ELON MUSK APINGA KULAZIMISHA WATU KUPATA CHANJO YA #COVID19
Mmiliki wa Kampuni ya #Tesla amesema kulazimisha Watu kupata Chanjo au kuwafukuza kazi si sahihi
Ametoa wito Watu washawishiwe kupata Chanjo badala ya kulazimishwa
Soma - https://jamii.app/ElonMusk
#UVIKO3
Mmiliki wa Kampuni ya #Tesla amesema kulazimisha Watu kupata Chanjo au kuwafukuza kazi si sahihi
Ametoa wito Watu washawishiwe kupata Chanjo badala ya kulazimishwa
Soma - https://jamii.app/ElonMusk
#UVIKO3
UFUATILIAJI WA USALAMA WA CHANJO ZA COVID-19 NI ENDELEVU
Shirika la Afya (WHO) limesema ufuatiliaji wa usalama ni muhimu kitaifa, kikanda na kimataifa
Mchakato unahusisha wadau na Wataalamu wa Afya ili kuhakikisha usalama kila mara
Soma - https://jamii.app/ChanjoUfuatiliaji
#UVIKO3
Shirika la Afya (WHO) limesema ufuatiliaji wa usalama ni muhimu kitaifa, kikanda na kimataifa
Mchakato unahusisha wadau na Wataalamu wa Afya ili kuhakikisha usalama kila mara
Soma - https://jamii.app/ChanjoUfuatiliaji
#UVIKO3
Kesi ya Uhujumu Uchumi inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake 3 inatarajiwa kuendelea leo
Mahakama inatarajiwa kutoa uamuzi kuhusu pingamizi la Mshtakiwa Mohammed Ling'wenya aliyepinga Mahakama kupokea kielelezo kinachodaiwa kuwa ni maelezo yake
Soma - https://jamii.app/UamuziPingamizi
Mahakama inatarajiwa kutoa uamuzi kuhusu pingamizi la Mshtakiwa Mohammed Ling'wenya aliyepinga Mahakama kupokea kielelezo kinachodaiwa kuwa ni maelezo yake
Soma - https://jamii.app/UamuziPingamizi
SUDAN: Polisi wametumia Mabomu ya Machozi kutawanya Waandamanaji waliokusanyika karibu na Makazi ya Rais Jijini Khartoum
Tangu Mapinduzi kufanyika Nchini humo Oktoba 25, watu wapatao 50 wameripotiwa kupoteza maisha huku mamia wakijeruhiwa
Soma - https://jamii.app/KhartoumProtests
#JFLeo
Tangu Mapinduzi kufanyika Nchini humo Oktoba 25, watu wapatao 50 wameripotiwa kupoteza maisha huku mamia wakijeruhiwa
Soma - https://jamii.app/KhartoumProtests
#JFLeo
GHANA: Mamlaka nchini Ghana zimetangaza kupiga faini Mashirika ya Ndege yatakayosafirisha Raia wa Kigeni ambao hawajapata chanjo
> Mashirika yatalipa Dola 3,500 (sawa na Tsh. Milioni 8) kwa kila msafiri asiyepata chanjo ya #COVID19
Soma https://jamii.app/WasichanjaGhana
#UVIKO3
> Mashirika yatalipa Dola 3,500 (sawa na Tsh. Milioni 8) kwa kila msafiri asiyepata chanjo ya #COVID19
Soma https://jamii.app/WasichanjaGhana
#UVIKO3
UPDATE: Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi yatupilia mbali Hoja zote 7 za Utetezi ktk pingamizi la kuitaka Mahakama isipokee kielelezo chenye maelezo ya Mshtakiwa Mohammed Ling'wenya
Jaji Joachim Tiganga amepokea kielelezo
Soma https://jamii.app/UamuziPingamizi
Jaji Joachim Tiganga amepokea kielelezo
Soma https://jamii.app/UamuziPingamizi
MDAU: TABIA UNAZOTAKIWA KUACHA ILI KUTOKA ULIPO NA KUSONGA MBELE
1) Kujilinganisha na Wengine: Tabia hii ni mwizi wa furaha yako. Mtu pekee wa kujilinganisha naye ni wewe mwenyewe
2) Kurudia Makosa: Kukosea kupo katika maisha na hilo lipo wazi, ila jifunze kwa makosa kisha songa mbele
3) Kushindwa kusema Hapana: Kama unataka kuwa na maisha ya wasiwasi na yasiyo na furaha basi shindwa kusema Hapana
Soma - https://jamii.app/TabiaSOC
#StoriesOfChange
1) Kujilinganisha na Wengine: Tabia hii ni mwizi wa furaha yako. Mtu pekee wa kujilinganisha naye ni wewe mwenyewe
2) Kurudia Makosa: Kukosea kupo katika maisha na hilo lipo wazi, ila jifunze kwa makosa kisha songa mbele
3) Kushindwa kusema Hapana: Kama unataka kuwa na maisha ya wasiwasi na yasiyo na furaha basi shindwa kusema Hapana
Soma - https://jamii.app/TabiaSOC
#StoriesOfChange
Baadhi ya Wawasilishaji na Wadau walioshiriki katika Warsha ya kujadili Mapendekezo ya Mabadiliko ya Kanuni za Maudhui Mtandaoni (2020) ulioandaliwa na Jamii Forums kwa kushirikiana na CIPESA - Uganda
Warsha imefanyika katika Ukumbi wa Hoteli ya Four Points by Sheraton (zamani New Africa Hotel) jijini Dar es Salaam leo
#JamiiForums
Warsha imefanyika katika Ukumbi wa Hoteli ya Four Points by Sheraton (zamani New Africa Hotel) jijini Dar es Salaam leo
#JamiiForums
TUNISIA: SHUGHULI ZA BUNGE KUSITISHWA HADI UCHAGUZI UTAKAPOFANYIKA
Tangu aliposimamisha Bunge na kumfukuza aliyekuwa Waziri Mkuu, Rais Kais Saied ameendelea kushikilia Madaraka akisisitiza uamuzi huo ulihitajika kutokana na mwenendo mbaya wa Siasa
Soma - https://jamii.app/RaisKaisBunge
Tangu aliposimamisha Bunge na kumfukuza aliyekuwa Waziri Mkuu, Rais Kais Saied ameendelea kushikilia Madaraka akisisitiza uamuzi huo ulihitajika kutokana na mwenendo mbaya wa Siasa
Soma - https://jamii.app/RaisKaisBunge
HALI YA UTEKELEZAJI WA MAPENDEKEZO YA CAG KWA OR - TAMISEMI
Ripoti ya Ukaguzi 2019/20 inaonesha kati ya Mapendekezo 15 yaliyotolewa na CAG 2018/19, Ofisi ya Rais – TAMISEMI haikutekeleza pendekezo lolote kikamilifu
Mapendekezo 6 yapo katika hatua mbalimbali za utekelezaji, Mapendekezo 5 hayajatekelezwa na Mapendekezo 4 yamejirudia
Soma - https://jamii.app/UtekelezajiMapendekezo
#JFUwajibikaji
Ripoti ya Ukaguzi 2019/20 inaonesha kati ya Mapendekezo 15 yaliyotolewa na CAG 2018/19, Ofisi ya Rais – TAMISEMI haikutekeleza pendekezo lolote kikamilifu
Mapendekezo 6 yapo katika hatua mbalimbali za utekelezaji, Mapendekezo 5 hayajatekelezwa na Mapendekezo 4 yamejirudia
Soma - https://jamii.app/UtekelezajiMapendekezo
#JFUwajibikaji
BELARUS: KIONGOZI WA UPINZANI AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MIAKA 18
Sergei Tikhanovsky amekutwa na hatia ya kuandaa machafuko na kuchochea chuki
Alipanga kugombea ktk Uchaguzi Mkuu 2020 dhidi ya Rais Lukashenko ambaye amekuwepo madarakani tangu 1994
Soma - https://jamii.app/KifungoMpinzani
Sergei Tikhanovsky amekutwa na hatia ya kuandaa machafuko na kuchochea chuki
Alipanga kugombea ktk Uchaguzi Mkuu 2020 dhidi ya Rais Lukashenko ambaye amekuwepo madarakani tangu 1994
Soma - https://jamii.app/KifungoMpinzani
Fainali ya Shindano la #MissWorld2021 iliyotarajiwa kufanyika Desemba 16, 2021 huko Puerto Rico imeahirishwa kwa siku 90 kutokana na #COVID19
Washiriki na Wafanyakazi wa Shindano wamewekwa karantini kabla ya kuruhusiwa warudi katika Nchi zao
Soma - https://jamii.app/SuspMissWorld
Washiriki na Wafanyakazi wa Shindano wamewekwa karantini kabla ya kuruhusiwa warudi katika Nchi zao
Soma - https://jamii.app/SuspMissWorld
Shirika la Waandishi Habari Wasiokuwa na Mipaka (RSF) limesema kwa sasa kuna Waandishi wa Habari 488 waliofungwa jela Duniani kote
Idadi ya waliokamatwa imeongezeka kwa 20% kutokana na ukandamizaji Nchini #Myanmar, Belarus na Hong Kong
Soma https://jamii.app/488JournalistsJail
#PressFreedom
Idadi ya waliokamatwa imeongezeka kwa 20% kutokana na ukandamizaji Nchini #Myanmar, Belarus na Hong Kong
Soma https://jamii.app/488JournalistsJail
#PressFreedom
Kiongozi Mkuu wa ACT - Wazalendo, Zitto Kabwe ametangaza kukutwa Virusi vya Corona baada ya kupatwa na Mafua
Asema "Chanjo imesaidia kutopata madhara makubwa na nimejitenga ili kutoambukiza wengine"
Asisitiza Wananchi kuchukua tahadhari kwa kuvaa Barakoa na kujiepusha na mikusanyiko
Soma - https://jamii.app/ZittoCoronaPos
#UVIKO3
Asema "Chanjo imesaidia kutopata madhara makubwa na nimejitenga ili kutoambukiza wengine"
Asisitiza Wananchi kuchukua tahadhari kwa kuvaa Barakoa na kujiepusha na mikusanyiko
Soma - https://jamii.app/ZittoCoronaPos
#UVIKO3
KOREA KASKAZINI: Serikali imepiga marufuku Wananchi kucheka, kunywa pombe na kufanya sherehe kwa Siku 11 wakiadhimisha Miaka 10 ya Kifo cha Kim Jong II
Kim Jong II alikuwa Rais Mwaka 1994 - 2011 na nafasi yake ilichukuliwa na Mwanae, Kim Jong Un
Soma - https://jamii.app/BanLaughing
Kim Jong II alikuwa Rais Mwaka 1994 - 2011 na nafasi yake ilichukuliwa na Mwanae, Kim Jong Un
Soma - https://jamii.app/BanLaughing
AFYA: Wizara ya Afya imesema hali ya mafua inayowakumba watu wengi kwa sasa ni mafua ya kawaida ambayo hutokea kutokana na vipindi vya hali ya hewa
> Imetoa wito kwa wanaojisikia kuchoka, kikohozi na kifua kufika Vituo vya Afya kwa matibabu
Soma https://jamii.app/MafuaYaKawaida
> Imetoa wito kwa wanaojisikia kuchoka, kikohozi na kifua kufika Vituo vya Afya kwa matibabu
Soma https://jamii.app/MafuaYaKawaida