INDIA: HEWA CHAFU YAPELEKEA MAHAKAMA KUAMURU OFISI ZIFUNGWE
Mahakama ya Juu imeelekeza Mamlaka kufunga Ofisi New Delhi na Miji ya karibu
Hii itaruhusu Mamilioni kufanyia kazi nyumbani wakati Maafisa wakitafuta mbinu za kupunguza hewa chafu
Soma - https://jamii.app/PollutionIndia
Mahakama ya Juu imeelekeza Mamlaka kufunga Ofisi New Delhi na Miji ya karibu
Hii itaruhusu Mamilioni kufanyia kazi nyumbani wakati Maafisa wakitafuta mbinu za kupunguza hewa chafu
Soma - https://jamii.app/PollutionIndia
#SOMALIA: WANAJESHI WA UGANDA WAHUKUMIWA KWA KUUA RAIA
Wanajeshi 5 wa #Uganda wanaofanya Kazi na Vikosi vya AU Nchini Somalia wamekutwa na hatia ya kuwaua raia 7
Wawili wamehukumiwa kifo, watatu kifungo cha miaka 39 kila mmoja
Soma - https://jamii.app/JeshiUgandaKifo
#HumanRights #JFLeo
Wanajeshi 5 wa #Uganda wanaofanya Kazi na Vikosi vya AU Nchini Somalia wamekutwa na hatia ya kuwaua raia 7
Wawili wamehukumiwa kifo, watatu kifungo cha miaka 39 kila mmoja
Soma - https://jamii.app/JeshiUgandaKifo
#HumanRights #JFLeo
MDAU: MASOMO YA BIASHARA YAENDANE NA MAZINGIRA YA KITANZANIA
Mshiriki wa Shindano la Stories Of Change anasema bado tunafundishwa jinsi ya kutunza na kuhesabu Fedha lakini Dunia ya leo imebadilika
Anasema Serikali inakubali Teknolojia inazidi kukua lakini bado imeshindwa kufumua Mfumo uliopo ili kuendana na Soko la Ajira
Soma Makala yake - https://jamii.app/MasomoBiashara
#StoriesOfChange
Mshiriki wa Shindano la Stories Of Change anasema bado tunafundishwa jinsi ya kutunza na kuhesabu Fedha lakini Dunia ya leo imebadilika
Anasema Serikali inakubali Teknolojia inazidi kukua lakini bado imeshindwa kufumua Mfumo uliopo ili kuendana na Soko la Ajira
Soma Makala yake - https://jamii.app/MasomoBiashara
#StoriesOfChange
SERIKALI YA MAREKANI KUTOA TSH. BILIONI 437 KWA SEKTA YA AFYA
Waziri Dorothy Gwajima amesema, "Serikali ya Marekani inatarajia kutoa fedha hizo kwa kipindi cha miaka 5 kuanzia mwaka kesho na zitatumika kuboresha utoaji Huduma za Afya"
Soma - https://jamii.app/MarekaniAfyaTZ
Waziri Dorothy Gwajima amesema, "Serikali ya Marekani inatarajia kutoa fedha hizo kwa kipindi cha miaka 5 kuanzia mwaka kesho na zitatumika kuboresha utoaji Huduma za Afya"
Soma - https://jamii.app/MarekaniAfyaTZ
WAZIRI LUKUVI: MARUFUKU MADALALI KULAZIMISHA KULIPWA POSHO YA MWEZI 1
Asema "Baadhi ya Madalali wanapangisha nyumba halafu wanachukua kwa Wapangaji Kodi ya mwezi. Ni wizi wa mchana kabisa. Wewe umeajiriwa na mwenye nyumba, yeye lazima akulipe wewe"
Soma https://jamii.app/DalaliPosho1
Asema "Baadhi ya Madalali wanapangisha nyumba halafu wanachukua kwa Wapangaji Kodi ya mwezi. Ni wizi wa mchana kabisa. Wewe umeajiriwa na mwenye nyumba, yeye lazima akulipe wewe"
Soma https://jamii.app/DalaliPosho1
MISRI: Marufuku ya Wafanyakazi wa Sekta ya Umma kuingia Ofisini ikiwa hawajachanjwa na kupimwa #COVID19 imeanza kutekelezwa
Zaidi ya watu Milioni 14 Nchini humo wamepata Dozi 2. Serikali inalenga kuchanja 40% ya Raia kufikia mwisho wa mwaka
Soma - https://jamii.app/MarufukuMisri
#UVIKO3 #JFLeo
Zaidi ya watu Milioni 14 Nchini humo wamepata Dozi 2. Serikali inalenga kuchanja 40% ya Raia kufikia mwisho wa mwaka
Soma - https://jamii.app/MarufukuMisri
#UVIKO3 #JFLeo
Wizara ya Mambo ya Ndani imesema itazifutia leseni Jumuiya na Taasisi ambazo zitashindwa kuwasilisha Vyeti, Katiba na Kanuni za Uendeshaji kwa Msajili ndani ya Siku 15
Mikoa ya Mbeya na Songwe yatajwa vinara wa Jumuiya nyingi ambazo hazijasajiliwa
Soma - https://jamii.app/JumuiyaMsajili15
Mikoa ya Mbeya na Songwe yatajwa vinara wa Jumuiya nyingi ambazo hazijasajiliwa
Soma - https://jamii.app/JumuiyaMsajili15
DRC: Mahakama ya Katiba imesema haina uwezo wa kumhukumu aliyekuwa Waziri Mkuu, Seneta Augustin Matata Ponyo anayeshutumiwa kwa Ubadhirifu wa Fedha za ujenzi wa Bustani ya Kilimo
Serikali imetakiwa kutafuta Mahakama itakayopewa Mamlaka ya kuhukumu
Soma - https://jamii.app/PonyoFailedCase
Serikali imetakiwa kutafuta Mahakama itakayopewa Mamlaka ya kuhukumu
Soma - https://jamii.app/PonyoFailedCase
Ripoti ya Uwajibikaji ya WAJIBU 2019/20 imeeleza kuwa, upungufu wa Watumishi unaathiri Utendaji wa Mamlaka ya Serikali za Mitaa na kusababisha utoaji duni wa Huduma za Msingi kama Elimu, Afya na Maji salama
Kutowasilisha makato ya kisheria ya mishahara ya Watumishi katika Taasisi husika huwasababishia usumbufu usio wa lazima unapofika wakati wa kustaafu
Soma - https://jamii.app/MikopoMishahara
#JFUwajibikaji
Kutowasilisha makato ya kisheria ya mishahara ya Watumishi katika Taasisi husika huwasababishia usumbufu usio wa lazima unapofika wakati wa kustaafu
Soma - https://jamii.app/MikopoMishahara
#JFUwajibikaji
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
UGANDA: Milipuko miwili imeripotiwa katika Mji Mkuu wa Nchi hiyo, Kampala. Kuna taarifa za kuwepo majeruhi
Inaripotiwa, Maafisa wa Usalama wameamuru kila mtu kuondolewa Bungeni baada ya mlipuko mojawapo kuripotiwa karibu na eneo la Bunge
Soma - https://jamii.app/UGExplosions
Inaripotiwa, Maafisa wa Usalama wameamuru kila mtu kuondolewa Bungeni baada ya mlipuko mojawapo kuripotiwa karibu na eneo la Bunge
Soma - https://jamii.app/UGExplosions
#SUDAN: Idadi ya waliouawa tangu Jeshi kuchukua Madaraka imefikia Watu 23 huku Raia wakiendelea kuandamana kuupinga Utawala wa Kijeshi
Zaidi ya majeruhi 200 wamerekodiwa hadi sasa, wakiwemo 10 waliojeruhiwa kwa risasi za Moto
Soma - https://jamii.app/DeathTollsSudan
#HumanRights #JFLeo
Zaidi ya majeruhi 200 wamerekodiwa hadi sasa, wakiwemo 10 waliojeruhiwa kwa risasi za Moto
Soma - https://jamii.app/DeathTollsSudan
#HumanRights #JFLeo
DAR: Kesi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na wenzake 3 imeahirishwa hadi Novemba 17, 2021
Jaji Joachim Tiganga ameshindwa kutoa uamuzi juu ya pingamizi lililowasilishwa na upande wa Utetezi kutokana na wingi wa Hoja
Soma - https://jamii.app/MboweKesiJaji
Jaji Joachim Tiganga ameshindwa kutoa uamuzi juu ya pingamizi lililowasilishwa na upande wa Utetezi kutokana na wingi wa Hoja
Soma - https://jamii.app/MboweKesiJaji
VIASHIRIA VYA RUSHWA, UDANGANYIFU NA UBADHIRIFU
Taasisi ya WAJIBU imeainisha kiasi ambacho hakikukusanywa au kimetumika na Serikali pasipo kupata tija kimeongezeka kutoka Tsh. bilioni 232.52 Mwaka 2018/19 hadi Tsh. bilioni 1,770.84 Mwaka 2019/20
Mamlaka za Serikali za Mitaa ndizo zimekuwa na ongezeko kubwa zaidi kutoka Tsh. bilioni 103.93 Mwaka 2018/19 hadi Tsh. bilioni 863.85 Mwaka 2019/20 ambapo kasoro nyingi zilionekana eneo la ununuzi wa Umma na usimamizi wa mikataba
Soma - https://jamii.app/UbadhirifuRushwa
#JFUwajibikaji
Taasisi ya WAJIBU imeainisha kiasi ambacho hakikukusanywa au kimetumika na Serikali pasipo kupata tija kimeongezeka kutoka Tsh. bilioni 232.52 Mwaka 2018/19 hadi Tsh. bilioni 1,770.84 Mwaka 2019/20
Mamlaka za Serikali za Mitaa ndizo zimekuwa na ongezeko kubwa zaidi kutoka Tsh. bilioni 103.93 Mwaka 2018/19 hadi Tsh. bilioni 863.85 Mwaka 2019/20 ambapo kasoro nyingi zilionekana eneo la ununuzi wa Umma na usimamizi wa mikataba
Soma - https://jamii.app/UbadhirifuRushwa
#JFUwajibikaji
UPDATE: Polisi Nchini Uganda wamesema Milipuko iliyotokea #Kampala ilitekelezwa na watu 3 waliojitoa mhanga, na walifariki papo hapo
Raia 3 wamefariki dunia na 33 wamejeruhiwa, ikielezwa idadi ya Vifo inaweza kuwa kubwa kuliko inayoripotiwa
Soma - https://jamii.app/KampalaExplosions
Raia 3 wamefariki dunia na 33 wamejeruhiwa, ikielezwa idadi ya Vifo inaweza kuwa kubwa kuliko inayoripotiwa
Soma - https://jamii.app/KampalaExplosions
KUCHANJA CHANJO YA COVID-19 HUCHUKUA MUDA MFUPI
Wataalamu wa #Afya wanashauri kuwa ni vema kila mmoja kutafuta muda katika ratiba yake ili kupata Chanjo ya #COVID19
Mara nyingi mchakato huo si marefu na hukamilika ndani ya dakika 20
Soma - https://jamii.app/ChanjoMuda
#UVIKO3
Wataalamu wa #Afya wanashauri kuwa ni vema kila mmoja kutafuta muda katika ratiba yake ili kupata Chanjo ya #COVID19
Mara nyingi mchakato huo si marefu na hukamilika ndani ya dakika 20
Soma - https://jamii.app/ChanjoMuda
#UVIKO3
DONDOO ZA KIUSALAMA UNAPOTUMIA MITANDAO YA KIJAMII
1. Rekebisha faragha ya akaunti yako: (Personalize your privacy settings). Pangilia kwa kuchagua nani awe na uwezo wa kuangalia taarifa zako
2. Kabla ya kuweka (post) kitu chochote jiulize endapo kuna ulazima wa kuweka maudhui hayo na Watu watachukuliaje. Maudhui kuhusu masuala yako binafsi yanaweza kuwa mwanya kwa wahalifu
Soma - https://jamii.app/SafetySME
#DigitalSafety
1. Rekebisha faragha ya akaunti yako: (Personalize your privacy settings). Pangilia kwa kuchagua nani awe na uwezo wa kuangalia taarifa zako
2. Kabla ya kuweka (post) kitu chochote jiulize endapo kuna ulazima wa kuweka maudhui hayo na Watu watachukuliaje. Maudhui kuhusu masuala yako binafsi yanaweza kuwa mwanya kwa wahalifu
Soma - https://jamii.app/SafetySME
#DigitalSafety
HOJA: KUMCHAPA MTOTO HUMSAIDIA KUBADILIKA?
Kupitia Shindano la #StoriesOfChange, Mdau wa JF anahoji, je tulishachukua muda kujiuliza viboko Watoto wetu vinawasaidia?
Anasema imekuwa kawaida Mtoto kuchapwa anapokosea kidogo tu, lakini athari zake ni kubwa kulinganisha na faida
Nini maoni yako kuhusu hoja hii?
Soma - https://jamii.app/HojaViboko
#Malezi
Kupitia Shindano la #StoriesOfChange, Mdau wa JF anahoji, je tulishachukua muda kujiuliza viboko Watoto wetu vinawasaidia?
Anasema imekuwa kawaida Mtoto kuchapwa anapokosea kidogo tu, lakini athari zake ni kubwa kulinganisha na faida
Nini maoni yako kuhusu hoja hii?
Soma - https://jamii.app/HojaViboko
#Malezi
Taarifa binafsi ni taarifa yoyote inayokutambulisha, iwe inahusiana na Maisha yako binafsi, Kitaaluma, au ya umma (Mfano: Majina, Namba za Simu, Anwani n.k)
Ni mara ngapi umeshakutana na taarifa za Watu wengine katika Mazingira ambayo hukupaswa kukutana nazo? Kama ni mara nyingi, basi huenda hata taarifa zako zinazagaa bila wewe kujua
Ungana nasi katika Mjadala wa Haki ya faragha na ulinzi wa taarifa binafsi kupitia Clubhouse ya JamiiForums Novemba 18, 2021
#JamiiForums #dataprivacy
Ni mara ngapi umeshakutana na taarifa za Watu wengine katika Mazingira ambayo hukupaswa kukutana nazo? Kama ni mara nyingi, basi huenda hata taarifa zako zinazagaa bila wewe kujua
Ungana nasi katika Mjadala wa Haki ya faragha na ulinzi wa taarifa binafsi kupitia Clubhouse ya JamiiForums Novemba 18, 2021
#JamiiForums #dataprivacy
DKT. ELISHA OSATI: CHANJO ZA COVID-19 HAZISABABISHI DAMU KUGANDA
Tafiti zilizofanyika zimebaini Watu waliokumbwa na shida hiyo walikuwa na matatizo mengine kiafya
Huweza kusababishwa na Shinikizo la Damu, unene kupita kiasi au Kisukari
Soma - https://jamii.app/ChanjoMaswaliMajibu
#UVIKO3
Tafiti zilizofanyika zimebaini Watu waliokumbwa na shida hiyo walikuwa na matatizo mengine kiafya
Huweza kusababishwa na Shinikizo la Damu, unene kupita kiasi au Kisukari
Soma - https://jamii.app/ChanjoMaswaliMajibu
#UVIKO3
Shirika la Afya Duniani (WHO) limeyataka Mataifa kuchukua hatua zaidi kudhibiti uraibu wa Tumbaku inayokadiriwa kuua zaidi ya Watu Milioni 8 kila mwaka
Ripoti imebainisha Watu Bilioni 1.3 Ulimwenguni walikuwa wanatumia Tumbaku mwaka 2020
Soma - https://jamii.app/TumbakuWHO
#JFLeo
Ripoti imebainisha Watu Bilioni 1.3 Ulimwenguni walikuwa wanatumia Tumbaku mwaka 2020
Soma - https://jamii.app/TumbakuWHO
#JFLeo
👍1