MAKETE: WATUMISHI WATATU WAHUKUMIWA KWA MAKOSA YA RUSHWA NA UBADHIRIFU
- Wamehukumiwa kifungo cha miaka 3 jela kila mmoja kwa kuomba, kupokea rushwa na ubadhirifu wa fedha za makusanyo ya ushuru kwa njia ya POS na hawakuziwasilisha kwa Halmashauri
Soma - https://jamii.app/JelaWatumishiMakete
- Wamehukumiwa kifungo cha miaka 3 jela kila mmoja kwa kuomba, kupokea rushwa na ubadhirifu wa fedha za makusanyo ya ushuru kwa njia ya POS na hawakuziwasilisha kwa Halmashauri
Soma - https://jamii.app/JelaWatumishiMakete
UNATAKA KUSAJILI KAZI YA SANAA NA HUJUI VITU VINAVYOHITAJIKA? ANDAA VIFUATAVYO (SEHEMU YA 2)
- Ushahidi wa maandishi kuhusu uhusiano kati ya aliyeenda kusajili na wahusika wengine ikiwa ni kikundi
- Nakala ya makubaliano inayoonesha ushiriki wa wahusika wengine
Soma > https://jamii.app/SajiliSanaa
#JamiiForums #JFSanaa
- Ushahidi wa maandishi kuhusu uhusiano kati ya aliyeenda kusajili na wahusika wengine ikiwa ni kikundi
- Nakala ya makubaliano inayoonesha ushiriki wa wahusika wengine
Soma > https://jamii.app/SajiliSanaa
#JamiiForums #JFSanaa
ARUSHA: 3 WAFIKISHWA MAHAKAMANI KWA TUHUMA ZA UHUJUMU UCHUMI
> Washtakiwa walikusanya ushuru wa utalii wa utamaduni kati ya Julai 2017 hadi Machi 2018 na hawakuwasilisha makusanyo Halmashauri ya Karatu na kusababisha hasara ya Tsh. 11,409,045
Soma https://jamii.app/KaratuUhujumu
> Washtakiwa walikusanya ushuru wa utalii wa utamaduni kati ya Julai 2017 hadi Machi 2018 na hawakuwasilisha makusanyo Halmashauri ya Karatu na kusababisha hasara ya Tsh. 11,409,045
Soma https://jamii.app/KaratuUhujumu
KILIMANJARO: MBARONI KWA TUHUMA ZA KUMPIGA NA KUMSABABISHIA KIFO MKEWE
> Zakayo Kimaro anatuhumiwa kumpiga na kumsababishia kifo Magdalena Makishe (61)
> Kimaro amedaiwa kumuuza ng'ombe wa mkewe na alipoulizwa akamshambulia mkewe kwa fimbo
Soma https://jamii.app/MkeSihaMauaji
> Zakayo Kimaro anatuhumiwa kumpiga na kumsababishia kifo Magdalena Makishe (61)
> Kimaro amedaiwa kumuuza ng'ombe wa mkewe na alipoulizwa akamshambulia mkewe kwa fimbo
Soma https://jamii.app/MkeSihaMauaji
DODOMA: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo analihutubia Bunge kwa mara ya kwanza
- Hotuba ya Rais Samia inatarajiwa kutoa dira ya Uongozi wake tangu alipochukua kijiti kutoka kwa Hayati Dkt. John Pombe Magufuli
Fuatilia - https://youtu.be/bgAuUQupxxU
#JFLeo
- Hotuba ya Rais Samia inatarajiwa kutoa dira ya Uongozi wake tangu alipochukua kijiti kutoka kwa Hayati Dkt. John Pombe Magufuli
Fuatilia - https://youtu.be/bgAuUQupxxU
#JFLeo
YouTube
Hotuba ya Rais Samia Suluhu BUNGENI, Dodoma - Aprili 22, 2021
Hotuba ya Rais Samia Suluhu Bungeni, Dodoma
#Samia #Suluhu #Hotuba #Bungeni #Dodoma
Rais Samia Suluhu Hassan leo anatarajiwa kuhutubia Bunge la Tanzania katika hotuba itakayotoa mwelekeo wa nini hasa amepanga kutimiza katika muhula wake wa kwanza madarakani.…
#Samia #Suluhu #Hotuba #Bungeni #Dodoma
Rais Samia Suluhu Hassan leo anatarajiwa kuhutubia Bunge la Tanzania katika hotuba itakayotoa mwelekeo wa nini hasa amepanga kutimiza katika muhula wake wa kwanza madarakani.…