MDAU: NI MUHIMU KUAJIRIWA/KUJITOLEA KABLA YA KUANZISHA BIASHARA YAKO
Dawa ya kuondokana na tatizo la Ajira ni kujiajiri wenyewe, lakini kabla ya kujiajiri jambo muhimu tunapaswa kulifahamu vizuri ni Sekta Binafsi ilivyo na Idara gani ungependa kujiajiri
Mshiriki wa 'Stories Of Change' anasema Kampuni nyingi binafsi zina programu maalumu za kujitolea. Hii itakusaidia kujifunza jinsi Taasisi zinavyoundwa, kuajiri Watu na kuwasimamia na kutengeneza mahusiano ya kudumu kati ya Mteja na #Biashara.
Soma - https://jamii.app/FaidaKujitolea
Dawa ya kuondokana na tatizo la Ajira ni kujiajiri wenyewe, lakini kabla ya kujiajiri jambo muhimu tunapaswa kulifahamu vizuri ni Sekta Binafsi ilivyo na Idara gani ungependa kujiajiri
Mshiriki wa 'Stories Of Change' anasema Kampuni nyingi binafsi zina programu maalumu za kujitolea. Hii itakusaidia kujifunza jinsi Taasisi zinavyoundwa, kuajiri Watu na kuwasimamia na kutengeneza mahusiano ya kudumu kati ya Mteja na #Biashara.
Soma - https://jamii.app/FaidaKujitolea
CHINA: Umoja wa Mataifa umetoa rai kwa China kumwachia huru Zhang Zhan ambaye alihukumiwa kifungo cha miaka 4 baada ya kuhoji namna Mamlaka zinavyoshughulikia #COVID19
Familia na Ripoti kadhaa zimedai anakaribia kifo kutokana na mgomo wa kula
Soma - https://jamii.app/UNZhangChina
Familia na Ripoti kadhaa zimedai anakaribia kifo kutokana na mgomo wa kula
Soma - https://jamii.app/UNZhangChina
#AUSTRIA: Kansela Alexander Schallenberg amesema hatua ya kufungwa kwa shughuli za Umma itaanza kutekelezwa Jumatatu ili kudhibiti Maambukizi
Ulazima wa kumtaka kila Mtu kupata Chanjo dhidi ya Virusi vya Corona utaanza Februari mosi
Soma - https://jamii.app/LockdownAustria
#UVIKO3
Ulazima wa kumtaka kila Mtu kupata Chanjo dhidi ya Virusi vya Corona utaanza Februari mosi
Soma - https://jamii.app/LockdownAustria
#UVIKO3
ZANZIBAR: Rais Samia Suluhu Hassan asema Maendeleo ya Nchi huletwa na Wananchi wake. Amesema Sheria za Tanzania Bara na Zanzibar zimetoa Uhuru (usiovunja Sheria) kwa watu kufanya kazi
Ameeleza, "Ninaamini Tanzania bila Rushwa inawezekana"
Soma - https://jamii.app/RaisSamiaZnz
#JFLeo
Ameeleza, "Ninaamini Tanzania bila Rushwa inawezekana"
Soma - https://jamii.app/RaisSamiaZnz
#JFLeo
MDAU: VICOBA VINAWATESA WANAWAKE NA KULETA MIGOGORO YA KIFAMILIA
VICOBA ni utaratibu wa kuweka na kukopa kwa Watu waliojiunga kwa pamoja na kuunda kikundi kwa malengo ya kujikwamua kiuchumi na kujiletea maendeleo
Mshiriki wa 'Stories Of Change' anasema Wanawake wengi wamekuwa wakijifunga kwenye mikopo ya VICOBA kwa kuchukua Fedha nje na malengo. Huishia kupoteza vitu, Ndoa na wengine kufikishwa Polisi kutokana na MAREJESHO.
Soma zaidi - https://jamii.app/MatesoVicobaMke
#StoriesOfChange
VICOBA ni utaratibu wa kuweka na kukopa kwa Watu waliojiunga kwa pamoja na kuunda kikundi kwa malengo ya kujikwamua kiuchumi na kujiletea maendeleo
Mshiriki wa 'Stories Of Change' anasema Wanawake wengi wamekuwa wakijifunga kwenye mikopo ya VICOBA kwa kuchukua Fedha nje na malengo. Huishia kupoteza vitu, Ndoa na wengine kufikishwa Polisi kutokana na MAREJESHO.
Soma zaidi - https://jamii.app/MatesoVicobaMke
#StoriesOfChange
SERIKALI YAPIGA MARUFUKU DAWA ZA KUULIA WADUDU KUPULIZWA BUCHANI
Bodi wa Nyama Nchini imesema Dawa hizo ni sumu zinazofanya kazi taratibu ndani ya mwili wa Binadamu na husababisha maradhi ikiwemo Saratani
Wenye Bucha wametakiwa kuzingatia Usafi kuzuia Nzi
Soma - https://jamii.app/BanDawaBuchani
Bodi wa Nyama Nchini imesema Dawa hizo ni sumu zinazofanya kazi taratibu ndani ya mwili wa Binadamu na husababisha maradhi ikiwemo Saratani
Wenye Bucha wametakiwa kuzingatia Usafi kuzuia Nzi
Soma - https://jamii.app/BanDawaBuchani
Siku ya Watoto Duniani huadhimishwa tarehe 20 Novemba kila mwaka. Pamoja na kuboresha hali zao za Maisha, Siku hii pia inalenga kuimarisha Haki zao
Watoto na Vijana wamekuwa wakipaza sauti kwenye masuala yanayowagusa, na ni muhimu kwa Viongozi kusikiliza mawazo na matakwa yao
#JamiiForums #WorldChildrensDay
Watoto na Vijana wamekuwa wakipaza sauti kwenye masuala yanayowagusa, na ni muhimu kwa Viongozi kusikiliza mawazo na matakwa yao
#JamiiForums #WorldChildrensDay
TETESI: MANCHESTER IMEAMUA KUMFUTA KAZI SOLSKJAER
- Inadaiwa kuwa Bodi ya timu ya Man. Utd, imeamua kumfukuza kazi Kocha Ole Gunnar Solskjaer
- Fletcher/Carrick ataiongoza timu hiyo kama Kocha wa muda iwapo Kocha wa kumrithi Solskjaer hatapatikana hivi karibuni
#JFSports
- Inadaiwa kuwa Bodi ya timu ya Man. Utd, imeamua kumfukuza kazi Kocha Ole Gunnar Solskjaer
- Fletcher/Carrick ataiongoza timu hiyo kama Kocha wa muda iwapo Kocha wa kumrithi Solskjaer hatapatikana hivi karibuni
#JFSports
SUDAN: Wanaharakati wanaopinga Mapinduzi Nchini #Sudan wameitisha Maandamano leo Jumapili, wakati idadi ya Watu waliouawa ikifikia 40
Marekani na AU zimelaani ukandamizaji na kuwataka Viongozi wa Sudan kuacha matumizi ya nguvu
Soma - https://jamii.app/ActivistRiotsSudan
#Democracy
Marekani na AU zimelaani ukandamizaji na kuwataka Viongozi wa Sudan kuacha matumizi ya nguvu
Soma - https://jamii.app/ActivistRiotsSudan
#Democracy
RASMI: MAN. UTD YAMFUKUZA SOLSKJAER
Baada ya Mkutano wa dharura wa Bodi ya timu hiyo kukaa jana kutokana na mlolongo wa matokeo mabovu, klabu imeachana na Ole Gunnar Solskjaer
Solskjaer alichaguliwa kuinoa timu hiyo Desemba 2018 baada ya Jose Mourinho kufutwa kazi
#JFSports
Baada ya Mkutano wa dharura wa Bodi ya timu hiyo kukaa jana kutokana na mlolongo wa matokeo mabovu, klabu imeachana na Ole Gunnar Solskjaer
Solskjaer alichaguliwa kuinoa timu hiyo Desemba 2018 baada ya Jose Mourinho kufutwa kazi
#JFSports
UGANDA: Rais Yoweri Museveni amewataka Waasi wa Kundi la ADF wanaoshutumiwa kuhusika na milipuko ya hivi karibuni kujisalimisha
Amesema Jeshi limewahi kupambana na kuwashinda Waasi hao kabla, hivyo wajitokeze au wote watauawa
Soma - https://jamii.app/MuseveniADF
#JFLeo
Amesema Jeshi limewahi kupambana na kuwashinda Waasi hao kabla, hivyo wajitokeze au wote watauawa
Soma - https://jamii.app/MuseveniADF
#JFLeo
SUDAN: Baada ya wiki kadhaa za maandamano, Jeshi limemrejeshea Madaraka Waziri Mkuu wa Nchi hiyo, Abdalla Hamdok na kutangaza kuwaachia huru Wafungwa wote wa kisiasa
Hamdok amesema amekubali ili kuzuia umwagaji damu zaidi Nchini humo
Soma - https://jamii.app/JeshiWaziriMkuu
#JFLeo
Hamdok amesema amekubali ili kuzuia umwagaji damu zaidi Nchini humo
Soma - https://jamii.app/JeshiWaziriMkuu
#JFLeo
KENYA: Serikali imesema kuanzia Desemba 21, anayehitaji huduma za Serikali za ana kwa ana lazima awe amepata chanjo kikamilifu
Baa, migahawa na biashara zinazohudumia watu zaidi ya 50 kwa siku zimeelekezwa kuomba uthibitisho wa Chanjo
Soma - https://jamii.app/ProofVaccineKE
#UVIKO3
Baa, migahawa na biashara zinazohudumia watu zaidi ya 50 kwa siku zimeelekezwa kuomba uthibitisho wa Chanjo
Soma - https://jamii.app/ProofVaccineKE
#UVIKO3
AFGHANISTAN: TALIBAN YAPIGA MARUFUKU WANAWAKE KWENYE TAMTHILIA
Serikali imevitaka Vituo vya Televisheni kuacha kurusha Tamthilia au Maigizo yenye Waigizaji wa Kike
Pia, Waandishi wa Habari na Watangazaji wa Kike wametakiwa kuvaa hijabu
Soma - https://jamii.app/WanawakeTaliban
#JFLeo
Serikali imevitaka Vituo vya Televisheni kuacha kurusha Tamthilia au Maigizo yenye Waigizaji wa Kike
Pia, Waandishi wa Habari na Watangazaji wa Kike wametakiwa kuvaa hijabu
Soma - https://jamii.app/WanawakeTaliban
#JFLeo
KUTOKUWA NA CHA KUFICHA, HAIMAANISHI FARAGHA YAKO ISIHESHIMIWE
Watu wengi hudhani βKukosa cha kufichaβ humaanisha Faragha haina umuhimu. Lakini hata kama chumbani hauna kitu cha kuibwa haina maana uache mlango wazi
Suala la faragha ni zaidi ya kuogopa vitu kuibwa, bali kuwa na staha ya vitu vyako. Hata kama unahisi hauna cha kupoteza Mtandaoni, jali kuhusu faragha yako
Soma - https://jamii.app/DataPrivacy
#DataPrivacy
Watu wengi hudhani βKukosa cha kufichaβ humaanisha Faragha haina umuhimu. Lakini hata kama chumbani hauna kitu cha kuibwa haina maana uache mlango wazi
Suala la faragha ni zaidi ya kuogopa vitu kuibwa, bali kuwa na staha ya vitu vyako. Hata kama unahisi hauna cha kupoteza Mtandaoni, jali kuhusu faragha yako
Soma - https://jamii.app/DataPrivacy
#DataPrivacy
UN: KILA SEKUNDE 24 MTU 1 HUFARIKI KWA AJALI ZA BARABARANI
Idadi hiyo ni sawa na Watu 3 ndani ya dakika Moja. 90% ya vifo vya Barabarani hutokea Nchi za kipato cha chini na kati
UN imetoa wito wa umuhimu wa kupunguza mwendokasi ili kuzuia ajali
Soma - https://jamii.app/AjaliVifo
Idadi hiyo ni sawa na Watu 3 ndani ya dakika Moja. 90% ya vifo vya Barabarani hutokea Nchi za kipato cha chini na kati
UN imetoa wito wa umuhimu wa kupunguza mwendokasi ili kuzuia ajali
Soma - https://jamii.app/AjaliVifo
KESI YA MBOWE: Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi imetupilia mbali Hoja 3 zilizotolewa na Utetezi
Mawakili Upande wa Utetezi walipinga kitabu cha kumbukumbu za mahabusu cha Kituo Kikuu cha Polisi, Dar es Salaam kupokelewa kama kielelezo cha ushahidi Upande wa Mashtaka
Soma - https://jamii.app/JajiPingamizi3
#JFLeo
Mawakili Upande wa Utetezi walipinga kitabu cha kumbukumbu za mahabusu cha Kituo Kikuu cha Polisi, Dar es Salaam kupokelewa kama kielelezo cha ushahidi Upande wa Mashtaka
Soma - https://jamii.app/JajiPingamizi3
#JFLeo
GEITA: AHUKUMIWA MIAKA 3 AU FAINI YA TSH MILIONI 2 KWA KUPOKEA RUSHWA
Aliyekuwa Kaimu Mkuu wa Idara ya Maji Wilaya ya Geita, Eng. Rael Buliba alipokea rushwa ya Tsh. Milioni 75 kutoka kwa Mkandarasi ili kuongeza muda wa kusambaza mabomba ya Maji
Soma - https://jamii.app/Milioni2Faini
Aliyekuwa Kaimu Mkuu wa Idara ya Maji Wilaya ya Geita, Eng. Rael Buliba alipokea rushwa ya Tsh. Milioni 75 kutoka kwa Mkandarasi ili kuongeza muda wa kusambaza mabomba ya Maji
Soma - https://jamii.app/Milioni2Faini
ZANZIBAR: UNGUJA YATAJWA KUONGOZA KWA UKAHABA NA USHOGA
Waziri Dkt. Saada Salum Mkuya amesema #Unguja ina Wanawake 4,854 na Pemba 700 wanaofanya Biashara ya kuuza miili yao
Wanaume wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja #Zanzibar ni 3,300
Soma - https://jamii.app/UshogaUkahaba
Waziri Dkt. Saada Salum Mkuya amesema #Unguja ina Wanawake 4,854 na Pemba 700 wanaofanya Biashara ya kuuza miili yao
Wanaume wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja #Zanzibar ni 3,300
Soma - https://jamii.app/UshogaUkahaba
MAPUNGUFU KATIKA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO
Ripoti ya CAG ilibaini Mamlaka ya Serikali za Mitaa 152 hazikupokea Tsh. Bilioni 410.4 sawa na 46% ya Fedha za Miradi ya Maendeleo kwa Mwaka wa Fedha 2019/20
Hazina na Washirika wa Maendeleo hawakutoa Fedha za Miradi ya Maendeleo kiasi cha Tsh. Bilioni 53.4 sawa na 22% ya Bajeti iliyoidhinishwa
Soma - https://jamii.app/MapungufuMiradi
#JFUwajibikaji
Ripoti ya CAG ilibaini Mamlaka ya Serikali za Mitaa 152 hazikupokea Tsh. Bilioni 410.4 sawa na 46% ya Fedha za Miradi ya Maendeleo kwa Mwaka wa Fedha 2019/20
Hazina na Washirika wa Maendeleo hawakutoa Fedha za Miradi ya Maendeleo kiasi cha Tsh. Bilioni 53.4 sawa na 22% ya Bajeti iliyoidhinishwa
Soma - https://jamii.app/MapungufuMiradi
#JFUwajibikaji