RAIS SAMIA: MIAKA MITANO IJAYO KUNAHITAJIKA UWEKEZAJI KATIKA SEKTA ZA UZALISHAJI ZINAZOTOA AJIRA KWA WINGI
> Rais Samia amesema Uchumi ulikuwa unakuwa kwa 6.9% lakini #COVID19 imefanya ukue kwa 4.7%. Wataboresha Mazingira ya Uwekezaji ili kuleta ajira
Soma https://jamii.app/22HotubaSamia
> Rais Samia amesema Uchumi ulikuwa unakuwa kwa 6.9% lakini #COVID19 imefanya ukue kwa 4.7%. Wataboresha Mazingira ya Uwekezaji ili kuleta ajira
Soma https://jamii.app/22HotubaSamia
RAIS SAMIA: TUTABORESHA ILI MASHIRIKA YA UMMA YAJIENDESHE KWA FAIDA
> Rais Samia amesema Mashirika ya Umma yanajiendesha kwa kusuasua hali inayopelekea Viongozi kuwa na hofu wakati wa kutoa gawio
> Ameahidi kufanya kazi vizuri na Mashirika binafsi
Soma https://jamii.app/22HotubaSamia
> Rais Samia amesema Mashirika ya Umma yanajiendesha kwa kusuasua hali inayopelekea Viongozi kuwa na hofu wakati wa kutoa gawio
> Ameahidi kufanya kazi vizuri na Mashirika binafsi
Soma https://jamii.app/22HotubaSamia
RAIS SAMIA AWAONYA WANAOPOTOSHA KUHUSU KIFO CHA RAIS MAGUFULI
> Rais Samia amesema kuna wanaotumia mitandao ya kijami kupotosha kuhusu kifo cha Rais Magufuli kwa kudai kuwa amepewa sumu
> Amesema kama wana ushahidi waupeleke Vyombo vya Ulinzi na Usalama
Soma https://jamii.app/22HotubaSamia
> Rais Samia amesema kuna wanaotumia mitandao ya kijami kupotosha kuhusu kifo cha Rais Magufuli kwa kudai kuwa amepewa sumu
> Amesema kama wana ushahidi waupeleke Vyombo vya Ulinzi na Usalama
Soma https://jamii.app/22HotubaSamia
RAIS SAMIA: HATUTAKUBALI KUONA ATCL INAPATA HASARA
> Rais Samia amesema Serikali italilea Shirika la Ndege la ATCL kimkakati ili liweze kujiendesha kwa ufanisi ikiwemo kulipa unafuu wa kodi na kuliondolea madeni
> Pia, Serikali itahakikisha wanaoliendesha ni watu wenye weledi na uwezo
Soma https://jamii.app/22HotubaSamia
> Rais Samia amesema Serikali italilea Shirika la Ndege la ATCL kimkakati ili liweze kujiendesha kwa ufanisi ikiwemo kulipa unafuu wa kodi na kuliondolea madeni
> Pia, Serikali itahakikisha wanaoliendesha ni watu wenye weledi na uwezo
Soma https://jamii.app/22HotubaSamia
RAIS SAMIA AWAAMBIA WABUNGE WAIKOSOE SERIKALI KWA LUGHA YA KIBUNGE
> Rais Samia ameliomba Bunge kuisimamia Serikali katika kutekeleza yaliyoahidiwa na wakosoe kwa staha inapobidi
> Amesema Bunge ni sauti ya Wananchi hategemei lijadili yasiyohusika
Soma https://jamii.app/22HotubaSamia
> Rais Samia ameliomba Bunge kuisimamia Serikali katika kutekeleza yaliyoahidiwa na wakosoe kwa staha inapobidi
> Amesema Bunge ni sauti ya Wananchi hategemei lijadili yasiyohusika
Soma https://jamii.app/22HotubaSamia
RAIS SAMIA: TUTATOA KIPAUMBELE KUENDELEZA MAKAO MAKUU YA SERIKALI JIJINI DODOMA
> Katika hatua hii, Rais Samia ameahidi kuendeleza hatua za kuifanya Dodoma kuwa Mji Mkuu na Ofisi za Serikali kuwa zinapatikana huko
Soma https://jamii.app/22HotubaSamia
> Katika hatua hii, Rais Samia ameahidi kuendeleza hatua za kuifanya Dodoma kuwa Mji Mkuu na Ofisi za Serikali kuwa zinapatikana huko
Soma https://jamii.app/22HotubaSamia
RAIS SAMIA: ULINZI WA AFYA YAKO UNAANZA NA WEWE MWENYEWE
> Rais Samia amewataka watanzania kuendelea kufauta hatua zote za kujikinga na maambukizi ya #COVID19
> Amesema hadi sasa hakuna dawa iliyogundulika hivyo ni lazima kuchukua tahadhari
Soma https://jamii.app/22HotubaSamia
> Rais Samia amewataka watanzania kuendelea kufauta hatua zote za kujikinga na maambukizi ya #COVID19
> Amesema hadi sasa hakuna dawa iliyogundulika hivyo ni lazima kuchukua tahadhari
Soma https://jamii.app/22HotubaSamia
SHINYANGA: TAKUKURU YASHAURI MACHINJIO YANAYOENDESHWA KIENYEJI KUFUNGIWA
> TAKUKURU wilayani Kahama imebaini nguruwe huchinjwa wakiwa wamekufa na kutokaguliwa na Maafisa Mifugo
> Aidha, nyama zinazozikwa hufukuliwa na kuuzwa
Soma https://jamii.app/NguruweKahama
#JFLeo
> TAKUKURU wilayani Kahama imebaini nguruwe huchinjwa wakiwa wamekufa na kutokaguliwa na Maafisa Mifugo
> Aidha, nyama zinazozikwa hufukuliwa na kuuzwa
Soma https://jamii.app/NguruweKahama
#JFLeo
#NIGERIA: WATU 50 WAUAWA NA WATU WALIOJIHAMI NA SILAHA
> Watu waliokuwa na pikipiki wameshambulia Vijiji vya Jimbo la Zamfara na kusababisha vifo, wengine hawajulikani walipo
> Baadhi ya walioshambuliwa ni waliosambaratishwa na mashambulio ya awali
Soma https://jamii.app/NigeriaMauaji
> Watu waliokuwa na pikipiki wameshambulia Vijiji vya Jimbo la Zamfara na kusababisha vifo, wengine hawajulikani walipo
> Baadhi ya walioshambuliwa ni waliosambaratishwa na mashambulio ya awali
Soma https://jamii.app/NigeriaMauaji
TMA: KIMBUNGA JOBO CHAZIDI KUSOGELEA TANZANIA
> Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetahadharisha kuwa kimbunga cha JOBO kipo umbali wa Kilometa 400 kikizidi kusogea kwa kasi ya Km 20 kwa saa
Soma https://jamii.app/KimbungaLindi
> Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetahadharisha kuwa kimbunga cha JOBO kipo umbali wa Kilometa 400 kikizidi kusogea kwa kasi ya Km 20 kwa saa
Soma https://jamii.app/KimbungaLindi
NANI ADUI WA VIJANA KATIKA KUJIAJIRI?
- Ajira zisizo rasmi zimekuwa ni changamoto kwasababu zinatoa riziki ya mkono kwa mdomo tu (hand to mouth) na hivyo kutozingatia mahitaji mengine
- Vijana wengi wenye taaluma mbalimbali wamejikuta Mitaani bila kuwa na shughuli za kuwaingizia kipato
Je, adui wa vijana ni Uthubutu, Serikali, Malezi au Mazingira?
Mjadala zaidi - https://jamii.app/VikwazoKujiajiri
- Ajira zisizo rasmi zimekuwa ni changamoto kwasababu zinatoa riziki ya mkono kwa mdomo tu (hand to mouth) na hivyo kutozingatia mahitaji mengine
- Vijana wengi wenye taaluma mbalimbali wamejikuta Mitaani bila kuwa na shughuli za kuwaingizia kipato
Je, adui wa vijana ni Uthubutu, Serikali, Malezi au Mazingira?
Mjadala zaidi - https://jamii.app/VikwazoKujiajiri
TAHADHARI ZA KUCHUKUA KUKABILIANA NA KIMBUNGA JOBO
> Kaa karibu na nyumbani. Ingiza vitu hatarishi ndani ili usidhurike upepo ukivuma
> Vifaa vya umeme viwe na chaji muda wote. Weka vitu muhimu ktk begi iwe rahisi kuhama itakapolazimika
Soma - https://jamii.app/TahadhariJOBO
> Kaa karibu na nyumbani. Ingiza vitu hatarishi ndani ili usidhurike upepo ukivuma
> Vifaa vya umeme viwe na chaji muda wote. Weka vitu muhimu ktk begi iwe rahisi kuhama itakapolazimika
Soma - https://jamii.app/TahadhariJOBO
DAVID KAFULILA: TUTUMIE MITANDAO VIZURI, RAIS ANASOMA MAONI YETU
> Kafulila atoa wito kwa Watanzania kutumia vizuri mitandao ili Rais Samia aweze kuvutiwa kusoma mawazo
> Asema matusi yanaweza kumfanya aache kutumia kama alivyofanya Rais wa Kenya
Soma https://jamii.app/TumieniMitandao
> Kafulila atoa wito kwa Watanzania kutumia vizuri mitandao ili Rais Samia aweze kuvutiwa kusoma mawazo
> Asema matusi yanaweza kumfanya aache kutumia kama alivyofanya Rais wa Kenya
Soma https://jamii.app/TumieniMitandao
NJOMBE: WATOTO CHINI YA MIAKA 5 WATOZWA TSH.4000 KUMUONA DAKTARI
> Mamlaka za Kituo cha Afya Makambako zimesema Watoto hulipa kumuona Daktari, vipimo na Dawa ni bure
> Pia wajawazito wenye matatizo yasiyohusiana na ujauzito hulipia matibabu yote
Soma https://jamii.app/MalipoWatoto
> Mamlaka za Kituo cha Afya Makambako zimesema Watoto hulipa kumuona Daktari, vipimo na Dawa ni bure
> Pia wajawazito wenye matatizo yasiyohusiana na ujauzito hulipia matibabu yote
Soma https://jamii.app/MalipoWatoto