LIGI YA MABINGWA ULAYA: NANI KUTINGA FAINALI, MAN CITY AU PSG?
- Mchezo wa pili wa Nusu Fainali kati ya Manchester City dhidi ya PSG kuchezwa hii leo majira ya saa 4:00 usiku
- Mchezo wa kwanza katika hatua hiyo Manchester City iliibuka na ushindi wa goli 2-1
- Ili kutinga Fainali PSG inahitaji kushinda si chini ya magoli 2-0 wakati Man City ikihitaji sare au ushindi wowote
- Mchezo wa pili wa Nusu Fainali kati ya Manchester City dhidi ya PSG kuchezwa hii leo majira ya saa 4:00 usiku
- Mchezo wa kwanza katika hatua hiyo Manchester City iliibuka na ushindi wa goli 2-1
- Ili kutinga Fainali PSG inahitaji kushinda si chini ya magoli 2-0 wakati Man City ikihitaji sare au ushindi wowote
MBUNGE: WATOTO 15 KATI YA 45 DARASANI HAWAFUNDISHIKI
- Neema Lugangira amesema suala la Lishe Shuleni linapaswa kupewa uzito, na hali ya Udumavu inachangia Watoto kutofaulu na kufundishika kwa kiasi kikubwa
Soma > https://jamii.app/WatotoLishe
- Neema Lugangira amesema suala la Lishe Shuleni linapaswa kupewa uzito, na hali ya Udumavu inachangia Watoto kutofaulu na kufundishika kwa kiasi kikubwa
Soma > https://jamii.app/WatotoLishe
SIMBACHAWENE: KITAMBULISHO CHA NIDA HAKIHALALISHI KUWA RAIA WA TANZANIA
- Waziri huyo ameeleza Uraia wa Tanzania una #Sheria na mchakato wake
- Kitambulisho ni kwa ajili ya kuwatambua Watu na hutolewa hata kwa Wakimbizi na Wahamiaji wakazi
Soma - https://jamii.app/NIDAUraia
- Waziri huyo ameeleza Uraia wa Tanzania una #Sheria na mchakato wake
- Kitambulisho ni kwa ajili ya kuwatambua Watu na hutolewa hata kwa Wakimbizi na Wahamiaji wakazi
Soma - https://jamii.app/NIDAUraia
JOSE MOURINHO ATANGAZWA KUWA KOCHA MPYA WA AS ROMA
- AS Roma ya Italia imemtangaza Mourinho (58) kuwa Kocha wake ikiwa ni wiki mbili tangu kibarua chake kiote nyasi akiwa Tottenham
- Amesaini kandarasi ya miaka mitatu na ataanza kuinoa AS Roma mwanzoni mwa msimu ujao
#JFSports
- AS Roma ya Italia imemtangaza Mourinho (58) kuwa Kocha wake ikiwa ni wiki mbili tangu kibarua chake kiote nyasi akiwa Tottenham
- Amesaini kandarasi ya miaka mitatu na ataanza kuinoa AS Roma mwanzoni mwa msimu ujao
#JFSports
MEXICO: 23 WAFARIKI NA 70 WAJERUHIWA BAADA YA BARABARA YA JUU KUPOROMOKA
- Sehemu ya barabara ya juu iliporomoka na kusababisha treni kuanguka ktk barabara ya chini iliyokuwa na watu wengi
- Kiwango cha barabara hiyo kimewahi kulalamikiwa
Soma > https://jamii.app/AjaliMexico
- Sehemu ya barabara ya juu iliporomoka na kusababisha treni kuanguka ktk barabara ya chini iliyokuwa na watu wengi
- Kiwango cha barabara hiyo kimewahi kulalamikiwa
Soma > https://jamii.app/AjaliMexico
UMEWAHI KUKUTANA NA MATUKIO YA KISHIRIKINA KIJIJINI KWENU?
- Mdau wa JamiiForums.com anasema kumekuwa na changamoto ya Watu kwenda Vijijini kwao wakati wa likizo kutokana na hofu ya ushirikina/kurogwa hasa pale Mtu anapokuwa amefanikiwa Kimaisha.
- Je, unakubaliana na hoja hii? Ulikutana na tukio gani la kishirikina?
Mjadala zaidi - https://jamii.app/UshirikinaVijijini
#Maisha
- Mdau wa JamiiForums.com anasema kumekuwa na changamoto ya Watu kwenda Vijijini kwao wakati wa likizo kutokana na hofu ya ushirikina/kurogwa hasa pale Mtu anapokuwa amefanikiwa Kimaisha.
- Je, unakubaliana na hoja hii? Ulikutana na tukio gani la kishirikina?
Mjadala zaidi - https://jamii.app/UshirikinaVijijini
#Maisha
MBUNGE: WANANCHI WA KAGERA WANAPIMWA URAIA KWA KUIMBA WIMBO WA TAIFA
- Florent Kyombo amesema Wananchi wa Kagera ambao wanapakana na Nchi 5 wamekuwa wahanga katika kutambuliwa
- Asema, "Wananchi wanaishi kwa tabu kama vile hawapo ndani ya Nchi yao"
Soma https://jamii.app/UraiaKagera
- Florent Kyombo amesema Wananchi wa Kagera ambao wanapakana na Nchi 5 wamekuwa wahanga katika kutambuliwa
- Asema, "Wananchi wanaishi kwa tabu kama vile hawapo ndani ya Nchi yao"
Soma https://jamii.app/UraiaKagera
ATCL YASITISHA SAFARI ZA NDEGE KWENDA MUMBAI, INDIA
Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) limesitisha Safari zake kwenda Mumbai nchini India kuanzia leo Mei 4 kutokana na ongezeko la maambukizi ya Virusi vya Corona
- Abiria wote walioathiriwa na uamuzi huu watarudishiwa gharama zao za Safari
#JamiiForums
Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) limesitisha Safari zake kwenda Mumbai nchini India kuanzia leo Mei 4 kutokana na ongezeko la maambukizi ya Virusi vya Corona
- Abiria wote walioathiriwa na uamuzi huu watarudishiwa gharama zao za Safari
#JamiiForums
Rais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Mwinyi amefanya uteuzi wa Viongozi mbalimbali wakiwemo:
- Mshenga Haidar kuwa Meneja Mkuu wa Shirika la Umeme (ZECO)
- Nassor Ameir kuwa Mkurugenzi Mwendeshaji ZSSF
- Shariff Ali kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa ZIPA
Soma > https://jamii.app/Uteuzi7Znz
- Mshenga Haidar kuwa Meneja Mkuu wa Shirika la Umeme (ZECO)
- Nassor Ameir kuwa Mkurugenzi Mwendeshaji ZSSF
- Shariff Ali kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa ZIPA
Soma > https://jamii.app/Uteuzi7Znz
TANZANIA MEASURES TOWARDS CONTROLLING #COVID19 PANDEMIC: TRAVEL ADVISORY NO. 7
#Tanzania has decided to elevate and enhance prevailing preventive measures especially those with regard to International Travel
Read more at https://jamii.app/COVID-Advisory7
#Unite2FightCorona #Corona2ndWave
#Tanzania has decided to elevate and enhance prevailing preventive measures especially those with regard to International Travel
Read more at https://jamii.app/COVID-Advisory7
#Unite2FightCorona #Corona2ndWave
UHALIFU WA CHUKI ZA KISIASA WAONGEZEKA UJERUMANI
- Uhalifu unaochochewa kisiasa uliongezeka kwa kasi ambapo 8.5% ya visa vilirekodiwa mwaka 2020 ikilinganishwa na 2019
- Ongezeko la visa vya uhalifu vilifanywa na wafuasi wenye siasa kali
Soma - https://jamii.app/PoliticalHate
- Uhalifu unaochochewa kisiasa uliongezeka kwa kasi ambapo 8.5% ya visa vilirekodiwa mwaka 2020 ikilinganishwa na 2019
- Ongezeko la visa vya uhalifu vilifanywa na wafuasi wenye siasa kali
Soma - https://jamii.app/PoliticalHate