TUNDU LISSU: KATIBA INARUHUSU MIKUTANO YA KISIASA ILA POLISI WANA SHERIA YA KUZUIA
- Amesema #Sheria za Tawala za Mikoa bado ni za Chama Kimoja
- RC's na DC's wanaweka Watu ndani, Rais ana Mamlaka ya kuweka Watu kizuizini bila kupelekwa Mahakamani
Soma https://jamii.app/LissuMikutano
- Amesema #Sheria za Tawala za Mikoa bado ni za Chama Kimoja
- RC's na DC's wanaweka Watu ndani, Rais ana Mamlaka ya kuweka Watu kizuizini bila kupelekwa Mahakamani
Soma https://jamii.app/LissuMikutano
UMEWAHI KUWA NA MATARAJIO MAKUBWA KISHA UKAUMIZWA?
- Matarajio yaliyokithiri juu ya jambo au mtu fulani huweza kupelekea msongo wa mawazo kwakuwa yasipotimia unaweza kuumia sana
- Hivyo usitegemee kupewa furaha na wengine, tafuta njia zako binafsi za kujifurahisha
#JamiiTalks
- Matarajio yaliyokithiri juu ya jambo au mtu fulani huweza kupelekea msongo wa mawazo kwakuwa yasipotimia unaweza kuumia sana
- Hivyo usitegemee kupewa furaha na wengine, tafuta njia zako binafsi za kujifurahisha
#JamiiTalks
TMA: KIMBUNGA #JOBO KINAPUNGUZA KASI KADIRI KINAVYOISOGELEA NCHI KAVU
TMA imesema kuwa kimbunga hicho sasa kinasafiri kwa kasi ya 18Km/h
> Wananchi wametahadharishwa kuwa kitasababisha mawimbi makubwa baharini na mvua kubwa ukanda wa Pwani
Soma https://jamii.app/KimbungaJoboDhaifu
TMA imesema kuwa kimbunga hicho sasa kinasafiri kwa kasi ya 18Km/h
> Wananchi wametahadharishwa kuwa kitasababisha mawimbi makubwa baharini na mvua kubwa ukanda wa Pwani
Soma https://jamii.app/KimbungaJoboDhaifu
DAR: WATU 49 WAMEKAMATWA KWA TUHUMA ZA WIZI WA PIKIPIKI NA MAGARI
> Wamekamatwa maeneo mbalimbali ya Dar ktk oparesheni maalum
> Wamekutwa wakiwa na pikipiki 10 na vifaa vyake, gari moja likiwa limetolewa viti na vipuri vya magari
Soma https://jamii.app/WeziMagariDSM
> Wamekamatwa maeneo mbalimbali ya Dar ktk oparesheni maalum
> Wamekutwa wakiwa na pikipiki 10 na vifaa vyake, gari moja likiwa limetolewa viti na vipuri vya magari
Soma https://jamii.app/WeziMagariDSM
KIMBUNGA JOBO KIMERUDI KWENYE KASI YA AWALI
> Kimbunga JOBO kimekadiriwa kuwa umbali wa kilometa 76 kutoka Kisiwa cha Mafia Mkoani Pwani huku kikisafiri kwa kasi ya 20Km/h
> TMA imesema kasi ya 20km/h ni kasi kubwa
Soma https://jamii.app/KimbungaJoboDhaifu
> Kimbunga JOBO kimekadiriwa kuwa umbali wa kilometa 76 kutoka Kisiwa cha Mafia Mkoani Pwani huku kikisafiri kwa kasi ya 20Km/h
> TMA imesema kasi ya 20km/h ni kasi kubwa
Soma https://jamii.app/KimbungaJoboDhaifu
KILWA: ZAIDI YA TANI MOJA YA HEROIN YAKAMATWA
> Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na #DawaZaKulevya imekamata zaidi ya tani moja ya dawa za kulevya aina ya Heroin eneo la Kilwa Masoko zikisafirishwa kwa kutumia Jahazi
Soma https://jamii.app/DawaHeroinKilwa
> Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na #DawaZaKulevya imekamata zaidi ya tani moja ya dawa za kulevya aina ya Heroin eneo la Kilwa Masoko zikisafirishwa kwa kutumia Jahazi
Soma https://jamii.app/DawaHeroinKilwa
TMA: KIMBUNGA JOBO HAKIPO
> Kimbunga JOBO kimepungua nguvu kadiri kilivyokuwa kinakaribia nchi kavu na hakutakuwa na madhara ya moja kwa moja yaliyotarajiwa
> Wananchi wameshauriwa kuendelea kufuatilia taarifa za utabiri kutoka TMA
Soma https://jamii.app/KimbungaJoboDhaifu
> Kimbunga JOBO kimepungua nguvu kadiri kilivyokuwa kinakaribia nchi kavu na hakutakuwa na madhara ya moja kwa moja yaliyotarajiwa
> Wananchi wameshauriwa kuendelea kufuatilia taarifa za utabiri kutoka TMA
Soma https://jamii.app/KimbungaJoboDhaifu
KENYA: WENYE VVU WALALAMIKIA UHABA WA DAWA ZA KUPUNGUZA MAKALI
- Uhaba wa Dawa umesababishwa na mzozo kati ya Serikali na USAID kutokana na kuongeza ushuru wa misaada
- Pia, USAID inatilia shaka madai ya rushwa dhidi ya Mamlaka ya Vifaa Tiba
Soma https://jamii.app/ARVsLackKE
- Uhaba wa Dawa umesababishwa na mzozo kati ya Serikali na USAID kutokana na kuongeza ushuru wa misaada
- Pia, USAID inatilia shaka madai ya rushwa dhidi ya Mamlaka ya Vifaa Tiba
Soma https://jamii.app/ARVsLackKE
MKURUGENZI WA TEMEKE ASIMAMISHWA KAZI KWA MATUMIZI MABAYA YA MADARAKA
> Waziri wa Nchi OR-TAMISEMI, Ummy Mwalimu amemsimamisha Lusubilo J. Mwakibibi baada ya malalamiko
> Pia, DED wa Sumbawanga amesimamishwa kwa usimamizi mbovu wa Miradi
Soma https://jamii.app/MkurugenziTMK
> Waziri wa Nchi OR-TAMISEMI, Ummy Mwalimu amemsimamisha Lusubilo J. Mwakibibi baada ya malalamiko
> Pia, DED wa Sumbawanga amesimamishwa kwa usimamizi mbovu wa Miradi
Soma https://jamii.app/MkurugenziTMK
ATHARI ZA MAAMBUKIZI YA MALARIA
- Matatizo ya kupumua
- Matatizo ya Ini
- Mshtuko wa Moyo
- Figo kushindwa kufanya kazi
- Kuvimba na kupasuka kwa bandama
- Kupungukiwa na maji mwilini
#InternationalMalariaDay #Malaria #JamiiAfya #JFLeo #WorldMalariaDay
- Matatizo ya kupumua
- Matatizo ya Ini
- Mshtuko wa Moyo
- Figo kushindwa kufanya kazi
- Kuvimba na kupasuka kwa bandama
- Kupungukiwa na maji mwilini
#InternationalMalariaDay #Malaria #JamiiAfya #JFLeo #WorldMalariaDay
WAKILI WA SERIKALI MWANDAMIZI MBARONI KWA RUSHWA YA TSH. MILIONI 5
> TAKUKURU Mkoa wa Manyara inamshikilia Mwendesha Mashtaka wa Serikali mkoani humo, Mutalemwa Kishenyi kwa kupokea rushwa ya Tsh. Milioni 5 kutoka kwa watuhumiwa
Soma zaidi - https://jamii.app/KishenyiArrested
> TAKUKURU Mkoa wa Manyara inamshikilia Mwendesha Mashtaka wa Serikali mkoani humo, Mutalemwa Kishenyi kwa kupokea rushwa ya Tsh. Milioni 5 kutoka kwa watuhumiwa
Soma zaidi - https://jamii.app/KishenyiArrested
VPL: JE, YANGA KUREJEA KILELENI LEO?
> Baada ya kushushwa katika nafasi ya kwanza na Simba SC kuchukua nafasi hiyo, Yanga leo inashuka dimbani kumenyana na Azam FC majira ya saa 2:15 usiku
> Yanga ikishinda mchezo huo itafikisha alama 60 na itafanikiwa kupanda katika nafasi ya kwanza kwa mara nyingine huku ikiwa mbele kwa michezo 3 dhidi ya Simba yenye alama 58
#JamiiForums #JFSports
> Baada ya kushushwa katika nafasi ya kwanza na Simba SC kuchukua nafasi hiyo, Yanga leo inashuka dimbani kumenyana na Azam FC majira ya saa 2:15 usiku
> Yanga ikishinda mchezo huo itafikisha alama 60 na itafanikiwa kupanda katika nafasi ya kwanza kwa mara nyingine huku ikiwa mbele kwa michezo 3 dhidi ya Simba yenye alama 58
#JamiiForums #JFSports
#IRAQ: 82 WAFARIKI BAADA YA MITUNGI YA OKSIJENI KULIPUKA KATIKA HOSPITALI INAYOHUDUMIA WAGONJWA WA COVID19
> Aidha, watu wengine zaidi ya 100 wamejeruhiwa Aprili 24 ktk Hospitali ya IBN Khatib
> Waziri wa Afya amesimamishwa kazi kupisha uchunguzi
Soma https://jamii.app/Iraq82Wafariki
> Aidha, watu wengine zaidi ya 100 wamejeruhiwa Aprili 24 ktk Hospitali ya IBN Khatib
> Waziri wa Afya amesimamishwa kazi kupisha uchunguzi
Soma https://jamii.app/Iraq82Wafariki
CHANJO YA MALARIA YENYE UWEZO MKUBWA ZAIDI YAGUNDULIKA
- Timu ya Chuo Kikuu cha Oxford iliyohusika kutengeneza chanjo ya Oxford-AstraZeneca Covid-19 imetengeneza chanjo dhidi ya malaria inayofikia kiwango cha juu cha ufanisi kwa 75% ya Shirika la Afya Ulimwenguni. Chanjo hiyo imepewa jina la R21
- Chanjo ya kwanza kugundulika ni RTS mwaka 2015 ambayo Ufanisi wake ilikuwa 29.9% kwa kipindi cha kwanza cha majaribio ya kliniki na 57.7% kwa malaria kali.
- Kulingana na matokeo ya awali kutoka kwa jaribio la kliniki lililochapishwa Aprili 22, 2021 imeonesha R21 ni mafanikio makubwa dhidi ya vita ya malaria, ambayo ni chanzo kikubwa cha vifo duniani.
#ChanjoMalaria #InternationalMalariaDay #JamiiTalks
- Timu ya Chuo Kikuu cha Oxford iliyohusika kutengeneza chanjo ya Oxford-AstraZeneca Covid-19 imetengeneza chanjo dhidi ya malaria inayofikia kiwango cha juu cha ufanisi kwa 75% ya Shirika la Afya Ulimwenguni. Chanjo hiyo imepewa jina la R21
- Chanjo ya kwanza kugundulika ni RTS mwaka 2015 ambayo Ufanisi wake ilikuwa 29.9% kwa kipindi cha kwanza cha majaribio ya kliniki na 57.7% kwa malaria kali.
- Kulingana na matokeo ya awali kutoka kwa jaribio la kliniki lililochapishwa Aprili 22, 2021 imeonesha R21 ni mafanikio makubwa dhidi ya vita ya malaria, ambayo ni chanzo kikubwa cha vifo duniani.
#ChanjoMalaria #InternationalMalariaDay #JamiiTalks