UMOJA WA ULAYA HAUJAONGEZA MKATABA WA KUPATA CHANJO YA ASTRAZENECA
Mkataba wa Umoja wa Ulaya (EU) na #AstraZeneca utaisha mwezi Juni
> Mei 8, Kamisheni ya EU iliingia makubaliano ya hadi 2023 na BioNTech/Pfizer ya ununuzi wa dozi za nyongeza
Soma https://jamii.app/AstrazenecaVsEU
Mkataba wa Umoja wa Ulaya (EU) na #AstraZeneca utaisha mwezi Juni
> Mei 8, Kamisheni ya EU iliingia makubaliano ya hadi 2023 na BioNTech/Pfizer ya ununuzi wa dozi za nyongeza
Soma https://jamii.app/AstrazenecaVsEU
WAZIRI MKUU: WIZARA ITOE TAARIFA HARAKA KUHUSU MCHEZO WA SIMBA NA YANGA
Kassim Majaliwa ameagiza Wizara ya Michezo kutoa taarifa haraka kuhusu Mechi kati ya Simba SC na Yanga SC na hatma ya waliolipa viingilio vya Mchezo ulioahirishwa
Soma - https://jamii.app/MajaliwaSimbaYanga
Kassim Majaliwa ameagiza Wizara ya Michezo kutoa taarifa haraka kuhusu Mechi kati ya Simba SC na Yanga SC na hatma ya waliolipa viingilio vya Mchezo ulioahirishwa
Soma - https://jamii.app/MajaliwaSimbaYanga
SUDAN KUSINI: BUNGE LAVUNJWA KUTEKELEZA MAKUBALIANO YA AMANI
Rais Salva Kiir atateua Wabunge wapya kutoka pande mbili zilizokuwa na mzozo
Mzozo ulianza 2013 baada ya Rais Kiir anayetokea jamii ya Wadinka kumfukuza kazi Makamu wake, Riek Machar
Soma > https://jamii.app/BungeSudanKusini
Rais Salva Kiir atateua Wabunge wapya kutoka pande mbili zilizokuwa na mzozo
Mzozo ulianza 2013 baada ya Rais Kiir anayetokea jamii ya Wadinka kumfukuza kazi Makamu wake, Riek Machar
Soma > https://jamii.app/BungeSudanKusini
RAIS SAMIA APOKEA HATI ZA UTAMBULISHO WA MABALOZI WATANO
- Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amepokea Hati za Utambulisho za Balozi Lebbius Taten Tobias (Namibia), Balozi Mary O'Nell (Ireland), Balozi Dkt. Mehmet Gulluoglu (Uturuki), Balozi Marco Lombardi (Italia) na Balozi Ricardo Ambrosio Sampaio Mtumbuida (Msumbiji)
#JamiiForums
- Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amepokea Hati za Utambulisho za Balozi Lebbius Taten Tobias (Namibia), Balozi Mary O'Nell (Ireland), Balozi Dkt. Mehmet Gulluoglu (Uturuki), Balozi Marco Lombardi (Italia) na Balozi Ricardo Ambrosio Sampaio Mtumbuida (Msumbiji)
#JamiiForums
TABIA NJEMA INAJENGWA NA MALEZI, DINI AU NI HULKA ASILIA YA MTU?
- Mdau wa JamiiForums anasema kuna Watoto ambao wamelelewa na Watu wenye Maadili mema na misingi ya Dini lakini wao wana Tabia mbaya
- Wengine hawakupata Malezi mazuri wala misingi ya Dini lakini wana tabia njema. Je, tabia njema inajengwa na Malezi, Dini au ni Hulka asilia ya Mtu?
Mjadala - https://jamii.app/TabiaDiniMalezi
#Maisha
- Mdau wa JamiiForums anasema kuna Watoto ambao wamelelewa na Watu wenye Maadili mema na misingi ya Dini lakini wao wana Tabia mbaya
- Wengine hawakupata Malezi mazuri wala misingi ya Dini lakini wana tabia njema. Je, tabia njema inajengwa na Malezi, Dini au ni Hulka asilia ya Mtu?
Mjadala - https://jamii.app/TabiaDiniMalezi
#Maisha
KOROGWE-TANGA: MADIWANI WAJISAIDIA VICHAKANI
Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe unaotumiwa na Madiwani umeripotiwa kuwa na uhaba wa matundu ya vyoo
> DC Kissa Kasongwa amekiri kuwepo kwa changamoto hiyo lakini amesema ipo nje ya uwezo wake
Soma https://jamii.app/MadiwaniKorogwe
Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe unaotumiwa na Madiwani umeripotiwa kuwa na uhaba wa matundu ya vyoo
> DC Kissa Kasongwa amekiri kuwepo kwa changamoto hiyo lakini amesema ipo nje ya uwezo wake
Soma https://jamii.app/MadiwaniKorogwe
MICHEZO: Mchezo wa kati ya Simba na Coastal Union uliopangwa kuchezwa Mei 11 umeahirishwa na utapangiwa tarehe nyingine
- Simba wanasafiri siku hiyo kwenda Afrika Kusini kwa ajili ya robo fainali ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika(CAFCL) dhidi ya Kaizer Chiefs Mei 14
#Sports
- Simba wanasafiri siku hiyo kwenda Afrika Kusini kwa ajili ya robo fainali ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika(CAFCL) dhidi ya Kaizer Chiefs Mei 14
#Sports
EDINSON CAVANI AONGEZA MKATABA HADI JUNI 2022 MAN U
> Bodi ya Manchester Utd pamoja na Kocha Ole Gunnar Solskjær walikuwa wakimshawishi #Cavani kuongeza mkataba
> Klabu hiyo ya Jijini #Manchester inajipanga kutangaza makubaliano hayo
#MUFC #ManUTD
> Bodi ya Manchester Utd pamoja na Kocha Ole Gunnar Solskjær walikuwa wakimshawishi #Cavani kuongeza mkataba
> Klabu hiyo ya Jijini #Manchester inajipanga kutangaza makubaliano hayo
#MUFC #ManUTD
KIBAHA: WAWILI WALIOTOKA JELA KWA MSAMAHA WAUAWA KWA TUHUMA ZA WIZI
Ramadhani Mohamed (28) na Iddi Hamisi Chuga (30) wameuawa kwa kupigwa na raia alfajiri ya Mei 8
> Walifungwa kwa makosa ya wizi na walipata msamaha wa Rais Aprili 12, 2021
Soma https://jamii.app/KibahaWaliosamehewa
Ramadhani Mohamed (28) na Iddi Hamisi Chuga (30) wameuawa kwa kupigwa na raia alfajiri ya Mei 8
> Walifungwa kwa makosa ya wizi na walipata msamaha wa Rais Aprili 12, 2021
Soma https://jamii.app/KibahaWaliosamehewa
UJERUMANI YAIPA TANZANIA TSH. BILIONI 56 KUSAIDIA UHIFADHI NCHI
Waziri wa Maliasili na #Utalii, Dkt. Damas Ndumbaro amesema miradi inayofadhiliwa ina umuhimu mkubwa katika Uhifadhi
> Mradi utadumu kwa miaka 3, utaanza baada ya bajeti kupitishwa
Soma https://jamii.app/UhifadhiNchi
Waziri wa Maliasili na #Utalii, Dkt. Damas Ndumbaro amesema miradi inayofadhiliwa ina umuhimu mkubwa katika Uhifadhi
> Mradi utadumu kwa miaka 3, utaanza baada ya bajeti kupitishwa
Soma https://jamii.app/UhifadhiNchi
UNAPOTEZEAJE KUMPA SHIKAMOO MTU AMBAYE HUNA UHAKIKA KAMA AMEKUZIDI UMRI?
Kuna baadhi ya Watu wana mwonekano ambao ni vigumu kujua kama umri wake ni mdogo au mkubwa, hivyo kukufanya uwe njia panda kumpa Shikamoo au la
Je, ukikutana na Watu wa aina hii unatoa salamu ya aina gani?
Mjadala zaidi - https://jamii.app/SalamuUmri
#Maisha
Kuna baadhi ya Watu wana mwonekano ambao ni vigumu kujua kama umri wake ni mdogo au mkubwa, hivyo kukufanya uwe njia panda kumpa Shikamoo au la
Je, ukikutana na Watu wa aina hii unatoa salamu ya aina gani?
Mjadala zaidi - https://jamii.app/SalamuUmri
#Maisha
SUA-APOPO: PANYA WANAWEZA KUTAMBUA MAAMBUKIZI YA COVID19
Watafiti wa SUA-APOPO wamesema walifanikiwa kuwafunza panya wabaini Kifua Kikuu hivyo wataweza kubaini Corona
> Wamesema kila kimelea kina harufu tofauti, ni rahisi kwa panya kuzitofautisha
Soma https://jamii.app/PanyaCOVID19
Watafiti wa SUA-APOPO wamesema walifanikiwa kuwafunza panya wabaini Kifua Kikuu hivyo wataweza kubaini Corona
> Wamesema kila kimelea kina harufu tofauti, ni rahisi kwa panya kuzitofautisha
Soma https://jamii.app/PanyaCOVID19