Unafahamu vitu vinavyoweza kukuweka katika hatari ya kupata Kiharusi?
Je, ni kwa kiasi gani mwenendo wako wa maisha unaweza kupelekea kupata Kiharusi?
Kufahamu zaidi, Ungana nasi katika Mjadala na Wataalamu utakaofanyika Clubhouse leo Desemba 13
Link - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/YcIowdFT/xkaQ6BkE
#JamiiForums
Je, ni kwa kiasi gani mwenendo wako wa maisha unaweza kupelekea kupata Kiharusi?
Kufahamu zaidi, Ungana nasi katika Mjadala na Wataalamu utakaofanyika Clubhouse leo Desemba 13
Link - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/YcIowdFT/xkaQ6BkE
#JamiiForums
MDAU: UMUHIMU WA KILA MTANZANIA KUJIFUNZA KIINGEREZA
Anasema kumekuwa na upotoshaji kuhusu Kiingereza, Watanzania wameaminishwa kujifunza Lugha hiyo si Uzalendo
Anasisitiza, Mtu asiyejua Kiingereza hatoweza kuendana na kasi ya dunia kwa sasa. Anashauri Serikali kuanzisha programu kuhamasisha watu kujifunza Kiingereza
Soma - https://jamii.app/WatanzaniaKiingereza
#StoriesOfChange
Anasema kumekuwa na upotoshaji kuhusu Kiingereza, Watanzania wameaminishwa kujifunza Lugha hiyo si Uzalendo
Anasisitiza, Mtu asiyejua Kiingereza hatoweza kuendana na kasi ya dunia kwa sasa. Anashauri Serikali kuanzisha programu kuhamasisha watu kujifunza Kiingereza
Soma - https://jamii.app/WatanzaniaKiingereza
#StoriesOfChange
Ripoti ya CAG ya Miradi ya Maendeleo mwaka 2019/20 inaonesha kati ya mapendekezo 3,126 yaliyotolewa mwaka 2018/19, ni mapendekezo 1,071 sawa na 34% ndiyo yametekelezwa kikamilifu
Mapendekezo 623 sawa na 20% yapo katika hatua mbalimbali za utekelezaji. Mapendekezo 1,024 sawa na 33% hayajatekelezwa
Soma - https://jamii.app/UtekelezajiMapendekezo
#JFUwajibikaji
Mapendekezo 623 sawa na 20% yapo katika hatua mbalimbali za utekelezaji. Mapendekezo 1,024 sawa na 33% hayajatekelezwa
Soma - https://jamii.app/UtekelezajiMapendekezo
#JFUwajibikaji
👍1
Unafahamu vitu vinavyoweza kukuweka katika hatari ya kupata Kiharusi?
Je, ni kwa kiasi gani mwenendo wako wa maisha unaweza kupelekea kupata Kiharusi?
Kufahamu zaidi, Ungana nasi katika Mjadala na Wataalamu utakaofanyika Clubhouse leo Desemba 13
Link - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/YcIowdFT/xkaQ6BkE
Je, ni kwa kiasi gani mwenendo wako wa maisha unaweza kupelekea kupata Kiharusi?
Kufahamu zaidi, Ungana nasi katika Mjadala na Wataalamu utakaofanyika Clubhouse leo Desemba 13
Link - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/YcIowdFT/xkaQ6BkE
DAR: Rais Samia amesema ifikapo 2025, Serikali inalenga Sekta ya Madini iweze kuchangia 10% ya Pato la Taifa
Asema, "Hali ya utoroshwaji Madini Nchini haikubaliki na hatutaruhusu Uhujumu huu kuendelea. Zifanyike doria ili wahusika wajulikane"
Soma - https://jamii.app/MadiniTZ
Asema, "Hali ya utoroshwaji Madini Nchini haikubaliki na hatutaruhusu Uhujumu huu kuendelea. Zifanyike doria ili wahusika wajulikane"
Soma - https://jamii.app/MadiniTZ
RAIS SAMIA AONYA VIONGOZI KUTUMIA UBABE MIGODINI
Amewataka Wakuu wa Wilaya, Wabunge na Serikali za Mitaa kutoa ushirikiano kwa Wananchi
Asema, "Wabunge ambao maeneo yenu miradi hii ipo, iwasaidie kujenga Maendeleo ya Nchi sio iwajenge ninyi"
Soma https://jamii.app/UbabeMigodini
#JFLeo
Amewataka Wakuu wa Wilaya, Wabunge na Serikali za Mitaa kutoa ushirikiano kwa Wananchi
Asema, "Wabunge ambao maeneo yenu miradi hii ipo, iwasaidie kujenga Maendeleo ya Nchi sio iwajenge ninyi"
Soma https://jamii.app/UbabeMigodini
#JFLeo
Taarifa ya Mwezi ya Maendeleo ya Uchumi inayotolewa na BoT imeonesha 23.2% ya Fedha zinazokopwa nje ya Nchi zimetumika kwa usafiri na Mawasiliano Oktoba 2021
16.2% ya Fedha hizo hutumika kwa ustawi wa Jamii na Elimu. Sekta ya Utalii imetumia 1.0%
Soma - https://jamii.app/DeniFedha
16.2% ya Fedha hizo hutumika kwa ustawi wa Jamii na Elimu. Sekta ya Utalii imetumia 1.0%
Soma - https://jamii.app/DeniFedha
IRINGA: WATU 9 WAFARIKI KWA AJALI YA GARI LA MAGAZETI
Watu tisa wamefariki na wengine 3 kujeruhiwa baada ya Gari lililokuwa linatokea Dar kuelekea Mbeya kupata ajali Kijiji cha Mahenge
Chanzo cha Ajali hiyo ni Mwendokasi
Soma - https://jamii.app/AjaliMagazeti
#JamiiForums
Watu tisa wamefariki na wengine 3 kujeruhiwa baada ya Gari lililokuwa linatokea Dar kuelekea Mbeya kupata ajali Kijiji cha Mahenge
Chanzo cha Ajali hiyo ni Mwendokasi
Soma - https://jamii.app/AjaliMagazeti
#JamiiForums
BoT: NDANI YA MWAKA, MASHIRIKA YA UMMA YAMEONGEZA KUKOPA NJE KWA 1024.2%
Taasisi za Umma zilikuwa zinadaiwa Tsh. Bilioni 119.1 Oktoba 2020 na Oktoba 2021 zinadaiwa Tsh. Trilioni 1.174
Deni la Taifa limeongezeka kwa Tsh. Trilioni 10.1 ndani ya Mwaka
Soma https://jamii.app/MashirikaYaUmma
Taasisi za Umma zilikuwa zinadaiwa Tsh. Bilioni 119.1 Oktoba 2020 na Oktoba 2021 zinadaiwa Tsh. Trilioni 1.174
Deni la Taifa limeongezeka kwa Tsh. Trilioni 10.1 ndani ya Mwaka
Soma https://jamii.app/MashirikaYaUmma
Unafahamu vitu vinavyoweza kukuweka katika hatari ya kupata Kiharusi?
Je, ni kwa kiasi gani mwenendo wako wa maisha unaweza kupelekea kupata Kiharusi?
Kufahamu zaidi, Ungana nasi katika Mjadala na Wataalamu utakaofanyika Clubhouse leo Desemba 13
Link - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/YcIowdFT/xkaQ6BkE
Je, ni kwa kiasi gani mwenendo wako wa maisha unaweza kupelekea kupata Kiharusi?
Kufahamu zaidi, Ungana nasi katika Mjadala na Wataalamu utakaofanyika Clubhouse leo Desemba 13
Link - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/YcIowdFT/xkaQ6BkE
Fuatilia Mjadala huu unaoendelea hivi sasa ndani ya Clubhouse ya JamiiForums
Link - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/YcIowdFT/xkaQ6BkE
#JamiiForums
Link - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/YcIowdFT/xkaQ6BkE
#JamiiForums
Yanayojiri katika Mjadala kuhusu Magonjwa ya Kiharusi na Kupooza unaoendelea hivi sasa kupitia Clubhouse
Ungana nasi - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/YcIowdFT/xkaQ6BkE
#JamiiForums #Stroke #Kiharusi
Ungana nasi - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/YcIowdFT/xkaQ6BkE
#JamiiForums #Stroke #Kiharusi