Kushiriki Mjadala Bonyeza - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/S1hdad7O/MwrAaJ4e
#JamiiForums #Elimu
#JamiiForums #Elimu
Maoni ya wadau mbalimbali katika Mjadala wa "Wanafunzi kuendelea na Masomo wakati wa Likizo" unaoendelea Clubhouse
#JamiiForums
#JamiiForums
Baadhi ya masuala aliyozungumza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Ummy Mwalimu katika Mjadala uliofanyika kupitia Clubhouse
#JamiiForums
#JamiiForums
MALEZI: ULINZI NI MUHIMU KWA WATOTO
Familia ndicho chanzo cha kwanza cha Ulinzi wa Mtoto. Wazazi/Walezi wana jukumu la kutengeneza mazingira ya Nyumbani ambayo ni salama na yenye upendo
Shule na Jamii zina jukumu la kutengeneza mazingira ya nje ya Nyumbani ambayo ni salama na rafiki kwa Mtoto
Soma - https://jamii.app/UlinziWatoto
#ChildSafety
Familia ndicho chanzo cha kwanza cha Ulinzi wa Mtoto. Wazazi/Walezi wana jukumu la kutengeneza mazingira ya Nyumbani ambayo ni salama na yenye upendo
Shule na Jamii zina jukumu la kutengeneza mazingira ya nje ya Nyumbani ambayo ni salama na rafiki kwa Mtoto
Soma - https://jamii.app/UlinziWatoto
#ChildSafety
GAVI YATOA DOLA MILIONI 115.7 KWA AJILI YA CHANJO YA MALARIA AFRIKA
Muungano wa Chanjo Ulimwenguni, Gavi umeidhinisha Fedha hizo kwa utoaji Chanjo kwa Watoto Kusini mwa Jangwa la Sahara
Chanjo ya kwanza ya Malaria iliidhinishwa na WHO Oktoba 2021
Soma - https://jamii.app/MalariaChanjo
Muungano wa Chanjo Ulimwenguni, Gavi umeidhinisha Fedha hizo kwa utoaji Chanjo kwa Watoto Kusini mwa Jangwa la Sahara
Chanjo ya kwanza ya Malaria iliidhinishwa na WHO Oktoba 2021
Soma - https://jamii.app/MalariaChanjo
MAENEO HATARISHI KWA RUSHWA YA NGONO
1. Sehemu za Kazi: Rushwa ya Ngono kazini ni pamoja na waajiri kutoa ajira kwa Wanawake na faida nyingine kama vile kupandishwa cheo, nyongeza ya mshahara, siku za kupumzika kwa kubalishana na Ngono
2. Ofisi za Umma: Ofisi zinazotoa huduma mbalimbali za Usajili wa Vyeti, utoaji wa Leseni, Vitambulisho, Pasi za Kusafiria nk. Baadhi ya watumishi wanaweza kuomba Rushwa ya Ngono kwa kubadilishana na upatikanaji wa haraka wa nyaraka hizo
Soma - https://jamii.app/HatariRushwaNgono
#16DaysofActivism2021
1. Sehemu za Kazi: Rushwa ya Ngono kazini ni pamoja na waajiri kutoa ajira kwa Wanawake na faida nyingine kama vile kupandishwa cheo, nyongeza ya mshahara, siku za kupumzika kwa kubalishana na Ngono
2. Ofisi za Umma: Ofisi zinazotoa huduma mbalimbali za Usajili wa Vyeti, utoaji wa Leseni, Vitambulisho, Pasi za Kusafiria nk. Baadhi ya watumishi wanaweza kuomba Rushwa ya Ngono kwa kubadilishana na upatikanaji wa haraka wa nyaraka hizo
Soma - https://jamii.app/HatariRushwaNgono
#16DaysofActivism2021
UJERUMANI: Ili kupambana na aina mpya ya Kirusi cha #Omicron, Kansela Angela Merkel amesema watakaoruhusiwa kuingia katika migahawa na maeneo ya starehe ni waliopata Chanjo tu
Amesema Chanjo zinaweza kuwa lazima ifikapo Februari 2022
Soma - https://jamii.app/ChanjoLazima
#UVIKO3
Amesema Chanjo zinaweza kuwa lazima ifikapo Februari 2022
Soma - https://jamii.app/ChanjoLazima
#UVIKO3
KAGERA: MTOTO WA SIKU MBILI ATUPWA CHOONI
Jeshi la Polisi linachunguza kumbaini Mama wa Mtoto wa Kiume aliyeokotwa eneo la Lukajage, Kata ya Bugene Wilayani Karagwe ili achukuliwe hatua
Mtoto yupo Hospitali ya Kayanga akiendelea na matibabu
Soma - https://jamii.app/KichangaChooni
Jeshi la Polisi linachunguza kumbaini Mama wa Mtoto wa Kiume aliyeokotwa eneo la Lukajage, Kata ya Bugene Wilayani Karagwe ili achukuliwe hatua
Mtoto yupo Hospitali ya Kayanga akiendelea na matibabu
Soma - https://jamii.app/KichangaChooni
SIKU YA WATU WENYE ULEMAVU DUNIANI
Inakadiriwa katika Watu Bilioni 1 wenye Ulemavu Duniani, asilimia 80 wanaishi kwenye Nchi zinazoendelea. Watu wenye Ulemavu ni miongoni mwa makundi yaliyoathiriwa zaidi na #COVID19
Takriban asilimia 46 ya Wazee kuanzia miaka 60 na kuendelea wana Ulemavu. Mwanamke 1 kati ya 5 Duniani ana uwezekano wa kupata Ulemavu, na Mtoto 1 kati ya 10 ana Ulemavu.
#JamiiForums #DisabilitiesDay #InternationalDayOfPeopleWithDisability
Inakadiriwa katika Watu Bilioni 1 wenye Ulemavu Duniani, asilimia 80 wanaishi kwenye Nchi zinazoendelea. Watu wenye Ulemavu ni miongoni mwa makundi yaliyoathiriwa zaidi na #COVID19
Takriban asilimia 46 ya Wazee kuanzia miaka 60 na kuendelea wana Ulemavu. Mwanamke 1 kati ya 5 Duniani ana uwezekano wa kupata Ulemavu, na Mtoto 1 kati ya 10 ana Ulemavu.
#JamiiForums #DisabilitiesDay #InternationalDayOfPeopleWithDisability
MDAU: MAMBO YA KUZINGATIA KABLA YA KUFANYA KILIMO CHA BIASHARA
1. Utayari wa kuingia kwenye Kilimo: Maamuzi yako yatokane na uchaguzi wako baada ya kuona Kilimo kitaboresha kipato chako
2. Uchaguzi wa Kilimo kinachokufaa: Chagua kitu ambacho utakuwa tayari kukifanya bila kupata pingamizi la utayari
3. Panga Bajeti kabla ya kuanza Kilimo: Yakupasa ufanye utafiti na kutafuta ushauri wa gharama za Kilimo ulichokichagua
Soma - https://jamii.app/KilimoBiashara
#JFLeo
1. Utayari wa kuingia kwenye Kilimo: Maamuzi yako yatokane na uchaguzi wako baada ya kuona Kilimo kitaboresha kipato chako
2. Uchaguzi wa Kilimo kinachokufaa: Chagua kitu ambacho utakuwa tayari kukifanya bila kupata pingamizi la utayari
3. Panga Bajeti kabla ya kuanza Kilimo: Yakupasa ufanye utafiti na kutafuta ushauri wa gharama za Kilimo ulichokichagua
Soma - https://jamii.app/KilimoBiashara
#JFLeo
RAIS SAMIA AKEMEA URASIMU KWENYE KUTOA VIBALI VYA UWEKEZAJI
Asema kuna kasumba ya Kituo Cha Uwekezaji (TIC) kutoa kipaumbele kwa wawekezaji wa nje na kuweka urasimu mwingi kwa wawekezaji wa ndani, hali inayochelewesha Ajira na Kodi ya Serikali
Soma - https://jamii.app/UrasimuTIC
Asema kuna kasumba ya Kituo Cha Uwekezaji (TIC) kutoa kipaumbele kwa wawekezaji wa nje na kuweka urasimu mwingi kwa wawekezaji wa ndani, hali inayochelewesha Ajira na Kodi ya Serikali
Soma - https://jamii.app/UrasimuTIC