Hotuba ya Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kwenye Mkutano na Wazee wa Mkoa wa Dar es Salaam leo Mei 07, 2021
#JamiiForums
#JamiiForums
SHINYANGA: MBARONI KWA KUMUUA MKEWE AKIDAI ANATUMIA ARV KWA SIRI
Peter Elias alimpiga Pili Luhende baada ya kubaini anatumia Dawa za Kufubaza Virusi vya UKIMWI kwa kuficha
Alipobaini amefariki alitupa mwili maeneo ya Daraja la Mwagala
Soma > https://jamii.app/MauajiShy
Peter Elias alimpiga Pili Luhende baada ya kubaini anatumia Dawa za Kufubaza Virusi vya UKIMWI kwa kuficha
Alipobaini amefariki alitupa mwili maeneo ya Daraja la Mwagala
Soma > https://jamii.app/MauajiShy
#COVID19: CHANJO YA CHINA YAIDHINISHWA NA SHIRIKA LA AFYA
WHO imetoa idhini ya dharura kwa Chanjo iliyotengenezwa na Kampuni ya China ya #Sinopharm
Japokuwa tayari imetolewa kwa Mamilioni ya watu, idhini ya WHO ni mwongozo kuwa ni Chanjo salama
Soma > https://jamii.app/SinopharmWHO
WHO imetoa idhini ya dharura kwa Chanjo iliyotengenezwa na Kampuni ya China ya #Sinopharm
Japokuwa tayari imetolewa kwa Mamilioni ya watu, idhini ya WHO ni mwongozo kuwa ni Chanjo salama
Soma > https://jamii.app/SinopharmWHO
AYATOLLAH: ISRAEL NI NGOME YA MAGAIDI
Kiongozi wa #Iran, Ayatollah Ali Khamenei, anailaumu #Israel kuhusika katika mashambulizi mfululizo ya Majini kwenye kinu chake na kumuua Mwanasayansi mwandamizi wa Iran
Soma - https://jamii.app/IranVsIsrael
Kiongozi wa #Iran, Ayatollah Ali Khamenei, anailaumu #Israel kuhusika katika mashambulizi mfululizo ya Majini kwenye kinu chake na kumuua Mwanasayansi mwandamizi wa Iran
Soma - https://jamii.app/IranVsIsrael
SHINYANGA: BABA AKAMATWA KWA KUOZESHA MWANAFUNZI
Masele Kuyela (52) na Kaka wa Bwana Harusi wanashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kumwozesha Binti ambaye ni Mwanafunzi wa Kidato cha Pili kwa Mahari ya Ng’ombe sita na Shilingi Laki Mbili
Soma - https://jamii.app/MbaroniMahariMwnfz
Masele Kuyela (52) na Kaka wa Bwana Harusi wanashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kumwozesha Binti ambaye ni Mwanafunzi wa Kidato cha Pili kwa Mahari ya Ng’ombe sita na Shilingi Laki Mbili
Soma - https://jamii.app/MbaroniMahariMwnfz
RASMI: NEYMAR ASAINI MKATABA MPYA NA KLABU YA PSG
- Neymar amesaini mkataba huo utakaomfanya adumu #PSG hadi Juni 2026.
- Mshahara wake unakadiriwa kuwa Bilioni 83.9 za Kitanzania kwa msimu baada ya makato ya kodi.
#JFSports #JamiiForums
- Neymar amesaini mkataba huo utakaomfanya adumu #PSG hadi Juni 2026.
- Mshahara wake unakadiriwa kuwa Bilioni 83.9 za Kitanzania kwa msimu baada ya makato ya kodi.
#JFSports #JamiiForums
MCHEZO WA SIMBA NA YANGA KUCHEZWA SAA 1 JIONI BADALA YA SAA 11 LEO
> Taarifa ya TFF imesema mabadiliko hayo ni kutokana na maelezo ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
> Tayari Yanga SC na Simba SC zimejuzwa juu ya mabadiliko hayo
#JFSports #JamiiForums
> Taarifa ya TFF imesema mabadiliko hayo ni kutokana na maelezo ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
> Tayari Yanga SC na Simba SC zimejuzwa juu ya mabadiliko hayo
#JFSports #JamiiForums
SERIKALI YASITISHA MATUMIZI YA KANUNI MPYA ZA BASATA KUKAGUA NYIMBO
Waziri Innocent Bashungwa amesitisha utekelezaji wa Kanuni mpya kutoka Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) zinazohusu kukagua nyimbo za Wasanii kabla hazijaenda kwa Wananchi
Soma - https://jamii.app/BanKanuniBasata
Waziri Innocent Bashungwa amesitisha utekelezaji wa Kanuni mpya kutoka Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) zinazohusu kukagua nyimbo za Wasanii kabla hazijaenda kwa Wananchi
Soma - https://jamii.app/BanKanuniBasata