BAKWATA: SIKUKUU YA EID KUSHEREHEKEWA MEI 13 AU MEI 14, 2021
- BAKWATA inawajulisha Wananchi wote Sikukuu ya EID EL-FITR itakuwa Mei 13 au 14 kutegemea kuandama kwa mwezi
- Swala ya Eid itaswaliwa Viwanja vya Mnazi Mmoja saa 1:30 asubuhi
Soma - https://jamii.app/BakwataEidElFitr
- BAKWATA inawajulisha Wananchi wote Sikukuu ya EID EL-FITR itakuwa Mei 13 au 14 kutegemea kuandama kwa mwezi
- Swala ya Eid itaswaliwa Viwanja vya Mnazi Mmoja saa 1:30 asubuhi
Soma - https://jamii.app/BakwataEidElFitr
MBUNGE KISHIMBA: VYUO VITAFUTE AJIRA KABLA YA KUSAJILI WANAFUNZI
- Mbunge wa Kahama Mjini asema Wazazi wamechoshwa na mfumo wa Elimu unavyofilisi mali zao tofauti na matarajio
- Ashauri Degree isomwe kwa miezi 8 ili Mtu aendelee na maisha mengine
Soma - https://jamii.app/KishimbaVyuoAjira
- Mbunge wa Kahama Mjini asema Wazazi wamechoshwa na mfumo wa Elimu unavyofilisi mali zao tofauti na matarajio
- Ashauri Degree isomwe kwa miezi 8 ili Mtu aendelee na maisha mengine
Soma - https://jamii.app/KishimbaVyuoAjira
MBUNGE NOAH: WATOTO WANACHUKIA SHULE KWASABABU YA LUGHA, TUNAWATESA KISAIKOLOJIA
- Mbunge wa Arumeru Magharibi amesema vikwazo vya Elimu viko vingi ikiwemo Lugha ya kufundishia, Chakula, Uhaba wa Walimu na kukosekana kwa Sera ya Elimu ujuzi
Soma - https://jamii.app/LughaShuleMbunge
- Mbunge wa Arumeru Magharibi amesema vikwazo vya Elimu viko vingi ikiwemo Lugha ya kufundishia, Chakula, Uhaba wa Walimu na kukosekana kwa Sera ya Elimu ujuzi
Soma - https://jamii.app/LughaShuleMbunge
LIGI YA MABINGWA ULAYA: JE, TIMU ZA EPL KUKUTANA FAINALI?
- Chelsea inahitaji sare tasa au ushindi wowote huku Madrid wakihitaji sare ya zaidi ya bao moja au ushindi wowote
- Je, Waingereza watakutana Fainali au Zidane ataibuka kidedea?
Soma > https://jamii.app/ChelMadrid
#CHERMA
- Chelsea inahitaji sare tasa au ushindi wowote huku Madrid wakihitaji sare ya zaidi ya bao moja au ushindi wowote
- Je, Waingereza watakutana Fainali au Zidane ataibuka kidedea?
Soma > https://jamii.app/ChelMadrid
#CHERMA
MBUNGE MWIJAGE: NASHINDWA KWENDA MISIBANI WANANIONA MCHAWI, MNISAIDIE
- Mbunge wa Muleba Kaskazini amesema Wananchi wanamwona kama mchawi kutokana na Wanafunzi kufariki Ziwani wakati wa kwenda Shuleni
- Aiomba Serikali kujenga Mabweni ktk Shule ya Bumbile ili Wanafunzi waache kusafiri kila mara
Soma - https://jamii.app/MulebaBweni
- Mbunge wa Muleba Kaskazini amesema Wananchi wanamwona kama mchawi kutokana na Wanafunzi kufariki Ziwani wakati wa kwenda Shuleni
- Aiomba Serikali kujenga Mabweni ktk Shule ya Bumbile ili Wanafunzi waache kusafiri kila mara
Soma - https://jamii.app/MulebaBweni
VYAKULA VINAVYOIMARISHA UWEZO WA KUONA (MACHO)
- Karoti: Zina utajiri mkubwa wa Vitamini A na Beta Carotene ambazo huboresha uwezo wa kuona na kuyalinda Macho kutokana na Umri
- Samaki: Wana Mafuta ya Omega-3 ambayo ni muhimu kwa ajili ya kuzuia kunyauka kwa Macho, kudhoofu kwa misuli na hata Mtoto wa Jicho
- Karanga na jamii zake: Vina Asidi ya Mafuta ya Omega-3 pamoja na kiwango kikubwa cha Vitamini E
- Nyama ya Ngβombe: Ina Madini ya Zinc ambayo huuwezesha Mwili kufyonza Vitamini A ambayo ni muhimu kwa Macho.
Soma - https://jamii.app/VyakulaMacho
#LisheChakula
- Karoti: Zina utajiri mkubwa wa Vitamini A na Beta Carotene ambazo huboresha uwezo wa kuona na kuyalinda Macho kutokana na Umri
- Samaki: Wana Mafuta ya Omega-3 ambayo ni muhimu kwa ajili ya kuzuia kunyauka kwa Macho, kudhoofu kwa misuli na hata Mtoto wa Jicho
- Karanga na jamii zake: Vina Asidi ya Mafuta ya Omega-3 pamoja na kiwango kikubwa cha Vitamini E
- Nyama ya Ngβombe: Ina Madini ya Zinc ambayo huuwezesha Mwili kufyonza Vitamini A ambayo ni muhimu kwa Macho.
Soma - https://jamii.app/VyakulaMacho
#LisheChakula
MKURANGA: SERIKALI YAFUNGA KIWANDA CHA NONDO KUTOKANA NA VIFO VYA WAFANYAKAZI
- NEMC imekifunga Kiwanda cha Fujian Hexingwang kwa kukosa mazingira Salama ya kazi
- Wafanyakazi 2 wamefariki ktk mlipuko wa tanuru la kuyeyusha vyuma chakavu
Soma - https://jamii.app/NondoVifo2
- NEMC imekifunga Kiwanda cha Fujian Hexingwang kwa kukosa mazingira Salama ya kazi
- Wafanyakazi 2 wamefariki ktk mlipuko wa tanuru la kuyeyusha vyuma chakavu
Soma - https://jamii.app/NondoVifo2
Fainali ya #UCL itachezwa Mei 29 na itazikutanisha timu mbili za England - Chelsea na Man City
#uefachampionsleague
#uefachampionsleague
CANADA: PFIZER YAIDHINISHWA KWA WATOTO WENYE MIAKA 12-15
- Inakuwa Nchi ya kwanza kutoa idhini kwa walio na umri huo
- Mamlaka imesema Chanjo hiyo dhidi ya #COVID19 ni salama na inafanya kazi inapotumika kwa walio na umri mdogo
Soma > https://jamii.app/PfizerCanada
- Inakuwa Nchi ya kwanza kutoa idhini kwa walio na umri huo
- Mamlaka imesema Chanjo hiyo dhidi ya #COVID19 ni salama na inafanya kazi inapotumika kwa walio na umri mdogo
Soma > https://jamii.app/PfizerCanada
GWAJIMA: NCHI NI LAZIMA IWE NA MAONO YA MIAKA MINGI
- Mbunge wa Jimbo la Kawe, Askofu Josephat Gwajima, amesema kwasasa #Tanzania haina maono ya muda mrefu kwaajili ya Maendeleo ya Wananchi bali kuna Ilani za Vyama na mipango ya muda mfupi
Soma - https://jamii.app/GwajimaMaonoNchi
- Mbunge wa Jimbo la Kawe, Askofu Josephat Gwajima, amesema kwasasa #Tanzania haina maono ya muda mrefu kwaajili ya Maendeleo ya Wananchi bali kuna Ilani za Vyama na mipango ya muda mfupi
Soma - https://jamii.app/GwajimaMaonoNchi
MBUNGE IGHONDO: MIKOPO YA ELIMU ITOLEWE NA KWENYE VYUO VYA UFUNDI
- Mbunge wa Singida Kaskazini ameiomba Serikali kuwawezesha Mwanafunzi wa Vyuo vya Ufundi kwasababu hawa wanakwenda kufanya kazi moja kwa moja badala ya kusubiri kuajiriwa
Soma - https://jamii.app/MikopoUfundi
- Mbunge wa Singida Kaskazini ameiomba Serikali kuwawezesha Mwanafunzi wa Vyuo vya Ufundi kwasababu hawa wanakwenda kufanya kazi moja kwa moja badala ya kusubiri kuajiriwa
Soma - https://jamii.app/MikopoUfundi
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
RAIS SAMIA: NAKWENDA KUFUNGUA NCHI, MAENEO YA KUJENGA UCHUMI YAPO
- Akiwa Kenya amesema "Mmekuwa mkinitukana sana kwenye mitandao. Unakwenda kubomoa yaliyojengwa kwa muda mrefu"
- Asema anajiandaa kufanya mkutano na Sekta Binafsi ili kuzungumzia kero
Soma https://jamii.app/RaisWafanyabiashara
- Akiwa Kenya amesema "Mmekuwa mkinitukana sana kwenye mitandao. Unakwenda kubomoa yaliyojengwa kwa muda mrefu"
- Asema anajiandaa kufanya mkutano na Sekta Binafsi ili kuzungumzia kero
Soma https://jamii.app/RaisWafanyabiashara
Hivi karibuni BASATA ilimtaka Mwanamuziki Nay wa Mitego kusitisha kupeleka kwenye Vyombo vya Habari na Mitandao wimbo wake wa 'Mama' kwa madai Maudhui yake yanakinzana na kanuni za BASATA
Jambo hili limezua hisia hasi miongoni mwa Wasanii pamoja na Jamii
#Sanaa #Arts #JamiiForums
Jambo hili limezua hisia hasi miongoni mwa Wasanii pamoja na Jamii
#Sanaa #Arts #JamiiForums
MBUNGE: MATAMKO YA KISIASA YANAATHIRI ELIMU. MWENYE MADARAKA ANATAMKA BILA KUSIKILIZA WATAALAMU
- Tunza Malapo asema Mtaala ubadilishwe kwa utulivu kwa kusikiliza Wadau na Wataalamu
- Aongeza "Tuache mihemko, tuwatumie Wataalamu tuepuke Siasaβ
Soma - https://jamii.app/TunzaTamkoElimu
- Tunza Malapo asema Mtaala ubadilishwe kwa utulivu kwa kusikiliza Wadau na Wataalamu
- Aongeza "Tuache mihemko, tuwatumie Wataalamu tuepuke Siasaβ
Soma - https://jamii.app/TunzaTamkoElimu
LIGI YA EUROPA: MBIVU NA MBICHI ZA FAINALI KUJULIKANA LEO
- Michezo miwili ya nusu fainali ya Europa kurindima hii leo saa 4:00 usiku katika viwanja viwili tofauti, ambapo Roma itakuwa nyumbani kuialika Manchester United huku Arsenal ikiikaribisha Villarreal
- Ili Roma kutinga Fainali inatakiwa kushinda goli 4-0 huku Arsenal nayo katika mechi yake itahitaji ushindi wa goli 1-0 ili kutinga Fainali
#Europaleague #JFSports
- Michezo miwili ya nusu fainali ya Europa kurindima hii leo saa 4:00 usiku katika viwanja viwili tofauti, ambapo Roma itakuwa nyumbani kuialika Manchester United huku Arsenal ikiikaribisha Villarreal
- Ili Roma kutinga Fainali inatakiwa kushinda goli 4-0 huku Arsenal nayo katika mechi yake itahitaji ushindi wa goli 1-0 ili kutinga Fainali
#Europaleague #JFSports
RAIS SAMIA SULUHU KUKUTANA NA WAZEE WA DAR ES SALAAM MEI 7, 2021
Rais wa Tanzania anatarajiwa kufanya Mkutano na zaidi ya Wazee 900 wa Mkoa wa Dar es Salaam ktk Ukumbi wa Mlimani City kuanzia saa 8 Mchana
Soma - https://jamii.app/SamiaWazeeDar
Rais wa Tanzania anatarajiwa kufanya Mkutano na zaidi ya Wazee 900 wa Mkoa wa Dar es Salaam ktk Ukumbi wa Mlimani City kuanzia saa 8 Mchana
Soma - https://jamii.app/SamiaWazeeDar
DAR: AFISA TRA TEMEKE AKAMATWA KWA RUSHWA
Humphrey Mhagama amekamatwa kwa kuomba Tsh. 500,000 ambapo alipokea Tsh. 250,000
TAKUKURU imesema Mtuhumiwa atafunguliwa Mashtaka kwa kosa la kushawishi, kuomba na kupokea Rushwa
Soma > https://jamii.app/RushwaAfisaTRA
Humphrey Mhagama amekamatwa kwa kuomba Tsh. 500,000 ambapo alipokea Tsh. 250,000
TAKUKURU imesema Mtuhumiwa atafunguliwa Mashtaka kwa kosa la kushawishi, kuomba na kupokea Rushwa
Soma > https://jamii.app/RushwaAfisaTRA
Hutumika kuongoza mahusiano kati ya Viongozi na Watumishi wa Umma, Bodi mbalimbali za Kitaaluma, Vyombo vya Habari, Wadau na Makundi mengine ya wananchi katika jamii
> Kwa ujumla huwataka Viongozi wa Umma kufanya kilicho sahihi ikiwa ni pamoja na kutekeleza majukumu yao kwa uadilifu, weledi, uwajibikaji na uwazi
#GoodGovernance
> Kwa ujumla huwataka Viongozi wa Umma kufanya kilicho sahihi ikiwa ni pamoja na kutekeleza majukumu yao kwa uadilifu, weledi, uwajibikaji na uwazi
#GoodGovernance