MAREKANI: DEREK CHAUVIN AOMBA KESI YAKE KUSIKILIZWA UPYA
- Mwanasheria wake amesema uendeshaji wa kesi dhidi yake haukuwa wa Haki akidai kuna makosa ya kisheria
- Chauvin amekutwa na hatia katika mauaji ya Mmarekani Mweusi George Floyd
Soma > https://jamii.app/KesiChauvin
- Mwanasheria wake amesema uendeshaji wa kesi dhidi yake haukuwa wa Haki akidai kuna makosa ya kisheria
- Chauvin amekutwa na hatia katika mauaji ya Mmarekani Mweusi George Floyd
Soma > https://jamii.app/KesiChauvin
CHAUREMBO: KATA 3 ZA MBAGALA HAZINA SHULE ZA SEKONDARI
- Akiwa Bungeni, Mbunge wa Jimbo la Mbagala amezungumzia hali ya msongamano wa Wanafunzi ktk Shule mbalimbali zikiwemo Mbande, Chamazi, Mianzini, Kilamba, Nzasa, Mbagala Kuu na Kijichi
Soma > https://jamii.app/ShuleMbagala
- Akiwa Bungeni, Mbunge wa Jimbo la Mbagala amezungumzia hali ya msongamano wa Wanafunzi ktk Shule mbalimbali zikiwemo Mbande, Chamazi, Mianzini, Kilamba, Nzasa, Mbagala Kuu na Kijichi
Soma > https://jamii.app/ShuleMbagala
MAREKANI: DONALD TRUMP AANZISHA TOVUTI YAKE
- Tovuti yake inakuja saa chache kabla ya Bodi ya #Facebook kutangaza ikiwa akaunti yake itafungwa moja kwa moja au la
- #Twitter imemfungia moja kwa moja Trump aliyekuwa na wafuasi Milioni 88
Soma > https://jamii.app/TrumpPlatform
- Tovuti yake inakuja saa chache kabla ya Bodi ya #Facebook kutangaza ikiwa akaunti yake itafungwa moja kwa moja au la
- #Twitter imemfungia moja kwa moja Trump aliyekuwa na wafuasi Milioni 88
Soma > https://jamii.app/TrumpPlatform
NJOMBE: MJOMBA ALIYEDAIWA KUBAKA MTOTO ASHINDA KESI. WANANCHI WAIOMBA SERIKALI KUINGILIA KATI
- Mtoto huyo aliyebakwa 2018 akiwa na miaka 3 alisababishiwa maumivu na ulemavu uliopelekea kutafutiwa njia mbadala kwa ajili ya haja kubwa na ndogo
Soma https://jamii.app/MjombaBakaMtoto
- Mtoto huyo aliyebakwa 2018 akiwa na miaka 3 alisababishiwa maumivu na ulemavu uliopelekea kutafutiwa njia mbadala kwa ajili ya haja kubwa na ndogo
Soma https://jamii.app/MjombaBakaMtoto
MBUNGE: JITIHADA ZA KUKAMATA WAVUVI NI KUBWA KULIKO ZA KUWAWEZESHA
- Mbunge wa Nyasa amehoji, kwanini Mikopo ya Injini za Boti isitolewe kwa mtu mmoja mmoja kuliko kupitia vikundi?
- Asema jambo hilo linachelewesha ukuaji wa Sekta ya Uvuvi
Soma > https://jamii.app/BungeUvuvi
- Mbunge wa Nyasa amehoji, kwanini Mikopo ya Injini za Boti isitolewe kwa mtu mmoja mmoja kuliko kupitia vikundi?
- Asema jambo hilo linachelewesha ukuaji wa Sekta ya Uvuvi
Soma > https://jamii.app/BungeUvuvi
WHO: 46% YA VISA VYA CORONA WIKI ILIYOPITA VIMETOKEA INDIA
- India imerekodi 46% ya maambukizi ulimwenguni na 25% ya vifo vyote vilivyoripotiwa wiki iliyoisha
- Vifo vipya 3780 vimerekodiwa na Serikali imekosolewa kwa kutochukua hatua mapema
Soma > https://jamii.app/WHO-India
- India imerekodi 46% ya maambukizi ulimwenguni na 25% ya vifo vyote vilivyoripotiwa wiki iliyoisha
- Vifo vipya 3780 vimerekodiwa na Serikali imekosolewa kwa kutochukua hatua mapema
Soma > https://jamii.app/WHO-India
RAIS SAMIA AOMBWA KUWAACHIA HURU WANAHARAKATI, WAANDISHI NA WANASIASA
- Wanaharakati kutoka Kenya, Uganda na #Tanzania wamemuomba Rais wa Tanzania kuwaachia huru zaidi ya Wafungwa 100 ambao walifungwa kwa kukosoa Uchaguzi Mkuu wa 2020
Soma - https://jamii.app/ActivistsSamiaKE
#HumanRights
- Wanaharakati kutoka Kenya, Uganda na #Tanzania wamemuomba Rais wa Tanzania kuwaachia huru zaidi ya Wafungwa 100 ambao walifungwa kwa kukosoa Uchaguzi Mkuu wa 2020
Soma - https://jamii.app/ActivistsSamiaKE
#HumanRights
UHURU KENYATTA: TANZANIA NA KENYA ZIKISHIRIKIANA PANDE ZOTE ZITASHINDA
- Rais wa Kenya amesema, "Wananchi wakijiona kama ndugu na kushirikiana badala la kushindana, pande zote zitashinda. Hatuna lolote la kushindana"
Soma > https://jamii.app/KenyaTZKenyatta
- Rais wa Kenya amesema, "Wananchi wakijiona kama ndugu na kushirikiana badala la kushindana, pande zote zitashinda. Hatuna lolote la kushindana"
Soma > https://jamii.app/KenyaTZKenyatta
RAIS SAMIA: HALI YA DEMOKRASIA NCHINI NI NZURI
- Ameeleza hayo alipokutana na kuzungumza na Mjumbe Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika Ukanda wa Maziwa Makuu
- Asema, Serikali itaendelea kushirikiana na Umoja wa Mataifa kulinda Usalama
Soma https://jamii.app/RaisSamiaUN
- Ameeleza hayo alipokutana na kuzungumza na Mjumbe Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika Ukanda wa Maziwa Makuu
- Asema, Serikali itaendelea kushirikiana na Umoja wa Mataifa kulinda Usalama
Soma https://jamii.app/RaisSamiaUN
Hotuba ya Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Mei 05, 2021 akiwa Bungeni Kenya