'THE AFRICAN RENAISSANCE': SANAMU REFU ZAIDI BARANI AFRIKA
Sanamu inapatikana Nchini #Senegal na ina urefu wa Mita 49. Ilizinduliwa Aprili 2010 na aliyekuwa Rais kwa wakati huo, Abdoulaye Wade
Sanamu hii ilikusudiwa kuashiria ushindi wa ukombozi wa Afrika na kushindana na Statue of Liberty na Eiffel Tower kama kivutio cha Watalii
Soma - https://jamii.app/AfricanRenaissance
#JFMaarifa #JFHistoria
Sanamu inapatikana Nchini #Senegal na ina urefu wa Mita 49. Ilizinduliwa Aprili 2010 na aliyekuwa Rais kwa wakati huo, Abdoulaye Wade
Sanamu hii ilikusudiwa kuashiria ushindi wa ukombozi wa Afrika na kushindana na Statue of Liberty na Eiffel Tower kama kivutio cha Watalii
Soma - https://jamii.app/AfricanRenaissance
#JFMaarifa #JFHistoria
#AUSTRIA: KUANZIA FEBRUARI WASIOCHANJWA KUTOZWA FAINI HADI TSH. 9,414,826
Kuanzia Februari Chanjo kwa Watu wazima itakuwa ni lazima na wote ambao watagoma kuchanjwa watatozwa faini
Sheria hiyo imepangwa kutumika hadi Januari 31, 2024
Soma - https://jamii.app/MustVaccineAustria
#UVIKO3 #JFAfya
Kuanzia Februari Chanjo kwa Watu wazima itakuwa ni lazima na wote ambao watagoma kuchanjwa watatozwa faini
Sheria hiyo imepangwa kutumika hadi Januari 31, 2024
Soma - https://jamii.app/MustVaccineAustria
#UVIKO3 #JFAfya
AFGHANISTAN: Mullah Hasan Akhund anayekaimu nafasi ya Waziri Mkuu wa Nchi hiyo amesema Utawala wa #Taliban umekidhi vigezo vyote hivyo utambuliwe na Serikali za Kimataifa
Serikali zimekuwa zikisita kuitambua Taliban tangu ichukue Madaraka Agosti 2021
Soma - https://jamii.app/UongoziTaliban
#Governance
Serikali zimekuwa zikisita kuitambua Taliban tangu ichukue Madaraka Agosti 2021
Soma - https://jamii.app/UongoziTaliban
#Governance
MDAU: BAADHI YA WANAUME HUTUMIA POSA KUWALAGHAI WANAWAKE
Anasema kutokana na Wanawake wenye msimamo kutokukubali kufanya baadhi ya mambo bila utambulisho wowote kwa Wazazi, hupelekea Wanaume kutafuta washenga uchwara na baadaye kuingia Mitini bila Kuoa
Anafafanua, Posa zisizokamilika kuwa Ndoa husababisha Msongo wa Mawazo na Mfadhaiko wa Akili kwa Mwanamke na huleta hali ya kukata tamaa ya maisha
Soma - https://jamii.app/PosaFeki
#StoriesOfChange #JFMdau
Anasema kutokana na Wanawake wenye msimamo kutokukubali kufanya baadhi ya mambo bila utambulisho wowote kwa Wazazi, hupelekea Wanaume kutafuta washenga uchwara na baadaye kuingia Mitini bila Kuoa
Anafafanua, Posa zisizokamilika kuwa Ndoa husababisha Msongo wa Mawazo na Mfadhaiko wa Akili kwa Mwanamke na huleta hali ya kukata tamaa ya maisha
Soma - https://jamii.app/PosaFeki
#StoriesOfChange #JFMdau
UINGEREZA: WABUNGE WAWASILISHA BARUA ZA KUTOKUWA NA IMANI NA BORIS
Wabunge 11 wa Chama cha Kihafidhina cha Waziri Mkuu, Boris Johnson wamewasilisha barua za kutokuwa na imani na Kiongozi huyo
Kisheria barua 54 zinahitajika ili kutekeleza kura hiyo
Soma https://jamii.app/KuraImaniBoris
#Accountability
Wabunge 11 wa Chama cha Kihafidhina cha Waziri Mkuu, Boris Johnson wamewasilisha barua za kutokuwa na imani na Kiongozi huyo
Kisheria barua 54 zinahitajika ili kutekeleza kura hiyo
Soma https://jamii.app/KuraImaniBoris
#Accountability
UJERUMANI YAREKODI MAAMBUKIZI MAPYA 112,323
Imetajwa kuwa idadi kubwa zaidi tangu kuanza Mlipuko wa #COVID19. Maambukizi yamefikia 8,186,850
Waziri wa Afya anaamini idadi ya Visa ambavyo havijaripotiwa ni mara mbili ya takwimu za sasa
Soma - https://jamii.app/VisaUjerumani
#UVIKO3 #JFAfya
Imetajwa kuwa idadi kubwa zaidi tangu kuanza Mlipuko wa #COVID19. Maambukizi yamefikia 8,186,850
Waziri wa Afya anaamini idadi ya Visa ambavyo havijaripotiwa ni mara mbili ya takwimu za sasa
Soma - https://jamii.app/VisaUjerumani
#UVIKO3 #JFAfya
MDAU: FAIDA ITAKAYOPATIKANA TAIFA LIKIWEKEZA KWA VIJANA
Kupunguza utegemezi wa Wataalamu kutoka Nje: Taifa likiwekeza vya kutosha na kwa ubora, uhakika wa kupata wataalamu mbalimbali utakuwepo
Kukuza Biashara, Uchumi wa Nchi na Maendeleo: Taifa likiwekeza kwa Vijana, litajihakikishia kukuza Uchumi na kurahisisha kukua kwa Maendeleo
Soma - https://jamii.app/VijanaSOC
#StoriesOfChange #JFMdau
Kupunguza utegemezi wa Wataalamu kutoka Nje: Taifa likiwekeza vya kutosha na kwa ubora, uhakika wa kupata wataalamu mbalimbali utakuwepo
Kukuza Biashara, Uchumi wa Nchi na Maendeleo: Taifa likiwekeza kwa Vijana, litajihakikishia kukuza Uchumi na kurahisisha kukua kwa Maendeleo
Soma - https://jamii.app/VijanaSOC
#StoriesOfChange #JFMdau
AFYA: SEHEMU ZA SIKIO AMBAZO HUWEZA KUATHIRIWA KIAFYA
1. Sikio la nje: Huwa na Ngozi laini ambayo inaweza kuumizwa kwa vidonda au kujikuna kwa kidole kichafu au kwa kutumia vijiti
2. Sikio la kati: Inaweza kupata matatizo kama kiwambo cha Sikio kuumizwa kwa kuingiza kitu ndani ya sikio, mlio mkubwa au Bakteria
3. Sikio la ndani: Huumia kama kelele zimezidi au kupokea mlio mkubwa wa mlipuko wa karibu unaoweza kuharibu Neva ndogo
Soma - https://jamii.app/AfyaSikio
#JFAfya
1. Sikio la nje: Huwa na Ngozi laini ambayo inaweza kuumizwa kwa vidonda au kujikuna kwa kidole kichafu au kwa kutumia vijiti
2. Sikio la kati: Inaweza kupata matatizo kama kiwambo cha Sikio kuumizwa kwa kuingiza kitu ndani ya sikio, mlio mkubwa au Bakteria
3. Sikio la ndani: Huumia kama kelele zimezidi au kupokea mlio mkubwa wa mlipuko wa karibu unaoweza kuharibu Neva ndogo
Soma - https://jamii.app/AfyaSikio
#JFAfya
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema Serikali itatekeleza uwekaji wa mfumo wa anwani za makazi kwa Miezi 5 badala ya Miaka 5
Lengo ni kuboresha Mawasiliano katika sehemu mbalimbali ikiwemo makazi, sehemu za biashara na huduma za kijamii
Soma - https://jamii.app/MfumoAnwani
#Governance
Lengo ni kuboresha Mawasiliano katika sehemu mbalimbali ikiwemo makazi, sehemu za biashara na huduma za kijamii
Soma - https://jamii.app/MfumoAnwani
#Governance
UINGEREZA YALEGEZA KANUNI ZA #COVID19
Barakoa hazitokuwa lazima maeneo ya Umma na Shule. Raia hawataendelea kusisitizwa kufanya kazi Nyumbani
Wanasayansi wanaamini Wimbi la maambukizi yaliyotokana na Kirusi cha #Omicron limefikia kilele
Soma - https://jamii.app/KanuniCoronaUK
#UVIKO3 #Governance #JFAfya
Barakoa hazitokuwa lazima maeneo ya Umma na Shule. Raia hawataendelea kusisitizwa kufanya kazi Nyumbani
Wanasayansi wanaamini Wimbi la maambukizi yaliyotokana na Kirusi cha #Omicron limefikia kilele
Soma - https://jamii.app/KanuniCoronaUK
#UVIKO3 #Governance #JFAfya
AFGHANISTAN: RAIA ZAIDI YA LAKI 5 WAPOTEZA AJIRA SABABU YA TALIBAN
Shirika la Kazi Duniani (ILO) limesema idadi ya ajira zilizopotea huenda zikafikia Laki tisa ifikiapo katikati ya 2022
Makundi athirika ni Wanajeshi, Majaji na Wanawake
Soma - https://jamii.app/ILOAjiraAfghan
#HumanRights
Shirika la Kazi Duniani (ILO) limesema idadi ya ajira zilizopotea huenda zikafikia Laki tisa ifikiapo katikati ya 2022
Makundi athirika ni Wanajeshi, Majaji na Wanawake
Soma - https://jamii.app/ILOAjiraAfghan
#HumanRights
KAZAKHSTAN: WAZIRI WA ULINZI ATIMULIWA KUTOKANA NA GHASIA
Rais Kassym-Jomart Tokayev amemtuhumu Murat Bektanov kutosimama ktk nafasi yake Nchi ilipopata ghasia
Rais alilazimika kuomba Wanajeshi wa Sovieti wakiongozwa na Urusi ili kutuliza ghasia
Soma - https://jamii.app/BektanovRemoved
#Governance
Rais Kassym-Jomart Tokayev amemtuhumu Murat Bektanov kutosimama ktk nafasi yake Nchi ilipopata ghasia
Rais alilazimika kuomba Wanajeshi wa Sovieti wakiongozwa na Urusi ili kutuliza ghasia
Soma - https://jamii.app/BektanovRemoved
#Governance
MAREKANI: Mahakama yakataa ombi la Donald Trump la kuzuia kutolewa rekodi za White House kwa jopo linalochunguza vurugu zilizotokea eneo la Bunge
Wafuasi wake walikusanyika kujaribu kusimamisha uidhinishaji wa matokeo ya Uchaguzi wa Urais 2020
Soma - https://jamii.app/TrumpMahakama
#Accountability
Wafuasi wake walikusanyika kujaribu kusimamisha uidhinishaji wa matokeo ya Uchaguzi wa Urais 2020
Soma - https://jamii.app/TrumpMahakama
#Accountability
ALGERIA: SHULE ZAFUNGWA KUDHIBITI MAAMBUKIZI YA CORONA
Serikali imezifunga Shule kwa muda wa siku 10 na kuimarisha upimaji katika Viwanja vya Ndege kufuatia ongezeko la maambukizi
Wananchi wahimizwa kupata Chanjo ili kupambana na #COVID19
Soma https://jamii.app/COVIDAlgeria
#UVIKO3 #Governance #JFElimu
Serikali imezifunga Shule kwa muda wa siku 10 na kuimarisha upimaji katika Viwanja vya Ndege kufuatia ongezeko la maambukizi
Wananchi wahimizwa kupata Chanjo ili kupambana na #COVID19
Soma https://jamii.app/COVIDAlgeria
#UVIKO3 #Governance #JFElimu
UMUHIMU WA KUWA NA SHERIA YA ULINZI WA DATA
Maendeleo ya Teknolojia yanaweza kuathiri Ulinzi wa Data Binafsi za Watu, hivyo uwepo wa Sheria hii utawalinda dhidi ya athari zinazoweza kujitokeza
Itahakikisha Haki ya Faragha inasimamiwa na kutekelezwa kwa vitendo kama ilivyoandikwa kwenye Katiba ya Tanzania
Soma - https://jamii.app/UlinziDataTZ
#DataProtection #DigitalRights
Maendeleo ya Teknolojia yanaweza kuathiri Ulinzi wa Data Binafsi za Watu, hivyo uwepo wa Sheria hii utawalinda dhidi ya athari zinazoweza kujitokeza
Itahakikisha Haki ya Faragha inasimamiwa na kutekelezwa kwa vitendo kama ilivyoandikwa kwenye Katiba ya Tanzania
Soma - https://jamii.app/UlinziDataTZ
#DataProtection #DigitalRights
MDAU: KIONGOZI NI KIUNGO. ANAPASWA KUWA NA HEKIMA NA ULIMI WENYE STAHA
Kiongozi bora ni kuwa na Ubongo wenye Hekima, unaowaza, kuainisha, kuchambua, na kuweza kufanya tathmini. Awe na kinywa chenye maneno ya uhakika, weledi na nasaha bora
Aghalabu Vitu hivyo vikichagizwa na Kifua kilicho na Moyo wa Wema, Utu na Busara, pasipo na shaka Haki, Umoja, Upendo, Amani vitatamalaki katika Taifa
Soma zaidi - https://jamii.app/StahaKiongozi
#StoriesOfChange #Governance
Kiongozi bora ni kuwa na Ubongo wenye Hekima, unaowaza, kuainisha, kuchambua, na kuweza kufanya tathmini. Awe na kinywa chenye maneno ya uhakika, weledi na nasaha bora
Aghalabu Vitu hivyo vikichagizwa na Kifua kilicho na Moyo wa Wema, Utu na Busara, pasipo na shaka Haki, Umoja, Upendo, Amani vitatamalaki katika Taifa
Soma zaidi - https://jamii.app/StahaKiongozi
#StoriesOfChange #Governance
'SERVER' ZA MSALABA MWEKUNDU ZADUKULIWA. TAARIFA ZA MAELFU ZAATHIRIWA
Kamati ya Kimataifa ya Msalaba Mwekundu (ICRC) imesema Taarifa Binafsi za Watu zaidi ya 500,000 zimeathiriwa ktk shambulio hilo, na waliohusika hawajajulikana
Soma - https://jamii.app/ICRCHacked
#DataProtection #DigitalRights
Kamati ya Kimataifa ya Msalaba Mwekundu (ICRC) imesema Taarifa Binafsi za Watu zaidi ya 500,000 zimeathiriwa ktk shambulio hilo, na waliohusika hawajajulikana
Soma - https://jamii.app/ICRCHacked
#DataProtection #DigitalRights
Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum imetoa siku 30 hadi Februari 18, 2022 kwa Makao ya watoto yasiyo na leseni kuwasilisha maombi ya usajili
Hadi kufikia Januari 2022, Makao ya Watoto 244 kati ya 473 ndiyo yaliyokidhi vigezo na kupata leseni huku Makao 229 yakiendeshwa kinyume cha taratibu
Soma - https://jamii.app/UsajiliMakaoWtt
#ChildSafety #HakiMtoto
Hadi kufikia Januari 2022, Makao ya Watoto 244 kati ya 473 ndiyo yaliyokidhi vigezo na kupata leseni huku Makao 229 yakiendeshwa kinyume cha taratibu
Soma - https://jamii.app/UsajiliMakaoWtt
#ChildSafety #HakiMtoto
NAFASI YA VYOMBO HURU VYA HABARI KATIKA MAENDELEO YA JAMII
Mdau wa JamiiForums anasema Vyombo vya Habari vinapokuwa Huru vitaweza kuandaa Mijadala ya wazi ya Kimaendeleo bila kuogopa kuchokoza upande wowote kihoja
Wanahabari wataweza kuandaa mijadala ya kisiasa, kuhoji na kutoa mtazamo bila hofu, na hivyo kupatikana suluhisho ya matatizo ya Wananchi
Msome - https://jamii.app/HabariUhuruSOC
#StoriesOfChange #PressFreedom
Mdau wa JamiiForums anasema Vyombo vya Habari vinapokuwa Huru vitaweza kuandaa Mijadala ya wazi ya Kimaendeleo bila kuogopa kuchokoza upande wowote kihoja
Wanahabari wataweza kuandaa mijadala ya kisiasa, kuhoji na kutoa mtazamo bila hofu, na hivyo kupatikana suluhisho ya matatizo ya Wananchi
Msome - https://jamii.app/HabariUhuruSOC
#StoriesOfChange #PressFreedom
DKT. TULIA APITISHWA KUWA MGOMBEA WA USPIKA
Dkt. Tulia Ackson ambaye amekuwa akihudumu kama Naibu Spika wa Bunge amepitishwa na Kamati Kuu ya CCM kuwa Mgombea wa nafasi ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Soma - https://jamii.app/DktTuliaUspika
#Democracy #Governance
Dkt. Tulia Ackson ambaye amekuwa akihudumu kama Naibu Spika wa Bunge amepitishwa na Kamati Kuu ya CCM kuwa Mgombea wa nafasi ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Soma - https://jamii.app/DktTuliaUspika
#Democracy #Governance