CHELSEA NA ARSENAL KUMENYANA USIKU WA LEO
-
Mchezo huo wa Ligi Kuu ya #England unatarajiwa kuanza majira ya saa 4:15 usiku (EAT) katika Dimba la Stamford Bridge
-
Endapo Chelsea FC itashinda itafikisha alama 67 na kukwea hadi nafasi ya 3 katika msimamo wa Ligi
-
Arsenal FC itasaka ushindi ili kufufua matumaini ya kupigania nafasi ya kufuzu Ligi ya #EUROPA
#EPL #Chelsea #Arsenal
-
Mchezo huo wa Ligi Kuu ya #England unatarajiwa kuanza majira ya saa 4:15 usiku (EAT) katika Dimba la Stamford Bridge
-
Endapo Chelsea FC itashinda itafikisha alama 67 na kukwea hadi nafasi ya 3 katika msimamo wa Ligi
-
Arsenal FC itasaka ushindi ili kufufua matumaini ya kupigania nafasi ya kufuzu Ligi ya #EUROPA
#EPL #Chelsea #Arsenal
RWANDA KUSHEREHEKEA SIKUKUU YA EID EL FITRI KESHO
- Serikali ya Rwanda imetangaza kuwa kesho ni siku ya mapumziko kwa Watumishi wa Umma na Sekta Binafsi baada ya Usharika wa Waislamu nchini humo kutangaza kuwa kesho ni Eid El Fitri
Soma https://jamii.app/EidRwanda
#EidElFitri
- Serikali ya Rwanda imetangaza kuwa kesho ni siku ya mapumziko kwa Watumishi wa Umma na Sekta Binafsi baada ya Usharika wa Waislamu nchini humo kutangaza kuwa kesho ni Eid El Fitri
Soma https://jamii.app/EidRwanda
#EidElFitri
KENYA: WAFANYABIASHARA WAKIMBILIA ETHIOPIA SABABU YA GHARAMA ZA UMEME
> Bei za umeme za Ethiopia zipo chini kwa zaidi ya 80% ukilinganisha na Kenya
> Kampuni kadhaa zimeshahama huku nyingine zikiwa zimefunga shughuli kutokana na bei za umeme
Soma https://jamii.app/UmemeKenya
> Bei za umeme za Ethiopia zipo chini kwa zaidi ya 80% ukilinganisha na Kenya
> Kampuni kadhaa zimeshahama huku nyingine zikiwa zimefunga shughuli kutokana na bei za umeme
Soma https://jamii.app/UmemeKenya
DAR: POLISI WAPIGA MARUFUKU DISKO TOTO KWENYE SIKUKUU YA EID
Kamanda Lazaro Mambosasa amepiga marufuku disko toto katika kumbi za starehe na kuwataka Wananchi kusherehekea Eid El Fitri kwa amani na utulivu ikiwemo kutovunja #Sheria
Soma - https://jamii.app/BanDiskoToto
Kamanda Lazaro Mambosasa amepiga marufuku disko toto katika kumbi za starehe na kuwataka Wananchi kusherehekea Eid El Fitri kwa amani na utulivu ikiwemo kutovunja #Sheria
Soma - https://jamii.app/BanDiskoToto
MWANZA: DC AAGIZA KUONDOLEWA KWA MWALIMU ANAYEDHALILISHA WANAFUNZI
DC wa Magu ameagiza Mwalimu Martin Mambosasa wa Shule ya Msingi Ilungu anayetuhumiwa kuwafanyia michezo michafu Wanafunzi hata 2 ktk kitanda kimoja kuondolewa Wilayani humo
Soma - https://jamii.app/MwlNgonoWanfz
DC wa Magu ameagiza Mwalimu Martin Mambosasa wa Shule ya Msingi Ilungu anayetuhumiwa kuwafanyia michezo michafu Wanafunzi hata 2 ktk kitanda kimoja kuondolewa Wilayani humo
Soma - https://jamii.app/MwlNgonoWanfz
PETRA DIAMONDS KULIPA FIDIA YA TSH. BILIONI 14.02 KWA KUKIUKA HAKI ZA BINADAMU TANZANIA
Kampuni imethibitisha walinzi waliwapiga na kuwatesa wachimbaji wadogo walioingia Mgodi wa Mwadui na kusababisha vifo 7
> Wamekubali kuwalipa fidia wahanga
Soma https://jamii.app/MgodiWalipaFidia
Kampuni imethibitisha walinzi waliwapiga na kuwatesa wachimbaji wadogo walioingia Mgodi wa Mwadui na kusababisha vifo 7
> Wamekubali kuwalipa fidia wahanga
Soma https://jamii.app/MgodiWalipaFidia
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Tausi wana uwezo wa kuruka/kupaa lakini sio kwa umbali mrefu. Mara nyingi hupaa kutoka Ardhini hadi juu ya Mti au dari kutokana na Uzito wa Mabawa yake
Ni mara chache sana kumkuta Tausi akiwa amepaa juu zaidi kama Tai au aina nyingine ya Ndege
#JFLeo
Ni mara chache sana kumkuta Tausi akiwa amepaa juu zaidi kama Tai au aina nyingine ya Ndege
#JFLeo
MATUMIZI MABAYA YA FEDHA NI ADUI WA MAFANIKIO
Kutokuwa na mpangilio wa matumizi ya Pesa ni changamoto inayowakumba wengi ambapo Mtu hutamani kununua kila anachokiona mbele yake
Kukopa pesa ovyo hupelekea madeni yanayowaelemea Watu. Baadhi ya Watu wanakopa bila kuangalia faida au hasara za Mkopo na kujikuta wakilipa Madeni kwa miaka mingi
Soma - https://jamii.app/MatumiziFedha
#Uchumi
Kutokuwa na mpangilio wa matumizi ya Pesa ni changamoto inayowakumba wengi ambapo Mtu hutamani kununua kila anachokiona mbele yake
Kukopa pesa ovyo hupelekea madeni yanayowaelemea Watu. Baadhi ya Watu wanakopa bila kuangalia faida au hasara za Mkopo na kujikuta wakilipa Madeni kwa miaka mingi
Soma - https://jamii.app/MatumiziFedha
#Uchumi
NJOMBE: DC AAGIZA KITUO CHA AFYA KUACHA KUWATOZA FEDHA WATOTO CHINI YA MIAKA MITANO
Kituo cha Afya Makambako huwatoza Watoto Tsh. 4000 ili kumuona Daktari ambapo ni kinyume na Sera ya Afya ya 2007
> Mkuu wa Wilaya ameagiza kusitishwa kwa tabia hiyo
Soma https://jamii.app/WatotoKulipa
Kituo cha Afya Makambako huwatoza Watoto Tsh. 4000 ili kumuona Daktari ambapo ni kinyume na Sera ya Afya ya 2007
> Mkuu wa Wilaya ameagiza kusitishwa kwa tabia hiyo
Soma https://jamii.app/WatotoKulipa
ZIMBABWE: MKE WA MUGABE AITWA MAHAKAMANI KWA KUMZIKA MUMEWE KINYUME NA MILA
Waraka wa Chifu Zvimba umemtaka Grace Mugabe kuufukua mwili ili uzikwe tena kulingana na utamaduni wa Watu wa Zvimba
Pia, alipe faini ya Ng’ombe na Mbuzi kwa kukiuka Mila
Soma - https://jamii.app/GraceMugabeCourt
Waraka wa Chifu Zvimba umemtaka Grace Mugabe kuufukua mwili ili uzikwe tena kulingana na utamaduni wa Watu wa Zvimba
Pia, alipe faini ya Ng’ombe na Mbuzi kwa kukiuka Mila
Soma - https://jamii.app/GraceMugabeCourt
ISRAEL vs PALESTINA: Mpaka sasa Vifo vya Wapalestina vimefikia 83 huku Watu 480 wakijeruhiwa kutokana na Mapigano yanayoendelea
- Mapigano hayo kati ya Israel na kundi la Wanamgambo wa #Hamas yamesababisha uharibifu mkubwa huko Gaza
#GazaUnderAttack #IsraelPalestineConflict
- Mapigano hayo kati ya Israel na kundi la Wanamgambo wa #Hamas yamesababisha uharibifu mkubwa huko Gaza
#GazaUnderAttack #IsraelPalestineConflict
FAINALI YA UEFA KATI YA MAN. CITY NA CHELSEA KUCHEZWA URENO
Mchezo wa Fainali ya kuwania Kombe la Klabu Bingwa Ulaya kati ya #ManchesterCity na #Chelsea umehamishiwa Ureno kutokana na UEFA na Serikali ya Uingereza kutofikia muafaka wa mchezo huo kuchezwa Wembley
UEFA ililazimika kutafuta uwanja mbadala kutokana na mlipuko wa Ugonjwa wa #COVID19 katika nchi ya Uturuki uliosababisha Uingereza kuiweka nchi hiyo katika nchi hatari za kutembelea
#JamiiForums #UCL #JFSports
Mchezo wa Fainali ya kuwania Kombe la Klabu Bingwa Ulaya kati ya #ManchesterCity na #Chelsea umehamishiwa Ureno kutokana na UEFA na Serikali ya Uingereza kutofikia muafaka wa mchezo huo kuchezwa Wembley
UEFA ililazimika kutafuta uwanja mbadala kutokana na mlipuko wa Ugonjwa wa #COVID19 katika nchi ya Uturuki uliosababisha Uingereza kuiweka nchi hiyo katika nchi hatari za kutembelea
#JamiiForums #UCL #JFSports
MAMBO YA KUZINGATIA IKIWA UNAFIKIRIA KUANZA KUJENGA NYUMBA YAKO
1. Fedha: Kabla ya kuanza ujenzi hakikisha una chanzo kizuri cha mapato ambacho kitakurahisishia shughuli ya ujenzi. Pia, ni vyema kuwa makini na matumizi ya fedha katika kila hatua ya ujenzi
2. Mchoro/Ramani: Ikiwa tayari una Kiwanja basi jitahidi kutafuta Msanifu Majengo (Architect) atakayekupa ushauri wa kitaalamu kulingana na kile unachokitaka
Soma - https://jamii.app/NyumbaUjenzi
#Ujenzi
1. Fedha: Kabla ya kuanza ujenzi hakikisha una chanzo kizuri cha mapato ambacho kitakurahisishia shughuli ya ujenzi. Pia, ni vyema kuwa makini na matumizi ya fedha katika kila hatua ya ujenzi
2. Mchoro/Ramani: Ikiwa tayari una Kiwanja basi jitahidi kutafuta Msanifu Majengo (Architect) atakayekupa ushauri wa kitaalamu kulingana na kile unachokitaka
Soma - https://jamii.app/NyumbaUjenzi
#Ujenzi
MDAU: JITAHIDI USIWE SABABU YA NDOA YA RAFIKI YAKO KUVUNJIKA
> Anafafanua, kuvunjika kwa ndoa huweza kuwa na madhara makubwa kwa watoto na wewe kama rafiki usiwe sababu ya hilo
> Anasema rafiki unapaswa kuwa mshauri mzuri ili ndoa iweze kudumu
Soma https://jamii.app/UrafikiNdoa
> Anafafanua, kuvunjika kwa ndoa huweza kuwa na madhara makubwa kwa watoto na wewe kama rafiki usiwe sababu ya hilo
> Anasema rafiki unapaswa kuwa mshauri mzuri ili ndoa iweze kudumu
Soma https://jamii.app/UrafikiNdoa
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemsimamisha kazi Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya ili kupisha uchunguzi wa tuhuma mbalimbali zinazomkabili kuanzia leo, Mei 13, 2021
- Aidha, Rais Samia amefanya teuzi za Viongozi mbalimbali ambao uteuzi wao unaanza leo
#JFLeo
- Aidha, Rais Samia amefanya teuzi za Viongozi mbalimbali ambao uteuzi wao unaanza leo
#JFLeo
TUNAWATAKIA SIKUKUU NJEMA YA EID-AL-FITR
> Bodi, Menejimenti na Wafanyakazi wote wa JamiiForums wanawatakia Waislamu na watu wote kwa ujumla Sikukuu njema ya #EidAlFitr
> Asante kwa kuendelea kuwa pamoja nasi; tunawatakia mapumziko mema!
#EidMubarak #Eid #EidUlFitr
> Bodi, Menejimenti na Wafanyakazi wote wa JamiiForums wanawatakia Waislamu na watu wote kwa ujumla Sikukuu njema ya #EidAlFitr
> Asante kwa kuendelea kuwa pamoja nasi; tunawatakia mapumziko mema!
#EidMubarak #Eid #EidUlFitr
CDC-USA: WALIOMALIZA KUPATA CHANJO WANAWEZA KUTOVAA BARAKOA
Kwa waliomaliza kupatiwa chanjo ya #COVID19 wanaweza kuendelea na shughuli walizosimamisha kwa sababu ya Corona
> Hawatakuwa na haja ya kuvaa barakoa wala kuweka umbali kati ya mtu na mtu
Soma https://jamii.app/BarakoaCDC
Kwa waliomaliza kupatiwa chanjo ya #COVID19 wanaweza kuendelea na shughuli walizosimamisha kwa sababu ya Corona
> Hawatakuwa na haja ya kuvaa barakoa wala kuweka umbali kati ya mtu na mtu
Soma https://jamii.app/BarakoaCDC