MOROGORO: MBARONI KWA KUUZA MISHKAKI YA NYAMA YA MBWA
> Hamza Rajabu (20), Omary Mohamed (12) na Mussa Juma (30) wanashikiliwa na Polisi kwa kuuza mishkaki ya Mbwa maeneo ya Msamvu
> Walikutwa wakimchuna ngozi Mbwa Darajani ktk barabara ya Iringa
Soma - https://jamii.app/MbwaMoro
> Hamza Rajabu (20), Omary Mohamed (12) na Mussa Juma (30) wanashikiliwa na Polisi kwa kuuza mishkaki ya Mbwa maeneo ya Msamvu
> Walikutwa wakimchuna ngozi Mbwa Darajani ktk barabara ya Iringa
Soma - https://jamii.app/MbwaMoro
WALIOSTAAFU 1996 OFISI YA MAKAMU WA RAIS HAWATALIPWA PENSHENI
> Wizara ya Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira imesema waliostaafishwa walishalipwa stahiki zao
> Hawatalipwa pensheni kwani waliajiriwa kwa βOperational Servicesβ
Soma - https://jamii.app/SerikaliPensheni
> Wizara ya Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira imesema waliostaafishwa walishalipwa stahiki zao
> Hawatalipwa pensheni kwani waliajiriwa kwa βOperational Servicesβ
Soma - https://jamii.app/SerikaliPensheni
MBUNGE ASEMA SHERIA YA BIMA INA MATATIZO NA WANANCHI HAWATENDEWI HAKI
- Dkt. Oscar Kikoyo amesema mhanga wa ajali za barabarani anapokwenda kudai fidia, Sheria ya Bima ipo kimya
- Ameeleza, kiasi anachoenda kulipwa ni maamuzi ya Kampuni ya Bima
Soma > https://jamii.app/BungeSheriaBima
- Dkt. Oscar Kikoyo amesema mhanga wa ajali za barabarani anapokwenda kudai fidia, Sheria ya Bima ipo kimya
- Ameeleza, kiasi anachoenda kulipwa ni maamuzi ya Kampuni ya Bima
Soma > https://jamii.app/BungeSheriaBima
#COVID19: KENYA YAZUIA NDEGE KUTOKA INDIA
- Zuio hilo la siku 14 ni kufuatia ongezeko la maambukizi Nchini India
- Wataowasili #Kenya kutoka India katika saa 72 zijazo watafanyiwa vipimo na watakaokutwa na maambukizi watalazimika kujitenga siku 14
Soma https://jamii.app/KenyaNdegeIndia
- Zuio hilo la siku 14 ni kufuatia ongezeko la maambukizi Nchini India
- Wataowasili #Kenya kutoka India katika saa 72 zijazo watafanyiwa vipimo na watakaokutwa na maambukizi watalazimika kujitenga siku 14
Soma https://jamii.app/KenyaNdegeIndia
KENYA: KITUO CHA RUNINGA CHAFUNGIWA KWA KUONESHA VIBONZO VYA NGONO
> Mt. Kenya TV kimefungiwa kwa wiki nne na kutakiwa kulipa faini ya takriban Tsh. Milioni 11.5
> Mamlaka ya Mawasiliano zimesema kituo hicho kilirusha picha zisizofaa mchana
Soma https://jamii.app/KituoChaRuninga
> Mt. Kenya TV kimefungiwa kwa wiki nne na kutakiwa kulipa faini ya takriban Tsh. Milioni 11.5
> Mamlaka ya Mawasiliano zimesema kituo hicho kilirusha picha zisizofaa mchana
Soma https://jamii.app/KituoChaRuninga
TSH. BILIONI 35.7 ZIMEKUSANYWA BAADA YA WASHTAKIWA KUKIRI MAKOSA
> Waziri Kabudi amesema Washtakiwa 243 ktk kesi 192 za Uhujumu Uchumi, wamekiri makosa na kulipa fidia/faini ya Tsh. Bilioni 35.7 ktk kipindi cha Julai 2020 hadi Machi 2021
Soma https://jamii.app/KukiriUhujumu
> Waziri Kabudi amesema Washtakiwa 243 ktk kesi 192 za Uhujumu Uchumi, wamekiri makosa na kulipa fidia/faini ya Tsh. Bilioni 35.7 ktk kipindi cha Julai 2020 hadi Machi 2021
Soma https://jamii.app/KukiriUhujumu
WIZARA: TUPO TAYARI KUBADILI SERA NA SHERIA IKIWA WADAU WATAPENDEKEZA
> Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Dkt. Hassan Abbas amesema Wadau wakupendekeza mambo yenye tija ktk Tasnia, Serikali itabadili Sheria ya Habari
Soma https://jamii.app/MabadilikoHabari
> Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Dkt. Hassan Abbas amesema Wadau wakupendekeza mambo yenye tija ktk Tasnia, Serikali itabadili Sheria ya Habari
Soma https://jamii.app/MabadilikoHabari
BIDEN: MAREKANI HAINA LENGO LA KUVUTANA NA URUSI
- Rais huyo amesema alimweleza wazi Rais Vladimir Putin kuwa hawalengi kuchochea mvutano lakini vitendo vinavyofanywa na Urusi vina athari
- Asema Marekani haitoacha kujitolea kwenye Haki za Binadamu
Soma https://jamii.app/BidenUSRussia
- Rais huyo amesema alimweleza wazi Rais Vladimir Putin kuwa hawalengi kuchochea mvutano lakini vitendo vinavyofanywa na Urusi vina athari
- Asema Marekani haitoacha kujitolea kwenye Haki za Binadamu
Soma https://jamii.app/BidenUSRussia
UNITAID: BEI YA VIFAA VYA KUJIPIMA VVU YASHUKA KWA 50%
- Vifaa hivyo sasa vitauzwa kwa Dola 2 (Takriban Tsh. 4,500) ktk Nchi zinazokidhi vigezo
- Kifaa hicho ni muhimu kwa Nchi za kipato cha chini na kati, ambako kuna changamoto za huduma za afya
Soma - https://jamii.app/VifaaVVU
- Vifaa hivyo sasa vitauzwa kwa Dola 2 (Takriban Tsh. 4,500) ktk Nchi zinazokidhi vigezo
- Kifaa hicho ni muhimu kwa Nchi za kipato cha chini na kati, ambako kuna changamoto za huduma za afya
Soma - https://jamii.app/VifaaVVU
RUVUMA: TEMBO 30 WAVAMIA MASHAMBA NA KUHARIBU EKARI 20
> DC wa Namtumbo amesema Tembo huvamia kutokana na Wafugaji na Wakulima kuharibu Ikolojia ya Hifadhi
> Mbali na kuharibiwa mazao, Wananchi wanaokota kinyesi cha Tembo wakidai ni dawa
Soma - https://jamii.app/TemboNamtumbo
> DC wa Namtumbo amesema Tembo huvamia kutokana na Wafugaji na Wakulima kuharibu Ikolojia ya Hifadhi
> Mbali na kuharibiwa mazao, Wananchi wanaokota kinyesi cha Tembo wakidai ni dawa
Soma - https://jamii.app/TemboNamtumbo
NAIBU WAZIRI: KIPANDE CHA JANGWANI KINAFANYIWA USAFI KUPUNGUZA ATHARI ZA MAFURIKO
- Asema Serikali imepanga kubadili eneo la Bonde la Mto Msimbazi kuwa la Uwekezaji na usanifu wa mradi umekamilika
- Utekelezaji utaanza baada ya kupata idhini
Soma https://jamii.app/ChandeBungeni
- Asema Serikali imepanga kubadili eneo la Bonde la Mto Msimbazi kuwa la Uwekezaji na usanifu wa mradi umekamilika
- Utekelezaji utaanza baada ya kupata idhini
Soma https://jamii.app/ChandeBungeni
INDIA: WANANCHI WAPIGA KURA LICHA YA HALI MBAYA YA CORONA
- Wakazi wa West Bengal wanapiga kura huku kukiwa na hofu Jimbo litakuwa kitovu kipya cha mlipuko kutokana na Kampeni zenye mikusanyiko mikubwa
- India imerekodi visa zaidi ya Milioni 18
Soma > https://jamii.app/IndiaBengal
- Wakazi wa West Bengal wanapiga kura huku kukiwa na hofu Jimbo litakuwa kitovu kipya cha mlipuko kutokana na Kampeni zenye mikusanyiko mikubwa
- India imerekodi visa zaidi ya Milioni 18
Soma > https://jamii.app/IndiaBengal
ARUSHA: ASKARI 4 WAFUKUZWA KWA TUHUMA ZA RUSHWA YA MILIONI 100
- Wanadaiwa kumuomba Rushwa Prof. Maeda aliyewahi kuwa Mshauri wa Uchumi wa Mwalimu Nyerere. Maofisa 2 wamesimamishwa kazi
- Walimpekua na kudai vipande 2 vya meno ya Tembo vimekutwa
Soma > https://jamii.app/PolisiRushwa
- Wanadaiwa kumuomba Rushwa Prof. Maeda aliyewahi kuwa Mshauri wa Uchumi wa Mwalimu Nyerere. Maofisa 2 wamesimamishwa kazi
- Walimpekua na kudai vipande 2 vya meno ya Tembo vimekutwa
Soma > https://jamii.app/PolisiRushwa