VPL: YANGA YASHINDWA KURUDI NAFASI YA KWANZA
Mchezo kati ya Yanga SC dhidi ya Azam FC umemaliza kwa ushindi wa Azam wa goli 1-0, lililofungwa na P. Dube 86'
> Kwa matokeo hayo Yanga inaendelea kusalia katika nafasi ya 2 ikiwa na alama 57
#JamiiForums #JFSports
Mchezo kati ya Yanga SC dhidi ya Azam FC umemaliza kwa ushindi wa Azam wa goli 1-0, lililofungwa na P. Dube 86'
> Kwa matokeo hayo Yanga inaendelea kusalia katika nafasi ya 2 ikiwa na alama 57
#JamiiForums #JFSports
TUNAWATAKIA MAADHIMISHO MEMA YA SIKU YA MUUNGANO
> Uongozi na Watendaji wa Jamii Forums unawatakia Watanzania wote maadhimisho mema ya Siku ya Muungano
> Tanganyika na Zanzibar ziliungana na kutengeneza Tanzania tarehe 26/4/1964
#Jamiiforums
> Uongozi na Watendaji wa Jamii Forums unawatakia Watanzania wote maadhimisho mema ya Siku ya Muungano
> Tanganyika na Zanzibar ziliungana na kutengeneza Tanzania tarehe 26/4/1964
#Jamiiforums
CHAD: JESHI LAKATAA MAZUNGUMZO NA WAASI
- Msemaji wa Baraza la Jeshi linaloongoza Nchi hiyo kufuatia kifo cha Rais Deby asema sio muda wa upatanishi
- Jeshi linashinikizwa kukabidhi madaraka kwa Serikali ya Mpito ya raia haraka iwezekanavyo
Soma https://jamii.app/ChadArmyRebels
- Msemaji wa Baraza la Jeshi linaloongoza Nchi hiyo kufuatia kifo cha Rais Deby asema sio muda wa upatanishi
- Jeshi linashinikizwa kukabidhi madaraka kwa Serikali ya Mpito ya raia haraka iwezekanavyo
Soma https://jamii.app/ChadArmyRebels
👍1
ARUSHA: POLISI ADAIWA KUMPIGA RISASI MUME WA MCHEPUKO
> Yohana Nasieli alipigana na Mkewe akimtuhumu kutoka nje ya Ndoa na Polisi ambapo Mke aliamua kumshtaki
> Askari walikwenda kwa Yohana ambapo alipomuona mbaya wake alichukua panga kuwakabili
Soma - https://jamii.app/PolisiAuaArusha
> Yohana Nasieli alipigana na Mkewe akimtuhumu kutoka nje ya Ndoa na Polisi ambapo Mke aliamua kumshtaki
> Askari walikwenda kwa Yohana ambapo alipomuona mbaya wake alichukua panga kuwakabili
Soma - https://jamii.app/PolisiAuaArusha
FEDHA ZA SHEREHE ZA MUUNGANO KUGAWANYWA BARA NA ZANZIBAR
- Rais Samia ameelekeza fedha kugawanywa na kila upande kuamua namna ya kuzitumia kwa shughuli za maendeleo
- Hayo yameelezwa na Makamu wa Rais Dodoma ktk Kongamano la Miaka 57 ya Muungano
Soma https://jamii.app/FedhaShereheMuungano
- Rais Samia ameelekeza fedha kugawanywa na kila upande kuamua namna ya kuzitumia kwa shughuli za maendeleo
- Hayo yameelezwa na Makamu wa Rais Dodoma ktk Kongamano la Miaka 57 ya Muungano
Soma https://jamii.app/FedhaShereheMuungano
INDIA KUPOKEA MSAADA WA VIFAA VYA KUPAMBANA NA COVID19 KUTOKA MATAIFA YA ULAYA
> Idadi ya maambukizi na vifo vinavyotokana na #COVID19 nchini #India imeongezeka kwa kasi
> Wamesaidiwa vifaa 600 ikiwemo Oksijeni na Ventilators
Soma https://jamii.app/MsaadaIndia
> Idadi ya maambukizi na vifo vinavyotokana na #COVID19 nchini #India imeongezeka kwa kasi
> Wamesaidiwa vifaa 600 ikiwemo Oksijeni na Ventilators
Soma https://jamii.app/MsaadaIndia
DKT. MPANGO: CHANGAMOTO HAZIMAANISHI MUUNGANO SIO IMARA
- Asema Serikali zimekuwa zikibaini changamoto na kufanya jitihada kuzipatia ufumbuzi
- Ameeleza, "Serikali kwa pamoja zimefanikiwa kutatua changamoto 15 zilizokuwa zinaukabili Muungano wetu"
Soma https://jamii.app/VPMpangoDodoma
- Asema Serikali zimekuwa zikibaini changamoto na kufanya jitihada kuzipatia ufumbuzi
- Ameeleza, "Serikali kwa pamoja zimefanikiwa kutatua changamoto 15 zilizokuwa zinaukabili Muungano wetu"
Soma https://jamii.app/VPMpangoDodoma
DKT. MPANGO: SITAKUWA MPOLE KWA WANAOCHEZEA MUUNGANO
- Amesema katika kipindi chake kama Makamu wa Rais hatokubali Muungano kuchezewa
- Asema, "Kuna baadhi ya mambo huwa watu wanasema mimi mpole. Watakaojaribu kuchezea Muungano hapo sitakuwa mpole"
Soma https://jamii.app/MpangoMuungano
- Amesema katika kipindi chake kama Makamu wa Rais hatokubali Muungano kuchezewa
- Asema, "Kuna baadhi ya mambo huwa watu wanasema mimi mpole. Watakaojaribu kuchezea Muungano hapo sitakuwa mpole"
Soma https://jamii.app/MpangoMuungano
HALI YA USALAMA YAPELEKEA TOTAL KUSITISHA SHUGHULI MSUMBIJI
- Kampuni hiyo imesitisha shughuli za kuchunguza eneo kubwa la gesi Kaskazini mwa Msumbiji wiki kadhaa tangu Mji jirani kushambuliwa
- Total imesema itaondoa Wafanyakazi wake wote
Soma > https://jamii.app/MsumbijiTotal
- Kampuni hiyo imesitisha shughuli za kuchunguza eneo kubwa la gesi Kaskazini mwa Msumbiji wiki kadhaa tangu Mji jirani kushambuliwa
- Total imesema itaondoa Wafanyakazi wake wote
Soma > https://jamii.app/MsumbijiTotal
EPUKA MAVAZI YAFUATAYO UNAPOENDA KWENYE USAHILI (JOB NTERVIEW)
- Nguo zenye rangi ya kung'aa na urembo mwingi. Mapambo mengi kama, hereni, bangili, pete n.k
Soma> https://jamii.app/MavaziYasiyofaa
#JFAjira #lifestyle #JamiiTalks
- Nguo zenye rangi ya kung'aa na urembo mwingi. Mapambo mengi kama, hereni, bangili, pete n.k
Soma> https://jamii.app/MavaziYasiyofaa
#JFAjira #lifestyle #JamiiTalks
MAVAZI YANAYOFAA KUVAA WAKATI WA USAHILI 'INTERVIEW'
Vaa aina ya mavazi yanayokuonesha kuwa ni nadhifu na uko makini 'professional'
Soma> https://jamii.app/MavaziYanayofaa
#JFajira #lifestyle #JamiiTalks
Vaa aina ya mavazi yanayokuonesha kuwa ni nadhifu na uko makini 'professional'
Soma> https://jamii.app/MavaziYanayofaa
#JFajira #lifestyle #JamiiTalks
MALAYSIA: #ASTRAZENECA KUTOLEWA KWA WENYE MIAKA 60 NA ZAIDI
- Mamlaka zasema Chanjo hiyo ni salama kutumika. Maafisa wanapitia taarifa kabla haijaidhinisha kwa Vijana
- Nchi kadhaa zimesitisha au kudhibiti utoaji kutokana na ripoti za ugandaji damu
Soma https://jamii.app/AstraZMalaysia
- Mamlaka zasema Chanjo hiyo ni salama kutumika. Maafisa wanapitia taarifa kabla haijaidhinisha kwa Vijana
- Nchi kadhaa zimesitisha au kudhibiti utoaji kutokana na ripoti za ugandaji damu
Soma https://jamii.app/AstraZMalaysia
RAIS SAMIA ATOA MSAMAHA KWA WAFUNGWA 5,001
> Wafungwa 1,516 wameachiwa huru, 3,495 wanatumikia sehemu iliyobaki baada ya kusamehewa robo ya vifungo vyao
> Awataka walioachiwa huru kutumia mafunzo waliyoyapata wakiwa gerezani na wazingatie Sheria
Soma https://jamii.app/RaisSamiaMsamaha
> Wafungwa 1,516 wameachiwa huru, 3,495 wanatumikia sehemu iliyobaki baada ya kusamehewa robo ya vifungo vyao
> Awataka walioachiwa huru kutumia mafunzo waliyoyapata wakiwa gerezani na wazingatie Sheria
Soma https://jamii.app/RaisSamiaMsamaha
WAZIRI AWESO: WASOMA MITA WASIPEWE MALENGO AMBAYO HAYATEKELEZEKI
- Serikali imetaka wasoma mita za Maji kutopewa malengo makubwa ya makusanyo yasiyo na uhalisia, ambayo yanaumiza Wananchi na kusababisha malalamiko
Soma > https://jamii.app/WaziriMitaMaji
- Serikali imetaka wasoma mita za Maji kutopewa malengo makubwa ya makusanyo yasiyo na uhalisia, ambayo yanaumiza Wananchi na kusababisha malalamiko
Soma > https://jamii.app/WaziriMitaMaji
IVORY COAST: WAKAGUZI WOTE WA MAJARIBIO YA UDEREVA WASIMAMISHWA KAZI
- Serikali imewasimamisha Wakaguzi ikisema inasafisha sekta. Zoezi litasimamiwa na Polisi
- Udanganyifu, ufisadi na ongezeko la ajali barabarani ni sababu za uamuzi huo
Soma > https://jamii.app/DrivingTestStaff
- Serikali imewasimamisha Wakaguzi ikisema inasafisha sekta. Zoezi litasimamiwa na Polisi
- Udanganyifu, ufisadi na ongezeko la ajali barabarani ni sababu za uamuzi huo
Soma > https://jamii.app/DrivingTestStaff
JINA TANZANIA LILIPATIKANA KUPITIA SHINDANO LA MAJINA
> Baada ya Muungano wa Tanganyika na #Zanzibar, lilitangazwa shindano la kubuni jina la pamoja
- Watu 80 walishiriki na Mohammed Iqbal Dar, Mwanafunzi wa Mzumbe alibuni jina #Tanzania
Soma - https://jamii.app/TanzaniaJina
> Baada ya Muungano wa Tanganyika na #Zanzibar, lilitangazwa shindano la kubuni jina la pamoja
- Watu 80 walishiriki na Mohammed Iqbal Dar, Mwanafunzi wa Mzumbe alibuni jina #Tanzania
Soma - https://jamii.app/TanzaniaJina
#MYANMAR: WANAHARAKATI WAITISHA MGOMO KWENYE HUDUMA ZA JAMII
> Wanaharakati wanaopinga Utawala wa Kijeshi wamewataka watu kuacha kulipa Bili za Umeme na Mikopo ya Kilimo, na kutowapeleka watoto shuleni ili kuuwekea mgomo Utawala huo
Soma https://jamii.app/MgomoMyanmar
> Wanaharakati wanaopinga Utawala wa Kijeshi wamewataka watu kuacha kulipa Bili za Umeme na Mikopo ya Kilimo, na kutowapeleka watoto shuleni ili kuuwekea mgomo Utawala huo
Soma https://jamii.app/MgomoMyanmar
MAREKANI KUGAWA DOZI MILIONI 60 ZA ASTRAZENECA NA NCHI NYINGINE
- Taifa hilo limekuwa na akiba ya Chanjo hiyo japo Mamlaka hazijatoa idhini ya kutumika
- Wakosoaji wamekuwa wakiishutumu Marekani kuhodhi Chanjo wakati Nchi nyingine zina uhitaji
Soma > https://jamii.app/AstraZenecaUS
- Taifa hilo limekuwa na akiba ya Chanjo hiyo japo Mamlaka hazijatoa idhini ya kutumika
- Wakosoaji wamekuwa wakiishutumu Marekani kuhodhi Chanjo wakati Nchi nyingine zina uhitaji
Soma > https://jamii.app/AstraZenecaUS
ARUSHA: BAADHI YA MALI ZA NGURDOTO MOUNTAIN LODGE ZAUZWA KULIPA MADAI YA MISHAHARA
> Watu 93 waliokuwa Wafanyakazi walifungua kesi wakidai Tsh. Milioni 129 za malimbikizo ya mishahara
> Mahakama itatoa amri Mei 4, 2021 kuhusu mali hizo
Soma https://jamii.app/HoteliArusha
> Watu 93 waliokuwa Wafanyakazi walifungua kesi wakidai Tsh. Milioni 129 za malimbikizo ya mishahara
> Mahakama itatoa amri Mei 4, 2021 kuhusu mali hizo
Soma https://jamii.app/HoteliArusha
INDIA YAREKODI MAAMBUKIZI MAPYA 300,000 KWA SIKU 6 MFULULIZO
- Ndani ya saa 24 zilizopita, visa 323,144 vya #COVID19 vimerekodiwa na maambukizi yamefikia Milioni 17.64
- Vifo 2771 vimerekodiwa lakini Wataalamu wanaamini idadi halisi ni kubwa zaidi
Soma https://jamii.app/VisaCOVIDIndia
- Ndani ya saa 24 zilizopita, visa 323,144 vya #COVID19 vimerekodiwa na maambukizi yamefikia Milioni 17.64
- Vifo 2771 vimerekodiwa lakini Wataalamu wanaamini idadi halisi ni kubwa zaidi
Soma https://jamii.app/VisaCOVIDIndia