Katika siku za karibuni mitandao ya kijamii na Mifumo ya Kidijitali imekuwa maeneo muhimu kwa Jamii ya Tanzania kutumia #UhuruWaKujieleza na kupigania haki zao nyingine
Tukifurahia Miaka 60 ya Uhuru wa #Tanganyika ni kwa kiwango gani tumeweza kuitumia mifumo ya Digitali katika kusimamia Haki za Binadamu, Demokrasia na Utawala Bora?
Ungana nasi katika Mjadala huu utakaofanyika kupitia Clubhouse Desemba 9, 2021
#JamiiForums #DigitalSpaces #Democracy
Tukifurahia Miaka 60 ya Uhuru wa #Tanganyika ni kwa kiwango gani tumeweza kuitumia mifumo ya Digitali katika kusimamia Haki za Binadamu, Demokrasia na Utawala Bora?
Ungana nasi katika Mjadala huu utakaofanyika kupitia Clubhouse Desemba 9, 2021
#JamiiForums #DigitalSpaces #Democracy
MAADHIMISHO YA MIAKA 60 YA UHURU WA TANGANYIKA
Tanganyika ilipata Uhuru wake kutoka kwa Waingereza Desemba 09, 1961. Harakati za Uhuru ziliongozwa na Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Nyerere
Miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania Bara imetajwa kuchangia kuleta mafanikio mbalimbali yakiwemo; Kujenga Umoja wa Kitaifa, Kuimarisha Uchumi, kuboresha Huduma za Kijamii na kuimarisha Demokrasia na Utawala wa Sheria
Unazungumziaje miaka 60 ya Uhuru wa Tanganyika?
#Miaka60YaUhuru #Tanzania60
Tanganyika ilipata Uhuru wake kutoka kwa Waingereza Desemba 09, 1961. Harakati za Uhuru ziliongozwa na Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Nyerere
Miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania Bara imetajwa kuchangia kuleta mafanikio mbalimbali yakiwemo; Kujenga Umoja wa Kitaifa, Kuimarisha Uchumi, kuboresha Huduma za Kijamii na kuimarisha Demokrasia na Utawala wa Sheria
Unazungumziaje miaka 60 ya Uhuru wa Tanganyika?
#Miaka60YaUhuru #Tanzania60
Katika siku za karibuni mitandao ya kijamii na Mifumo ya Kidijitali imekuwa maeneo muhimu kwa Jamii ya Tanzania kutumia #UhuruWaKujieleza na kupigania haki zao nyingine
Tukifurahia Miaka 60 ya Uhuru wa #Tanganyika ni kwa kiwango gani tumeweza kuitumia mifumo ya Digitali katika kusimamia Haki za Binadamu, Demokrasia na Utawala Bora?
Ungana nasi katika Mjadala huu utakaofanyika kupitia Clubhouse Desemba 9, 2021
#JamiiForums #DigitalSpaces #Democracy
Tukifurahia Miaka 60 ya Uhuru wa #Tanganyika ni kwa kiwango gani tumeweza kuitumia mifumo ya Digitali katika kusimamia Haki za Binadamu, Demokrasia na Utawala Bora?
Ungana nasi katika Mjadala huu utakaofanyika kupitia Clubhouse Desemba 9, 2021
#JamiiForums #DigitalSpaces #Democracy
Matukio Katika Picha: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwaongoza Viongozi wa Kitaifa na Kimataifa pamoja na Wananchi katika Maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania Bara yanayofanyika katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam
#Miaka60YaUhuru
#Miaka60YaUhuru
MIAKA 60 YA UHURU WA TANGANYIKA
Desemba 9, 1961 mambo makubwa mawili yalifanyika kama sehemu ya maadhimisho ya Uhuru wa #Tanganyika; Kushusha Bendera ya Mkoloni na kupandisha ya Taifa huru pamoja na Mwenge wa Uhuru kwenye kilele cha Mlima #Kilimanjaro
Tukio la kupandisha Bendera lilifanyika katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam, Uwanja uliojengwa mahsusi kwa ajili ya sherehe za uhuru na umuhimu wake ulikuwa kuonesha kuondoka kwa Mkoloni
#Miaka60YaUhuru #JamiiForums #Tanzania60
Desemba 9, 1961 mambo makubwa mawili yalifanyika kama sehemu ya maadhimisho ya Uhuru wa #Tanganyika; Kushusha Bendera ya Mkoloni na kupandisha ya Taifa huru pamoja na Mwenge wa Uhuru kwenye kilele cha Mlima #Kilimanjaro
Tukio la kupandisha Bendera lilifanyika katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam, Uwanja uliojengwa mahsusi kwa ajili ya sherehe za uhuru na umuhimu wake ulikuwa kuonesha kuondoka kwa Mkoloni
#Miaka60YaUhuru #JamiiForums #Tanzania60
Katika siku za karibuni mitandao ya kijamii na Mifumo ya Kidijitali imekuwa maeneo muhimu kwa Jamii ya Tanzania kutumia #UhuruWaKujieleza na kupigania haki zao nyingine
Tukifurahia Miaka 60 ya Uhuru wa #Tanganyika ni kwa kiwango gani tumeweza kuitumia mifumo ya Digitali katika kusimamia Haki za Binadamu, Demokrasia na Utawala Bora?
Ungana nasi katika Mjadala huu utakaofanyika kupitia Clubhouse Desemba 9, 2021
#JamiiForums #DigitalSpaces #Democracy
Tukifurahia Miaka 60 ya Uhuru wa #Tanganyika ni kwa kiwango gani tumeweza kuitumia mifumo ya Digitali katika kusimamia Haki za Binadamu, Demokrasia na Utawala Bora?
Ungana nasi katika Mjadala huu utakaofanyika kupitia Clubhouse Desemba 9, 2021
#JamiiForums #DigitalSpaces #Democracy
Tukifurahia Miaka 60 ya Uhuru wa #Tanganyika ni kwa kiwango gani tumeweza kuitumia mifumo ya Digitali katika kusimamia Haki za Binadamu, Demokrasia na Utawala Bora?
Ungana nasi katika Mjadala huu kuanzia saa 12 kamili kupitia Clubhouse
Link - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/apMXkmgH/xerKXO6Y
Ungana nasi katika Mjadala huu kuanzia saa 12 kamili kupitia Clubhouse
Link - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/apMXkmgH/xerKXO6Y
KARIBU TUJADILI, TUELIMISHANE NA KUTOA HOJA ZETU
- JamiiForums inaendesha mjadala unaoendelea sasa kupitia Clubhouse kuhusu βMiaka 60 ya Uhuru na Mchango wa Digitaliβ
- Ungana nasi, tujadili, tuwasiliane na kuelimishana kuhusu mada hiyo kwa kupitia ; https://www.clubhouse.com/room/PA0oo9ge
#JamiiForums
- JamiiForums inaendesha mjadala unaoendelea sasa kupitia Clubhouse kuhusu βMiaka 60 ya Uhuru na Mchango wa Digitaliβ
- Ungana nasi, tujadili, tuwasiliane na kuelimishana kuhusu mada hiyo kwa kupitia ; https://www.clubhouse.com/room/PA0oo9ge
#JamiiForums
Clubhouse
Miaka 60 ya Uhuru na Mchango wa Digitali - JamiiForums
With Maxence Melo, Aikande Kwayu, Zitto Kabwe, BM-TZ, Sultan Sultan, and 510 others, hosted by JamiiForums.
Yanayojiri katika Mjadala wa "Miaka 60 Ya Uhuru: Mchango wa Digitali katika Uhuru wa Kujieleza, Demokrasia na Utawala Bora" kupitia Clubhouse
Ungana Nasi - https://www.clubhouse.com/room/PA0oo9ge
Ungana Nasi - https://www.clubhouse.com/room/PA0oo9ge
Yanayojiri katika Mjadala wa "Miaka 60 Ya Uhuru: Mchango wa Digitali katika Uhuru wa Kujieleza, Demokrasia na Utawala Bora" kupitia Clubhouse
Ungana Nasi - https://www.clubhouse.com/room/PA0oo9ge
Ungana Nasi - https://www.clubhouse.com/room/PA0oo9ge