ATHARI ZA MAAMBUKIZI YA MALARIA
- Matatizo ya kupumua
- Matatizo ya Ini
- Mshtuko wa Moyo
- Figo kushindwa kufanya kazi
- Kuvimba na kupasuka kwa bandama
- Kupungukiwa na maji mwilini
#InternationalMalariaDay #Malaria #JamiiAfya #JFLeo #WorldMalariaDay
- Matatizo ya kupumua
- Matatizo ya Ini
- Mshtuko wa Moyo
- Figo kushindwa kufanya kazi
- Kuvimba na kupasuka kwa bandama
- Kupungukiwa na maji mwilini
#InternationalMalariaDay #Malaria #JamiiAfya #JFLeo #WorldMalariaDay
WAKILI WA SERIKALI MWANDAMIZI MBARONI KWA RUSHWA YA TSH. MILIONI 5
> TAKUKURU Mkoa wa Manyara inamshikilia Mwendesha Mashtaka wa Serikali mkoani humo, Mutalemwa Kishenyi kwa kupokea rushwa ya Tsh. Milioni 5 kutoka kwa watuhumiwa
Soma zaidi - https://jamii.app/KishenyiArrested
> TAKUKURU Mkoa wa Manyara inamshikilia Mwendesha Mashtaka wa Serikali mkoani humo, Mutalemwa Kishenyi kwa kupokea rushwa ya Tsh. Milioni 5 kutoka kwa watuhumiwa
Soma zaidi - https://jamii.app/KishenyiArrested
VPL: JE, YANGA KUREJEA KILELENI LEO?
> Baada ya kushushwa katika nafasi ya kwanza na Simba SC kuchukua nafasi hiyo, Yanga leo inashuka dimbani kumenyana na Azam FC majira ya saa 2:15 usiku
> Yanga ikishinda mchezo huo itafikisha alama 60 na itafanikiwa kupanda katika nafasi ya kwanza kwa mara nyingine huku ikiwa mbele kwa michezo 3 dhidi ya Simba yenye alama 58
#JamiiForums #JFSports
> Baada ya kushushwa katika nafasi ya kwanza na Simba SC kuchukua nafasi hiyo, Yanga leo inashuka dimbani kumenyana na Azam FC majira ya saa 2:15 usiku
> Yanga ikishinda mchezo huo itafikisha alama 60 na itafanikiwa kupanda katika nafasi ya kwanza kwa mara nyingine huku ikiwa mbele kwa michezo 3 dhidi ya Simba yenye alama 58
#JamiiForums #JFSports
#IRAQ: 82 WAFARIKI BAADA YA MITUNGI YA OKSIJENI KULIPUKA KATIKA HOSPITALI INAYOHUDUMIA WAGONJWA WA COVID19
> Aidha, watu wengine zaidi ya 100 wamejeruhiwa Aprili 24 ktk Hospitali ya IBN Khatib
> Waziri wa Afya amesimamishwa kazi kupisha uchunguzi
Soma https://jamii.app/Iraq82Wafariki
> Aidha, watu wengine zaidi ya 100 wamejeruhiwa Aprili 24 ktk Hospitali ya IBN Khatib
> Waziri wa Afya amesimamishwa kazi kupisha uchunguzi
Soma https://jamii.app/Iraq82Wafariki
CHANJO YA MALARIA YENYE UWEZO MKUBWA ZAIDI YAGUNDULIKA
- Timu ya Chuo Kikuu cha Oxford iliyohusika kutengeneza chanjo ya Oxford-AstraZeneca Covid-19 imetengeneza chanjo dhidi ya malaria inayofikia kiwango cha juu cha ufanisi kwa 75% ya Shirika la Afya Ulimwenguni. Chanjo hiyo imepewa jina la R21
- Chanjo ya kwanza kugundulika ni RTS mwaka 2015 ambayo Ufanisi wake ilikuwa 29.9% kwa kipindi cha kwanza cha majaribio ya kliniki na 57.7% kwa malaria kali.
- Kulingana na matokeo ya awali kutoka kwa jaribio la kliniki lililochapishwa Aprili 22, 2021 imeonesha R21 ni mafanikio makubwa dhidi ya vita ya malaria, ambayo ni chanzo kikubwa cha vifo duniani.
#ChanjoMalaria #InternationalMalariaDay #JamiiTalks
- Timu ya Chuo Kikuu cha Oxford iliyohusika kutengeneza chanjo ya Oxford-AstraZeneca Covid-19 imetengeneza chanjo dhidi ya malaria inayofikia kiwango cha juu cha ufanisi kwa 75% ya Shirika la Afya Ulimwenguni. Chanjo hiyo imepewa jina la R21
- Chanjo ya kwanza kugundulika ni RTS mwaka 2015 ambayo Ufanisi wake ilikuwa 29.9% kwa kipindi cha kwanza cha majaribio ya kliniki na 57.7% kwa malaria kali.
- Kulingana na matokeo ya awali kutoka kwa jaribio la kliniki lililochapishwa Aprili 22, 2021 imeonesha R21 ni mafanikio makubwa dhidi ya vita ya malaria, ambayo ni chanzo kikubwa cha vifo duniani.
#ChanjoMalaria #InternationalMalariaDay #JamiiTalks
VPL: YANGA YASHINDWA KURUDI NAFASI YA KWANZA
Mchezo kati ya Yanga SC dhidi ya Azam FC umemaliza kwa ushindi wa Azam wa goli 1-0, lililofungwa na P. Dube 86'
> Kwa matokeo hayo Yanga inaendelea kusalia katika nafasi ya 2 ikiwa na alama 57
#JamiiForums #JFSports
Mchezo kati ya Yanga SC dhidi ya Azam FC umemaliza kwa ushindi wa Azam wa goli 1-0, lililofungwa na P. Dube 86'
> Kwa matokeo hayo Yanga inaendelea kusalia katika nafasi ya 2 ikiwa na alama 57
#JamiiForums #JFSports
TUNAWATAKIA MAADHIMISHO MEMA YA SIKU YA MUUNGANO
> Uongozi na Watendaji wa Jamii Forums unawatakia Watanzania wote maadhimisho mema ya Siku ya Muungano
> Tanganyika na Zanzibar ziliungana na kutengeneza Tanzania tarehe 26/4/1964
#Jamiiforums
> Uongozi na Watendaji wa Jamii Forums unawatakia Watanzania wote maadhimisho mema ya Siku ya Muungano
> Tanganyika na Zanzibar ziliungana na kutengeneza Tanzania tarehe 26/4/1964
#Jamiiforums
CHAD: JESHI LAKATAA MAZUNGUMZO NA WAASI
- Msemaji wa Baraza la Jeshi linaloongoza Nchi hiyo kufuatia kifo cha Rais Deby asema sio muda wa upatanishi
- Jeshi linashinikizwa kukabidhi madaraka kwa Serikali ya Mpito ya raia haraka iwezekanavyo
Soma https://jamii.app/ChadArmyRebels
- Msemaji wa Baraza la Jeshi linaloongoza Nchi hiyo kufuatia kifo cha Rais Deby asema sio muda wa upatanishi
- Jeshi linashinikizwa kukabidhi madaraka kwa Serikali ya Mpito ya raia haraka iwezekanavyo
Soma https://jamii.app/ChadArmyRebels
👍1
ARUSHA: POLISI ADAIWA KUMPIGA RISASI MUME WA MCHEPUKO
> Yohana Nasieli alipigana na Mkewe akimtuhumu kutoka nje ya Ndoa na Polisi ambapo Mke aliamua kumshtaki
> Askari walikwenda kwa Yohana ambapo alipomuona mbaya wake alichukua panga kuwakabili
Soma - https://jamii.app/PolisiAuaArusha
> Yohana Nasieli alipigana na Mkewe akimtuhumu kutoka nje ya Ndoa na Polisi ambapo Mke aliamua kumshtaki
> Askari walikwenda kwa Yohana ambapo alipomuona mbaya wake alichukua panga kuwakabili
Soma - https://jamii.app/PolisiAuaArusha
FEDHA ZA SHEREHE ZA MUUNGANO KUGAWANYWA BARA NA ZANZIBAR
- Rais Samia ameelekeza fedha kugawanywa na kila upande kuamua namna ya kuzitumia kwa shughuli za maendeleo
- Hayo yameelezwa na Makamu wa Rais Dodoma ktk Kongamano la Miaka 57 ya Muungano
Soma https://jamii.app/FedhaShereheMuungano
- Rais Samia ameelekeza fedha kugawanywa na kila upande kuamua namna ya kuzitumia kwa shughuli za maendeleo
- Hayo yameelezwa na Makamu wa Rais Dodoma ktk Kongamano la Miaka 57 ya Muungano
Soma https://jamii.app/FedhaShereheMuungano
INDIA KUPOKEA MSAADA WA VIFAA VYA KUPAMBANA NA COVID19 KUTOKA MATAIFA YA ULAYA
> Idadi ya maambukizi na vifo vinavyotokana na #COVID19 nchini #India imeongezeka kwa kasi
> Wamesaidiwa vifaa 600 ikiwemo Oksijeni na Ventilators
Soma https://jamii.app/MsaadaIndia
> Idadi ya maambukizi na vifo vinavyotokana na #COVID19 nchini #India imeongezeka kwa kasi
> Wamesaidiwa vifaa 600 ikiwemo Oksijeni na Ventilators
Soma https://jamii.app/MsaadaIndia
DKT. MPANGO: CHANGAMOTO HAZIMAANISHI MUUNGANO SIO IMARA
- Asema Serikali zimekuwa zikibaini changamoto na kufanya jitihada kuzipatia ufumbuzi
- Ameeleza, "Serikali kwa pamoja zimefanikiwa kutatua changamoto 15 zilizokuwa zinaukabili Muungano wetu"
Soma https://jamii.app/VPMpangoDodoma
- Asema Serikali zimekuwa zikibaini changamoto na kufanya jitihada kuzipatia ufumbuzi
- Ameeleza, "Serikali kwa pamoja zimefanikiwa kutatua changamoto 15 zilizokuwa zinaukabili Muungano wetu"
Soma https://jamii.app/VPMpangoDodoma
DKT. MPANGO: SITAKUWA MPOLE KWA WANAOCHEZEA MUUNGANO
- Amesema katika kipindi chake kama Makamu wa Rais hatokubali Muungano kuchezewa
- Asema, "Kuna baadhi ya mambo huwa watu wanasema mimi mpole. Watakaojaribu kuchezea Muungano hapo sitakuwa mpole"
Soma https://jamii.app/MpangoMuungano
- Amesema katika kipindi chake kama Makamu wa Rais hatokubali Muungano kuchezewa
- Asema, "Kuna baadhi ya mambo huwa watu wanasema mimi mpole. Watakaojaribu kuchezea Muungano hapo sitakuwa mpole"
Soma https://jamii.app/MpangoMuungano
HALI YA USALAMA YAPELEKEA TOTAL KUSITISHA SHUGHULI MSUMBIJI
- Kampuni hiyo imesitisha shughuli za kuchunguza eneo kubwa la gesi Kaskazini mwa Msumbiji wiki kadhaa tangu Mji jirani kushambuliwa
- Total imesema itaondoa Wafanyakazi wake wote
Soma > https://jamii.app/MsumbijiTotal
- Kampuni hiyo imesitisha shughuli za kuchunguza eneo kubwa la gesi Kaskazini mwa Msumbiji wiki kadhaa tangu Mji jirani kushambuliwa
- Total imesema itaondoa Wafanyakazi wake wote
Soma > https://jamii.app/MsumbijiTotal
EPUKA MAVAZI YAFUATAYO UNAPOENDA KWENYE USAHILI (JOB NTERVIEW)
- Nguo zenye rangi ya kung'aa na urembo mwingi. Mapambo mengi kama, hereni, bangili, pete n.k
Soma> https://jamii.app/MavaziYasiyofaa
#JFAjira #lifestyle #JamiiTalks
- Nguo zenye rangi ya kung'aa na urembo mwingi. Mapambo mengi kama, hereni, bangili, pete n.k
Soma> https://jamii.app/MavaziYasiyofaa
#JFAjira #lifestyle #JamiiTalks
MAVAZI YANAYOFAA KUVAA WAKATI WA USAHILI 'INTERVIEW'
Vaa aina ya mavazi yanayokuonesha kuwa ni nadhifu na uko makini 'professional'
Soma> https://jamii.app/MavaziYanayofaa
#JFajira #lifestyle #JamiiTalks
Vaa aina ya mavazi yanayokuonesha kuwa ni nadhifu na uko makini 'professional'
Soma> https://jamii.app/MavaziYanayofaa
#JFajira #lifestyle #JamiiTalks
MALAYSIA: #ASTRAZENECA KUTOLEWA KWA WENYE MIAKA 60 NA ZAIDI
- Mamlaka zasema Chanjo hiyo ni salama kutumika. Maafisa wanapitia taarifa kabla haijaidhinisha kwa Vijana
- Nchi kadhaa zimesitisha au kudhibiti utoaji kutokana na ripoti za ugandaji damu
Soma https://jamii.app/AstraZMalaysia
- Mamlaka zasema Chanjo hiyo ni salama kutumika. Maafisa wanapitia taarifa kabla haijaidhinisha kwa Vijana
- Nchi kadhaa zimesitisha au kudhibiti utoaji kutokana na ripoti za ugandaji damu
Soma https://jamii.app/AstraZMalaysia
RAIS SAMIA ATOA MSAMAHA KWA WAFUNGWA 5,001
> Wafungwa 1,516 wameachiwa huru, 3,495 wanatumikia sehemu iliyobaki baada ya kusamehewa robo ya vifungo vyao
> Awataka walioachiwa huru kutumia mafunzo waliyoyapata wakiwa gerezani na wazingatie Sheria
Soma https://jamii.app/RaisSamiaMsamaha
> Wafungwa 1,516 wameachiwa huru, 3,495 wanatumikia sehemu iliyobaki baada ya kusamehewa robo ya vifungo vyao
> Awataka walioachiwa huru kutumia mafunzo waliyoyapata wakiwa gerezani na wazingatie Sheria
Soma https://jamii.app/RaisSamiaMsamaha