JamiiForums
βœ”
52.8K subscribers
34.4K photos
2.45K videos
31.3K links
Official Telegram Channel | Inform x Engage x Empower
Download Telegram
MNYIKA: TULILITAARIFU BUNGE KUHUSU KUFUKUZWA UANACHAMA WA WABUNGE 19 WA VITI MAALUM

> Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika amesema tarehe 01 na 19 Desemba 2020, walitoa taarifa Bungeni kuhusu kufukuzwa kwa Wabunge walioapa mbele ya Spika

Soma - https://jamii.app/BungeCHADEMA
GAMBO: WALIOFUKUZWA KWA VYETI FEKI WALIPWE STAHIKI ZAO

> Mbunge wa Arusha Mjini, Mrisho Gambo ameiomba Serikali iwalipe waliofukuzwa kwa Vyeti feki kwa kuwa ni sehemu ya mafanikio ya Serikali, pia mishahara yao ilikatwa kuchangia Mifuko ya Jamii

Soma https://jamii.app/GamboVyetiFeki
NAPE: CHAMA KIKIWAFUKUZA WANACHAMA WAKE, UAMUZI WAO UHESHIMIWE

- Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye (CCM) amesema Demokrasia ni pamoja na kuheshimu Taasisi zinazounda #Demokrasia ikiwemo Vyama vya Siasa

- Asema "Sasa hivi kuna Wanachama wapo Bungeni lakini CHADEMA ilishawafukuza. Kwanini wapo Bungeni? Wanatakiwa wasiwepo. Tufuate Sheria"

Tazama > https://youtu.be/_8c2NiSXZ7w
MBATIA: KWANINI TUNAWEKA β€˜PRESSURE’ HADI WATU WANAKIMBIA NCHI?

> M/kiti huyo wa NCCR-Mageuzi amesema CCM imevibagua Vyama vingine vya Siasa kwa miaka 5

> Atoa wito kwa Rais Samia kumuita Tundu Lissu arudi Nchini na Ukabila uliopo uondolewe

Soma https://jamii.app/MbatiaKatiba
MADHARA YA ULAJI WA UDONGO

- Kuhisi kushiba muda wote, hivyo husababisha mwili kukosa virutubisho

- Kuna uwezekano wa kula sumu kwenye udongo

Soma > https://jamii.app/MadharaUlajiUdongo

#JamiiAfya #JFLeo #JamiiTalks
DC WA SONGWE ADAIWA KUTISHIA KUMUUA MBUNGE WA SONGWE

- Philipo Mulugo amemtuhumu Samuel Jeremiah kutishia kumuua kwa kumfuatilia kuhusu matumizi ya fedha za michango ya Wawekezaji wa Ufuta

- Pia, asema DC haelewani na DED wa Halmashauri ya Wilaya

Soma - https://jamii.app/DCSongweMbunge
TUNDU LISSU: KATIBA INARUHUSU MIKUTANO YA KISIASA ILA POLISI WANA SHERIA YA KUZUIA

- Amesema #Sheria za Tawala za Mikoa bado ni za Chama Kimoja

- RC's na DC's wanaweka Watu ndani, Rais ana Mamlaka ya kuweka Watu kizuizini bila kupelekwa Mahakamani

Soma https://jamii.app/LissuMikutano
UMEWAHI KUWA NA MATARAJIO MAKUBWA KISHA UKAUMIZWA?

- Matarajio yaliyokithiri juu ya jambo au mtu fulani huweza kupelekea msongo wa mawazo kwakuwa yasipotimia unaweza kuumia sana

- Hivyo usitegemee kupewa furaha na wengine, tafuta njia zako binafsi za kujifurahisha

#JamiiTalks
TMA: KIMBUNGA #JOBO KINAPUNGUZA KASI KADIRI KINAVYOISOGELEA NCHI KAVU

TMA imesema kuwa kimbunga hicho sasa kinasafiri kwa kasi ya 18Km/h

> Wananchi wametahadharishwa kuwa kitasababisha mawimbi makubwa baharini na mvua kubwa ukanda wa Pwani

Soma https://jamii.app/KimbungaJoboDhaifu
DAR: WATU 49 WAMEKAMATWA KWA TUHUMA ZA WIZI WA PIKIPIKI NA MAGARI

> Wamekamatwa maeneo mbalimbali ya Dar ktk oparesheni maalum

> Wamekutwa wakiwa na pikipiki 10 na vifaa vyake, gari moja likiwa limetolewa viti na vipuri vya magari

Soma https://jamii.app/WeziMagariDSM
KIMBUNGA JOBO KIMERUDI KWENYE KASI YA AWALI

> Kimbunga JOBO kimekadiriwa kuwa umbali wa kilometa 76 kutoka Kisiwa cha Mafia Mkoani Pwani huku kikisafiri kwa kasi ya 20Km/h

> TMA imesema kasi ya 20km/h ni kasi kubwa

Soma https://jamii.app/KimbungaJoboDhaifu
KILWA: ZAIDI YA TANI MOJA YA HEROIN YAKAMATWA

> Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na #DawaZaKulevya imekamata zaidi ya tani moja ya dawa za kulevya aina ya Heroin eneo la Kilwa Masoko zikisafirishwa kwa kutumia Jahazi

Soma https://jamii.app/DawaHeroinKilwa
TMA: KIMBUNGA JOBO HAKIPO

> Kimbunga JOBO kimepungua nguvu kadiri kilivyokuwa kinakaribia nchi kavu na hakutakuwa na madhara ya moja kwa moja yaliyotarajiwa

> Wananchi wameshauriwa kuendelea kufuatilia taarifa za utabiri kutoka TMA

Soma https://jamii.app/KimbungaJoboDhaifu
KENYA: WENYE VVU WALALAMIKIA UHABA WA DAWA ZA KUPUNGUZA MAKALI

- Uhaba wa Dawa umesababishwa na mzozo kati ya Serikali na USAID kutokana na kuongeza ushuru wa misaada

- Pia, USAID inatilia shaka madai ya rushwa dhidi ya Mamlaka ya Vifaa Tiba

Soma https://jamii.app/ARVsLackKE
MKURUGENZI WA TEMEKE ASIMAMISHWA KAZI KWA MATUMIZI MABAYA YA MADARAKA

> Waziri wa Nchi OR-TAMISEMI, Ummy Mwalimu amemsimamisha Lusubilo J. Mwakibibi baada ya malalamiko

> Pia, DED wa Sumbawanga amesimamishwa kwa usimamizi mbovu wa Miradi

Soma https://jamii.app/MkurugenziTMK