#COVID19: CHANJO YA CHINA YAIDHINISHWA NA SHIRIKA LA AFYA
WHO imetoa idhini ya dharura kwa Chanjo iliyotengenezwa na Kampuni ya China ya #Sinopharm
Japokuwa tayari imetolewa kwa Mamilioni ya watu, idhini ya WHO ni mwongozo kuwa ni Chanjo salama
Soma > https://jamii.app/SinopharmWHO
WHO imetoa idhini ya dharura kwa Chanjo iliyotengenezwa na Kampuni ya China ya #Sinopharm
Japokuwa tayari imetolewa kwa Mamilioni ya watu, idhini ya WHO ni mwongozo kuwa ni Chanjo salama
Soma > https://jamii.app/SinopharmWHO
AYATOLLAH: ISRAEL NI NGOME YA MAGAIDI
Kiongozi wa #Iran, Ayatollah Ali Khamenei, anailaumu #Israel kuhusika katika mashambulizi mfululizo ya Majini kwenye kinu chake na kumuua Mwanasayansi mwandamizi wa Iran
Soma - https://jamii.app/IranVsIsrael
Kiongozi wa #Iran, Ayatollah Ali Khamenei, anailaumu #Israel kuhusika katika mashambulizi mfululizo ya Majini kwenye kinu chake na kumuua Mwanasayansi mwandamizi wa Iran
Soma - https://jamii.app/IranVsIsrael
SHINYANGA: BABA AKAMATWA KWA KUOZESHA MWANAFUNZI
Masele Kuyela (52) na Kaka wa Bwana Harusi wanashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kumwozesha Binti ambaye ni Mwanafunzi wa Kidato cha Pili kwa Mahari ya Ng’ombe sita na Shilingi Laki Mbili
Soma - https://jamii.app/MbaroniMahariMwnfz
Masele Kuyela (52) na Kaka wa Bwana Harusi wanashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kumwozesha Binti ambaye ni Mwanafunzi wa Kidato cha Pili kwa Mahari ya Ng’ombe sita na Shilingi Laki Mbili
Soma - https://jamii.app/MbaroniMahariMwnfz
RASMI: NEYMAR ASAINI MKATABA MPYA NA KLABU YA PSG
- Neymar amesaini mkataba huo utakaomfanya adumu #PSG hadi Juni 2026.
- Mshahara wake unakadiriwa kuwa Bilioni 83.9 za Kitanzania kwa msimu baada ya makato ya kodi.
#JFSports #JamiiForums
- Neymar amesaini mkataba huo utakaomfanya adumu #PSG hadi Juni 2026.
- Mshahara wake unakadiriwa kuwa Bilioni 83.9 za Kitanzania kwa msimu baada ya makato ya kodi.
#JFSports #JamiiForums
MCHEZO WA SIMBA NA YANGA KUCHEZWA SAA 1 JIONI BADALA YA SAA 11 LEO
> Taarifa ya TFF imesema mabadiliko hayo ni kutokana na maelezo ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
> Tayari Yanga SC na Simba SC zimejuzwa juu ya mabadiliko hayo
#JFSports #JamiiForums
> Taarifa ya TFF imesema mabadiliko hayo ni kutokana na maelezo ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
> Tayari Yanga SC na Simba SC zimejuzwa juu ya mabadiliko hayo
#JFSports #JamiiForums
SERIKALI YASITISHA MATUMIZI YA KANUNI MPYA ZA BASATA KUKAGUA NYIMBO
Waziri Innocent Bashungwa amesitisha utekelezaji wa Kanuni mpya kutoka Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) zinazohusu kukagua nyimbo za Wasanii kabla hazijaenda kwa Wananchi
Soma - https://jamii.app/BanKanuniBasata
Waziri Innocent Bashungwa amesitisha utekelezaji wa Kanuni mpya kutoka Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) zinazohusu kukagua nyimbo za Wasanii kabla hazijaenda kwa Wananchi
Soma - https://jamii.app/BanKanuniBasata
EPL: CHELSEA YAIFUNGA MAN. CITY, YAPANDA NAFASI YA 3
Klabu ya Chelsea imeibuka na ushindi wa goli 2-1 dhidi ya Man City iliyokuwa nyumbani uwanja wa Etihad kwenye mchezo wa Ligi Kuu England
> Timu hizo sasa zitakutana Mei 29, 2021 katika Fainali ya Klabu Bingwa barani Ulaya (UEFA Champions League)
#JFSports #MCICHE #chelsea #mancity
Klabu ya Chelsea imeibuka na ushindi wa goli 2-1 dhidi ya Man City iliyokuwa nyumbani uwanja wa Etihad kwenye mchezo wa Ligi Kuu England
> Timu hizo sasa zitakutana Mei 29, 2021 katika Fainali ya Klabu Bingwa barani Ulaya (UEFA Champions League)
#JFSports #MCICHE #chelsea #mancity
#MYANMAR: JESHI LASEMA KUNDI LINALOPINGA UTAWALA WAKE NI MAGAIDI
Jeshi limesema kundi la Serikali ya Umoja wa Kitaifa ni la kigaidi na kulishutumu kwa mashambulizi ya mabomu na mauaji
Maandamano na migomo ya kupinga Utawala wa kijeshi inaendelea
Soma > https://jamii.app/MyanmarCrisis
Jeshi limesema kundi la Serikali ya Umoja wa Kitaifa ni la kigaidi na kulishutumu kwa mashambulizi ya mabomu na mauaji
Maandamano na migomo ya kupinga Utawala wa kijeshi inaendelea
Soma > https://jamii.app/MyanmarCrisis
GHASIA MJINI #JERUSALEM: WATU 200 WAJERUHIWA
Kuna urushaji Maputo ya Moto kutoka #Gaza kuelekea Israel na kushambuliwa kwa Mashamba ya Wapalestina
Polisi wa #Israel wanafyatua Maji ya kuwasha na Risasi za mipira kuwatawanya Wapalestina
Soma - https://jamii.app/JerusalemCrisis
Kuna urushaji Maputo ya Moto kutoka #Gaza kuelekea Israel na kushambuliwa kwa Mashamba ya Wapalestina
Polisi wa #Israel wanafyatua Maji ya kuwasha na Risasi za mipira kuwatawanya Wapalestina
Soma - https://jamii.app/JerusalemCrisis
SERIKALI YATANGAZA AJIRA MPYA 9,675
TAMISEMI imetangaza ajira za Watumishi wa Afya 2,726 kwa ajili ya Hospitali za H/shauri, Vituo vya Afya na Zahanati pia Walimu 6,949 wa S/Msingi na Sekondari watakaofanya kazi chini ya Mamlaka za Serikali za Mitaa
Soma https://jamii.app/AjiraMpya
TAMISEMI imetangaza ajira za Watumishi wa Afya 2,726 kwa ajili ya Hospitali za H/shauri, Vituo vya Afya na Zahanati pia Walimu 6,949 wa S/Msingi na Sekondari watakaofanya kazi chini ya Mamlaka za Serikali za Mitaa
Soma https://jamii.app/AjiraMpya
RAIS SAMIA AMKABIDHI NYUMBA YA KUISHI RAIS MSTAAFU KIKWETE
- Amemkabidhi nyumba hiyo iliyojengwa Wilayani Kinondoni, Dar
- Pia, Rais Samia amemuagiza Waziri wa Utumishi, kuanza maandalizi ya kutimiza haki zote anazostahili Hayati Rais Magufuli
Soma https://jamii.app/SamiaNyumbaKikwete
- Amemkabidhi nyumba hiyo iliyojengwa Wilayani Kinondoni, Dar
- Pia, Rais Samia amemuagiza Waziri wa Utumishi, kuanza maandalizi ya kutimiza haki zote anazostahili Hayati Rais Magufuli
Soma https://jamii.app/SamiaNyumbaKikwete
KAMANDA MUROTO: WANAOPANGA KUANDAMANA WATAKIPATA WANACHOKITAFUTA
Kamanda wa Polisi Mkoani Dodoma amewaonya Wafuasi wa CHADEMA waliopanga kuandamana kutokea Geita ili kumshinikiza Spika Job Ndugai kuwafukuza Wabunge 19 wa Viti Maalum
Soma - https://jamii.app/MurotoOnyoBawacha
#JFLeo #Siasa
Kamanda wa Polisi Mkoani Dodoma amewaonya Wafuasi wa CHADEMA waliopanga kuandamana kutokea Geita ili kumshinikiza Spika Job Ndugai kuwafukuza Wabunge 19 wa Viti Maalum
Soma - https://jamii.app/MurotoOnyoBawacha
#JFLeo #Siasa
#COVID19: VIRUSI VYA INDIA NA UINGEREZA VYAGUNDULIKA AFRIKA KUSINI
Virusi vya Corona vinavyojulikana kama B.1.617.2 na B.1.1.7 vimethibitika Majimbo ya Guateng na KwaZulu-Natal
Waliokutwa na maambukizi ni wenye historia ya kusafiri ktk nchi hizo
Soma > https://jamii.app/VirusiSA
Virusi vya Corona vinavyojulikana kama B.1.617.2 na B.1.1.7 vimethibitika Majimbo ya Guateng na KwaZulu-Natal
Waliokutwa na maambukizi ni wenye historia ya kusafiri ktk nchi hizo
Soma > https://jamii.app/VirusiSA
SOMALIA: POLISI WATANO WAUAWA KATIKA SHAMBULIO LA KUJITOA MHANGA
> Pia, raia zaidi ya sita wameuawa ktk shambulio hilo lililofanyika Mei 9, 2021, saa tatu na nusu usiku, Mjini Mogadishu
> Kati ya Polisi watano waliouawa wawili ni Makamanda
Soma https://jamii.app/SomaliaBomu
#Ugaidi
> Pia, raia zaidi ya sita wameuawa ktk shambulio hilo lililofanyika Mei 9, 2021, saa tatu na nusu usiku, Mjini Mogadishu
> Kati ya Polisi watano waliouawa wawili ni Makamanda
Soma https://jamii.app/SomaliaBomu
#Ugaidi