CHANJO ZENYE 'VIRUSI HAI' HAZISABABISHI CORONA
Kituo cha CDC kimesema chanjo zenye 'Virusi Hai' hazisababishi mtu kupata #COVID19
Chanjo hizi hutumia virusi visivyo na madhara kuchochea mfumo wa kinga kupambana na unachodhani ni maambukizi
Soma https://jamii.app/LiveVaccine
#UVIKO3
Kituo cha CDC kimesema chanjo zenye 'Virusi Hai' hazisababishi mtu kupata #COVID19
Chanjo hizi hutumia virusi visivyo na madhara kuchochea mfumo wa kinga kupambana na unachodhani ni maambukizi
Soma https://jamii.app/LiveVaccine
#UVIKO3
MICHEZO: Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars leo itavaana na DR Congo katika Mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia hatua ya Makundi. Katika Mchezo wa awali, timu hizo zilitoshana nguvu kwa kufungana bao moja kwa moja Nchini Congo
Mechi hiyo itapigwa katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam, Saa 10 jioni. Taifa Stars inaongoza Kundi J ikiwa na point saba katika michuano hiyo ya kufuzu kucheza Kombe la Dunia 2022
#JamiiForums #Sports #Michezo
Mechi hiyo itapigwa katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam, Saa 10 jioni. Taifa Stars inaongoza Kundi J ikiwa na point saba katika michuano hiyo ya kufuzu kucheza Kombe la Dunia 2022
#JamiiForums #Sports #Michezo
JINSI YA KUJIKINGA NA MAAMBUKIZI YA NJIA YA MKOJO (UTI)
Kunywa Maji mengi kila Siku na kila baada ya haja kubwa ni vizuri kujisafisha kwa kutokea mbele kurudi nyuma
Hakikisha sehemu za siri zipo safi kabla ya kujamiana. Pia, ni vizuri kupata haja ndogo mara baada ya kujamiana
Hakikisha sehemu za Siri zipo kavu, pendelea kuvaa nguo za ndani zilizotengenezwa kwa pamba, zenye kuacha nafasi (loose-fitting)
Soma - https://jamii.app/KingaUTI
#Afya
Kunywa Maji mengi kila Siku na kila baada ya haja kubwa ni vizuri kujisafisha kwa kutokea mbele kurudi nyuma
Hakikisha sehemu za siri zipo safi kabla ya kujamiana. Pia, ni vizuri kupata haja ndogo mara baada ya kujamiana
Hakikisha sehemu za Siri zipo kavu, pendelea kuvaa nguo za ndani zilizotengenezwa kwa pamba, zenye kuacha nafasi (loose-fitting)
Soma - https://jamii.app/KingaUTI
#Afya
Utoaji wa Chanjo ya #COVID19 umekuwa ukihamasishwa kona zote za Dunia huku baadhi ya Nchi zikichukua hatua za kuweka Vikwazo kwa Watu ambao hawajapata Chanjo kurudi Maofisini, kusafiri au kushiriki shughuli za kijamii
Wasiochanja wana sababu mbalimbali ambazo zinawapelekea kusitasita katika kufanya Maamuzi.
Ungana na Jamii Forums katika Mjadala na wasiochanja utakaofanyika Ijumaa, Novemba 12, 2021 kupitia Clubhouse
#JamiiForums #UVIKO3
Wasiochanja wana sababu mbalimbali ambazo zinawapelekea kusitasita katika kufanya Maamuzi.
Ungana na Jamii Forums katika Mjadala na wasiochanja utakaofanyika Ijumaa, Novemba 12, 2021 kupitia Clubhouse
#JamiiForums #UVIKO3
Ripoti ya Wajibu inasema tangu lilipoanza zoezi la utolewaji wa Vitambulisho vya Taifa Mwaka 2012/13, ni Wananchi 5,621,350 tu ndio waliopata Vitambulisho kati ya 21,692,122 walioandikishwa NIDA hadi kufikia Juni, 2020
Mwaka 2016/17 Serikali iliagiza Vitambulisho vya Taifa viwe na Sahihi ya mwenye Kitambulisho, hatua ambayo ilipelekea uwezo wa Mashine katika uzalishaji kushuka kutoka Vitambulisho 3,168,000 hadi 1,584,000 kwa Mwaka
Soma - https://jamii.app/UdhaifuNIDA
#JFUwajibikaji
Mwaka 2016/17 Serikali iliagiza Vitambulisho vya Taifa viwe na Sahihi ya mwenye Kitambulisho, hatua ambayo ilipelekea uwezo wa Mashine katika uzalishaji kushuka kutoka Vitambulisho 3,168,000 hadi 1,584,000 kwa Mwaka
Soma - https://jamii.app/UdhaifuNIDA
#JFUwajibikaji
DAR: Polisi Kanda Maalum wanamshikilia Mtu mmoja mwenye miaka 16 ambaye jina lake linahifadhiwa kwa tuhuma za kumlawiti Mtoto wa miaka 4 mpaka kumsababishia Kifo
Tukio hilo limetokea Novemba 10, 2021 maeneo ya Chamazi Mbande, Temeke
Soma - https://jamii.app/UlawitiMtt4
#UkatiliWatoto
Tukio hilo limetokea Novemba 10, 2021 maeneo ya Chamazi Mbande, Temeke
Soma - https://jamii.app/UlawitiMtt4
#UkatiliWatoto
STEVEN GERRARD ATANGAZWA KUWA KOCHA WA ASTON VILLA
- Klabu ya Aston Villa ya England imemtangaza Nahodha wa zamani wa Liverpool, Steven Gerrard kuwa Kocha wake mpya
- Gerrard aliyekuwa akiinoa Klabu ya Rangers ya Scotland, amesaini mkataba wa miaka mitatu na nusu
#Sports
- Klabu ya Aston Villa ya England imemtangaza Nahodha wa zamani wa Liverpool, Steven Gerrard kuwa Kocha wake mpya
- Gerrard aliyekuwa akiinoa Klabu ya Rangers ya Scotland, amesaini mkataba wa miaka mitatu na nusu
#Sports
TANZIA: Rais wa Zamani (mzungu wa mwisho kuiongoza Afrika Kusini), FW de Klerk amefariki dunia nyumbani kwake Cape Town alipokuwa akijiuguza Saratani ya Mesothelioma
> Alikuwa Mkuu wa Afrika Kusini kuanzia Septemba 1989 hadi Mei 1994
Soma https://jamii.app/RaisAfrikaKusini
> Alikuwa Mkuu wa Afrika Kusini kuanzia Septemba 1989 hadi Mei 1994
Soma https://jamii.app/RaisAfrikaKusini
MWANZA: Mwanafunzi wa Darasa la Nne, Ntogoso Gunya (12) amefariki Dunia baada ya kuliwa na Mamba wakati akioga Kando ya Ziwa Victoria
Tukio hilo limetokea Novemba 10, 2021 saa 11 jioni ambapo juhudi za kuutafuta Mwili zimepata Kichwa pekee
Soma - https://jamii.app/KifoMwnfzMamba
#JFLeo
Tukio hilo limetokea Novemba 10, 2021 saa 11 jioni ambapo juhudi za kuutafuta Mwili zimepata Kichwa pekee
Soma - https://jamii.app/KifoMwnfzMamba
#JFLeo
STARS YACHEZEA 3-0 KWA MKAPA
- #TaifaStars imejikuta katika wakati mgumu baada ya kufungwa goli 3-0 na DR Congo kwenye mchezo wa kufuzu #WC2022
- DR Congo inaongoza Kundi J ikiwa na alama 8. Benin ni ya 2 ikiwa na alama 7 na mchezo 1 mkononi. Stars ni ya 3 ikiwa na alama 7
#JFSports
- #TaifaStars imejikuta katika wakati mgumu baada ya kufungwa goli 3-0 na DR Congo kwenye mchezo wa kufuzu #WC2022
- DR Congo inaongoza Kundi J ikiwa na alama 8. Benin ni ya 2 ikiwa na alama 7 na mchezo 1 mkononi. Stars ni ya 3 ikiwa na alama 7
#JFSports
MSUMBIJI: Rais Filipe Nyusi amewafuta kazi Waziri wa Ulinzi, Jaime Neto na Waziri wa Mambo ya Ndani, Amade Muquidade kwa tuhuma za uzembe na kushindwa kutetea Taifa
> Rais aliyasema hayo katika hotuba yake wakati wa Sherehe za Wanajeshi
Soma https://jamii.app/MawaziriMsumbiji
#JFLeo
> Rais aliyasema hayo katika hotuba yake wakati wa Sherehe za Wanajeshi
Soma https://jamii.app/MawaziriMsumbiji
#JFLeo
MATUMAINI YA TANZANIA KUFUZU KOMBE LA DUNIA 2022 YAZIMIKA
- #TaifaStars imeshindwa kufuzu baada ya Benin kuifunga Madagascar goli 2-0 na yenyewe kufungwa na DR Congo goli 3-0
- Timu moja itasonga mbele. Michezo ya mwisho ni DR Congo vs Benin na Stars vs Madagascar
#JFSports
- #TaifaStars imeshindwa kufuzu baada ya Benin kuifunga Madagascar goli 2-0 na yenyewe kufungwa na DR Congo goli 3-0
- Timu moja itasonga mbele. Michezo ya mwisho ni DR Congo vs Benin na Stars vs Madagascar
#JFSports
Utoaji wa Chanjo ya #COVID19 umekuwa ukihamasishwa kona zote za Dunia huku baadhi ya Nchi zikichukua hatua za kuweka Vikwazo kwa Watu ambao hawajapata Chanjo kurudi Maofisini, kusafiri au kushiriki shughuli za kijamii
Wasiochanja wana sababu mbalimbali ambazo zinawapelekea kusitasita katika kufanya Maamuzi.
Ungana na Jamii Forums katika Mjadala na wasiochanja utakaofanyika Ijumaa, Novemba 12, 2021 kupitia Clubhouse
#JamiiForums #UVIKO3
Wasiochanja wana sababu mbalimbali ambazo zinawapelekea kusitasita katika kufanya Maamuzi.
Ungana na Jamii Forums katika Mjadala na wasiochanja utakaofanyika Ijumaa, Novemba 12, 2021 kupitia Clubhouse
#JamiiForums #UVIKO3
Kwa mujibu wa CCBRT kutengwa kwa Watu wenye Ulemavu mahali pa kazi, ama kwa Ubaguzi au Mazingira ya Kazi yasiyofikika kunaigharimu #Tanzania Dola milioni 480 (Tsh. 1,104,726,985,383) kila Mwaka - 3.76% ya Pato la Taifa
Kaya zinazoongozwa na Watu wenye Ulemavu hukabiliwa na kiwango kikubwa cha Umasikini
Soma - https://jamii.app/WalemavuKazini
#Disabilities
Kaya zinazoongozwa na Watu wenye Ulemavu hukabiliwa na kiwango kikubwa cha Umasikini
Soma - https://jamii.app/WalemavuKazini
#Disabilities
UHABA WA MAFUTA: Mkurugenzi wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Dkt. James Mataragio amesema meli yenye mafuta isipofika ndani ya siku 15 Tanzania itakuwa na uhaba wa mafuta kwa kuwa mafuta yaliyopo yanatosha kutumika wiki mbili tu
Soma https://jamii.app/Mafuta15
Soma https://jamii.app/Mafuta15
WHO imesema kutokana na kiwango kidogo cha upatikanaji wa Chanjo Afrika, Wagonjwa wa Kisukari wanakabiliwa na tishio kubwa la kufariki kwa #COVID19
Uchunguzi uliofanywa kwa Nchi 13 umeonesha kiwango cha Vifo kwa wenye Kisukari kinazidi 10%
Soma - https://jamii.app/KisukariCoronaAF
#UVIKO3
Uchunguzi uliofanywa kwa Nchi 13 umeonesha kiwango cha Vifo kwa wenye Kisukari kinazidi 10%
Soma - https://jamii.app/KisukariCoronaAF
#UVIKO3
UINGEREZA: Mwanzilishi wa Mtandao wa #Wikileaks, Julian Assange ambaye amefungwa jela ya Belmearsh tangu 2019 ameruhusiwa kumuoa mpenzi wake Stella Moris akiwa jela
> Uingereza inatambua haki ya wafungwa ya kuomba kufunga ndoa wakiwa jela
Soma https://jamii.app/NdoaAssange
#JFLeo
> Uingereza inatambua haki ya wafungwa ya kuomba kufunga ndoa wakiwa jela
Soma https://jamii.app/NdoaAssange
#JFLeo