#COVID19: Mataifa kadhaa yakiwemo Singapore, Ufaransa, Kenya na Japan yameanza kuchukua hatua baada ya Afrika Kusini kuripoti aina mpya ya Kirusi cha Corona
WHO yasema itachukua wiki kadhaa kuelewa madhara ya Kirusi cha B.1.1.529
Soma - https://jamii.app/NewVariantSA
#UVIKO3
WHO yasema itachukua wiki kadhaa kuelewa madhara ya Kirusi cha B.1.1.529
Soma - https://jamii.app/NewVariantSA
#UVIKO3
RAIS MUSEVENI KUFANYA ZIARA YA KIKAZI TANZANIA
Rais wa Uganda na Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan watafanya mazungumzo na kushiriki ufunguzi wa kongamano la biashara
Rais Museveni atatembelea Bandari ya Dar na kukagua mradi unaoendelea wa SGR
Soma https://jamii.app/ZiaraMuseveni
Rais wa Uganda na Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan watafanya mazungumzo na kushiriki ufunguzi wa kongamano la biashara
Rais Museveni atatembelea Bandari ya Dar na kukagua mradi unaoendelea wa SGR
Soma https://jamii.app/ZiaraMuseveni
Takwimu kutoka tovuti ya Global Stats Counter zinaonesha kivinjari (Browser) cha Chrome kinachomilikiwa na Kampuni ya #Google kinatumiwa na watu wengi zaidi
Kinatumiwa na zaidi ya 64% ya watumiaji wote wa intaneti duniani, ikifuatiwa na kivinjari cha Safari
#JamiiForums
Kinatumiwa na zaidi ya 64% ya watumiaji wote wa intaneti duniani, ikifuatiwa na kivinjari cha Safari
#JamiiForums
Waziri wa Nchi OR-TAMISEMI, Ummy Mwalimu amewaagiza wakuu wa Mikoa na Wilaya kuhakikisha Wanafunzi wanapumzika wakati wa likizo ili kujifunza mambo ya kijamii
Amelaumu tabia ya kubidhaisha Elimu kwa kuwatoza Fedha Wazazi kipindi cha likizo
Soma - https://jamii.app/LikizoWanafunzi
#JFLeo
Amelaumu tabia ya kubidhaisha Elimu kwa kuwatoza Fedha Wazazi kipindi cha likizo
Soma - https://jamii.app/LikizoWanafunzi
#JFLeo
Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amefunguliwa kesi kwa tuhuma mbalimbali ikiwemo matumizi mabaya ya madaraka
> Kesi hiyo inatarajiwa kuanza kusikilizwa Desemba 3, 2021
Soma https://jamii.app/Desemba3
#JFLeo
> Kesi hiyo inatarajiwa kuanza kusikilizwa Desemba 3, 2021
Soma https://jamii.app/Desemba3
#JFLeo
MAREKANI: Kirusi cha COVID19 aina ya Omicron kilichogundulika Afrika Kusini kimeonekana kuwa hatari zaidi
> Raia kutoka Botswana, Eswatini, Lesotho, Malawi, Mozambique, Namibia, Afrika Kusini na Zimbabwe hawataruhusiwa kuingia Marekani
Soma https://jamii.app/OmicronVariant
#UVIKO3
> Raia kutoka Botswana, Eswatini, Lesotho, Malawi, Mozambique, Namibia, Afrika Kusini na Zimbabwe hawataruhusiwa kuingia Marekani
Soma https://jamii.app/OmicronVariant
#UVIKO3
RAIS SAMIA AMPOKEA RAIS MUSEVENI
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amempokea Rais wa Uganda, Yoweri Museveni katika Uwanja wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere
> Rais Museveni amepewa salamu ya kijeshi, kukagua Gwaride na kuelekea Ikulu kwa mazungumzo ya faragha
#JamiiForums
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amempokea Rais wa Uganda, Yoweri Museveni katika Uwanja wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere
> Rais Museveni amepewa salamu ya kijeshi, kukagua Gwaride na kuelekea Ikulu kwa mazungumzo ya faragha
#JamiiForums
UGANDA: Exim Bank imechukua Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa #Entebbe na mali nyingine za Uganda baada ya kushindwa kulipa mkopo wa Dola milioni 207(Tsh. Bilioni 476.7)
> Majadiliano ya kuongezewa muda wa marejesho yaligonga mwamba
Soma https://jamii.app/EntebbeAirport
> Majadiliano ya kuongezewa muda wa marejesho yaligonga mwamba
Soma https://jamii.app/EntebbeAirport
SERIKALI: KUNA TISHIO LA WIMBI LA NNE LA CORONA
Kutokana na kuibuka aina mpya ya Kirusi cha Corona kiitwacho #Omicron kinachosemekana kuwa na uwezo wa kusambaa haraka, Wizara ya Afya imesisitiza Wananchi kuendelea kujitokeza kupata chanjo
Pia, imehimiza uvaaji barakoa, unawaji mikono, kufanya mazoezi na kuepuka mikusanyiko isiyo ya lazima
Soma - https://jamii.app/TishioWimbi4
#UVIKO3
Kutokana na kuibuka aina mpya ya Kirusi cha Corona kiitwacho #Omicron kinachosemekana kuwa na uwezo wa kusambaa haraka, Wizara ya Afya imesisitiza Wananchi kuendelea kujitokeza kupata chanjo
Pia, imehimiza uvaaji barakoa, unawaji mikono, kufanya mazoezi na kuepuka mikusanyiko isiyo ya lazima
Soma - https://jamii.app/TishioWimbi4
#UVIKO3
Rais Samia amesema #Tanzania itanunua Sukari kutoka Uganda huku akikosoa kauli ya Waziri wa Kilimo, Prof. Adolf Mkenda kuhusu kutokutoa vibali vya kununua Sukari nje ya nchi
> Prof. Mkenda alisema Sukari kutoka nje inaua Viwanda vya ndani
Soma https://jamii.app/UgandaSukari
#JFLeo
> Prof. Mkenda alisema Sukari kutoka nje inaua Viwanda vya ndani
Soma https://jamii.app/UgandaSukari
#JFLeo
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
UGANDA: Shirika la Ndege la #Uganda limetangaza kuongeza Senene katika orodha ya Vyakula vinavyotolewa kwenye Ndege katika safari zake za Kimataifa
Hatua hiyo imekuja baada ya Wasafiri kufurahia Senene waliokuwa wanauzwa na mchuuzi ktk Ndege
Soma https://jamii.app/SeneneUganda
#JFLeo
Hatua hiyo imekuja baada ya Wasafiri kufurahia Senene waliokuwa wanauzwa na mchuuzi ktk Ndege
Soma https://jamii.app/SeneneUganda
#JFLeo
PEMBA: Watu 5 wamefariki, 12 wamelazwa baada ya kula samaki Kasa. Watatu kati ya 12 waliolazwa wana hali mbaya
> Kamanda wa Polisi Kaskazini Pemba, ACP Juma Khamis amesema ulaji wa Kasa na Bunju umepigwa marufuku baada ya kubainika kuwa na sumu
Soma https://jamii.app/PembaSamaki
> Kamanda wa Polisi Kaskazini Pemba, ACP Juma Khamis amesema ulaji wa Kasa na Bunju umepigwa marufuku baada ya kubainika kuwa na sumu
Soma https://jamii.app/PembaSamaki
NEYMAR AUMIA KIFUNDO CHA MGUU AKIWA UWANJANI
Mchezaji wa PSG, Neymar (29) ameumia kifundo cha mguu wakati timu yake ilipokuwa ikichuana na klabu ya St Etienne
> Neymar alionekana kuugulia maumivu makali dakika 5 kabla ya kipenga cha mwisho
Soma https://jamii.app/NeymarAnkle
Mchezaji wa PSG, Neymar (29) ameumia kifundo cha mguu wakati timu yake ilipokuwa ikichuana na klabu ya St Etienne
> Neymar alionekana kuugulia maumivu makali dakika 5 kabla ya kipenga cha mwisho
Soma https://jamii.app/NeymarAnkle
AFRIKA KUSINI: Rais Cyril Ramaphosa ametoa wito kwa Nchi za Ulaya na Marekani kuondoa vikwazo vya safari kwa Mataifa ya Kusini mwa Afrika yenye Kirusi cha #Omicron
Asema vikwazo vinaongeza ubaguzi kwa Mataifa husika na maumivu ya Kiuchumi
Soma - https://jamii.app/CyrilBanTravel
#UVIKO3
Asema vikwazo vinaongeza ubaguzi kwa Mataifa husika na maumivu ya Kiuchumi
Soma - https://jamii.app/CyrilBanTravel
#UVIKO3
DALILI NNE ZA COVID-19 AMBAZO HUTOKEA KWA WENGI
WHO imetaja dalili hizo ni kupata homa, kikohozi, kuhisi uchovu usio wa kawaida pamoja na kupoteza uwezo wa kuhisi ladha au harufu
Ukizipata, fika haraka Hospitali ili kupima na kutibiwa
Soma - https://jamii.app/ComonSymptoms
#UVIKO3
WHO imetaja dalili hizo ni kupata homa, kikohozi, kuhisi uchovu usio wa kawaida pamoja na kupoteza uwezo wa kuhisi ladha au harufu
Ukizipata, fika haraka Hospitali ili kupima na kutibiwa
Soma - https://jamii.app/ComonSymptoms
#UVIKO3
Je, umewahi kujiuliza nini kitatokea endapo utashindwa kutumia Uwezo ulio nao?
1. Utashindwa kufanya maamuzi sahihi juu ya Maisha yako. Mtu asiyeweza kugundua na kuendeleza Uwezo wake huwa ktk hatari ya kukosa mwelekeo
2. Kukosa kutambua Uwezo wako (potential) kutakufanya uwe mtumwa na utatumika kuendeleza kusudi la Mtu mwingine
Mshiriki wa 'Stories Of Change' anasema kiwango cha Elimu siyo sababu ya kushindwa kuendeleza Uwezo ulio nao
Soma zaidi - https://jamii.app/TumiaPotential
#StoriesOfChange
1. Utashindwa kufanya maamuzi sahihi juu ya Maisha yako. Mtu asiyeweza kugundua na kuendeleza Uwezo wake huwa ktk hatari ya kukosa mwelekeo
2. Kukosa kutambua Uwezo wako (potential) kutakufanya uwe mtumwa na utatumika kuendeleza kusudi la Mtu mwingine
Mshiriki wa 'Stories Of Change' anasema kiwango cha Elimu siyo sababu ya kushindwa kuendeleza Uwezo ulio nao
Soma zaidi - https://jamii.app/TumiaPotential
#StoriesOfChange
Rwanda imesitisha safari zake za Ndege kwenda Afrika Kusini, #Zambia na Zimbabwe pamoja na kurejesha Karantini ya siku 7 kwa wote wanaotoka kwenye Nchi hizo
Wasafiri watatakiwa kukaa Karantini ya saa 24 kwa gharama zao ili kufanyiwa Vipimo
Soma - https://jamii.app/RWBanFlightsSA
#UVIKO3
Wasafiri watatakiwa kukaa Karantini ya saa 24 kwa gharama zao ili kufanyiwa Vipimo
Soma - https://jamii.app/RWBanFlightsSA
#UVIKO3
Kutokana na udhaifu katika mifumo ya ukusanyaji wa mapato, kuna uwezekano mkubwa wa Serikali kupoteza Tsh. Bilioni 265.85 kutokana na vitendo vya Rushwa, Udanganyifu na Ubadhirifu
Katika Serikali Kuu, kumekuwa na ongezeko la upotevu wa mapato kutoka Tsh. Bilioni 7.7 kwa 2018/19 mpaka Tsh. Bilioni 38.7 kwa Mwaka 2019/20
Soma - https://jamii.app/UpotevuFedha
#JFUwajibikaji
Katika Serikali Kuu, kumekuwa na ongezeko la upotevu wa mapato kutoka Tsh. Bilioni 7.7 kwa 2018/19 mpaka Tsh. Bilioni 38.7 kwa Mwaka 2019/20
Soma - https://jamii.app/UpotevuFedha
#JFUwajibikaji
AUSTRALIA KUTUNGA SHERIA YA KUONESHA UTAMBULISHO WA WATUMIAJI WA MITANDAO
Imepanga kutunga Sheria hiyo kuiwajibisha Mitandao ya Kijamii kwa maudhui yanayochapishwa na watumiaji
Serikali yasema Uhuru wa kutoa maoni unapaswa kuendana na Uwajibikaji
Soma - https://jamii.app/WasiojulikanaMitandaoni
Imepanga kutunga Sheria hiyo kuiwajibisha Mitandao ya Kijamii kwa maudhui yanayochapishwa na watumiaji
Serikali yasema Uhuru wa kutoa maoni unapaswa kuendana na Uwajibikaji
Soma - https://jamii.app/WasiojulikanaMitandaoni