Unafahamu vitu vinavyoweza kukuweka katika hatari ya kupata Kiharusi?
Je, ni kwa kiasi gani mwenendo wako wa maisha unaweza kupelekea kupata Kiharusi?
Kufahamu zaidi, Ungana nasi katika Mjadala na Wataalamu utakaofanyika Clubhouse leo Desemba 13
Link - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/YcIowdFT/xkaQ6BkE
Je, ni kwa kiasi gani mwenendo wako wa maisha unaweza kupelekea kupata Kiharusi?
Kufahamu zaidi, Ungana nasi katika Mjadala na Wataalamu utakaofanyika Clubhouse leo Desemba 13
Link - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/YcIowdFT/xkaQ6BkE
Fuatilia Mjadala huu unaoendelea hivi sasa ndani ya Clubhouse ya JamiiForums
Link - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/YcIowdFT/xkaQ6BkE
#JamiiForums
Link - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/YcIowdFT/xkaQ6BkE
#JamiiForums
Yanayojiri katika Mjadala kuhusu Magonjwa ya Kiharusi na Kupooza unaoendelea hivi sasa kupitia Clubhouse
Ungana nasi - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/YcIowdFT/xkaQ6BkE
#JamiiForums #Stroke #Kiharusi
Ungana nasi - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/YcIowdFT/xkaQ6BkE
#JamiiForums #Stroke #Kiharusi
JF SCHEDULED MAINTENANCE
Kuanzia saa Sita Kamili hadi saa Nane Kamili usiku wa leo tovuti ya JamiiForums.com itakuwa haipatikani kufuatia maboresho yanayotarajiwa kufanyika wakati huo
Tunashukuru kwa kuendelea kutumia huduma zetu na asante kwa ushirikiano wako
#JamiiForums
Kuanzia saa Sita Kamili hadi saa Nane Kamili usiku wa leo tovuti ya JamiiForums.com itakuwa haipatikani kufuatia maboresho yanayotarajiwa kufanyika wakati huo
Tunashukuru kwa kuendelea kutumia huduma zetu na asante kwa ushirikiano wako
#JamiiForums
MAREKANI: Wamarekani 40,000 wametapeliwa kupitia matangazo ya kujifanya Kampuni inatoa zawadi. Utapeli unaozidi kukua kwa miaka 3 iliyopita
Kwa miezi tisa ya mwanzo ya Mwaka 2021 jumla ya Dola milioni 148 sawa na Tsh. Bilioni 340.6 zimetapeliwa
Soma - https://jamii.app/UtapeliWaZawadi
Kwa miezi tisa ya mwanzo ya Mwaka 2021 jumla ya Dola milioni 148 sawa na Tsh. Bilioni 340.6 zimetapeliwa
Soma - https://jamii.app/UtapeliWaZawadi
ELON MUSK APINGA KULAZIMISHA WATU KUPATA CHANJO YA #COVID19
Mmiliki wa Kampuni ya #Tesla amesema kulazimisha Watu kupata Chanjo au kuwafukuza kazi si sahihi
Ametoa wito Watu washawishiwe kupata Chanjo badala ya kulazimishwa
Soma - https://jamii.app/ElonMusk
#UVIKO3
Mmiliki wa Kampuni ya #Tesla amesema kulazimisha Watu kupata Chanjo au kuwafukuza kazi si sahihi
Ametoa wito Watu washawishiwe kupata Chanjo badala ya kulazimishwa
Soma - https://jamii.app/ElonMusk
#UVIKO3
UFUATILIAJI WA USALAMA WA CHANJO ZA COVID-19 NI ENDELEVU
Shirika la Afya (WHO) limesema ufuatiliaji wa usalama ni muhimu kitaifa, kikanda na kimataifa
Mchakato unahusisha wadau na Wataalamu wa Afya ili kuhakikisha usalama kila mara
Soma - https://jamii.app/ChanjoUfuatiliaji
#UVIKO3
Shirika la Afya (WHO) limesema ufuatiliaji wa usalama ni muhimu kitaifa, kikanda na kimataifa
Mchakato unahusisha wadau na Wataalamu wa Afya ili kuhakikisha usalama kila mara
Soma - https://jamii.app/ChanjoUfuatiliaji
#UVIKO3
Kesi ya Uhujumu Uchumi inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake 3 inatarajiwa kuendelea leo
Mahakama inatarajiwa kutoa uamuzi kuhusu pingamizi la Mshtakiwa Mohammed Ling'wenya aliyepinga Mahakama kupokea kielelezo kinachodaiwa kuwa ni maelezo yake
Soma - https://jamii.app/UamuziPingamizi
Mahakama inatarajiwa kutoa uamuzi kuhusu pingamizi la Mshtakiwa Mohammed Ling'wenya aliyepinga Mahakama kupokea kielelezo kinachodaiwa kuwa ni maelezo yake
Soma - https://jamii.app/UamuziPingamizi
SUDAN: Polisi wametumia Mabomu ya Machozi kutawanya Waandamanaji waliokusanyika karibu na Makazi ya Rais Jijini Khartoum
Tangu Mapinduzi kufanyika Nchini humo Oktoba 25, watu wapatao 50 wameripotiwa kupoteza maisha huku mamia wakijeruhiwa
Soma - https://jamii.app/KhartoumProtests
#JFLeo
Tangu Mapinduzi kufanyika Nchini humo Oktoba 25, watu wapatao 50 wameripotiwa kupoteza maisha huku mamia wakijeruhiwa
Soma - https://jamii.app/KhartoumProtests
#JFLeo
GHANA: Mamlaka nchini Ghana zimetangaza kupiga faini Mashirika ya Ndege yatakayosafirisha Raia wa Kigeni ambao hawajapata chanjo
> Mashirika yatalipa Dola 3,500 (sawa na Tsh. Milioni 8) kwa kila msafiri asiyepata chanjo ya #COVID19
Soma https://jamii.app/WasichanjaGhana
#UVIKO3
> Mashirika yatalipa Dola 3,500 (sawa na Tsh. Milioni 8) kwa kila msafiri asiyepata chanjo ya #COVID19
Soma https://jamii.app/WasichanjaGhana
#UVIKO3