JamiiForums
52.8K subscribers
34.4K photos
2.44K videos
31.3K links
Official Telegram Channel | Inform x Engage x Empower
Download Telegram
VYANZO VYA MSONGO WA MAWAZO (STRESS) KATIKA ENEO LA KAZI

- Mshahara mdogo: Malipo madogo inatajwa kuwa sababu kubwa ya Msongo wa Mawazo kwa Wafanyakazi kutokana na kutokukidhi mahitaji kikamilifu

- Kukosekana kwa fursa za kukua kitaaluma: Ukuaji kitaalam unamaanisha kupata ujuzi mpya na uzoefu wa kazi ambao utasaidia kufikia lengo

- Kukosa nafasi ya kushiriki katika maamuzi: Hii inamaanisha Viongozi wa kati na wa juu huwasimamia Wafanyakazi wao kwa kuamua kila kitu bila kuwashirikisha wa chini

Soma https://jamii.app/MawazoHuzuni

#StressAwarenessMonth #Employees
KANUNI ZA BUNGE ZATENGULIWA KURUHUSU BAADHI YA VIONGOZI WAINGIE NDANI YA UKUMBI WA BUNGE

> Kanuni ya 160 (1) ya Kanuni za Kudumu za Bunge toleo la Juni 2020 zatenguliwa ili Viongozi walioalikwa na Spika waingie ndani ya Ukumbi wa Bunge

Tazama https://youtu.be/Ezf66HMNV0k
UNATAKA KUSAJILI KAZI YA SANAA NA HUJUI VITU VINAVYOHITAJIKA? ANDAA VIFUATAVYO (SEHEMU YA 1)

- Nakala 2 za kazi yako ya sanaa

- Picha 2 za 'Passport Size'

- Nakala ya picha za utambulisho, Kitambulisho cha Kitaifa au cheti cha kuzaliwa

Soma > https://jamii.app/SajiliSanaa
KUKOSEKANA KWA DARAJA LOYA: KILA MWAKA WATU ZAIDI YA 20 WANAFARIKI

- Mbunge wa Igalula, Venant Protas, ameomba fedha za ujenzi ili kunusuru Wananchi wanasombwa na Mto

- Asema Ujenzi wa Daraja hilo umekuwa ukipigiwa kelele tangu Mwaka 2013

Soma - https://jamii.app/DarajaLoya
MAKETE: WATUMISHI WATATU WAHUKUMIWA KWA MAKOSA YA RUSHWA NA UBADHIRIFU

- Wamehukumiwa kifungo cha miaka 3 jela kila mmoja kwa kuomba, kupokea rushwa na ubadhirifu wa fedha za makusanyo ya ushuru kwa njia ya POS na hawakuziwasilisha kwa Halmashauri

Soma - https://jamii.app/JelaWatumishiMakete
UNATAKA KUSAJILI KAZI YA SANAA NA HUJUI VITU VINAVYOHITAJIKA? ANDAA VIFUATAVYO (SEHEMU YA 2)

- Ushahidi wa maandishi kuhusu uhusiano kati ya aliyeenda kusajili na wahusika wengine ikiwa ni kikundi

- Nakala ya makubaliano inayoonesha ushiriki wa wahusika wengine

Soma > https://jamii.app/SajiliSanaa

#JamiiForums #JFSanaa
ARUSHA: 3 WAFIKISHWA MAHAKAMANI KWA TUHUMA ZA UHUJUMU UCHUMI

> Washtakiwa walikusanya ushuru wa utalii wa utamaduni kati ya Julai 2017 hadi Machi 2018 na hawakuwasilisha makusanyo Halmashauri ya Karatu na kusababisha hasara ya Tsh. 11,409,045

Soma https://jamii.app/KaratuUhujumu
KILIMANJARO: MBARONI KWA TUHUMA ZA KUMPIGA NA KUMSABABISHIA KIFO MKEWE

> Zakayo Kimaro anatuhumiwa kumpiga na kumsababishia kifo Magdalena Makishe (61)

> Kimaro amedaiwa kumuuza ng'ombe wa mkewe na alipoulizwa akamshambulia mkewe kwa fimbo

Soma https://jamii.app/MkeSihaMauaji
Baadhi ya Nukuu za Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Aprili 22, 2021 Bungeni Dodoma

#JFLeo
Hotuba ya Rais Samia Suluhu Hassan Bungeni Dodoma leo Aprili 22, 2021

#JFLeo