Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara, Ashatu Kijaji ametoa siku 3 kwa Tume ya Ushindani (FCC) kutoa sababu ya kupanda kwa bei za vinywaji Baridi Nchini
Pia, ametoa siku saba kwa FCC kueleza sababu za kupanda kwa bei za vifaa vya ujenzi
Soma - https://jamii.app/FCCBeiSoda
#JFBiashara
Pia, ametoa siku saba kwa FCC kueleza sababu za kupanda kwa bei za vifaa vya ujenzi
Soma - https://jamii.app/FCCBeiSoda
#JFBiashara
#Uganda inakabiliwa na uhaba wa Mafuta ya Petroli kutokana na foleni kubwa ya Magari ya kusafirisha bidhaa hiyo kwenye mipaka ya Busia na Malaba
Foleni inakadiriwa kufika hadi Kilometa 70 kutokana na Madereva kulazimika kufanyiwa vipimo vya Corona
Soma - https://jamii.app/LackPetrolUG
Foleni inakadiriwa kufika hadi Kilometa 70 kutokana na Madereva kulazimika kufanyiwa vipimo vya Corona
Soma - https://jamii.app/LackPetrolUG
UTEUZI: Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemteua Mcha Hassan Mcha kuwa Naibu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato (TRA)
Vilevile, Balozi Celestine Joseph Mushy ameteuliwa na Rais Samia kuwa Balozi wa Tanzania Nchini Austria
Soma - https://jamii.app/UteuziViongozi2
#Governance
Vilevile, Balozi Celestine Joseph Mushy ameteuliwa na Rais Samia kuwa Balozi wa Tanzania Nchini Austria
Soma - https://jamii.app/UteuziViongozi2
#Governance
AFGHANISTAN: Kundi la Wataalamu 36 wa Haki za Binadamu kutoka Umoja wa Mataifa limesema Viongozi wa Taliban wanafanya Ubaguzi na Ukatili wa Kijinsia dhidi ya Wanawake
Jumuiya ya Kimataifa yasisitizwa kuongeza kasi ya misaada ya kibinadamu
Soma - https://jamii.app/WomenTaliban
#WomensRights #Governance
Jumuiya ya Kimataifa yasisitizwa kuongeza kasi ya misaada ya kibinadamu
Soma - https://jamii.app/WomenTaliban
#WomensRights #Governance
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
DODOMA: MABASI YA MIKOANI KUONGOZWA NA ASKARI WA BARABARANI
Akizungumza na JamiiForums, Kamanda Onesmo Lyanga amesema Watakuwa wanaweka Askari kwenye Basi la Kwanza, na Mabasi mengine hayatakiwi kulipita hilo basi la kwanza
Lengo ni kudhibiti ajali zinazotokana na Uzembe. Utaratibu huo pia umeonekana kufanyika kwa Mabasi yatokayo Mbeya kama kwenye Video
Soma - https://jamii.app/MabasiEscort
Akizungumza na JamiiForums, Kamanda Onesmo Lyanga amesema Watakuwa wanaweka Askari kwenye Basi la Kwanza, na Mabasi mengine hayatakiwi kulipita hilo basi la kwanza
Lengo ni kudhibiti ajali zinazotokana na Uzembe. Utaratibu huo pia umeonekana kufanyika kwa Mabasi yatokayo Mbeya kama kwenye Video
Soma - https://jamii.app/MabasiEscort
AFGHANISTAN: MATETEMEKO YA ARDHI YAUA ZAIDI YA WATU 20
Matetemeko hayo ya kipimo cha 4.9 na 5.3 yaliathiri Mkoa wa Kaskazini Magharibi wa Badghis, na kupelekea nyumba na majengo kuporomoka
Watoto 4 ni miongoni mwa waliofariki kwenye vifusi
Soma - https://jamii.app/AfghanQuakes
#JFUwajibikaji
Matetemeko hayo ya kipimo cha 4.9 na 5.3 yaliathiri Mkoa wa Kaskazini Magharibi wa Badghis, na kupelekea nyumba na majengo kuporomoka
Watoto 4 ni miongoni mwa waliofariki kwenye vifusi
Soma - https://jamii.app/AfghanQuakes
#JFUwajibikaji
MDAU: MABADILIKO YANAYOCHOCHEA UONGOZI BORA
Uwepo wa Katiba inayokidhi matakwa ya wananchi: Ili Nchi yoyote ipige hatua katika Nyanja ya Utawala Bora na Uwajibikaji, katiba ni suala muhimu kwani husaidia kuwakumbusha Viongozi wajibu wao ili wasivuke mipaka katika utendaji
Sera Bora na Mifumo stahiki katika utumiaji wa Rasilimali: Afrika imebarikiwa na rasilimali mbalimbali lakini kutokuwepo mikakati mbadala katika utumiaji imepelekea wachache kujinufaisha
Soma - https://jamii.app/UongoziBoraSOC
#StoriesOfChange #Governance
Uwepo wa Katiba inayokidhi matakwa ya wananchi: Ili Nchi yoyote ipige hatua katika Nyanja ya Utawala Bora na Uwajibikaji, katiba ni suala muhimu kwani husaidia kuwakumbusha Viongozi wajibu wao ili wasivuke mipaka katika utendaji
Sera Bora na Mifumo stahiki katika utumiaji wa Rasilimali: Afrika imebarikiwa na rasilimali mbalimbali lakini kutokuwepo mikakati mbadala katika utumiaji imepelekea wachache kujinufaisha
Soma - https://jamii.app/UongoziBoraSOC
#StoriesOfChange #Governance
#AFCON2021: SENEGAL, GUINEA ZAFUZU HATUA YA MTOANO
#TeamSenegal imefuzu kucheza hatua ya mtoano ya michuano baada ya kutoka sare ya 0-0 na #TeamMalawi
Aidha, #TeamGuinea imefuzu kwenda hatua hiyo licha ya kufungwa goli 2-1 na #TeamZimbabwe katika mechi ya mwisho
#JFSports
#TeamSenegal imefuzu kucheza hatua ya mtoano ya michuano baada ya kutoka sare ya 0-0 na #TeamMalawi
Aidha, #TeamGuinea imefuzu kwenda hatua hiyo licha ya kufungwa goli 2-1 na #TeamZimbabwe katika mechi ya mwisho
#JFSports
SUDAN: Baadhi ya maduka na Ofisi vyafungwa kutokana na mgomo wa siku 2 uliochochewa na vifo vya waandamanaji
Takriban 71 wameuawa na zaidi ya 2,000 kujeruhiwa tangu Mapinduzi ya Kijeshi Oktoba 2021. Waandamanaji wataka Jeshi kuachana kabisa na Siasa
Soma https://jamii.app/71DeadSudan
#Democracy
Takriban 71 wameuawa na zaidi ya 2,000 kujeruhiwa tangu Mapinduzi ya Kijeshi Oktoba 2021. Waandamanaji wataka Jeshi kuachana kabisa na Siasa
Soma https://jamii.app/71DeadSudan
#Democracy
SONGWE: MJAMZITO AUAWA KWA KUCHOMWA KISU NA MUMEWE
Subira Kibona (16) Mkazi wa Ileje amefariki kwa kuchomwa na kitu chenye ncha kali mgongoni kisha Mwili wake kuchomwa Moto na Shukrani Kamwela (16)
Alipotea nyumbani tangu Januari 13 baada ya Shukrani kumwambia waende kwa Mganga kutafuta Dawa ya Tumbo
Soma - https://jamii.app/MjaKifoIleje
#UkatiliKijinsia #JFMatukio
Subira Kibona (16) Mkazi wa Ileje amefariki kwa kuchomwa na kitu chenye ncha kali mgongoni kisha Mwili wake kuchomwa Moto na Shukrani Kamwela (16)
Alipotea nyumbani tangu Januari 13 baada ya Shukrani kumwambia waende kwa Mganga kutafuta Dawa ya Tumbo
Soma - https://jamii.app/MjaKifoIleje
#UkatiliKijinsia #JFMatukio
GHARAMA ZA VIFURUSHI VYA INTANETI ZAPANDA
Wadau wameshuhudia mabadiliko ktk bei za Vifurushi, ikionekana Kampuni za Mawasiliano zimepunguza ukubwa wa Vifurushi vya awali huku Wananchi wakilalamika kutofahamishwa kuhusu hatua hiyo
Soma - https://jamii.app/VifurushiIntaneti
#DigitalRights
Wadau wameshuhudia mabadiliko ktk bei za Vifurushi, ikionekana Kampuni za Mawasiliano zimepunguza ukubwa wa Vifurushi vya awali huku Wananchi wakilalamika kutofahamishwa kuhusu hatua hiyo
Soma - https://jamii.app/VifurushiIntaneti
#DigitalRights
#COVID19: Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema kwa wiki iliyopita pekee, Kirusi cha #Omicron kimepelekea maambukizi mapya Milioni 18 ulimwenguni
WHO imeeleza wasiwasi wake kuhusu Nchi nyingi kuwa na kasi ndogo ya utoaji Chanjo
Soma - https://jamii.app/KirusiOmicronWHO
#UVIKO3 #JFAfya
WHO imeeleza wasiwasi wake kuhusu Nchi nyingi kuwa na kasi ndogo ya utoaji Chanjo
Soma - https://jamii.app/KirusiOmicronWHO
#UVIKO3 #JFAfya
'THE AFRICAN RENAISSANCE': SANAMU REFU ZAIDI BARANI AFRIKA
Sanamu inapatikana Nchini #Senegal na ina urefu wa Mita 49. Ilizinduliwa Aprili 2010 na aliyekuwa Rais kwa wakati huo, Abdoulaye Wade
Sanamu hii ilikusudiwa kuashiria ushindi wa ukombozi wa Afrika na kushindana na Statue of Liberty na Eiffel Tower kama kivutio cha Watalii
Soma - https://jamii.app/AfricanRenaissance
#JFMaarifa #JFHistoria
Sanamu inapatikana Nchini #Senegal na ina urefu wa Mita 49. Ilizinduliwa Aprili 2010 na aliyekuwa Rais kwa wakati huo, Abdoulaye Wade
Sanamu hii ilikusudiwa kuashiria ushindi wa ukombozi wa Afrika na kushindana na Statue of Liberty na Eiffel Tower kama kivutio cha Watalii
Soma - https://jamii.app/AfricanRenaissance
#JFMaarifa #JFHistoria
#AUSTRIA: KUANZIA FEBRUARI WASIOCHANJWA KUTOZWA FAINI HADI TSH. 9,414,826
Kuanzia Februari Chanjo kwa Watu wazima itakuwa ni lazima na wote ambao watagoma kuchanjwa watatozwa faini
Sheria hiyo imepangwa kutumika hadi Januari 31, 2024
Soma - https://jamii.app/MustVaccineAustria
#UVIKO3 #JFAfya
Kuanzia Februari Chanjo kwa Watu wazima itakuwa ni lazima na wote ambao watagoma kuchanjwa watatozwa faini
Sheria hiyo imepangwa kutumika hadi Januari 31, 2024
Soma - https://jamii.app/MustVaccineAustria
#UVIKO3 #JFAfya
AFGHANISTAN: Mullah Hasan Akhund anayekaimu nafasi ya Waziri Mkuu wa Nchi hiyo amesema Utawala wa #Taliban umekidhi vigezo vyote hivyo utambuliwe na Serikali za Kimataifa
Serikali zimekuwa zikisita kuitambua Taliban tangu ichukue Madaraka Agosti 2021
Soma - https://jamii.app/UongoziTaliban
#Governance
Serikali zimekuwa zikisita kuitambua Taliban tangu ichukue Madaraka Agosti 2021
Soma - https://jamii.app/UongoziTaliban
#Governance
MDAU: BAADHI YA WANAUME HUTUMIA POSA KUWALAGHAI WANAWAKE
Anasema kutokana na Wanawake wenye msimamo kutokukubali kufanya baadhi ya mambo bila utambulisho wowote kwa Wazazi, hupelekea Wanaume kutafuta washenga uchwara na baadaye kuingia Mitini bila Kuoa
Anafafanua, Posa zisizokamilika kuwa Ndoa husababisha Msongo wa Mawazo na Mfadhaiko wa Akili kwa Mwanamke na huleta hali ya kukata tamaa ya maisha
Soma - https://jamii.app/PosaFeki
#StoriesOfChange #JFMdau
Anasema kutokana na Wanawake wenye msimamo kutokukubali kufanya baadhi ya mambo bila utambulisho wowote kwa Wazazi, hupelekea Wanaume kutafuta washenga uchwara na baadaye kuingia Mitini bila Kuoa
Anafafanua, Posa zisizokamilika kuwa Ndoa husababisha Msongo wa Mawazo na Mfadhaiko wa Akili kwa Mwanamke na huleta hali ya kukata tamaa ya maisha
Soma - https://jamii.app/PosaFeki
#StoriesOfChange #JFMdau
UINGEREZA: WABUNGE WAWASILISHA BARUA ZA KUTOKUWA NA IMANI NA BORIS
Wabunge 11 wa Chama cha Kihafidhina cha Waziri Mkuu, Boris Johnson wamewasilisha barua za kutokuwa na imani na Kiongozi huyo
Kisheria barua 54 zinahitajika ili kutekeleza kura hiyo
Soma https://jamii.app/KuraImaniBoris
#Accountability
Wabunge 11 wa Chama cha Kihafidhina cha Waziri Mkuu, Boris Johnson wamewasilisha barua za kutokuwa na imani na Kiongozi huyo
Kisheria barua 54 zinahitajika ili kutekeleza kura hiyo
Soma https://jamii.app/KuraImaniBoris
#Accountability
UJERUMANI YAREKODI MAAMBUKIZI MAPYA 112,323
Imetajwa kuwa idadi kubwa zaidi tangu kuanza Mlipuko wa #COVID19. Maambukizi yamefikia 8,186,850
Waziri wa Afya anaamini idadi ya Visa ambavyo havijaripotiwa ni mara mbili ya takwimu za sasa
Soma - https://jamii.app/VisaUjerumani
#UVIKO3 #JFAfya
Imetajwa kuwa idadi kubwa zaidi tangu kuanza Mlipuko wa #COVID19. Maambukizi yamefikia 8,186,850
Waziri wa Afya anaamini idadi ya Visa ambavyo havijaripotiwa ni mara mbili ya takwimu za sasa
Soma - https://jamii.app/VisaUjerumani
#UVIKO3 #JFAfya
MDAU: FAIDA ITAKAYOPATIKANA TAIFA LIKIWEKEZA KWA VIJANA
Kupunguza utegemezi wa Wataalamu kutoka Nje: Taifa likiwekeza vya kutosha na kwa ubora, uhakika wa kupata wataalamu mbalimbali utakuwepo
Kukuza Biashara, Uchumi wa Nchi na Maendeleo: Taifa likiwekeza kwa Vijana, litajihakikishia kukuza Uchumi na kurahisisha kukua kwa Maendeleo
Soma - https://jamii.app/VijanaSOC
#StoriesOfChange #JFMdau
Kupunguza utegemezi wa Wataalamu kutoka Nje: Taifa likiwekeza vya kutosha na kwa ubora, uhakika wa kupata wataalamu mbalimbali utakuwepo
Kukuza Biashara, Uchumi wa Nchi na Maendeleo: Taifa likiwekeza kwa Vijana, litajihakikishia kukuza Uchumi na kurahisisha kukua kwa Maendeleo
Soma - https://jamii.app/VijanaSOC
#StoriesOfChange #JFMdau
AFYA: SEHEMU ZA SIKIO AMBAZO HUWEZA KUATHIRIWA KIAFYA
1. Sikio la nje: Huwa na Ngozi laini ambayo inaweza kuumizwa kwa vidonda au kujikuna kwa kidole kichafu au kwa kutumia vijiti
2. Sikio la kati: Inaweza kupata matatizo kama kiwambo cha Sikio kuumizwa kwa kuingiza kitu ndani ya sikio, mlio mkubwa au Bakteria
3. Sikio la ndani: Huumia kama kelele zimezidi au kupokea mlio mkubwa wa mlipuko wa karibu unaoweza kuharibu Neva ndogo
Soma - https://jamii.app/AfyaSikio
#JFAfya
1. Sikio la nje: Huwa na Ngozi laini ambayo inaweza kuumizwa kwa vidonda au kujikuna kwa kidole kichafu au kwa kutumia vijiti
2. Sikio la kati: Inaweza kupata matatizo kama kiwambo cha Sikio kuumizwa kwa kuingiza kitu ndani ya sikio, mlio mkubwa au Bakteria
3. Sikio la ndani: Huumia kama kelele zimezidi au kupokea mlio mkubwa wa mlipuko wa karibu unaoweza kuharibu Neva ndogo
Soma - https://jamii.app/AfyaSikio
#JFAfya