DKT. MPANGO: SITAKUWA MPOLE KWA WANAOCHEZEA MUUNGANO
- Amesema katika kipindi chake kama Makamu wa Rais hatokubali Muungano kuchezewa
- Asema, "Kuna baadhi ya mambo huwa watu wanasema mimi mpole. Watakaojaribu kuchezea Muungano hapo sitakuwa mpole"
Soma https://jamii.app/MpangoMuungano
- Amesema katika kipindi chake kama Makamu wa Rais hatokubali Muungano kuchezewa
- Asema, "Kuna baadhi ya mambo huwa watu wanasema mimi mpole. Watakaojaribu kuchezea Muungano hapo sitakuwa mpole"
Soma https://jamii.app/MpangoMuungano
HALI YA USALAMA YAPELEKEA TOTAL KUSITISHA SHUGHULI MSUMBIJI
- Kampuni hiyo imesitisha shughuli za kuchunguza eneo kubwa la gesi Kaskazini mwa Msumbiji wiki kadhaa tangu Mji jirani kushambuliwa
- Total imesema itaondoa Wafanyakazi wake wote
Soma > https://jamii.app/MsumbijiTotal
- Kampuni hiyo imesitisha shughuli za kuchunguza eneo kubwa la gesi Kaskazini mwa Msumbiji wiki kadhaa tangu Mji jirani kushambuliwa
- Total imesema itaondoa Wafanyakazi wake wote
Soma > https://jamii.app/MsumbijiTotal
EPUKA MAVAZI YAFUATAYO UNAPOENDA KWENYE USAHILI (JOB NTERVIEW)
- Nguo zenye rangi ya kung'aa na urembo mwingi. Mapambo mengi kama, hereni, bangili, pete n.k
Soma> https://jamii.app/MavaziYasiyofaa
#JFAjira #lifestyle #JamiiTalks
- Nguo zenye rangi ya kung'aa na urembo mwingi. Mapambo mengi kama, hereni, bangili, pete n.k
Soma> https://jamii.app/MavaziYasiyofaa
#JFAjira #lifestyle #JamiiTalks
MAVAZI YANAYOFAA KUVAA WAKATI WA USAHILI 'INTERVIEW'
Vaa aina ya mavazi yanayokuonesha kuwa ni nadhifu na uko makini 'professional'
Soma> https://jamii.app/MavaziYanayofaa
#JFajira #lifestyle #JamiiTalks
Vaa aina ya mavazi yanayokuonesha kuwa ni nadhifu na uko makini 'professional'
Soma> https://jamii.app/MavaziYanayofaa
#JFajira #lifestyle #JamiiTalks
MALAYSIA: #ASTRAZENECA KUTOLEWA KWA WENYE MIAKA 60 NA ZAIDI
- Mamlaka zasema Chanjo hiyo ni salama kutumika. Maafisa wanapitia taarifa kabla haijaidhinisha kwa Vijana
- Nchi kadhaa zimesitisha au kudhibiti utoaji kutokana na ripoti za ugandaji damu
Soma https://jamii.app/AstraZMalaysia
- Mamlaka zasema Chanjo hiyo ni salama kutumika. Maafisa wanapitia taarifa kabla haijaidhinisha kwa Vijana
- Nchi kadhaa zimesitisha au kudhibiti utoaji kutokana na ripoti za ugandaji damu
Soma https://jamii.app/AstraZMalaysia
RAIS SAMIA ATOA MSAMAHA KWA WAFUNGWA 5,001
> Wafungwa 1,516 wameachiwa huru, 3,495 wanatumikia sehemu iliyobaki baada ya kusamehewa robo ya vifungo vyao
> Awataka walioachiwa huru kutumia mafunzo waliyoyapata wakiwa gerezani na wazingatie Sheria
Soma https://jamii.app/RaisSamiaMsamaha
> Wafungwa 1,516 wameachiwa huru, 3,495 wanatumikia sehemu iliyobaki baada ya kusamehewa robo ya vifungo vyao
> Awataka walioachiwa huru kutumia mafunzo waliyoyapata wakiwa gerezani na wazingatie Sheria
Soma https://jamii.app/RaisSamiaMsamaha
WAZIRI AWESO: WASOMA MITA WASIPEWE MALENGO AMBAYO HAYATEKELEZEKI
- Serikali imetaka wasoma mita za Maji kutopewa malengo makubwa ya makusanyo yasiyo na uhalisia, ambayo yanaumiza Wananchi na kusababisha malalamiko
Soma > https://jamii.app/WaziriMitaMaji
- Serikali imetaka wasoma mita za Maji kutopewa malengo makubwa ya makusanyo yasiyo na uhalisia, ambayo yanaumiza Wananchi na kusababisha malalamiko
Soma > https://jamii.app/WaziriMitaMaji
IVORY COAST: WAKAGUZI WOTE WA MAJARIBIO YA UDEREVA WASIMAMISHWA KAZI
- Serikali imewasimamisha Wakaguzi ikisema inasafisha sekta. Zoezi litasimamiwa na Polisi
- Udanganyifu, ufisadi na ongezeko la ajali barabarani ni sababu za uamuzi huo
Soma > https://jamii.app/DrivingTestStaff
- Serikali imewasimamisha Wakaguzi ikisema inasafisha sekta. Zoezi litasimamiwa na Polisi
- Udanganyifu, ufisadi na ongezeko la ajali barabarani ni sababu za uamuzi huo
Soma > https://jamii.app/DrivingTestStaff
JINA TANZANIA LILIPATIKANA KUPITIA SHINDANO LA MAJINA
> Baada ya Muungano wa Tanganyika na #Zanzibar, lilitangazwa shindano la kubuni jina la pamoja
- Watu 80 walishiriki na Mohammed Iqbal Dar, Mwanafunzi wa Mzumbe alibuni jina #Tanzania
Soma - https://jamii.app/TanzaniaJina
> Baada ya Muungano wa Tanganyika na #Zanzibar, lilitangazwa shindano la kubuni jina la pamoja
- Watu 80 walishiriki na Mohammed Iqbal Dar, Mwanafunzi wa Mzumbe alibuni jina #Tanzania
Soma - https://jamii.app/TanzaniaJina
#MYANMAR: WANAHARAKATI WAITISHA MGOMO KWENYE HUDUMA ZA JAMII
> Wanaharakati wanaopinga Utawala wa Kijeshi wamewataka watu kuacha kulipa Bili za Umeme na Mikopo ya Kilimo, na kutowapeleka watoto shuleni ili kuuwekea mgomo Utawala huo
Soma https://jamii.app/MgomoMyanmar
> Wanaharakati wanaopinga Utawala wa Kijeshi wamewataka watu kuacha kulipa Bili za Umeme na Mikopo ya Kilimo, na kutowapeleka watoto shuleni ili kuuwekea mgomo Utawala huo
Soma https://jamii.app/MgomoMyanmar
MAREKANI KUGAWA DOZI MILIONI 60 ZA ASTRAZENECA NA NCHI NYINGINE
- Taifa hilo limekuwa na akiba ya Chanjo hiyo japo Mamlaka hazijatoa idhini ya kutumika
- Wakosoaji wamekuwa wakiishutumu Marekani kuhodhi Chanjo wakati Nchi nyingine zina uhitaji
Soma > https://jamii.app/AstraZenecaUS
- Taifa hilo limekuwa na akiba ya Chanjo hiyo japo Mamlaka hazijatoa idhini ya kutumika
- Wakosoaji wamekuwa wakiishutumu Marekani kuhodhi Chanjo wakati Nchi nyingine zina uhitaji
Soma > https://jamii.app/AstraZenecaUS
ARUSHA: BAADHI YA MALI ZA NGURDOTO MOUNTAIN LODGE ZAUZWA KULIPA MADAI YA MISHAHARA
> Watu 93 waliokuwa Wafanyakazi walifungua kesi wakidai Tsh. Milioni 129 za malimbikizo ya mishahara
> Mahakama itatoa amri Mei 4, 2021 kuhusu mali hizo
Soma https://jamii.app/HoteliArusha
> Watu 93 waliokuwa Wafanyakazi walifungua kesi wakidai Tsh. Milioni 129 za malimbikizo ya mishahara
> Mahakama itatoa amri Mei 4, 2021 kuhusu mali hizo
Soma https://jamii.app/HoteliArusha
INDIA YAREKODI MAAMBUKIZI MAPYA 300,000 KWA SIKU 6 MFULULIZO
- Ndani ya saa 24 zilizopita, visa 323,144 vya #COVID19 vimerekodiwa na maambukizi yamefikia Milioni 17.64
- Vifo 2771 vimerekodiwa lakini Wataalamu wanaamini idadi halisi ni kubwa zaidi
Soma https://jamii.app/VisaCOVIDIndia
- Ndani ya saa 24 zilizopita, visa 323,144 vya #COVID19 vimerekodiwa na maambukizi yamefikia Milioni 17.64
- Vifo 2771 vimerekodiwa lakini Wataalamu wanaamini idadi halisi ni kubwa zaidi
Soma https://jamii.app/VisaCOVIDIndia
KIKWETE: SITARAJII KOFIA YA UENYEKITI WA CHAMA KUTOFAUTISHWA NA URAIS
> Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete, amesema Rais wa #Tanzania huwa Mwenyekiti wa CCM Taifa ili kuepuka migongano ambayo inaweza kujitokeza ikiwa Mwenyekiti na Rais watatofautiana
Soma - https://jamii.app/UenyekitiCCM
> Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete, amesema Rais wa #Tanzania huwa Mwenyekiti wa CCM Taifa ili kuepuka migongano ambayo inaweza kujitokeza ikiwa Mwenyekiti na Rais watatofautiana
Soma - https://jamii.app/UenyekitiCCM
#NIGERIA: WANAMGAMBO WAVAMIA KAMBI NA KUUA WANAJESHI 33
> Wanajeshi wa kambi ya #Mainok ktk Jimbo la Borno wameuawa na wapiganaji wa Dola ya Kiislamu (IS)
> Wapiganaji walifika kambini hapo na nguo za Jeshi na Magari 16 na kuiteka kambi
Soma - https://jamii.app/NigeriaIS
> Wanajeshi wa kambi ya #Mainok ktk Jimbo la Borno wameuawa na wapiganaji wa Dola ya Kiislamu (IS)
> Wapiganaji walifika kambini hapo na nguo za Jeshi na Magari 16 na kuiteka kambi
Soma - https://jamii.app/NigeriaIS
LIGI KUU KUENDELEA KUTIMUA VUMBI LEO
- Baada ya kushinda michezo 4 mfululizo, Simba leo inashuka dimbani kukipiga dhidi ya Dodoma Jiji majira ya saa 1:00 usiku
- Mchezo mwingine utakaopigwa leo ni kati ya Gwambina dhidi ya Mwadui majira ya saa 10:00 jioni
#JamiiForums #Sports
- Baada ya kushinda michezo 4 mfululizo, Simba leo inashuka dimbani kukipiga dhidi ya Dodoma Jiji majira ya saa 1:00 usiku
- Mchezo mwingine utakaopigwa leo ni kati ya Gwambina dhidi ya Mwadui majira ya saa 10:00 jioni
#JamiiForums #Sports
CCM-DODOMA: KATIBA ILIYOPO INAFAA, HAKUNA ULAZIMA WA KUICHOKONOA
- Halmashauri Kuu ya CCM Dodoma imesema #Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977 bado inafaa
- Imesema Katiba imewezesha kufanyika mabadiliko ya Uongozi wa juu bila mgogoro
Soma https://jamii.app/CCMKatibaMpya
- Halmashauri Kuu ya CCM Dodoma imesema #Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977 bado inafaa
- Imesema Katiba imewezesha kufanyika mabadiliko ya Uongozi wa juu bila mgogoro
Soma https://jamii.app/CCMKatibaMpya
JULIAN NAGELSMANN KUWA KOCHA WA BAYERN MUNICH
- Bayern imemtangaza Nagelsmann (33) kuwa Kocha wao kuanzia Julai 1, 2021 baada ya kuilipa Leipzig £ milioni 21.7
- Kocha huyo wa Leipzig ana uwiano wa ushindi wa 58% akiwa na timu hiyo kwa miaka 2, ameshinda mechi 53/90
#JFLeo
- Bayern imemtangaza Nagelsmann (33) kuwa Kocha wao kuanzia Julai 1, 2021 baada ya kuilipa Leipzig £ milioni 21.7
- Kocha huyo wa Leipzig ana uwiano wa ushindi wa 58% akiwa na timu hiyo kwa miaka 2, ameshinda mechi 53/90
#JFLeo
MAENEO YA KAMBI KUREJESHWA SERIKALINI BAADA YA WAKIMBIZI KUONDOKA
- Naibu Waziri Mambo ya Ndani amesema maeneo yote ya kambi yatarejeshwa Serikalini ili yapangiwe matumizi
- Pia hakuna mgogoro wa Ardhi baina ya Kambi ya Nyarugusu na Kata ya Makere
Soma https://jamii.app/KambiWakimbizi
- Naibu Waziri Mambo ya Ndani amesema maeneo yote ya kambi yatarejeshwa Serikalini ili yapangiwe matumizi
- Pia hakuna mgogoro wa Ardhi baina ya Kambi ya Nyarugusu na Kata ya Makere
Soma https://jamii.app/KambiWakimbizi