba amesema Serikali haifurahishwi na malalamiko ya Wananchi kuhusu kukatika kwa Umeme na upungufu wa taarifa zinazotolewa kwa Wateja
Soma - https://jamii.app/MawasilianoTANESCO
#Accountability
π1
MEXICO: WANAHABARI WAANZA MAANDAMANO YA NCHI NZIMA KUKEMEA MAUAJI YA WENZAO
Maandamano hayo yanakuja baada ya Waandishi wa Habari watatu kuuawa tangu kuanza mwaka 2022
#Mexico inatajwa kuwa miongoni mwa Mataifa hatari zaidi duniani kwa Wanahabari
Soma - https://jamii.app/JournalistsMexico
#PressFreedom
Maandamano hayo yanakuja baada ya Waandishi wa Habari watatu kuuawa tangu kuanza mwaka 2022
#Mexico inatajwa kuwa miongoni mwa Mataifa hatari zaidi duniani kwa Wanahabari
Soma - https://jamii.app/JournalistsMexico
#PressFreedom
π1
Ili kupambana na athari ya Mabadiliko ya Tabia Nchi, Naibu Waziri, David Silinde amewaagiza Ma-RC na DC's kusimamia zoezi la kila Mwanafunzi kupanda Mti mmoja kila Mwaka
#Tanzania hupoteza Hekta laki nne za Misitu kutokana na shughuli mbalimbali
Soma - https://jamii.app/MitiShuleni
#JFSiasa
#Tanzania hupoteza Hekta laki nne za Misitu kutokana na shughuli mbalimbali
Soma - https://jamii.app/MitiShuleni
#JFSiasa
UTALII: NUSU YA SIMBA DUNIANI WANAPATIKANA TANZANIA
Rais wa Jumuiya ya Uwindaji ya Kimataifa (SCI), Sven Lindqueast ameipongeza #Tanzania kwa juhudi za utunzaji Wanyamapori
Tanzania inakusudia kukomesha Ujangili kwa 90% ifikapo 2025
Soma - https://jamii.app/SimbaTz
#Utalii
Rais wa Jumuiya ya Uwindaji ya Kimataifa (SCI), Sven Lindqueast ameipongeza #Tanzania kwa juhudi za utunzaji Wanyamapori
Tanzania inakusudia kukomesha Ujangili kwa 90% ifikapo 2025
Soma - https://jamii.app/SimbaTz
#Utalii
PFIZER NA BioNTech WAANZA MAJARIBIO YA CHANJO YA #OMICRON
Majaribio yatajumuisha Watu zaidi ya 1,400 wenye umri kati ya miaka 18 hadi 55
Wamegawanywa ktk makundi; waliopata Chanjo 2, waliopata Chanjo 2 na Booster, na wale wasiopata Chanjo
Soma - https://jamii.app/OmicronChanjo
#UVIKO3 #JFAfya
Majaribio yatajumuisha Watu zaidi ya 1,400 wenye umri kati ya miaka 18 hadi 55
Wamegawanywa ktk makundi; waliopata Chanjo 2, waliopata Chanjo 2 na Booster, na wale wasiopata Chanjo
Soma - https://jamii.app/OmicronChanjo
#UVIKO3 #JFAfya
DODOMA: Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya #Tanzania, Mustapha Siyani amewataka Watumishi wa Mahakama kutenda Haki kwa kuondoa urasimu ktk uendeshaji kesi
Asema Mahakama inaposhindwa kutoa Haki husababisha Wananchi kujichukulia Sheria mkononi
Soma - https://jamii.app/MahakamaHaki
#JFUwajibikaji
Asema Mahakama inaposhindwa kutoa Haki husababisha Wananchi kujichukulia Sheria mkononi
Soma - https://jamii.app/MahakamaHaki
#JFUwajibikaji
π1
SERIKALI: 3,147 WALILAZWA KUTOKANA NA CORONA KATI YA SEPTEMBA 2021 - JANUARI 23, 2022
Waziri Ummy Mwalimu asema kati yao 2,990 hawakuwa wamechanjwa
Wagonjwa 31 walikuwa mahututi ICU Januari 23, 2022 na kati yao 30 walikuwa hawajapata chanjo
Soma https://jamii.app/WizaraUVIKO
#UVIKO3 #JFAfya
Waziri Ummy Mwalimu asema kati yao 2,990 hawakuwa wamechanjwa
Wagonjwa 31 walikuwa mahututi ICU Januari 23, 2022 na kati yao 30 walikuwa hawajapata chanjo
Soma https://jamii.app/WizaraUVIKO
#UVIKO3 #JFAfya
#COVID19: Korea Kusini imerekodi maambukizi 13,102 huku Mamlaka zikionya Kirusi cha Corona aina ya #Omicron kinaweza kuchangia hadi 90% ya maambukizi mapya wiki zijazo
Ni mara ya kwanza Visa zaidi ya 13,000 kurekodiwa katika Taifa hilo
Soma - https://jamii.app/OmicronSK
#UVIKO3 #JFAfya
Ni mara ya kwanza Visa zaidi ya 13,000 kurekodiwa katika Taifa hilo
Soma - https://jamii.app/OmicronSK
#UVIKO3 #JFAfya
MARA: Naibu Waziri, Sagini Jumanne ameliagiza Jeshi la Polisi kuwasaka wanaodaiwa kuwatapeli Wanakijiji wa Mwanza-Buriga
Waliwashawishi Wananchi kujiunga na Kanisa lao kwa kuchangia Tsh. 20,000 kwa ahadi ya kuwapa Mchele 90Kg, Mafuta na Sabuni
Soma - https://jamii.app/Mara20000
#JFMatukio
Waliwashawishi Wananchi kujiunga na Kanisa lao kwa kuchangia Tsh. 20,000 kwa ahadi ya kuwapa Mchele 90Kg, Mafuta na Sabuni
Soma - https://jamii.app/Mara20000
#JFMatukio
#ETHIOPIA: SERIKALI YARIDHIA KUONDOA HALI YA DHARURA
Hali ya Dharura ya miezi 6 iliwekwa Novemba 2021 baada ya Vikosi vya #Tigray kusema vinaelekea Addis Ababa
Serikali imesema sasa vitisho vinaweza kudhibitiwa kupitia taratibu za kawaida
Soma - https://jamii.app/HaliDharuraEth
#Governance
Hali ya Dharura ya miezi 6 iliwekwa Novemba 2021 baada ya Vikosi vya #Tigray kusema vinaelekea Addis Ababa
Serikali imesema sasa vitisho vinaweza kudhibitiwa kupitia taratibu za kawaida
Soma - https://jamii.app/HaliDharuraEth
#Governance