RAIS SAMIA: MIAKA MITANO IJAYO KUNAHITAJIKA UWEKEZAJI KATIKA SEKTA ZA UZALISHAJI ZINAZOTOA AJIRA KWA WINGI
> Rais Samia amesema Uchumi ulikuwa unakuwa kwa 6.9% lakini #COVID19 imefanya ukue kwa 4.7%. Wataboresha Mazingira ya Uwekezaji ili kuleta ajira
Soma https://jamii.app/22HotubaSamia
> Rais Samia amesema Uchumi ulikuwa unakuwa kwa 6.9% lakini #COVID19 imefanya ukue kwa 4.7%. Wataboresha Mazingira ya Uwekezaji ili kuleta ajira
Soma https://jamii.app/22HotubaSamia
RAIS SAMIA: TUTABORESHA ILI MASHIRIKA YA UMMA YAJIENDESHE KWA FAIDA
> Rais Samia amesema Mashirika ya Umma yanajiendesha kwa kusuasua hali inayopelekea Viongozi kuwa na hofu wakati wa kutoa gawio
> Ameahidi kufanya kazi vizuri na Mashirika binafsi
Soma https://jamii.app/22HotubaSamia
> Rais Samia amesema Mashirika ya Umma yanajiendesha kwa kusuasua hali inayopelekea Viongozi kuwa na hofu wakati wa kutoa gawio
> Ameahidi kufanya kazi vizuri na Mashirika binafsi
Soma https://jamii.app/22HotubaSamia
RAIS SAMIA AWAONYA WANAOPOTOSHA KUHUSU KIFO CHA RAIS MAGUFULI
> Rais Samia amesema kuna wanaotumia mitandao ya kijami kupotosha kuhusu kifo cha Rais Magufuli kwa kudai kuwa amepewa sumu
> Amesema kama wana ushahidi waupeleke Vyombo vya Ulinzi na Usalama
Soma https://jamii.app/22HotubaSamia
> Rais Samia amesema kuna wanaotumia mitandao ya kijami kupotosha kuhusu kifo cha Rais Magufuli kwa kudai kuwa amepewa sumu
> Amesema kama wana ushahidi waupeleke Vyombo vya Ulinzi na Usalama
Soma https://jamii.app/22HotubaSamia
RAIS SAMIA: HATUTAKUBALI KUONA ATCL INAPATA HASARA
> Rais Samia amesema Serikali italilea Shirika la Ndege la ATCL kimkakati ili liweze kujiendesha kwa ufanisi ikiwemo kulipa unafuu wa kodi na kuliondolea madeni
> Pia, Serikali itahakikisha wanaoliendesha ni watu wenye weledi na uwezo
Soma https://jamii.app/22HotubaSamia
> Rais Samia amesema Serikali italilea Shirika la Ndege la ATCL kimkakati ili liweze kujiendesha kwa ufanisi ikiwemo kulipa unafuu wa kodi na kuliondolea madeni
> Pia, Serikali itahakikisha wanaoliendesha ni watu wenye weledi na uwezo
Soma https://jamii.app/22HotubaSamia
RAIS SAMIA AWAAMBIA WABUNGE WAIKOSOE SERIKALI KWA LUGHA YA KIBUNGE
> Rais Samia ameliomba Bunge kuisimamia Serikali katika kutekeleza yaliyoahidiwa na wakosoe kwa staha inapobidi
> Amesema Bunge ni sauti ya Wananchi hategemei lijadili yasiyohusika
Soma https://jamii.app/22HotubaSamia
> Rais Samia ameliomba Bunge kuisimamia Serikali katika kutekeleza yaliyoahidiwa na wakosoe kwa staha inapobidi
> Amesema Bunge ni sauti ya Wananchi hategemei lijadili yasiyohusika
Soma https://jamii.app/22HotubaSamia
RAIS SAMIA: TUTATOA KIPAUMBELE KUENDELEZA MAKAO MAKUU YA SERIKALI JIJINI DODOMA
> Katika hatua hii, Rais Samia ameahidi kuendeleza hatua za kuifanya Dodoma kuwa Mji Mkuu na Ofisi za Serikali kuwa zinapatikana huko
Soma https://jamii.app/22HotubaSamia
> Katika hatua hii, Rais Samia ameahidi kuendeleza hatua za kuifanya Dodoma kuwa Mji Mkuu na Ofisi za Serikali kuwa zinapatikana huko
Soma https://jamii.app/22HotubaSamia
RAIS SAMIA: ULINZI WA AFYA YAKO UNAANZA NA WEWE MWENYEWE
> Rais Samia amewataka watanzania kuendelea kufauta hatua zote za kujikinga na maambukizi ya #COVID19
> Amesema hadi sasa hakuna dawa iliyogundulika hivyo ni lazima kuchukua tahadhari
Soma https://jamii.app/22HotubaSamia
> Rais Samia amewataka watanzania kuendelea kufauta hatua zote za kujikinga na maambukizi ya #COVID19
> Amesema hadi sasa hakuna dawa iliyogundulika hivyo ni lazima kuchukua tahadhari
Soma https://jamii.app/22HotubaSamia
SHINYANGA: TAKUKURU YASHAURI MACHINJIO YANAYOENDESHWA KIENYEJI KUFUNGIWA
> TAKUKURU wilayani Kahama imebaini nguruwe huchinjwa wakiwa wamekufa na kutokaguliwa na Maafisa Mifugo
> Aidha, nyama zinazozikwa hufukuliwa na kuuzwa
Soma https://jamii.app/NguruweKahama
#JFLeo
> TAKUKURU wilayani Kahama imebaini nguruwe huchinjwa wakiwa wamekufa na kutokaguliwa na Maafisa Mifugo
> Aidha, nyama zinazozikwa hufukuliwa na kuuzwa
Soma https://jamii.app/NguruweKahama
#JFLeo
#NIGERIA: WATU 50 WAUAWA NA WATU WALIOJIHAMI NA SILAHA
> Watu waliokuwa na pikipiki wameshambulia Vijiji vya Jimbo la Zamfara na kusababisha vifo, wengine hawajulikani walipo
> Baadhi ya walioshambuliwa ni waliosambaratishwa na mashambulio ya awali
Soma https://jamii.app/NigeriaMauaji
> Watu waliokuwa na pikipiki wameshambulia Vijiji vya Jimbo la Zamfara na kusababisha vifo, wengine hawajulikani walipo
> Baadhi ya walioshambuliwa ni waliosambaratishwa na mashambulio ya awali
Soma https://jamii.app/NigeriaMauaji