KENYA: MAHAKAMA YA JUU YAZUIA MAPENDEKEZO YA KUBADILISHA KATIBA
Mahakama imesema mpango wa BBI ni hatua binafsi ya Rais Kenyatta ambaye hana Mamlaka ya Kisheria kuanzisha mchakato wa mabadiliko yoyote ya #Katiba
Mpango huo unapendekeza mgawanyo wa Madaraka baina ya Makabila hasimu ili kuzuia ghasia zinazotokea kila baada ya Uchaguzi
Soma - https://jamii.app/CourtBBIKE
Mahakama imesema mpango wa BBI ni hatua binafsi ya Rais Kenyatta ambaye hana Mamlaka ya Kisheria kuanzisha mchakato wa mabadiliko yoyote ya #Katiba
Mpango huo unapendekeza mgawanyo wa Madaraka baina ya Makabila hasimu ili kuzuia ghasia zinazotokea kila baada ya Uchaguzi
Soma - https://jamii.app/CourtBBIKE
TAFITI: #COVID19 INAWEZA KUPELEKEA UHANITHI
Watafiti wameandika ktk Jarida la Afya ya Wanaume kuwa Corona huathiri mishipa ya Damu hivyo huweza kupelekea uhanithi
> Wameona haja ya Wanaume kuangaliwa zaidi katika Chanjo ili kuepuka tatizo hilo
Soma https://jamii.app/UhanithCorona
Watafiti wameandika ktk Jarida la Afya ya Wanaume kuwa Corona huathiri mishipa ya Damu hivyo huweza kupelekea uhanithi
> Wameona haja ya Wanaume kuangaliwa zaidi katika Chanjo ili kuepuka tatizo hilo
Soma https://jamii.app/UhanithCorona
MAREKANI: KAMPUNI YA MAFUTA YADAIWA KULIPA DOLA MILIONI 5 KWA WADUKUZI
Usafirishaji wa Mafuta ktk Bomba la Colonial Pipeline, linalobeba zaidi ya galoni Milioni 100 ulisitishwa Mei 7 kwasababu ya shambulio la Kimtandao ila shughuli zilirejea Mei 13
Soma https://jamii.app/ColonialPipelineBack
Usafirishaji wa Mafuta ktk Bomba la Colonial Pipeline, linalobeba zaidi ya galoni Milioni 100 ulisitishwa Mei 7 kwasababu ya shambulio la Kimtandao ila shughuli zilirejea Mei 13
Soma https://jamii.app/ColonialPipelineBack
CHINA YAFANIKIWA KUPELEKA KIFAA KATIKA SAYARI YA 'MARS'
China imekuwa nchi ya pili ktk historia kufanikiwa kufikisha kifaa ktk Sayari Nyekundu au 'Mars' kwa Kiswahili inaitwa 'Mirihi'
Kifaa hicho kimetua, Mei 15, 2021 Asubuhi kitatafiti uwepo wa maisha kwa miezi 3
Soma https://jamii.app/MarsChina
China imekuwa nchi ya pili ktk historia kufanikiwa kufikisha kifaa ktk Sayari Nyekundu au 'Mars' kwa Kiswahili inaitwa 'Mirihi'
Kifaa hicho kimetua, Mei 15, 2021 Asubuhi kitatafiti uwepo wa maisha kwa miezi 3
Soma https://jamii.app/MarsChina
KINONDONI: WALIMU 1,333 KUPANDISHWA VYEO
> Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC) Wilaya ya Kinondoni ipo hatua za mwisho za kukamilisha zoezi la kupandisha vyeo/madaraja Walimu wa Shule za Msingi na Sekondari wa Manispaa ya Kinondoni wenye sifa
Soma https://jamii.app/WalimuVyeo
> Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC) Wilaya ya Kinondoni ipo hatua za mwisho za kukamilisha zoezi la kupandisha vyeo/madaraja Walimu wa Shule za Msingi na Sekondari wa Manispaa ya Kinondoni wenye sifa
Soma https://jamii.app/WalimuVyeo
MAAMBUKIZI YA #COVID19 YARIPOTIWA KUPUNGUA INDIA
Mji wa #Delhi umeshuhudia visa 8,506 vya maambukizi ndani ya saa 24 zilizopita
Katika Mji wa kibiashara wa #Mumbai, maambukizi yameshuka kufikia visa pungufu ya 2,000 kutoka 11,000 kwa siku
Soma - https://jamii.app/FallCoronaIndia
Mji wa #Delhi umeshuhudia visa 8,506 vya maambukizi ndani ya saa 24 zilizopita
Katika Mji wa kibiashara wa #Mumbai, maambukizi yameshuka kufikia visa pungufu ya 2,000 kutoka 11,000 kwa siku
Soma - https://jamii.app/FallCoronaIndia
ABOUBAKARI KUNENGE ATEULIWA RC PWANI
Rais Samia Suluhu amemteua Aboubakari Kunenge kuwa Mkuu wa Mkoa wa Pwani
Kabla ya uteuzi Kunenge alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam na anachukua nafasi ya Mhandisi Evarist Ndikilo ambaye amestaafu
#JFLeo
Rais Samia Suluhu amemteua Aboubakari Kunenge kuwa Mkuu wa Mkoa wa Pwani
Kabla ya uteuzi Kunenge alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam na anachukua nafasi ya Mhandisi Evarist Ndikilo ambaye amestaafu
#JFLeo
QUEEN SENDIGA ATEULIWA KUWA RC IRINGA
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua aliyekuwa Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama cha ADC, Queen Cuthbert Sendiga, kuwa Mkuu wa Mkoa wa Iringa
> Anachukua nafasi ya Ally Hapi aliyeteuliwa kuwa RC Tabora
#JFLeo
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua aliyekuwa Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama cha ADC, Queen Cuthbert Sendiga, kuwa Mkuu wa Mkoa wa Iringa
> Anachukua nafasi ya Ally Hapi aliyeteuliwa kuwa RC Tabora
#JFLeo
AMOS MAKALLA AWA RC DAR ES SALAAM
- Rais Samia Suluhu amemteua Amos Makalla kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam akichukua nafasi ya Aboubakar Kunenge ambaye amekuwa RC Pwani
- Pia, amemteua Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Juma Zuberi Homera kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya
#JFLeo
- Rais Samia Suluhu amemteua Amos Makalla kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam akichukua nafasi ya Aboubakar Kunenge ambaye amekuwa RC Pwani
- Pia, amemteua Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Juma Zuberi Homera kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya
#JFLeo
RUVUMA: WATUMISHI WA MANISPAA YA SONGEA WATUHUMIWA KUJIMILIKISHA MADUKA YA KITUO KIKUU CHA MABASI
> Wananchi wamelalamika kwa DC Pololet Mgema kuwa, Watumishi wamejimilikisha maduka na hawayatumii kwa nia ya kuwapatia wafanyabiashara kwa bei kubwa
Soma https://jamii.app/MadukaSongea
> Wananchi wamelalamika kwa DC Pololet Mgema kuwa, Watumishi wamejimilikisha maduka na hawayatumii kwa nia ya kuwapatia wafanyabiashara kwa bei kubwa
Soma https://jamii.app/MadukaSongea
YANGA NA NAMUNGO ZATOKA SULUHU
Namungo ya Lindi imetoka suluhu na Yanga SC kwa kutofungana katika Mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara
> Mchezo ulichezwa Uwanja wa Majaliwa ulio mkoani Lindi
#JamiiForums #JFMichezo
Namungo ya Lindi imetoka suluhu na Yanga SC kwa kutofungana katika Mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara
> Mchezo ulichezwa Uwanja wa Majaliwa ulio mkoani Lindi
#JamiiForums #JFMichezo