Maoni kadhaa yaliyotolewa katika Mjadala wa "Miaka 60 Ya Uhuru: Mchango wa Digitali katika Uhuru wa Kujieleza, Demokrasia na Utawala Bora" uliofanyika Clubhouse
#JamiiForums
#JamiiForums
WHO: KUKABILI TISHIO JIPYA LA COVID-19 NI VEMA KILA MMOJA KUCHANJWA
WHO imetoa wito kwa Mataifa tajiri kutohodhi Chanjo na kutatiza usambazaji wake huku ikisisitiza kuacha kutolewa Chanjo za nyongeza ili kupeleka Chanjo kwa Mataifa Masikini
Soma - https://jamii.app/WHOCoronaVacc
#UVIKO3
WHO imetoa wito kwa Mataifa tajiri kutohodhi Chanjo na kutatiza usambazaji wake huku ikisisitiza kuacha kutolewa Chanjo za nyongeza ili kupeleka Chanjo kwa Mataifa Masikini
Soma - https://jamii.app/WHOCoronaVacc
#UVIKO3
RIPOTI: WANAHABARI 293 WAMEFUNGWA MWAKA 2021
Pia, Kamati ya Kutetea Waandishi wa Habari (CPJ) imesema takriban Waandishi wa Habari 24 waliuawa kwa sababu ya kazi yao
Waandishi 50 bado wapo gerezani nchini #China
Soma - https://jamii.app/RipotiCPJ
#PressFreedom #JamiiForums
Pia, Kamati ya Kutetea Waandishi wa Habari (CPJ) imesema takriban Waandishi wa Habari 24 waliuawa kwa sababu ya kazi yao
Waandishi 50 bado wapo gerezani nchini #China
Soma - https://jamii.app/RipotiCPJ
#PressFreedom #JamiiForums
MEXICO: Takriban watu 53 wamefariki dunia na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya lori walilokuwa wakisafirishwa kupata ajali
Mamlaka zinasema zaidi ya watu 100 wanaosemekana kuwa wahamiaji kutoka Amerika ya Kati, walijazwa kwenye lori hilo
Soma - https://jamii.app/53DeadMexico
Mamlaka zinasema zaidi ya watu 100 wanaosemekana kuwa wahamiaji kutoka Amerika ya Kati, walijazwa kwenye lori hilo
Soma - https://jamii.app/53DeadMexico
CHANJO YA COVID-19 HAIKUZUII KUPATA CHANJO NYINGINE
Kituo cha CDC kinasema waliopata Chanjo ya #COVID19 wanaweza kupokea Chanjo za maradhi mengine
Mwitikio wa Chanjo mwilini hautofautiani endapo mtu atapata chanjo ya aina moja au tofauti
Soma https://jamii.app/ChanjoTofauti
#UVIKO3
Kituo cha CDC kinasema waliopata Chanjo ya #COVID19 wanaweza kupokea Chanjo za maradhi mengine
Mwitikio wa Chanjo mwilini hautofautiani endapo mtu atapata chanjo ya aina moja au tofauti
Soma https://jamii.app/ChanjoTofauti
#UVIKO3
MDAU: KUFANYA MAKOSA NI JAMBO LA MUHIMU KWA BINADAMU
Anasema Watu wengi hawana Maendeleo binafsi hususani Kiuchumi kwa kuwa wanaogopa kukosea na kuendelea kufanya mambo yale yale
Kufanya makosa humsaidia Mtu kujitambua, kugundua kipaji chake, kuleta ugunduzi, kutatua changamoto za Maisha, kuleta Mawazo mbadala pamoja na kuboresha Afya ya Ubongo na Akili
Msome - https://jamii.app/FaidaMakosa
#StoriesOfChange
Anasema Watu wengi hawana Maendeleo binafsi hususani Kiuchumi kwa kuwa wanaogopa kukosea na kuendelea kufanya mambo yale yale
Kufanya makosa humsaidia Mtu kujitambua, kugundua kipaji chake, kuleta ugunduzi, kutatua changamoto za Maisha, kuleta Mawazo mbadala pamoja na kuboresha Afya ya Ubongo na Akili
Msome - https://jamii.app/FaidaMakosa
#StoriesOfChange
MGAWANYO WA MAJUKUMU KATI YA MUME NA MKE NDANI YA NDOA
Kifungu cha 63 cha Sheria ya Ndoa kinaweka wajibu kwa Mume kumtunza Mke wake kwa kumpa mahitaji yote muhimu kama Mavazi, Chakula na Malazi kulingana na uwezo wake
Mke pia atakuwa na jukumu hilo tu ikiwa Mume hawezi kutunza Familia kwasababu za ugonjwa hasa wa Kiakili na Ulemavu.
#JamiiForums #16DaysOfActivism
Kifungu cha 63 cha Sheria ya Ndoa kinaweka wajibu kwa Mume kumtunza Mke wake kwa kumpa mahitaji yote muhimu kama Mavazi, Chakula na Malazi kulingana na uwezo wake
Mke pia atakuwa na jukumu hilo tu ikiwa Mume hawezi kutunza Familia kwasababu za ugonjwa hasa wa Kiakili na Ulemavu.
#JamiiForums #16DaysOfActivism
Desemba 10 kila mwaka ni Maadhimisho ya Siku ya #HakiZaBinadamu
Katibu Mkuu wa UN, Antonio Guterres amesema vitisho vipya vimeibuka kwa Haki za Msingi za Binadamu. Mamilioni ya Watoto wanakosa Haki yao ya kupata Elimu. Ukosefu wa Usawa nao unaongezeka
#HumanRightsDay
Katibu Mkuu wa UN, Antonio Guterres amesema vitisho vipya vimeibuka kwa Haki za Msingi za Binadamu. Mamilioni ya Watoto wanakosa Haki yao ya kupata Elimu. Ukosefu wa Usawa nao unaongezeka
#HumanRightsDay
IKULU, DAR: Tanzania na Kenya zimekubaliana masuala mbalimbali ikiwemo kuimarisha Mpaka, kushirikiana kupambana na COVID-19 na kushirikiana kwenye Sekta ya Utalii
Rais Samia ameeleza hayo baada ya Utiaji Saini wa Hati za Makubaliano na Ushirikiano
Soma -https://jamii.app/TZKEMakubaliano
Rais Samia ameeleza hayo baada ya Utiaji Saini wa Hati za Makubaliano na Ushirikiano
Soma -https://jamii.app/TZKEMakubaliano
Upungufu wa Miundombinu ya Shule huathiri ufanisi wa utoaji #Elimu kwa Shule za Sekondari hasa kwa Wanafunzi wa Jinsia ya Kike
Ili kutatua changamoto za upungufu wa Miundombinu zilizoibuliwa na CAG, Wizara ya Fedha kwa kushirikiana na OR-TAMISEMI zinashauriwa kutoa kipaumbele zaidi kwenye upangaji na utoaji wa Bajeti ya Miundombinu
Soma - https://jamii.app/MiundombinuShule
#JFUwajibikaji
Ili kutatua changamoto za upungufu wa Miundombinu zilizoibuliwa na CAG, Wizara ya Fedha kwa kushirikiana na OR-TAMISEMI zinashauriwa kutoa kipaumbele zaidi kwenye upangaji na utoaji wa Bajeti ya Miundombinu
Soma - https://jamii.app/MiundombinuShule
#JFUwajibikaji
MAKABIDHIANO YA VYUMBA VYA MADARASA KUFANYIKA DESEMBA 31
Waziri wa TAMISEMI, Ummy Mwalimu ameongeza siku 15 kwa Halmashauri zote kukamilisha Ujenzi wa Vyumba vya Madarasa
Madarasa yatakabidhiwa Desemba 31, 2021 badala ya Desemba 15 ya awali
Soma - https://jamii.app/MadarasaDec31
Waziri wa TAMISEMI, Ummy Mwalimu ameongeza siku 15 kwa Halmashauri zote kukamilisha Ujenzi wa Vyumba vya Madarasa
Madarasa yatakabidhiwa Desemba 31, 2021 badala ya Desemba 15 ya awali
Soma - https://jamii.app/MadarasaDec31
KENYA: ATOWEKA BAADA YA KUTUMIA PESA YA BOSI WAKE 'KUBET'
Robert M'munoru (20) kutoka Kaunti ya Lamu hajulikani alipo hadi sasa baada ya kutumia pesa za Bosi wake takriban Tsh. Milioni 3.8 kuchezea mchezo wa bahati nasibu na zikaliwa
Robert ambaye ametoweka tangu November 28, 2021 ameacha ujumbe Dukani kwa Bosi wake na alikwenda Kituo cha Polisi kukiri kutumia Fedha hizo na kuomba Bosi apewe shamba lake lililopo Meru kama fidia
Soma - https://jamii.app/FedhaBosiBet
Robert M'munoru (20) kutoka Kaunti ya Lamu hajulikani alipo hadi sasa baada ya kutumia pesa za Bosi wake takriban Tsh. Milioni 3.8 kuchezea mchezo wa bahati nasibu na zikaliwa
Robert ambaye ametoweka tangu November 28, 2021 ameacha ujumbe Dukani kwa Bosi wake na alikwenda Kituo cha Polisi kukiri kutumia Fedha hizo na kuomba Bosi apewe shamba lake lililopo Meru kama fidia
Soma - https://jamii.app/FedhaBosiBet
GHANA YAPIGA MARUFUKU WASAFIRI WASIOPATA CHANJO
Raia walio nje watatakiwa kupata Chanjo watakapotua. Raia wanaosafiri nje ya nchi lazima wachanjwe
Mamlaka zimechukua hatua hiyo kutokana na wasiwasi maambukizi yataongezeka wakati wa sikukuu
Soma - https://jamii.app/ChanjoGhana
#UVIKO3
Raia walio nje watatakiwa kupata Chanjo watakapotua. Raia wanaosafiri nje ya nchi lazima wachanjwe
Mamlaka zimechukua hatua hiyo kutokana na wasiwasi maambukizi yataongezeka wakati wa sikukuu
Soma - https://jamii.app/ChanjoGhana
#UVIKO3
KENYA: RAILA ODINGA ATANGAZA KUWANIA NAFASI YA URAIS UCHAGUZI 2022
Kiongozi wa ODM ameahidi Serikali yake itatenga Ksh. bilioni 2 za kuwapa Vijana kila Mwaka
Pia, kila Mkenya atakuwa na Bima ya Afya huku Serikali ikiwalipia wasiojiweza
Soma - https://jamii.app/OdingaPres2022
#Democracy
Kiongozi wa ODM ameahidi Serikali yake itatenga Ksh. bilioni 2 za kuwapa Vijana kila Mwaka
Pia, kila Mkenya atakuwa na Bima ya Afya huku Serikali ikiwalipia wasiojiweza
Soma - https://jamii.app/OdingaPres2022
#Democracy
KARIAKOO DERBY: SIMBA NA YANGA KUVAANA KWA MKAPA
Watani wa jadi katika soka la Tanzania, Klabu za Simba na Yanga zitapimana ubavu leo katika mchezo wa Ligi ya NBC utakaochezwa majira ya saa 11:00 jioni
Yanga inaongoza Ligi ikiwa na alama 19 huku Simba ikiwa na alama 17 katika nafasi ya pili na timu zote zikiwa zimecheza michezo 7
Je, Simba itafanikiwa kuishusha Yanga kileleni?
#JamiiForums #KariakooDerby
Watani wa jadi katika soka la Tanzania, Klabu za Simba na Yanga zitapimana ubavu leo katika mchezo wa Ligi ya NBC utakaochezwa majira ya saa 11:00 jioni
Yanga inaongoza Ligi ikiwa na alama 19 huku Simba ikiwa na alama 17 katika nafasi ya pili na timu zote zikiwa zimecheza michezo 7
Je, Simba itafanikiwa kuishusha Yanga kileleni?
#JamiiForums #KariakooDerby
UJERUMANI: Bunge limepiga kura kuifanya Chanjo dhidi ya Virusi vya Corona kuwa sharti la kisheria kwa Wafanyakazi wa Sekta ya Afya kuanzia Machi 2022
Wafanyakazi wa Hospitali na ktk Vituo vya Wazee watalazimika kuthibitisha wamepata Chanjo
Soma - https://jamii.app/VaccHealthStaffGerm
#UVIKO3
Wafanyakazi wa Hospitali na ktk Vituo vya Wazee watalazimika kuthibitisha wamepata Chanjo
Soma - https://jamii.app/VaccHealthStaffGerm
#UVIKO3