MAHAKAMA YAMWACHIA HURU ALIYEKUWA MGOMBEA UBUNGE BUKOBA MJINI
- Chief Kalumuna amesema yeye na wenzake walikamatwa kufuatia vurugu zilizotokea baada ya Mkurugenzi kukataa kuwaapisha
- Asema Serikali iliwashtaki kwa kufanya fujo kipindi cha Uchaguzi
Soma > https://jamii.app/KalumunaHuru
- Chief Kalumuna amesema yeye na wenzake walikamatwa kufuatia vurugu zilizotokea baada ya Mkurugenzi kukataa kuwaapisha
- Asema Serikali iliwashtaki kwa kufanya fujo kipindi cha Uchaguzi
Soma > https://jamii.app/KalumunaHuru
#COVID19: WATAKAOINGIA TANZANIA KUTOKA NCHI ZENYE VIRUSI VIPYA KUKAA KARANTINI
- Kuanzia Mei 04, Wasafiri/Raia wanaorudi kutoka Nchi hizo watakaa Karantini ya lazima kwa gharama zao
- Wasafiri watatakiwa kuzingatia taratibu za kujikinga na maambukizi
Soma https://jamii.app/CovidTZ
- Kuanzia Mei 04, Wasafiri/Raia wanaorudi kutoka Nchi hizo watakaa Karantini ya lazima kwa gharama zao
- Wasafiri watatakiwa kuzingatia taratibu za kujikinga na maambukizi
Soma https://jamii.app/CovidTZ
BILL NA MELINDA GATES WAACHANA BAADA YA MIAKA 27
- Wanandoa hao wametangaza kutalikiana wakisema hawaamini wanaweza kukua pamoja kama wenza
- Bill Gates mwenye utajiri wa Dola Bilioni 124 na Melinda wanaendesha Bill & Melinda Gates Foundation
Soma > https://jamii.app/BillMelindaDivorce
- Wanandoa hao wametangaza kutalikiana wakisema hawaamini wanaweza kukua pamoja kama wenza
- Bill Gates mwenye utajiri wa Dola Bilioni 124 na Melinda wanaendesha Bill & Melinda Gates Foundation
Soma > https://jamii.app/BillMelindaDivorce
#COVID19 INDIA: VISA VYAFIKIA MILIONI 20, UPATIKANAJI OXYGEN BADO CHANGAMOTO
- Hospitali zaomba misaada huku Jeshi likitakiwa kusaidia kukabiliana na mlipuko
- Wataalamu waonya idadi halisi za visa na vifo inaweza kuwa kubwa kuliko inavyoripotiwa
Soma https://jamii.app/20MillionIndia
- Hospitali zaomba misaada huku Jeshi likitakiwa kusaidia kukabiliana na mlipuko
- Wataalamu waonya idadi halisi za visa na vifo inaweza kuwa kubwa kuliko inavyoripotiwa
Soma https://jamii.app/20MillionIndia
MATIKO: UKAGUZI UNAOFANYIKA MAGEREZANI UNAKIUKA UTU
- Mbunge wa Viti Maalum, Esther Matiko, ameitaka Serikali kufunga mashine maalum za ukaguzi kwenye Magereza
- Asema Wafungwa kukaguliwa wakiwa Uchi wa mnyama ni kinyume na #HakiZaBinadamu
Soma - https://jamii.app/UkaguziGerezani
- Mbunge wa Viti Maalum, Esther Matiko, ameitaka Serikali kufunga mashine maalum za ukaguzi kwenye Magereza
- Asema Wafungwa kukaguliwa wakiwa Uchi wa mnyama ni kinyume na #HakiZaBinadamu
Soma - https://jamii.app/UkaguziGerezani
JOB NDUGAI: KUWEKA WATU NDANI OVYO SIO SAWA
Amesema "Tujifunze kwa Nchi zingine, Mtu anayefahamika anaitwa Kituoni na kufanyiwa mahojiano kisha kurudi nyumbani kwasababu hawezi kukimbia. Huku Askari wanaona kuweka Watu ndani ni raha"
Soma https://jamii.app/NdugaiMahabusu
Amesema "Tujifunze kwa Nchi zingine, Mtu anayefahamika anaitwa Kituoni na kufanyiwa mahojiano kisha kurudi nyumbani kwasababu hawezi kukimbia. Huku Askari wanaona kuweka Watu ndani ni raha"
Soma https://jamii.app/NdugaiMahabusu
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
NAIROBI, KENYA: Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewasili Nchini Kenya ambapo ameenda kwa ziara ya siku mbili kuanzia leo Mei 04, 2021 kufuatia mwaliko wa Rais Uhuru Kenyatta
#JamiiForums
#JamiiForums
NDEJEMBI: TIMU ZINAPOFUNGWA NA YANGA ZIKUBALIANE NA MATOKEO
- Akiwa Bungeni Dodoma, Naibu Waziri wa Utumishi na Utawala Bora amesema baadhi ya Viongozi wa Timu wamekuwa wakitoa kauli ya kwamba walihongwa hususan wanapofungwa na Yanga
Soma > https://jamii.app/RushwaSoka
#Sports
- Akiwa Bungeni Dodoma, Naibu Waziri wa Utumishi na Utawala Bora amesema baadhi ya Viongozi wa Timu wamekuwa wakitoa kauli ya kwamba walihongwa hususan wanapofungwa na Yanga
Soma > https://jamii.app/RushwaSoka
#Sports
BURKINA FASO: TAKRIBAN WANAKIJIJI 30 WAUAWA
- Wanamgambo wanaosadikika wa kundi la Jihad wamevamia kijiji cha Kodyel na kufanya mauaji hayo
- Mashambulio yameongezeka Nchini humo katika Mikoa inayopakana na #Niger na #Mali
Soma > https://jamii.app/MauajiBurkinafaso
#HumanRightsViolations
- Wanamgambo wanaosadikika wa kundi la Jihad wamevamia kijiji cha Kodyel na kufanya mauaji hayo
- Mashambulio yameongezeka Nchini humo katika Mikoa inayopakana na #Niger na #Mali
Soma > https://jamii.app/MauajiBurkinafaso
#HumanRightsViolations
ETHIOPIA: MZOZO WA #TIGRAY KUTENGANISHA WATOTO NA WAZAZI WAO
- Zaidi ya #Watoto 5,000 watenganishwa na wazazi wao kutokana na mapigano yanayoendelea
- Watoto hao wako ktk hatari ya kupata njaa, kunyanyasika kimwili na kingono
Soma > https://jamii.app/WatotoTigray
- Zaidi ya #Watoto 5,000 watenganishwa na wazazi wao kutokana na mapigano yanayoendelea
- Watoto hao wako ktk hatari ya kupata njaa, kunyanyasika kimwili na kingono
Soma > https://jamii.app/WatotoTigray
NDALICHAKO: SERIKALI ITAONDOA TOZO YA 6% YA KULINDA THAMANI KTK MIKOPO YA ELIMU JULAI 1
- Pia, Serikali imeiagiza Bodi ya Wakurugenzi wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi kuondoa tozo ya adhabu ya 10% ambayo inatozwa kwa wanaochelewa kulipa Mikopo
Soma - https://jamii.app/TozoMikopoElimu
- Pia, Serikali imeiagiza Bodi ya Wakurugenzi wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi kuondoa tozo ya adhabu ya 10% ambayo inatozwa kwa wanaochelewa kulipa Mikopo
Soma - https://jamii.app/TozoMikopoElimu
MBUNGE: WIZARA YA ELIMU IKUBALI MFUMO UNA TATIZO
- Akiwa Bungeni, Bernadeta Mushashu amesema Wizara ifungue mjadala mpana tuangalie kitu gani kinakosekana na tuongeze nini
- Pia, ametoa wito kwa Serikali kuweka mkakati wa kuajiri Walimu
Soma > https://jamii.app/MfumoElimu
- Akiwa Bungeni, Bernadeta Mushashu amesema Wizara ifungue mjadala mpana tuangalie kitu gani kinakosekana na tuongeze nini
- Pia, ametoa wito kwa Serikali kuweka mkakati wa kuajiri Walimu
Soma > https://jamii.app/MfumoElimu