Yanayojiri katika Mjadala wa "Je, Demokrasia inakwamisha Maendeleo?" unaoendelea kupitia Clubhouse
#Democracy #JamiiForums
#Democracy #JamiiForums
TETESI: MANCHESTER UNITED KUMPA RANGNICK UKOCHA WA MUDA
- Inadaiwa Klabu ya Man. Utd imefikia makubaliano na Kocha Ralf Rangnick (63) ili awe kocha wao wa muda hadi mwisho wa msimu 2021 - 22
- Rangnick amewahi kuwa Kocha wa Hannover, Schalke, Hoffenheim na RB Leipzig
#JFSports
- Inadaiwa Klabu ya Man. Utd imefikia makubaliano na Kocha Ralf Rangnick (63) ili awe kocha wao wa muda hadi mwisho wa msimu 2021 - 22
- Rangnick amewahi kuwa Kocha wa Hannover, Schalke, Hoffenheim na RB Leipzig
#JFSports
SUDAN: Maelfu ya watu wameandamana Jijini #Khartoum pamoja na Miji mingine. Vikosi vya Usalama vimetumia mabomu ya machozi dhidi ya Waandamanaji huko Omdurman
Wananchi wamepinga Makubaliano yaliyomrejesha Madarakani Waziri Mkuu, Abdalla Hamdok
Soma - https://jamii.app/ProtestsKhartoum
Wananchi wamepinga Makubaliano yaliyomrejesha Madarakani Waziri Mkuu, Abdalla Hamdok
Soma - https://jamii.app/ProtestsKhartoum
Ili kutatua kasoro zilizoainishwa katika Utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo, Serikali inashauriwa kuwezesha Halmashauri kukamilisha miradi iliyoanza kabla ya kuanza miradi mipya
Pia, Taasisi ya WAJIBU inashauri Wizara ya Fedha na Mipango (Hazina) pamoja na watekeleza miradi kufuata makubaliano waliojiwekea na Washirika wa Maendeleo
Soma - https://jamii.app/MapungufuMiradi
#JFUwajibikaji
Pia, Taasisi ya WAJIBU inashauri Wizara ya Fedha na Mipango (Hazina) pamoja na watekeleza miradi kufuata makubaliano waliojiwekea na Washirika wa Maendeleo
Soma - https://jamii.app/MapungufuMiradi
#JFUwajibikaji
AINA MPYA YA KIRUSI CHA CORONA YAGUNDULIKA AFRIKA KUSINI
Wanasayansi Nchini humo wameelezea wasiwasi wao kuhusu aina mpya ya Kirusi cha Corona kiitwacho B.1.1.529
Wataalamu wa Shirika la Afya Duniani(WHO) wanatarajiwa kukutana kukitathmini
Soma https://jamii.app/NewVariantSA
#UVIKO3
Wanasayansi Nchini humo wameelezea wasiwasi wao kuhusu aina mpya ya Kirusi cha Corona kiitwacho B.1.1.529
Wataalamu wa Shirika la Afya Duniani(WHO) wanatarajiwa kukutana kukitathmini
Soma https://jamii.app/NewVariantSA
#UVIKO3
Jamii Forums inatoa nafasi 2 za ajira kwa Wasanifu Grafiki (Graphic Designers)
MAJUKUMU: Kuandaa na kusanifu picha kulingana na mahitaji, Kuandaa na kuhariri picha mjongeo zitakazotumika kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii
Kwa Maelezo zaidi tembelea - https://jamii.app/GraphicDesignersJF
MAJUKUMU: Kuandaa na kusanifu picha kulingana na mahitaji, Kuandaa na kuhariri picha mjongeo zitakazotumika kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii
Kwa Maelezo zaidi tembelea - https://jamii.app/GraphicDesignersJF
MADHARA YA UKATILI WA KIJINSIA MITANDAONI
Ukatili una madhara Kisaikolojia, na unaweza kupelekea watendewa kupata Msongo wa Mawazo/kupoteza mwelekeo
Pia, inajenga hofu na kuvunja moyo Wanawake kushiriki kwenye ngazi za Uongozi
Soma - https://jamii.app/UkatiliMitandao
#16DaysofActivism
Ukatili una madhara Kisaikolojia, na unaweza kupelekea watendewa kupata Msongo wa Mawazo/kupoteza mwelekeo
Pia, inajenga hofu na kuvunja moyo Wanawake kushiriki kwenye ngazi za Uongozi
Soma - https://jamii.app/UkatiliMitandao
#16DaysofActivism
MDAU: MAPENDEKEZO YA HATUA ZA KUCHUKUA KUPUNGUZA WIZI WA FEDHA ZA UMMA
Amesisitizia suala la Uwazi akisema ukiwepo, ni rahisi hata kwa Wananchi kufuatilia na kutoa taarifa mapema pale inapoonekana mradi unafanyika ndivyo sivyo
Anasema TAKUKURU haitakiwi ifanye kazi kwa kupewa maelekezo bali inatakiwa inuse viashiria vya rushwa kila sehemu na ijikite zaidi kufanya kazi kwa kushirikiana na wananchi
Soma Makala yake - https://jamii.app/WiziFedhaUmma
#StoriesOfChange
Amesisitizia suala la Uwazi akisema ukiwepo, ni rahisi hata kwa Wananchi kufuatilia na kutoa taarifa mapema pale inapoonekana mradi unafanyika ndivyo sivyo
Anasema TAKUKURU haitakiwi ifanye kazi kwa kupewa maelekezo bali inatakiwa inuse viashiria vya rushwa kila sehemu na ijikite zaidi kufanya kazi kwa kushirikiana na wananchi
Soma Makala yake - https://jamii.app/WiziFedhaUmma
#StoriesOfChange
AFYA: Namna Mgonjwa anavyojieleza kwa Daktari ni muhimu. Baadhi ya masuala ya kuzingatia unapojieleza kwa Daktari ni;
1) Usimwambie Daktari Ugonjwa wako (Diagnosis), bali mueleze dalili ulizonazo: Kufahamu Ugonjwa ni kazi ya Daktari, unachotakiwa kufanya ni kuelezea dalili zako
2) Usiseme uongo wala kuficha kitu kuhusu Afya yako: Kumdanganya Daktari kutapelekea ashindwe kubaini tatizo. Anategemea maelezo yako kuweza kugundua tatizo
Soma - https://jamii.app/KujielezaDaktari
#Afya
1) Usimwambie Daktari Ugonjwa wako (Diagnosis), bali mueleze dalili ulizonazo: Kufahamu Ugonjwa ni kazi ya Daktari, unachotakiwa kufanya ni kuelezea dalili zako
2) Usiseme uongo wala kuficha kitu kuhusu Afya yako: Kumdanganya Daktari kutapelekea ashindwe kubaini tatizo. Anategemea maelezo yako kuweza kugundua tatizo
Soma - https://jamii.app/KujielezaDaktari
#Afya
#COVID19: Mataifa kadhaa yakiwemo Singapore, Ufaransa, Kenya na Japan yameanza kuchukua hatua baada ya Afrika Kusini kuripoti aina mpya ya Kirusi cha Corona
WHO yasema itachukua wiki kadhaa kuelewa madhara ya Kirusi cha B.1.1.529
Soma - https://jamii.app/NewVariantSA
#UVIKO3
WHO yasema itachukua wiki kadhaa kuelewa madhara ya Kirusi cha B.1.1.529
Soma - https://jamii.app/NewVariantSA
#UVIKO3
RAIS MUSEVENI KUFANYA ZIARA YA KIKAZI TANZANIA
Rais wa Uganda na Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan watafanya mazungumzo na kushiriki ufunguzi wa kongamano la biashara
Rais Museveni atatembelea Bandari ya Dar na kukagua mradi unaoendelea wa SGR
Soma https://jamii.app/ZiaraMuseveni
Rais wa Uganda na Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan watafanya mazungumzo na kushiriki ufunguzi wa kongamano la biashara
Rais Museveni atatembelea Bandari ya Dar na kukagua mradi unaoendelea wa SGR
Soma https://jamii.app/ZiaraMuseveni
Takwimu kutoka tovuti ya Global Stats Counter zinaonesha kivinjari (Browser) cha Chrome kinachomilikiwa na Kampuni ya #Google kinatumiwa na watu wengi zaidi
Kinatumiwa na zaidi ya 64% ya watumiaji wote wa intaneti duniani, ikifuatiwa na kivinjari cha Safari
#JamiiForums
Kinatumiwa na zaidi ya 64% ya watumiaji wote wa intaneti duniani, ikifuatiwa na kivinjari cha Safari
#JamiiForums
Waziri wa Nchi OR-TAMISEMI, Ummy Mwalimu amewaagiza wakuu wa Mikoa na Wilaya kuhakikisha Wanafunzi wanapumzika wakati wa likizo ili kujifunza mambo ya kijamii
Amelaumu tabia ya kubidhaisha Elimu kwa kuwatoza Fedha Wazazi kipindi cha likizo
Soma - https://jamii.app/LikizoWanafunzi
#JFLeo
Amelaumu tabia ya kubidhaisha Elimu kwa kuwatoza Fedha Wazazi kipindi cha likizo
Soma - https://jamii.app/LikizoWanafunzi
#JFLeo
Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amefunguliwa kesi kwa tuhuma mbalimbali ikiwemo matumizi mabaya ya madaraka
> Kesi hiyo inatarajiwa kuanza kusikilizwa Desemba 3, 2021
Soma https://jamii.app/Desemba3
#JFLeo
> Kesi hiyo inatarajiwa kuanza kusikilizwa Desemba 3, 2021
Soma https://jamii.app/Desemba3
#JFLeo
MAREKANI: Kirusi cha COVID19 aina ya Omicron kilichogundulika Afrika Kusini kimeonekana kuwa hatari zaidi
> Raia kutoka Botswana, Eswatini, Lesotho, Malawi, Mozambique, Namibia, Afrika Kusini na Zimbabwe hawataruhusiwa kuingia Marekani
Soma https://jamii.app/OmicronVariant
#UVIKO3
> Raia kutoka Botswana, Eswatini, Lesotho, Malawi, Mozambique, Namibia, Afrika Kusini na Zimbabwe hawataruhusiwa kuingia Marekani
Soma https://jamii.app/OmicronVariant
#UVIKO3