JamiiForums
52.8K subscribers
34.4K photos
2.44K videos
31.3K links
Official Telegram Channel | Inform x Engage x Empower
Download Telegram
MAKETE: WATUMISHI WATATU WAHUKUMIWA KWA MAKOSA YA RUSHWA NA UBADHIRIFU

- Wamehukumiwa kifungo cha miaka 3 jela kila mmoja kwa kuomba, kupokea rushwa na ubadhirifu wa fedha za makusanyo ya ushuru kwa njia ya POS na hawakuziwasilisha kwa Halmashauri

Soma - https://jamii.app/JelaWatumishiMakete
UNATAKA KUSAJILI KAZI YA SANAA NA HUJUI VITU VINAVYOHITAJIKA? ANDAA VIFUATAVYO (SEHEMU YA 2)

- Ushahidi wa maandishi kuhusu uhusiano kati ya aliyeenda kusajili na wahusika wengine ikiwa ni kikundi

- Nakala ya makubaliano inayoonesha ushiriki wa wahusika wengine

Soma > https://jamii.app/SajiliSanaa

#JamiiForums #JFSanaa
ARUSHA: 3 WAFIKISHWA MAHAKAMANI KWA TUHUMA ZA UHUJUMU UCHUMI

> Washtakiwa walikusanya ushuru wa utalii wa utamaduni kati ya Julai 2017 hadi Machi 2018 na hawakuwasilisha makusanyo Halmashauri ya Karatu na kusababisha hasara ya Tsh. 11,409,045

Soma https://jamii.app/KaratuUhujumu
KILIMANJARO: MBARONI KWA TUHUMA ZA KUMPIGA NA KUMSABABISHIA KIFO MKEWE

> Zakayo Kimaro anatuhumiwa kumpiga na kumsababishia kifo Magdalena Makishe (61)

> Kimaro amedaiwa kumuuza ng'ombe wa mkewe na alipoulizwa akamshambulia mkewe kwa fimbo

Soma https://jamii.app/MkeSihaMauaji
Baadhi ya Nukuu za Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Aprili 22, 2021 Bungeni Dodoma

#JFLeo
Hotuba ya Rais Samia Suluhu Hassan Bungeni Dodoma leo Aprili 22, 2021

#JFLeo