VYANZO VYA MSONGO WA MAWAZO (STRESS) KATIKA ENEO LA KAZI
- Mshahara mdogo: Malipo madogo inatajwa kuwa sababu kubwa ya Msongo wa Mawazo kwa Wafanyakazi kutokana na kutokukidhi mahitaji kikamilifu
- Kukosekana kwa fursa za kukua kitaaluma: Ukuaji kitaalam unamaanisha kupata ujuzi mpya na uzoefu wa kazi ambao utasaidia kufikia lengo
- Kukosa nafasi ya kushiriki katika maamuzi: Hii inamaanisha Viongozi wa kati na wa juu huwasimamia Wafanyakazi wao kwa kuamua kila kitu bila kuwashirikisha wa chini
Soma https://jamii.app/MawazoHuzuni
#StressAwarenessMonth #Employees
- Mshahara mdogo: Malipo madogo inatajwa kuwa sababu kubwa ya Msongo wa Mawazo kwa Wafanyakazi kutokana na kutokukidhi mahitaji kikamilifu
- Kukosekana kwa fursa za kukua kitaaluma: Ukuaji kitaalam unamaanisha kupata ujuzi mpya na uzoefu wa kazi ambao utasaidia kufikia lengo
- Kukosa nafasi ya kushiriki katika maamuzi: Hii inamaanisha Viongozi wa kati na wa juu huwasimamia Wafanyakazi wao kwa kuamua kila kitu bila kuwashirikisha wa chini
Soma https://jamii.app/MawazoHuzuni
#StressAwarenessMonth #Employees
KANUNI ZA BUNGE ZATENGULIWA KURUHUSU BAADHI YA VIONGOZI WAINGIE NDANI YA UKUMBI WA BUNGE
> Kanuni ya 160 (1) ya Kanuni za Kudumu za Bunge toleo la Juni 2020 zatenguliwa ili Viongozi walioalikwa na Spika waingie ndani ya Ukumbi wa Bunge
Tazama https://youtu.be/Ezf66HMNV0k
> Kanuni ya 160 (1) ya Kanuni za Kudumu za Bunge toleo la Juni 2020 zatenguliwa ili Viongozi walioalikwa na Spika waingie ndani ya Ukumbi wa Bunge
Tazama https://youtu.be/Ezf66HMNV0k
YouTube
Bunge Latengua Kanuni kuruhusu Rais Samia Suluhu kuingia Ukumbini
Bunge limetengua kanuni kuruhusu hotuba ya Rais Samia Suluhu.Pamoja na Rais, wengine watakaoingia Bungeni ni: Makamu wa Rais, Dkt. Phillip Mpango; Rais wa Za...
UNATAKA KUSAJILI KAZI YA SANAA NA HUJUI VITU VINAVYOHITAJIKA? ANDAA VIFUATAVYO (SEHEMU YA 1)
- Nakala 2 za kazi yako ya sanaa
- Picha 2 za 'Passport Size'
- Nakala ya picha za utambulisho, Kitambulisho cha Kitaifa au cheti cha kuzaliwa
Soma > https://jamii.app/SajiliSanaa
- Nakala 2 za kazi yako ya sanaa
- Picha 2 za 'Passport Size'
- Nakala ya picha za utambulisho, Kitambulisho cha Kitaifa au cheti cha kuzaliwa
Soma > https://jamii.app/SajiliSanaa
KUKOSEKANA KWA DARAJA LOYA: KILA MWAKA WATU ZAIDI YA 20 WANAFARIKI
- Mbunge wa Igalula, Venant Protas, ameomba fedha za ujenzi ili kunusuru Wananchi wanasombwa na Mto
- Asema Ujenzi wa Daraja hilo umekuwa ukipigiwa kelele tangu Mwaka 2013
Soma - https://jamii.app/DarajaLoya
- Mbunge wa Igalula, Venant Protas, ameomba fedha za ujenzi ili kunusuru Wananchi wanasombwa na Mto
- Asema Ujenzi wa Daraja hilo umekuwa ukipigiwa kelele tangu Mwaka 2013
Soma - https://jamii.app/DarajaLoya
MAKETE: WATUMISHI WATATU WAHUKUMIWA KWA MAKOSA YA RUSHWA NA UBADHIRIFU
- Wamehukumiwa kifungo cha miaka 3 jela kila mmoja kwa kuomba, kupokea rushwa na ubadhirifu wa fedha za makusanyo ya ushuru kwa njia ya POS na hawakuziwasilisha kwa Halmashauri
Soma - https://jamii.app/JelaWatumishiMakete
- Wamehukumiwa kifungo cha miaka 3 jela kila mmoja kwa kuomba, kupokea rushwa na ubadhirifu wa fedha za makusanyo ya ushuru kwa njia ya POS na hawakuziwasilisha kwa Halmashauri
Soma - https://jamii.app/JelaWatumishiMakete
UNATAKA KUSAJILI KAZI YA SANAA NA HUJUI VITU VINAVYOHITAJIKA? ANDAA VIFUATAVYO (SEHEMU YA 2)
- Ushahidi wa maandishi kuhusu uhusiano kati ya aliyeenda kusajili na wahusika wengine ikiwa ni kikundi
- Nakala ya makubaliano inayoonesha ushiriki wa wahusika wengine
Soma > https://jamii.app/SajiliSanaa
#JamiiForums #JFSanaa
- Ushahidi wa maandishi kuhusu uhusiano kati ya aliyeenda kusajili na wahusika wengine ikiwa ni kikundi
- Nakala ya makubaliano inayoonesha ushiriki wa wahusika wengine
Soma > https://jamii.app/SajiliSanaa
#JamiiForums #JFSanaa
ARUSHA: 3 WAFIKISHWA MAHAKAMANI KWA TUHUMA ZA UHUJUMU UCHUMI
> Washtakiwa walikusanya ushuru wa utalii wa utamaduni kati ya Julai 2017 hadi Machi 2018 na hawakuwasilisha makusanyo Halmashauri ya Karatu na kusababisha hasara ya Tsh. 11,409,045
Soma https://jamii.app/KaratuUhujumu
> Washtakiwa walikusanya ushuru wa utalii wa utamaduni kati ya Julai 2017 hadi Machi 2018 na hawakuwasilisha makusanyo Halmashauri ya Karatu na kusababisha hasara ya Tsh. 11,409,045
Soma https://jamii.app/KaratuUhujumu
KILIMANJARO: MBARONI KWA TUHUMA ZA KUMPIGA NA KUMSABABISHIA KIFO MKEWE
> Zakayo Kimaro anatuhumiwa kumpiga na kumsababishia kifo Magdalena Makishe (61)
> Kimaro amedaiwa kumuuza ng'ombe wa mkewe na alipoulizwa akamshambulia mkewe kwa fimbo
Soma https://jamii.app/MkeSihaMauaji
> Zakayo Kimaro anatuhumiwa kumpiga na kumsababishia kifo Magdalena Makishe (61)
> Kimaro amedaiwa kumuuza ng'ombe wa mkewe na alipoulizwa akamshambulia mkewe kwa fimbo
Soma https://jamii.app/MkeSihaMauaji
DODOMA: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo analihutubia Bunge kwa mara ya kwanza
- Hotuba ya Rais Samia inatarajiwa kutoa dira ya Uongozi wake tangu alipochukua kijiti kutoka kwa Hayati Dkt. John Pombe Magufuli
Fuatilia - https://youtu.be/bgAuUQupxxU
#JFLeo
- Hotuba ya Rais Samia inatarajiwa kutoa dira ya Uongozi wake tangu alipochukua kijiti kutoka kwa Hayati Dkt. John Pombe Magufuli
Fuatilia - https://youtu.be/bgAuUQupxxU
#JFLeo
YouTube
Hotuba ya Rais Samia Suluhu BUNGENI, Dodoma - Aprili 22, 2021
Hotuba ya Rais Samia Suluhu Bungeni, Dodoma
#Samia #Suluhu #Hotuba #Bungeni #Dodoma
Rais Samia Suluhu Hassan leo anatarajiwa kuhutubia Bunge la Tanzania katika hotuba itakayotoa mwelekeo wa nini hasa amepanga kutimiza katika muhula wake wa kwanza madarakani.…
#Samia #Suluhu #Hotuba #Bungeni #Dodoma
Rais Samia Suluhu Hassan leo anatarajiwa kuhutubia Bunge la Tanzania katika hotuba itakayotoa mwelekeo wa nini hasa amepanga kutimiza katika muhula wake wa kwanza madarakani.…