Tukifurahia Miaka 60 ya Uhuru wa #Tanganyika ni kwa kiwango gani tumeweza kuitumia mifumo ya Digitali katika kusimamia Haki za Binadamu, Demokrasia na Utawala Bora?
Ungana nasi katika Mjadala huu kuanzia saa 12 kamili kupitia Clubhouse
Link - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/apMXkmgH/xerKXO6Y
Ungana nasi katika Mjadala huu kuanzia saa 12 kamili kupitia Clubhouse
Link - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/apMXkmgH/xerKXO6Y
KARIBU TUJADILI, TUELIMISHANE NA KUTOA HOJA ZETU
- JamiiForums inaendesha mjadala unaoendelea sasa kupitia Clubhouse kuhusu βMiaka 60 ya Uhuru na Mchango wa Digitaliβ
- Ungana nasi, tujadili, tuwasiliane na kuelimishana kuhusu mada hiyo kwa kupitia ; https://www.clubhouse.com/room/PA0oo9ge
#JamiiForums
- JamiiForums inaendesha mjadala unaoendelea sasa kupitia Clubhouse kuhusu βMiaka 60 ya Uhuru na Mchango wa Digitaliβ
- Ungana nasi, tujadili, tuwasiliane na kuelimishana kuhusu mada hiyo kwa kupitia ; https://www.clubhouse.com/room/PA0oo9ge
#JamiiForums
Clubhouse
Miaka 60 ya Uhuru na Mchango wa Digitali - JamiiForums
With Maxence Melo, Aikande Kwayu, Zitto Kabwe, BM-TZ, Sultan Sultan, and 510 others, hosted by JamiiForums.
Yanayojiri katika Mjadala wa "Miaka 60 Ya Uhuru: Mchango wa Digitali katika Uhuru wa Kujieleza, Demokrasia na Utawala Bora" kupitia Clubhouse
Ungana Nasi - https://www.clubhouse.com/room/PA0oo9ge
Ungana Nasi - https://www.clubhouse.com/room/PA0oo9ge
Yanayojiri katika Mjadala wa "Miaka 60 Ya Uhuru: Mchango wa Digitali katika Uhuru wa Kujieleza, Demokrasia na Utawala Bora" kupitia Clubhouse
Ungana Nasi - https://www.clubhouse.com/room/PA0oo9ge
Ungana Nasi - https://www.clubhouse.com/room/PA0oo9ge
Maoni kadhaa yaliyotolewa katika Mjadala wa "Miaka 60 Ya Uhuru: Mchango wa Digitali katika Uhuru wa Kujieleza, Demokrasia na Utawala Bora" uliofanyika Clubhouse
#JamiiForums
#JamiiForums
WHO: KUKABILI TISHIO JIPYA LA COVID-19 NI VEMA KILA MMOJA KUCHANJWA
WHO imetoa wito kwa Mataifa tajiri kutohodhi Chanjo na kutatiza usambazaji wake huku ikisisitiza kuacha kutolewa Chanjo za nyongeza ili kupeleka Chanjo kwa Mataifa Masikini
Soma - https://jamii.app/WHOCoronaVacc
#UVIKO3
WHO imetoa wito kwa Mataifa tajiri kutohodhi Chanjo na kutatiza usambazaji wake huku ikisisitiza kuacha kutolewa Chanjo za nyongeza ili kupeleka Chanjo kwa Mataifa Masikini
Soma - https://jamii.app/WHOCoronaVacc
#UVIKO3
RIPOTI: WANAHABARI 293 WAMEFUNGWA MWAKA 2021
Pia, Kamati ya Kutetea Waandishi wa Habari (CPJ) imesema takriban Waandishi wa Habari 24 waliuawa kwa sababu ya kazi yao
Waandishi 50 bado wapo gerezani nchini #China
Soma - https://jamii.app/RipotiCPJ
#PressFreedom #JamiiForums
Pia, Kamati ya Kutetea Waandishi wa Habari (CPJ) imesema takriban Waandishi wa Habari 24 waliuawa kwa sababu ya kazi yao
Waandishi 50 bado wapo gerezani nchini #China
Soma - https://jamii.app/RipotiCPJ
#PressFreedom #JamiiForums
MEXICO: Takriban watu 53 wamefariki dunia na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya lori walilokuwa wakisafirishwa kupata ajali
Mamlaka zinasema zaidi ya watu 100 wanaosemekana kuwa wahamiaji kutoka Amerika ya Kati, walijazwa kwenye lori hilo
Soma - https://jamii.app/53DeadMexico
Mamlaka zinasema zaidi ya watu 100 wanaosemekana kuwa wahamiaji kutoka Amerika ya Kati, walijazwa kwenye lori hilo
Soma - https://jamii.app/53DeadMexico
CHANJO YA COVID-19 HAIKUZUII KUPATA CHANJO NYINGINE
Kituo cha CDC kinasema waliopata Chanjo ya #COVID19 wanaweza kupokea Chanjo za maradhi mengine
Mwitikio wa Chanjo mwilini hautofautiani endapo mtu atapata chanjo ya aina moja au tofauti
Soma https://jamii.app/ChanjoTofauti
#UVIKO3
Kituo cha CDC kinasema waliopata Chanjo ya #COVID19 wanaweza kupokea Chanjo za maradhi mengine
Mwitikio wa Chanjo mwilini hautofautiani endapo mtu atapata chanjo ya aina moja au tofauti
Soma https://jamii.app/ChanjoTofauti
#UVIKO3