SUDAN: WAZIRI MKUU AJIUZULU BAADA YA MAANDAMANO KUPAMBA MOTO
Waziri Mkuu wa Sudan, Abdalla Hamdok amejiuzulu baada ya maandamano ya wanaotaka demokrasia kupamba moto nchini humo
Hamdok ambaye aliwahi kuwa Afisa wa Umoja wa Mataifa(UN) alisaini makubaliano na Jeshi mwezi Novemba ambapo wanademokrasia walipinga hatua hiyo na kuanzisha maandamano
Jeshi lilipindua Serikali ya muda mrefu ya Rais Omar al-Bashir, April 2019 na nchi iliongozwa kijeshi tangu wakati huo
#Accountability #Democracy
Waziri Mkuu wa Sudan, Abdalla Hamdok amejiuzulu baada ya maandamano ya wanaotaka demokrasia kupamba moto nchini humo
Hamdok ambaye aliwahi kuwa Afisa wa Umoja wa Mataifa(UN) alisaini makubaliano na Jeshi mwezi Novemba ambapo wanademokrasia walipinga hatua hiyo na kuanzisha maandamano
Jeshi lilipindua Serikali ya muda mrefu ya Rais Omar al-Bashir, April 2019 na nchi iliongozwa kijeshi tangu wakati huo
#Accountability #Democracy
ISRAEL YATANGAZA KISA CHA KWANZA CHA 'FLURONA'
Mwanamke Mjamzito ambaye hajapata Chanjo ya Corona amekutwa na mchanganyiko wa Mafua (Flu) na #CoronaVirus
Mchanganyiko huo umetajwa kuwa hatari kwani Maradhi yote yanaathiri Mfumo wa Upumuaji
Soma https://jamii.app/IsraelFlurona
#UVIKO3 #JFAfya
Mwanamke Mjamzito ambaye hajapata Chanjo ya Corona amekutwa na mchanganyiko wa Mafua (Flu) na #CoronaVirus
Mchanganyiko huo umetajwa kuwa hatari kwani Maradhi yote yanaathiri Mfumo wa Upumuaji
Soma https://jamii.app/IsraelFlurona
#UVIKO3 #JFAfya
MOROGORO: Upepo mkali uliovuma Kijiji cha Kalengakelo umeezua paa za Nyumba 21, Vyumba 3 vya Madarasa na Ofisi moja
DC Hanji Godigodi ameagiza Wataalamu kufanya tathmini ya gharama ya kurudisha miundombinu ya Madarasa na Ofisi
Soma https://jamii.app/UpepoMorogoro
DC Hanji Godigodi ameagiza Wataalamu kufanya tathmini ya gharama ya kurudisha miundombinu ya Madarasa na Ofisi
Soma https://jamii.app/UpepoMorogoro
NDUGAI: TUTENGENEZE MAKUMBUSHO YA BUNGE
Spika wa Bunge, Job Ndugai amesema ni muhimu kwa Bunge kuwa na makumbusho ili wanaotembelea wajue historia ya Bunge
> Amesema suala la makumbusho ni muhimu hata kwa Taasisi nyingine nchini
Soma https://jamii.app/SpikaNdugai
#Governance
Spika wa Bunge, Job Ndugai amesema ni muhimu kwa Bunge kuwa na makumbusho ili wanaotembelea wajue historia ya Bunge
> Amesema suala la makumbusho ni muhimu hata kwa Taasisi nyingine nchini
Soma https://jamii.app/SpikaNdugai
#Governance
NDUGAI: NAMUOMBA RADHI RAIS NA WANANCHI WOTE
Spika wa Bunge, Job Ndugai amemuomba radhi Rais Samia Suluhu na Wananchi wote kwa sintofahamu iliyotokana na kauli yake
> Amesema wana CCM lengo lao ni moja na hawawezi kutofautiana
Soma https://jamii.app/SpikaNdugai
#Accountability
Spika wa Bunge, Job Ndugai amemuomba radhi Rais Samia Suluhu na Wananchi wote kwa sintofahamu iliyotokana na kauli yake
> Amesema wana CCM lengo lao ni moja na hawawezi kutofautiana
Soma https://jamii.app/SpikaNdugai
#Accountability
NDUGAI: NIMEUMIA KUOENEKANA NAPINGA MKOPO WA SERIKALI WA TSH. TRILIONI 1.3
Spika Job Ndugai amesema kauli aliyoitoa Desemba 26, 2021 imenukuliwa vibaya, video iliyosambazwa haikuwa na ujumbe aliokusudia
> Amesema Serikali inafanya vizuri
Soma https://jamii.app/SpikaNdugai
#Accountability #JFUwajibikaji
Spika Job Ndugai amesema kauli aliyoitoa Desemba 26, 2021 imenukuliwa vibaya, video iliyosambazwa haikuwa na ujumbe aliokusudia
> Amesema Serikali inafanya vizuri
Soma https://jamii.app/SpikaNdugai
#Accountability #JFUwajibikaji
HONG KONG: UHURU WA HABARI WAENDELEA KUZOROTA. TOVUTI NYINGINE YAFUNGWA
Citizen News itafungwa kuanzia Januari 04 kutokana na mazingira ya Vyombo vya Habari kuzorota
Sheria mpya zilizowekwa na China zataka kuzuia #UhuruWaKujieleza
Soma - https://jamii.app/CitizenNewsHK
#PressFreedom #UhuruWaHabari
Citizen News itafungwa kuanzia Januari 04 kutokana na mazingira ya Vyombo vya Habari kuzorota
Sheria mpya zilizowekwa na China zataka kuzuia #UhuruWaKujieleza
Soma - https://jamii.app/CitizenNewsHK
#PressFreedom #UhuruWaHabari
ZANZIBAR: Rais Hussein Mwinyi ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji (ZBC), Dkt. Saleh Yussuf Mnemo leo Januari 03, 2022
Dkt. Mnemo aliteuliwa kuhudumu nafasi hiyo Mwezi Mei 2021
Soma - https://jamii.app/UtenguziZBC
#Governance
Dkt. Mnemo aliteuliwa kuhudumu nafasi hiyo Mwezi Mei 2021
Soma - https://jamii.app/UtenguziZBC
#Governance
LAMU, KENYA: Watu sita wameuawa na nyumba kuchomwa moto na Wanamgambo wanaoshukiwa kuwa ni Al Shabaab
Wapiganaji wa Al Shabaab wamefanya mashambulizi kadhaa Nchini humo baada ya Wanajeshi kupelekwa Somalia mwaka 2011
Soma - https://jamii.app/6DeadLamu
Wapiganaji wa Al Shabaab wamefanya mashambulizi kadhaa Nchini humo baada ya Wanajeshi kupelekwa Somalia mwaka 2011
Soma - https://jamii.app/6DeadLamu
MDAU: MAMBO YA KUZINGATIA UNAPOTAKA KUJENGA NIDHAMU BINAFSI ILI KUFIKIA MALENGO
Muda: Jifunze kusema 'Hapana' kwenye matukio yanayopoteza muda wako na wekeza muda mwingi kwenye masuala yanayokuongezea ujuzi
Fedha: Nidhamu bora ya fedha huchochea kutengeneza uwezekano wa ndoto zako. Wekeza katika maeneo yanayoendana na ndoto zako
Soma Makala - https://jamii.app/NidhamuSOC
#StoriesOfChange #JFMdau
Muda: Jifunze kusema 'Hapana' kwenye matukio yanayopoteza muda wako na wekeza muda mwingi kwenye masuala yanayokuongezea ujuzi
Fedha: Nidhamu bora ya fedha huchochea kutengeneza uwezekano wa ndoto zako. Wekeza katika maeneo yanayoendana na ndoto zako
Soma Makala - https://jamii.app/NidhamuSOC
#StoriesOfChange #JFMdau
TANZIA: MZEE KAMBAULAYA AFARIKI DUNIA
Msanii maarufu na Mwanahabari mkongwe, Barnabas Maro maarufu kama Mzee Kambaulaya au Baba Bishanga amefariki dunia Januari 4, 2022 Hospitali ya Taifa ya Muhimbili akipatiwa matibabu
Soma https://jamii.app/Kambaulaya
Msanii maarufu na Mwanahabari mkongwe, Barnabas Maro maarufu kama Mzee Kambaulaya au Baba Bishanga amefariki dunia Januari 4, 2022 Hospitali ya Taifa ya Muhimbili akipatiwa matibabu
Soma https://jamii.app/Kambaulaya
IRAN YATAKA TRUMP AWAJIBISHWE KWA MAUAJI YA SOLEIMANI
Rais Ebrahim Raisi ataka kuundwe Mahakama ambayo Donald Trump, Mike Pompeo na wengine watashtakiwa kwa mauaji ya Jenerali Qassem Soleimani yaliyotokea miaka 2 iliyopita, au Iran italipiza kisasi
Soma https://jamii.app/TrumpSoleimani
#JFUwajibikaji #Accountability
Rais Ebrahim Raisi ataka kuundwe Mahakama ambayo Donald Trump, Mike Pompeo na wengine watashtakiwa kwa mauaji ya Jenerali Qassem Soleimani yaliyotokea miaka 2 iliyopita, au Iran italipiza kisasi
Soma https://jamii.app/TrumpSoleimani
#JFUwajibikaji #Accountability
ISRAEL YAWA NCHI YA KWANZA KUTOA CHANJO YA NNE YA #COVID19
Ongezeko la maambukizi ya #Omicron limefanya watu wenye umri wa zaidi ya miaka 60 wapewe 'booster' ya pili
Wengine wanaopewa kipaumbele ni wenye Magonjwa Sugu na Wahudumu wa Afya
Soma https://jamii.app/SecondBoosterDose
#UVIKO3 #JFAfya
Ongezeko la maambukizi ya #Omicron limefanya watu wenye umri wa zaidi ya miaka 60 wapewe 'booster' ya pili
Wengine wanaopewa kipaumbele ni wenye Magonjwa Sugu na Wahudumu wa Afya
Soma https://jamii.app/SecondBoosterDose
#UVIKO3 #JFAfya
KENYA: Kiongozi wa ODM, Raila Odinga amehoji chanzo cha Mamilioni ya Fedha ambayo amesema Naibu Rais, William Ruto anamwaga kwenye Kampeni zake
Awataka Wakenya kutomchagua Ruto kuongoza Taifa hilo akisema Uongozi wake utatawaliwa na Ufisadi
Soma https://jamii.app/RailaRutoKE
#Accountability
Awataka Wakenya kutomchagua Ruto kuongoza Taifa hilo akisema Uongozi wake utatawaliwa na Ufisadi
Soma https://jamii.app/RailaRutoKE
#Accountability
MDAU: NAMNA SERIKALI INAVYOWEZA KUWASAIDIA WAHITIMU KATIKA UTAFUTAJI
1. Serikali na Sekta Binafsi zinapaswa kuwaamini Vijana na kuondoa kigezo cha uzoefu
2. Serikali itengeneze mahusiano mazuri na mataifa mengine, kwani hii itasaidia kupanua soko la nje
3. Kuwepo uwazi katika masuala ya Ajira kuanzia Serikali mpaka Mashirika Binafsi. Ukabila, Rushwa na Udini viepukwe
Soma - https://jamii.app/WahitimuSerikaliSOC
#StoriesOfChange #JFMdau
1. Serikali na Sekta Binafsi zinapaswa kuwaamini Vijana na kuondoa kigezo cha uzoefu
2. Serikali itengeneze mahusiano mazuri na mataifa mengine, kwani hii itasaidia kupanua soko la nje
3. Kuwepo uwazi katika masuala ya Ajira kuanzia Serikali mpaka Mashirika Binafsi. Ukabila, Rushwa na Udini viepukwe
Soma - https://jamii.app/WahitimuSerikaliSOC
#StoriesOfChange #JFMdau
UTEUZI: Rais Samia amteua Dkt. Baghayo Saqware kuwa Mkurugenzi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bima (TIRA)
Charles Itembe ateuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Eneo Maalum la Mauzo ya Nje (EPZA), na Ernest Mchanga Katibu wa Tume ya Pamoja ya Fedha
Soma - https://jamii.app/Uteuzi3Rais
#Governance
Charles Itembe ateuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Eneo Maalum la Mauzo ya Nje (EPZA), na Ernest Mchanga Katibu wa Tume ya Pamoja ya Fedha
Soma - https://jamii.app/Uteuzi3Rais
#Governance
MSUMBIJI: Rais Filipe Nyusi na mkewe Isaura Nyusi wamekutwa na #COVID19 na wamelazimika kujitenga
> Nchi hiyo imethibitisha kuwa na watu 193,000 wanaougua COVID-19, na vifo 2,031
Soma https://jamii.app/FilipeNyusi
#UVIKO3 #JFAfya
> Nchi hiyo imethibitisha kuwa na watu 193,000 wanaougua COVID-19, na vifo 2,031
Soma https://jamii.app/FilipeNyusi
#UVIKO3 #JFAfya
SUDAN: WANAHARAKATI WAITISHA MAANDAMANO ZAIDI
Wanaoongoza Kampeni dhidi ya Utawala wa Kijeshi wamesema Waandamanaji watakuwa wakielekea Ikulu hadi ushindi utakapopatikana
Idadi ya waliopoteza maisha tangu Mapinduzi kufanyika imefikia 56
Soma - https://jamii.app/ProtestsSdn
#Democracy
Wanaoongoza Kampeni dhidi ya Utawala wa Kijeshi wamesema Waandamanaji watakuwa wakielekea Ikulu hadi ushindi utakapopatikana
Idadi ya waliopoteza maisha tangu Mapinduzi kufanyika imefikia 56
Soma - https://jamii.app/ProtestsSdn
#Democracy
UTAJIRI WA KAMPUNI YA APPLE WAZIDI GDP YA AFRIKA
Kampuni ya Apple imefikisha thamani ya Dola trilioni 3 (takriban Tsh. Trilioni 6,920.88) katika Soko la Hisa
Pato la Ndani la Afrika (GDP) ni Dola Trilioni 2.6 sawa na Tsh. Trilioni 5,998.1
Soma - https://jamii.app/AppleUtajiri
#JFTech
Kampuni ya Apple imefikisha thamani ya Dola trilioni 3 (takriban Tsh. Trilioni 6,920.88) katika Soko la Hisa
Pato la Ndani la Afrika (GDP) ni Dola Trilioni 2.6 sawa na Tsh. Trilioni 5,998.1
Soma - https://jamii.app/AppleUtajiri
#JFTech
MWIGULU: DENI NI HIMILIVU, TUTAENDELEA KUKOPA
Asema Mkopo sio Msaada na hutolewa kwa mwenye chanzo cha kulipa
Pia, amesema sio uungwana kusema Rais anakopa akisisitiza Marais hawakopi bali ni Serikali akisema "Hilo si jambo la Familia, ni la Nchi"
Soma https://jamii.app/MwiguluDeni
#Governance
Asema Mkopo sio Msaada na hutolewa kwa mwenye chanzo cha kulipa
Pia, amesema sio uungwana kusema Rais anakopa akisisitiza Marais hawakopi bali ni Serikali akisema "Hilo si jambo la Familia, ni la Nchi"
Soma https://jamii.app/MwiguluDeni
#Governance
👍1