UTAFITI: MAFUA YANAWEZA KUZUIA KUPATA #COVID19
Watafiti wa Imperial College of London wamebaini 'T-Cells' husaidia kuzuia maambukizi. Mafua yamebainika kuzalisha 'T-Cells' nyingi
Chanjo imetajwa kuwa njia thabiti kukabiliana na Corona
Soma - https://jamii.app/CommonCold
#UVIKO3 #JFAfya
Watafiti wa Imperial College of London wamebaini 'T-Cells' husaidia kuzuia maambukizi. Mafua yamebainika kuzalisha 'T-Cells' nyingi
Chanjo imetajwa kuwa njia thabiti kukabiliana na Corona
Soma - https://jamii.app/CommonCold
#UVIKO3 #JFAfya
RAIS SAMIA: AJIRA NDIYO NGUZO YAKO YA MAISHA, SIO 'BY THE WAY'
Rais Samia Suluhu Hassan amewataka Watanzania kubadilika wakiajiriwa sekta binafsi hata Serikalini huku akiongeza "sekta binafsi ukizubaa nafasi yako inachukuliwa"
Amefafanua "Nilishawahi kuwa Waziri wa Viwanda na Biashara Zanzibar, wakati ule kesi nyingi nilizokuwa nikipokea ni uzembe, kutokuwa na nidhamu sehemu za kazi, umefiwa na shangazi wa shangazi yako unakwenda kuzika bila kutoa taarifa"
Soma - https://jamii.app/SamiaAjira
#Governance
Rais Samia Suluhu Hassan amewataka Watanzania kubadilika wakiajiriwa sekta binafsi hata Serikalini huku akiongeza "sekta binafsi ukizubaa nafasi yako inachukuliwa"
Amefafanua "Nilishawahi kuwa Waziri wa Viwanda na Biashara Zanzibar, wakati ule kesi nyingi nilizokuwa nikipokea ni uzembe, kutokuwa na nidhamu sehemu za kazi, umefiwa na shangazi wa shangazi yako unakwenda kuzika bila kutoa taarifa"
Soma - https://jamii.app/SamiaAjira
#Governance
MDAU: MAMBO YANAYOWEZA KUKUSABABISHIA LAANA KWENYE MAISHA
1. Kumdhulumu Mtu: Jasho la Mtu huzaa mikosi. Machozi na manung'uniko anayoyatoa Mtu aliyeumizwa kwa kudhulumiwa, hugeuka laana
2. Kuua au kutoa kafara: Damu ya Mtu ni laana, Damu ya Mtu ni mkosi, Damu ya Mtu ni nuksi. Ukisikia kuwa kuna vitu havina midomo lakini vinaongea, basi ni Damu ya Mtu
3. Kumkana au kumtukana Mzazi: Vitabu vya Mungu vinaeleza, "Waheshimu Baba na Mama upate kheri na miaka mingi Duniani"
Soma - https://jamii.app/TabiaLaana
#StoriesOfChange #JFMdau
1. Kumdhulumu Mtu: Jasho la Mtu huzaa mikosi. Machozi na manung'uniko anayoyatoa Mtu aliyeumizwa kwa kudhulumiwa, hugeuka laana
2. Kuua au kutoa kafara: Damu ya Mtu ni laana, Damu ya Mtu ni mkosi, Damu ya Mtu ni nuksi. Ukisikia kuwa kuna vitu havina midomo lakini vinaongea, basi ni Damu ya Mtu
3. Kumkana au kumtukana Mzazi: Vitabu vya Mungu vinaeleza, "Waheshimu Baba na Mama upate kheri na miaka mingi Duniani"
Soma - https://jamii.app/TabiaLaana
#StoriesOfChange #JFMdau
KENYA YAZUIA NDEGE ZA UAE
Mamlaka ya Usafiri wa Anga (KCAA) yapiga marufuku ndege za Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kujibu marufuku iliyowekwa kwa ndege za Kenya
UAE iliweka marufuku baada ya kubaini udanganyifu katika vipimo vya #COVID19
Soma - https://jamii.app/KenyaVsUAE
#Governance
Mamlaka ya Usafiri wa Anga (KCAA) yapiga marufuku ndege za Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kujibu marufuku iliyowekwa kwa ndege za Kenya
UAE iliweka marufuku baada ya kubaini udanganyifu katika vipimo vya #COVID19
Soma - https://jamii.app/KenyaVsUAE
#Governance
#UGANDA: MWANDISHI ASHTAKIWA KWA KUTUMA TAARIFA ZA KASHFA DHIDI YA RAIS NA MWANAE
Kakwenza Rukirabashaija anayetuhumiwa kutuma taarifa za kashfa kuhusu Rais na Mtoto wake kwenye #Twitter amefunguliwa mashtaka 2 ya Mawasiliano ya kukera
Soma - https://jamii.app/RukirabashaijaCourt
#FreeSpeech
Kakwenza Rukirabashaija anayetuhumiwa kutuma taarifa za kashfa kuhusu Rais na Mtoto wake kwenye #Twitter amefunguliwa mashtaka 2 ya Mawasiliano ya kukera
Soma - https://jamii.app/RukirabashaijaCourt
#FreeSpeech
UTEUZI: Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Mhifadhi William Simon Mwakilema kuwa Kamishna wa Uhifadhi wa Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA)
Anachukua nafasi ya Dkt. Allan Herbert Kijazi ambaye ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi
Soma - https://jamii.app/UteuziTANAPA
#Governance
Anachukua nafasi ya Dkt. Allan Herbert Kijazi ambaye ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi
Soma - https://jamii.app/UteuziTANAPA
#Governance
MDAU: KUMPIGA/KUMGOMBEZA MTOTO KWA KUFANYA VIBAYA DARASANI SIO KUMSAIDIA
Anasema Binadamu tunatofautiana uwezo wa kuelewa mambo. Kuna Watoto uwezo wao wa Darasani ni mdogo lakini ana kipaji au uwezo fulani ni vizuri kumuendeleza upande huo ili kumsaidia
Ameongeza, kama Mtoto kila siku anaenda Shuleni, anahudhuria kila kipindi na kufanya kazi za nyumbani (home work), ya nini kumchapa anaposhika namba za chini? Usitumie kigezo kimoja kumpima Mwanao.
Mjadala zaidi - https://jamii.app/KuchapaWttMasomo
#Malezi
Anasema Binadamu tunatofautiana uwezo wa kuelewa mambo. Kuna Watoto uwezo wao wa Darasani ni mdogo lakini ana kipaji au uwezo fulani ni vizuri kumuendeleza upande huo ili kumsaidia
Ameongeza, kama Mtoto kila siku anaenda Shuleni, anahudhuria kila kipindi na kufanya kazi za nyumbani (home work), ya nini kumchapa anaposhika namba za chini? Usitumie kigezo kimoja kumpima Mwanao.
Mjadala zaidi - https://jamii.app/KuchapaWttMasomo
#Malezi
HOJA: WOSIA NI JAMBO MUHIMU LINALOSAHAULIKA NA WENGI
Mshiriki wa #StoriesOfChange asema kutoacha wosia husababisha Wajane na Watoto wa Marehemu kupoteza Haki kwa kukosa mwongozo wa mgawanyo wa mali
Ashauri watu kuandika wosia ili kupunguza migogoro
Soma https://jamii.app/WosiaMirathi
#JFMdau
Mshiriki wa #StoriesOfChange asema kutoacha wosia husababisha Wajane na Watoto wa Marehemu kupoteza Haki kwa kukosa mwongozo wa mgawanyo wa mali
Ashauri watu kuandika wosia ili kupunguza migogoro
Soma https://jamii.app/WosiaMirathi
#JFMdau
Jamii Forums tunawatakia Watanzania wote Maadhimisho mema ya Miaka 58 ya Mapinduzi matukufu ya #Zanzibar
Mapinduzi ya Zanzibar yalitokea Mwaka 1964 ili kumuondoa Madarakani Sultani wa Zanzibar na Serikali yake, iliyoundwa hasa na Waarabu
#MapinduziZanzibar #JamiiForums
Mapinduzi ya Zanzibar yalitokea Mwaka 1964 ili kumuondoa Madarakani Sultani wa Zanzibar na Serikali yake, iliyoundwa hasa na Waarabu
#MapinduziZanzibar #JamiiForums
WHO: 50% YA WATU BARANI ULAYA WATAAMBUKIZWA OMICRON
Shirika la Afya (WHO) lasema nusu ya watu wataambukizwa #Omicron kipindi cha wiki 6 - 8 zijazo
Makadirio yanatokana na Visa vipya Milioni 7 vilivyoripotiwa Ulaya wiki ya kwanza ya 2022
Soma - https://jamii.app/OmicronUlaya
#UVIKO3 #JFAfya
Shirika la Afya (WHO) lasema nusu ya watu wataambukizwa #Omicron kipindi cha wiki 6 - 8 zijazo
Makadirio yanatokana na Visa vipya Milioni 7 vilivyoripotiwa Ulaya wiki ya kwanza ya 2022
Soma - https://jamii.app/OmicronUlaya
#UVIKO3 #JFAfya
PWANI: Athumani Ramadhani (20), Maneno Hamis (23) na Abdallah Rajabu (21) wamefariki baada ya kulipukiwa na Chuma walichookota kinachodhaniwa kuwa ni bomu
Wanaojihusisha kuuza na kununua Vyuma chakavu watakiwa kuwa waangalifu wanapokusanya
Soma - https://jamii.app/VifoBomuPwani
#JFMatukio
Wanaojihusisha kuuza na kununua Vyuma chakavu watakiwa kuwa waangalifu wanapokusanya
Soma - https://jamii.app/VifoBomuPwani
#JFMatukio
👍1
BURKINA FASO: WANAJESHI 8 WASHIKILIWA KWA NJAMA ZA KUPANGA MAPINDUZI
Burkina Faso imetangaza kuwashikilia Wanajeshi akiwemo Kanali Mohamed Emmanuel Zoungrana ambaye ni mkosoaji wa Serikali
> Wizara ya Haki inaendelea kuchunguza tuhuma hizo
Soma https://jamii.app/BurkinaFasoWanajeshi
#Governance
Burkina Faso imetangaza kuwashikilia Wanajeshi akiwemo Kanali Mohamed Emmanuel Zoungrana ambaye ni mkosoaji wa Serikali
> Wizara ya Haki inaendelea kuchunguza tuhuma hizo
Soma https://jamii.app/BurkinaFasoWanajeshi
#Governance
DAR: Manawa Samson Horera (22) mwanafunzi wa mwaka wa pili wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) amefariki baada ya kujirusha kutoka ghorofa ya pili ktk hostel za Magufuli alipotuhumiwa kwa wizi wa laptop ya mwanafunzi mwenziye
Soma https://jamii.app/AjirushaGhorofani
#JFMatukio
Soma https://jamii.app/AjirushaGhorofani
#JFMatukio
RAIS SAMIA AKUTANA NA NDUGAI MARA YA KWANZA TANGU AJIUZULU
- Rais Samia amekutana na kuzungumza na aliyekuwa Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai aliyefika Ikulu Chamwino
- Ndugai alijiuzulu Uspika akisema ni kwa hiari na maslahi ya Taifa
Soma https://jamii.app/SamiaNdugai
#JFSiasa
- Rais Samia amekutana na kuzungumza na aliyekuwa Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai aliyefika Ikulu Chamwino
- Ndugai alijiuzulu Uspika akisema ni kwa hiari na maslahi ya Taifa
Soma https://jamii.app/SamiaNdugai
#JFSiasa
#AFCON2021: REFA AMALIZA MPIRA MARA 2 KABLA YA DK 90
Janny Sikazwe ameibua utata kwenye mechi ya Tunisia na Mali baada ya kumaliza mchezo ktk dk ya 85, kisha kuruhusu uendelee na kumaliza tena ktk dk ya 89.43
- Mali imeshinda kwa goli 1-0
Soma https://jamii.app/RefaJanny
#JFSports
Janny Sikazwe ameibua utata kwenye mechi ya Tunisia na Mali baada ya kumaliza mchezo ktk dk ya 85, kisha kuruhusu uendelee na kumaliza tena ktk dk ya 89.43
- Mali imeshinda kwa goli 1-0
Soma https://jamii.app/RefaJanny
#JFSports
UINGEREZA: WAZIRI MKUU AKUMBWA NA SHINIKIZO LA KUMTAKA AJIUZULU
Upinzani wamemtaka Boris Johnson ajiuzulu kwa kushiriki sherehe iliyokiuka vizuizi vya #COVID19
Boris ameomba radhi na kusema aliuchukulia mkusanyiko huo kuwa wa kikazi
Soma - https://jamii.app/BorisPMQs
#Accountability #UVIKO3
Upinzani wamemtaka Boris Johnson ajiuzulu kwa kushiriki sherehe iliyokiuka vizuizi vya #COVID19
Boris ameomba radhi na kusema aliuchukulia mkusanyiko huo kuwa wa kikazi
Soma - https://jamii.app/BorisPMQs
#Accountability #UVIKO3
MBEYA: MTOTO AUA BABA YAKE KWA TUHUMA ZA KISHIRIKINA
Jeshi la Polisi linamshikilia Mussa (Mtumishi wa Ruvu JKT) kwa kumuua Naibu Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi CCM, Edward Ndonde kwa kumchoma visu
Mussa alikuwa akimtuhumu Baba yake kuwa mchawi
Soma - https://jamii.app/MauajiNaibuMBY
#JFMatukio
Jeshi la Polisi linamshikilia Mussa (Mtumishi wa Ruvu JKT) kwa kumuua Naibu Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi CCM, Edward Ndonde kwa kumchoma visu
Mussa alikuwa akimtuhumu Baba yake kuwa mchawi
Soma - https://jamii.app/MauajiNaibuMBY
#JFMatukio
#AFGHANISTAN: Taliban wameweka Sheria kali za matumizi ya simu kwa watu wa Kaskazini Magharibi mwa Nchi hiyo, ambapo huduma ya simu itapatikana kuanzia saa 3 asubuhi hadi saa 9 mchana
Wamesema wamechukua hatua hiyo ili kuwalinda Wanajeshi wake
Soma - https://jamii.app/SimuAfghanistan
#DigitalRights
Wamesema wamechukua hatua hiyo ili kuwalinda Wanajeshi wake
Soma - https://jamii.app/SimuAfghanistan
#DigitalRights
AFRIKA KUSINI: WANAHARAKATI WAPANDA BANGI KARIBU NA OFISI YA RAIS CYRIL RAMAPHOSA
Ni Wanaharakati wa Jamii ya Khoisan ambayo hutumia bangi kwa matibabu
Mwaka 2018 waliweka kambi nje ya Ofisi ya Rais kushinikiza lugha yao kutambuliwa
Soma - https://jamii.app/BangiAfrikaKusini
#JFMatukio
Ni Wanaharakati wa Jamii ya Khoisan ambayo hutumia bangi kwa matibabu
Mwaka 2018 waliweka kambi nje ya Ofisi ya Rais kushinikiza lugha yao kutambuliwa
Soma - https://jamii.app/BangiAfrikaKusini
#JFMatukio
RAIS SAMIA: WAZIRI NA MANAIBU WAZIRI MSIWE NA MIGONGANO SABABU YA SAFARI
Asema mara nyingine Waziri na Manaibu Waziri hugombania safari na maslahi
Amewataka kujua nafasi zao ili kuepusha migogoro, kwani kila mmoja ameteuliwa kwa vigezo tofauti
Soma - https://jamii.app/WaziriSafari
#JFSiasa #Governance
Asema mara nyingine Waziri na Manaibu Waziri hugombania safari na maslahi
Amewataka kujua nafasi zao ili kuepusha migogoro, kwani kila mmoja ameteuliwa kwa vigezo tofauti
Soma - https://jamii.app/WaziriSafari
#JFSiasa #Governance