DOGO JANJA AHOJIWA KWA MADAI YA KUHAMASISHA ABIRIA KUTOPIMA #COVID19
Msanii Abdulaziz Chende (26) aliyerudi kutoka Afrika Kusini amelalamika kwamba alifanya Kipimo alikotoka lakini Cheti kilikataliwa na kutakiwa kulipa fedha ili kupima upya
Kamanda wa Kikosi cha Viwanja vya Ndege Nchini, Jeremia Shila, amesema wanaendelea na uchunguzi ili kubaini kama tuhuma zinazomkabili Dogo Janja na Wenzake wawili ni za jinai ili wafikishwe Mahakamani.
Soma - https://jamii.app/DogoJanjaCorona
Msanii Abdulaziz Chende (26) aliyerudi kutoka Afrika Kusini amelalamika kwamba alifanya Kipimo alikotoka lakini Cheti kilikataliwa na kutakiwa kulipa fedha ili kupima upya
Kamanda wa Kikosi cha Viwanja vya Ndege Nchini, Jeremia Shila, amesema wanaendelea na uchunguzi ili kubaini kama tuhuma zinazomkabili Dogo Janja na Wenzake wawili ni za jinai ili wafikishwe Mahakamani.
Soma - https://jamii.app/DogoJanjaCorona
AAR YATANGAZA KUFILISIWA. YAFUNGA KLINIKI ZAKE NA KUUZA VIFAA VYA MATIBABU
Kampuni ya AAR Healthcare (T) Ltd imetangaza kuuza vifaa vyote vilivyopo kwenye Kliniki zake 7
Aprili 28, 2021 Wafanyakazi waliandamana wakidai kulipwa stahiki zao
Soma - https://jamii.app/AARYafilisiwa
Kampuni ya AAR Healthcare (T) Ltd imetangaza kuuza vifaa vyote vilivyopo kwenye Kliniki zake 7
Aprili 28, 2021 Wafanyakazi waliandamana wakidai kulipwa stahiki zao
Soma - https://jamii.app/AARYafilisiwa
MBUNGE ASHAURI KUWEPO SERA YA WATANZANIA KUVUNA MAJI YA MVUA
Dkt. Alfred Kimea ameshauri kutengenezwa Sera itakayowafanya Watanzania wawe na tabia ya kuvuna Maji ya Mvua
Amesema, "Kila Mtanzania mwenye Nyumba ya Bati tayari ana chanzo cha Maji"
Soma > https://jamii.app/SeraMajiMvua
Dkt. Alfred Kimea ameshauri kutengenezwa Sera itakayowafanya Watanzania wawe na tabia ya kuvuna Maji ya Mvua
Amesema, "Kila Mtanzania mwenye Nyumba ya Bati tayari ana chanzo cha Maji"
Soma > https://jamii.app/SeraMajiMvua
Parachichi pia lina faida zifuatazo;
- Parachichi husaidia afya ya Mama Mjamzito na ukuaji wa mtoto aliye tumboni
- Parachichi husaidia afya ya Mama Mjamzito na ukuaji wa mtoto aliye tumboni
#JamiiTalks #JamiiForums
- Parachichi husaidia afya ya Mama Mjamzito na ukuaji wa mtoto aliye tumboni
- Parachichi husaidia afya ya Mama Mjamzito na ukuaji wa mtoto aliye tumboni
#JamiiTalks #JamiiForums
SERIKALI: TANZANIA HAINA WAFUNGWA WA KISIASA
Serikali imesema hayo leo Mei 07, 2021 baada ya Chombo cha Habari kutoka Nchi jirani kuripoti Rais Samia Suluhu Hassan ametoa agizo la kuachiwa Wafungwa 23 wa Kisiasa Nchini
Soma > https://jamii.app/TZWafungwaSiasa
Serikali imesema hayo leo Mei 07, 2021 baada ya Chombo cha Habari kutoka Nchi jirani kuripoti Rais Samia Suluhu Hassan ametoa agizo la kuachiwa Wafungwa 23 wa Kisiasa Nchini
Soma > https://jamii.app/TZWafungwaSiasa
Baadhi ya aliyosema Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa Dar mbele ya Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Mei 07, 2021 Ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam
Hotuba ya Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kwenye Mkutano na Wazee wa Mkoa wa Dar es Salaam leo Mei 07, 2021
#JamiiForums
#JamiiForums
SHINYANGA: MBARONI KWA KUMUUA MKEWE AKIDAI ANATUMIA ARV KWA SIRI
Peter Elias alimpiga Pili Luhende baada ya kubaini anatumia Dawa za Kufubaza Virusi vya UKIMWI kwa kuficha
Alipobaini amefariki alitupa mwili maeneo ya Daraja la Mwagala
Soma > https://jamii.app/MauajiShy
Peter Elias alimpiga Pili Luhende baada ya kubaini anatumia Dawa za Kufubaza Virusi vya UKIMWI kwa kuficha
Alipobaini amefariki alitupa mwili maeneo ya Daraja la Mwagala
Soma > https://jamii.app/MauajiShy