JamiiForums
52.7K subscribers
34.4K photos
2.45K videos
31.3K links
Official Telegram Channel | Inform x Engage x Empower
Download Telegram
Unafahamu vitu vinavyoweza kukuweka katika hatari ya kupata Kiharusi?

Je, ni kwa kiasi gani mwenendo wako wa maisha unaweza kupelekea kupata Kiharusi?

Kufahamu zaidi, Ungana nasi katika Mjadala na Wataalamu utakaofanyika Clubhouse leo Desemba 13

Link - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/YcIowdFT/xkaQ6BkE

#JamiiForums
MDAU: UMUHIMU WA KILA MTANZANIA KUJIFUNZA KIINGEREZA

Anasema kumekuwa na upotoshaji kuhusu Kiingereza, Watanzania wameaminishwa kujifunza Lugha hiyo si Uzalendo

Anasisitiza, Mtu asiyejua Kiingereza hatoweza kuendana na kasi ya dunia kwa sasa. Anashauri Serikali kuanzisha programu kuhamasisha watu kujifunza Kiingereza

Soma - https://jamii.app/WatanzaniaKiingereza

#StoriesOfChange
Ripoti ya CAG ya Miradi ya Maendeleo mwaka 2019/20 inaonesha kati ya mapendekezo 3,126 yaliyotolewa mwaka 2018/19, ni mapendekezo 1,071 sawa na 34% ndiyo yametekelezwa kikamilifu

Mapendekezo 623 sawa na 20% yapo katika hatua mbalimbali za utekelezaji. Mapendekezo 1,024 sawa na 33% hayajatekelezwa

Soma - https://jamii.app/UtekelezajiMapendekezo

#JFUwajibikaji
👍1
Unafahamu vitu vinavyoweza kukuweka katika hatari ya kupata Kiharusi?

Je, ni kwa kiasi gani mwenendo wako wa maisha unaweza kupelekea kupata Kiharusi?

Kufahamu zaidi, Ungana nasi katika Mjadala na Wataalamu utakaofanyika Clubhouse leo Desemba 13

Link - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/YcIowdFT/xkaQ6BkE
DAR: Rais Samia amesema ifikapo 2025, Serikali inalenga Sekta ya Madini iweze kuchangia 10% ya Pato la Taifa

Asema, "Hali ya utoroshwaji Madini Nchini haikubaliki na hatutaruhusu Uhujumu huu kuendelea. Zifanyike doria ili wahusika wajulikane"

Soma - https://jamii.app/MadiniTZ
RAIS SAMIA AONYA VIONGOZI KUTUMIA UBABE MIGODINI

Amewataka Wakuu wa Wilaya, Wabunge na Serikali za Mitaa kutoa ushirikiano kwa Wananchi

Asema, "Wabunge ambao maeneo yenu miradi hii ipo, iwasaidie kujenga Maendeleo ya Nchi sio iwajenge ninyi"

Soma https://jamii.app/UbabeMigodini

#JFLeo
DROO YA #UEFA: MAN. UTD YAPANGIWA PSG, CHELSEA YAPEWA LILLE

- Droo ya Klabu Bingwa Ulaya hatua ya 16 Bora imefanyika leo ambapo Bingwa Mtetezi, Chelsea atakutana na Lille

- PSG itakutana na Man. Utd, Man. City itaivaa Villarreal na Liverpool itakutana na Salzburg

#JFSports #UCL
Taarifa ya Mwezi ya Maendeleo ya Uchumi inayotolewa na BoT imeonesha 23.2% ya Fedha zinazokopwa nje ya Nchi zimetumika kwa usafiri na Mawasiliano Oktoba 2021

16.2% ya Fedha hizo hutumika kwa ustawi wa Jamii na Elimu. Sekta ya Utalii imetumia 1.0%

Soma - https://jamii.app/DeniFedha
IRINGA: WATU 9 WAFARIKI KWA AJALI YA GARI LA MAGAZETI

Watu tisa wamefariki na wengine 3 kujeruhiwa baada ya Gari lililokuwa linatokea Dar kuelekea Mbeya kupata ajali Kijiji cha Mahenge

Chanzo cha Ajali hiyo ni Mwendokasi

Soma - https://jamii.app/AjaliMagazeti

#JamiiForums
#UEFA: DROO YA HATUA YA 16 KURUDIWA

- UEFA imesema droo hiyo itachezeshwa upya baada ya Man. Utd kwa bahati mbaya kupangwa dhidi ya Villarreal wakati timu hizo zimetoka kundi moja

- Pia, Man. Utd kuondolewa kama moja ya timu zinazoweza kukutana na Atletico Madrid

#JFSports
BoT: NDANI YA MWAKA, MASHIRIKA YA UMMA YAMEONGEZA KUKOPA NJE KWA 1024.2%

Taasisi za Umma zilikuwa zinadaiwa Tsh. Bilioni 119.1 Oktoba 2020 na Oktoba 2021 zinadaiwa Tsh. Trilioni 1.174

Deni la Taifa limeongezeka kwa Tsh. Trilioni 10.1 ndani ya Mwaka

Soma https://jamii.app/MashirikaYaUmma
Unafahamu vitu vinavyoweza kukuweka katika hatari ya kupata Kiharusi?

Je, ni kwa kiasi gani mwenendo wako wa maisha unaweza kupelekea kupata Kiharusi?

Kufahamu zaidi, Ungana nasi katika Mjadala na Wataalamu utakaofanyika Clubhouse leo Desemba 13

Link - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/YcIowdFT/xkaQ6BkE
DROO YA #UCL: CHELSEA vs LILLE, MAN. UTD vs ATLETICO

- Baada ya droo ya hatua ya 16 Bora kurudiwa, Chelsea imepewa Lille huku Man. Utd ikipewa Atletico Madrid

- PSG itakutana na R. Madrid, Juventus vs Villarreal, Man. City vs Sporting CP na Liverpool vs Inter Milan

#JFSports
Fuatilia Mjadala huu unaoendelea hivi sasa ndani ya Clubhouse ya JamiiForums

Link - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/YcIowdFT/xkaQ6BkE

#JamiiForums
Yanayojiri katika Mjadala kuhusu Magonjwa ya Kiharusi na Kupooza unaoendelea hivi sasa kupitia Clubhouse

Ungana nasi - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/YcIowdFT/xkaQ6BkE

#JamiiForums #Stroke #Kiharusi