KUELEKEA MIAKA 60 YA UHURU: RAIS SAMIA AHUTUBIA TAIFA
- Rais Samia Suluhu Hassan anahutubia Taifa kuelekea maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru wa Tanganyika (Tanzania Bara)
- Tanganyika ilipata Uhuru kutoka kwa Uingereza mnamo Desemba 09, 1961
Fuatilia: https://jamii.app/SamiaHotuba-Dec21
- Rais Samia Suluhu Hassan anahutubia Taifa kuelekea maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru wa Tanganyika (Tanzania Bara)
- Tanganyika ilipata Uhuru kutoka kwa Uingereza mnamo Desemba 09, 1961
Fuatilia: https://jamii.app/SamiaHotuba-Dec21
JamiiForums
LIVE - Hotuba ya Rais Samia Suluhu kwa Taifa kuelekea miaka 60 ya...
Kuelekea Miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akilihutubia Taifa leo tarehe 08 Desemba, 2021, Ikulu Jijini Dar es Salaam
Rais Samia Suluhu Hassan katika kipindi cha miaka 60, Tanzania imefanikiwa kujenga Uchumi hadi kufikia Nchi ya Uchumi wa Kati wa Chini mapema kuliko ilivyokadiriwa kwenye Malengo ya Dira ya Taifa
Asema, "Wastani wa Pato kwa Mtu kwa mwaka 1961 lilikuwa Tsh. 776 na kwa mwaka jana 2020 ni Tsh. 2,653,790"
Soma - https://jamii.app/SamiaHotuba-Dec21
Asema, "Wastani wa Pato kwa Mtu kwa mwaka 1961 lilikuwa Tsh. 776 na kwa mwaka jana 2020 ni Tsh. 2,653,790"
Soma - https://jamii.app/SamiaHotuba-Dec21
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania imepiga hatua kubwa kwenye Miundombinu ya Umeme, akieleza kuwa kabla ya Uhuru Nchi ilikuwa na uwezo wa kuzalisha Megawati 17.5 za Umeme lakini sasa ni Megawati 1,909
Amesema, "Lengo letu ni kuendelea kuongeza uzalishaji wa umeme ili kuendana na malengo ya kugeuza Tanzania kuwa Nchi ya Viwanda"
Soma - https://jamii.app/SamiaHotuba-Dec21
#Miaka60YaUhuru
Amesema, "Lengo letu ni kuendelea kuongeza uzalishaji wa umeme ili kuendana na malengo ya kugeuza Tanzania kuwa Nchi ya Viwanda"
Soma - https://jamii.app/SamiaHotuba-Dec21
#Miaka60YaUhuru
AFYA: Rais Samia Suluhu Hassan amesema mwaka 1961 kulikuwa na Hospitali 113, Vituo vya Afya 22 na Zahanati 1,188. Hivi sasa Nchi ina jumla ya Zahanati 7,163, Vituo vya Afya 929 na Hospitali 369
Asema, "Tunaendelea kuboresha sekta hii kwa kuhakikisha tunaajiri Madaktari wengi zaidi ili tuweze kufikia viwango vya WHO"
Soma - https://jamii.app/SamiaHotuba-Dec21
#Miaka60YaUhuru
Asema, "Tunaendelea kuboresha sekta hii kwa kuhakikisha tunaajiri Madaktari wengi zaidi ili tuweze kufikia viwango vya WHO"
Soma - https://jamii.app/SamiaHotuba-Dec21
#Miaka60YaUhuru
RAIS SAMIA: TUNA MFUMO BORA WA KUWEKA VIONGOZI MADARAKANI
Amesema sote ni mashahidi Tanzania imekuwa na Mfumo bora wa kuweka Viongozi madarakani unaoheshimiwa na imara kupitia Chaguzi zinazofanyika kila baada ya miaka mitano
Ameeleza, "Wananchi wamekuwa wakitekeleza Haki yao ya msingi ya kikatiba ya kuchagua viongozi wanaowataka"
Soma - https://jamii.app/SamiaHotuba-Dec21
#Miaka60YaUhuru
Amesema sote ni mashahidi Tanzania imekuwa na Mfumo bora wa kuweka Viongozi madarakani unaoheshimiwa na imara kupitia Chaguzi zinazofanyika kila baada ya miaka mitano
Ameeleza, "Wananchi wamekuwa wakitekeleza Haki yao ya msingi ya kikatiba ya kuchagua viongozi wanaowataka"
Soma - https://jamii.app/SamiaHotuba-Dec21
#Miaka60YaUhuru
Katika siku za karibuni mitandao ya kijamii na Mifumo ya Kidijitali imekuwa maeneo muhimu kwa Jamii ya Tanzania kutumia #UhuruWaKujieleza na kupigania haki zao nyingine
Tukifurahia Miaka 60 ya Uhuru wa #Tanganyika ni kwa kiwango gani tumeweza kuitumia mifumo ya Digitali katika kusimamia Haki za Binadamu, Demokrasia na Utawala Bora?
Ungana nasi katika Mjadala huu utakaofanyika kupitia Clubhouse Desemba 9, 2021
#JamiiForums #DigitalSpaces #Democracy
Tukifurahia Miaka 60 ya Uhuru wa #Tanganyika ni kwa kiwango gani tumeweza kuitumia mifumo ya Digitali katika kusimamia Haki za Binadamu, Demokrasia na Utawala Bora?
Ungana nasi katika Mjadala huu utakaofanyika kupitia Clubhouse Desemba 9, 2021
#JamiiForums #DigitalSpaces #Democracy
MAADHIMISHO YA MIAKA 60 YA UHURU WA TANGANYIKA
Tanganyika ilipata Uhuru wake kutoka kwa Waingereza Desemba 09, 1961. Harakati za Uhuru ziliongozwa na Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Nyerere
Miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania Bara imetajwa kuchangia kuleta mafanikio mbalimbali yakiwemo; Kujenga Umoja wa Kitaifa, Kuimarisha Uchumi, kuboresha Huduma za Kijamii na kuimarisha Demokrasia na Utawala wa Sheria
Unazungumziaje miaka 60 ya Uhuru wa Tanganyika?
#Miaka60YaUhuru #Tanzania60
Tanganyika ilipata Uhuru wake kutoka kwa Waingereza Desemba 09, 1961. Harakati za Uhuru ziliongozwa na Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Nyerere
Miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania Bara imetajwa kuchangia kuleta mafanikio mbalimbali yakiwemo; Kujenga Umoja wa Kitaifa, Kuimarisha Uchumi, kuboresha Huduma za Kijamii na kuimarisha Demokrasia na Utawala wa Sheria
Unazungumziaje miaka 60 ya Uhuru wa Tanganyika?
#Miaka60YaUhuru #Tanzania60
Katika siku za karibuni mitandao ya kijamii na Mifumo ya Kidijitali imekuwa maeneo muhimu kwa Jamii ya Tanzania kutumia #UhuruWaKujieleza na kupigania haki zao nyingine
Tukifurahia Miaka 60 ya Uhuru wa #Tanganyika ni kwa kiwango gani tumeweza kuitumia mifumo ya Digitali katika kusimamia Haki za Binadamu, Demokrasia na Utawala Bora?
Ungana nasi katika Mjadala huu utakaofanyika kupitia Clubhouse Desemba 9, 2021
#JamiiForums #DigitalSpaces #Democracy
Tukifurahia Miaka 60 ya Uhuru wa #Tanganyika ni kwa kiwango gani tumeweza kuitumia mifumo ya Digitali katika kusimamia Haki za Binadamu, Demokrasia na Utawala Bora?
Ungana nasi katika Mjadala huu utakaofanyika kupitia Clubhouse Desemba 9, 2021
#JamiiForums #DigitalSpaces #Democracy
Matukio Katika Picha: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwaongoza Viongozi wa Kitaifa na Kimataifa pamoja na Wananchi katika Maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania Bara yanayofanyika katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam
#Miaka60YaUhuru
#Miaka60YaUhuru
MIAKA 60 YA UHURU WA TANGANYIKA
Desemba 9, 1961 mambo makubwa mawili yalifanyika kama sehemu ya maadhimisho ya Uhuru wa #Tanganyika; Kushusha Bendera ya Mkoloni na kupandisha ya Taifa huru pamoja na Mwenge wa Uhuru kwenye kilele cha Mlima #Kilimanjaro
Tukio la kupandisha Bendera lilifanyika katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam, Uwanja uliojengwa mahsusi kwa ajili ya sherehe za uhuru na umuhimu wake ulikuwa kuonesha kuondoka kwa Mkoloni
#Miaka60YaUhuru #JamiiForums #Tanzania60
Desemba 9, 1961 mambo makubwa mawili yalifanyika kama sehemu ya maadhimisho ya Uhuru wa #Tanganyika; Kushusha Bendera ya Mkoloni na kupandisha ya Taifa huru pamoja na Mwenge wa Uhuru kwenye kilele cha Mlima #Kilimanjaro
Tukio la kupandisha Bendera lilifanyika katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam, Uwanja uliojengwa mahsusi kwa ajili ya sherehe za uhuru na umuhimu wake ulikuwa kuonesha kuondoka kwa Mkoloni
#Miaka60YaUhuru #JamiiForums #Tanzania60
Katika siku za karibuni mitandao ya kijamii na Mifumo ya Kidijitali imekuwa maeneo muhimu kwa Jamii ya Tanzania kutumia #UhuruWaKujieleza na kupigania haki zao nyingine
Tukifurahia Miaka 60 ya Uhuru wa #Tanganyika ni kwa kiwango gani tumeweza kuitumia mifumo ya Digitali katika kusimamia Haki za Binadamu, Demokrasia na Utawala Bora?
Ungana nasi katika Mjadala huu utakaofanyika kupitia Clubhouse Desemba 9, 2021
#JamiiForums #DigitalSpaces #Democracy
Tukifurahia Miaka 60 ya Uhuru wa #Tanganyika ni kwa kiwango gani tumeweza kuitumia mifumo ya Digitali katika kusimamia Haki za Binadamu, Demokrasia na Utawala Bora?
Ungana nasi katika Mjadala huu utakaofanyika kupitia Clubhouse Desemba 9, 2021
#JamiiForums #DigitalSpaces #Democracy
Tukifurahia Miaka 60 ya Uhuru wa #Tanganyika ni kwa kiwango gani tumeweza kuitumia mifumo ya Digitali katika kusimamia Haki za Binadamu, Demokrasia na Utawala Bora?
Ungana nasi katika Mjadala huu kuanzia saa 12 kamili kupitia Clubhouse
Link - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/apMXkmgH/xerKXO6Y
Ungana nasi katika Mjadala huu kuanzia saa 12 kamili kupitia Clubhouse
Link - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/apMXkmgH/xerKXO6Y
KARIBU TUJADILI, TUELIMISHANE NA KUTOA HOJA ZETU
- JamiiForums inaendesha mjadala unaoendelea sasa kupitia Clubhouse kuhusu βMiaka 60 ya Uhuru na Mchango wa Digitaliβ
- Ungana nasi, tujadili, tuwasiliane na kuelimishana kuhusu mada hiyo kwa kupitia ; https://www.clubhouse.com/room/PA0oo9ge
#JamiiForums
- JamiiForums inaendesha mjadala unaoendelea sasa kupitia Clubhouse kuhusu βMiaka 60 ya Uhuru na Mchango wa Digitaliβ
- Ungana nasi, tujadili, tuwasiliane na kuelimishana kuhusu mada hiyo kwa kupitia ; https://www.clubhouse.com/room/PA0oo9ge
#JamiiForums
Clubhouse
Miaka 60 ya Uhuru na Mchango wa Digitali - JamiiForums
With Maxence Melo, Aikande Kwayu, Zitto Kabwe, BM-TZ, Sultan Sultan, and 510 others, hosted by JamiiForums.
Yanayojiri katika Mjadala wa "Miaka 60 Ya Uhuru: Mchango wa Digitali katika Uhuru wa Kujieleza, Demokrasia na Utawala Bora" kupitia Clubhouse
Ungana Nasi - https://www.clubhouse.com/room/PA0oo9ge
Ungana Nasi - https://www.clubhouse.com/room/PA0oo9ge