UGANDA: MADAKTARI WATAKA CHANJO YA #COVID19 IWE YA HIARI
- Ni baada ya Viongozi kadhaa wa Wilaya kutaka Watumishi wa Afya wapatiwe Chanjo kilazima
- Umoja wa Madaktari umesema Afya ni suala binafsi na kushauri kampeni za kujenga uelewa zifanyike
Soma https://jamii.app/ChanjoUganda
- Ni baada ya Viongozi kadhaa wa Wilaya kutaka Watumishi wa Afya wapatiwe Chanjo kilazima
- Umoja wa Madaktari umesema Afya ni suala binafsi na kushauri kampeni za kujenga uelewa zifanyike
Soma https://jamii.app/ChanjoUganda
ZANZIBAR: MCHELE TANI 42.5 WATEKETEZWA, UMEONEKANA HAUFAI KUTUMIWA NA BINADAMU
> Mchele huo uliingizwa toka India, umeteketezwa na Wakala wa Chakula, Dawa na Vipodozi Zanzibar (ZFDA)
> ZFDA yasema bidhaa zilizoisha muda hupelekea matatizo ya Saratani
Soma https://jamii.app/McheleZnz
> Mchele huo uliingizwa toka India, umeteketezwa na Wakala wa Chakula, Dawa na Vipodozi Zanzibar (ZFDA)
> ZFDA yasema bidhaa zilizoisha muda hupelekea matatizo ya Saratani
Soma https://jamii.app/McheleZnz
YANGA SC YATAMBULISHA KOCHA MPYA KUTOKA TUNISIA
- Uongozi wa Klabu ya Young Africans umemtambulisha rasmi Kocha Mkuu, Mohamed Nasreddine Nabi pamoja na Kocha Msaidizi, Sghir Hammadi kwa mkataba wa mwaka mmoja na nusu
#JFSports
- Uongozi wa Klabu ya Young Africans umemtambulisha rasmi Kocha Mkuu, Mohamed Nasreddine Nabi pamoja na Kocha Msaidizi, Sghir Hammadi kwa mkataba wa mwaka mmoja na nusu
#JFSports
MDAU ASHAURI NJIA ZA KUTUMIA KUPUNGUZA GHARAMA ZA MAISHA
> Mdau ameshauri kuacha matumizi yasiyo ya lazima kama kutoa ofa. Pia kutonunua kitu kama haujapanga
> Muhimu kuwa na Bima ya Afya, maisha nk. Pia penda kununua vitu kwa bei ya jumla
Zaidi, soma https://jamii.app/UgumuWaMaisha
> Mdau ameshauri kuacha matumizi yasiyo ya lazima kama kutoa ofa. Pia kutonunua kitu kama haujapanga
> Muhimu kuwa na Bima ya Afya, maisha nk. Pia penda kununua vitu kwa bei ya jumla
Zaidi, soma https://jamii.app/UgumuWaMaisha
CHAD: JESHI LAVUNJA SERIKALI. MTOTO WA DEBY KUONGOZA KIPINDI CHA MPITO
Kufuatia kifo cha Rais Idriss Deby, Jeshi litaongoza kwa miezi 18 na Baraza litaongozwa na Mahamat Idriss Deby
> Chad itaomboleza kwa siku 14. Mipaka ya anga na ardhi yafungwa
Soma https://jamii.app/ChadRaisMpito
Kufuatia kifo cha Rais Idriss Deby, Jeshi litaongoza kwa miezi 18 na Baraza litaongozwa na Mahamat Idriss Deby
> Chad itaomboleza kwa siku 14. Mipaka ya anga na ardhi yafungwa
Soma https://jamii.app/ChadRaisMpito
ZUNGU ATAKA KUWEPO KWA KODI KWENYE MITANDAO YA SIMU
- Mbunge wa Ilala, Azzan Zungu, amependekeza kuwepo kwa kodi ya Uzalendo itakayokatwa kila siku kupitia Mitandao ya Simu kwa kila Mtanzania ili kuwa chanzo kipya cha mapato kwa Serikali
Soma - https://jamii.app/ZunguKodiMitandao
- Mbunge wa Ilala, Azzan Zungu, amependekeza kuwepo kwa kodi ya Uzalendo itakayokatwa kila siku kupitia Mitandao ya Simu kwa kila Mtanzania ili kuwa chanzo kipya cha mapato kwa Serikali
Soma - https://jamii.app/ZunguKodiMitandao
NAMNA YA KUTAMBUA MWENZA WAKO ANA MSONGO WA MAWAZO (STRESS)
- Anakuwa Mtu wa kukasirika sana na kukerwa na kila kitu unachofanya. Pia, anaweza kuwa na huzuni wakati mwingi na hii hupelekea Mawasiliano yenu kuanza kudhoofika
- Hutumia muda mwingi kukamilisha kazi ndogo na huwa mzito katika kufanya maamuzi
Soma - https://jamii.app/MawazoHuzuni
#StressAwarenessMonth
- Anakuwa Mtu wa kukasirika sana na kukerwa na kila kitu unachofanya. Pia, anaweza kuwa na huzuni wakati mwingi na hii hupelekea Mawasiliano yenu kuanza kudhoofika
- Hutumia muda mwingi kukamilisha kazi ndogo na huwa mzito katika kufanya maamuzi
Soma - https://jamii.app/MawazoHuzuni
#StressAwarenessMonth
HALI YAKO YA MAISHA INAENDANA NA METHALI GANI?
> Wahenga walikuwa na misemo na methali walizotumia kupeana moyo, maonyo au mafunzo
> Kila mtu ana stori ambayo ni tofauti na mwingine. Je maisha yako yanaendana na methali ipi?
Soma https://jamii.app/MaishaMethali
> Wahenga walikuwa na misemo na methali walizotumia kupeana moyo, maonyo au mafunzo
> Kila mtu ana stori ambayo ni tofauti na mwingine. Je maisha yako yanaendana na methali ipi?
Soma https://jamii.app/MaishaMethali
WASANII KUWEKA MAUDHUI YOUTUBE BILA KULIPA ADA YA LESENI TCRA
> Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Dkt. Hassan Abbas amesema wanatengeneza Kanuni ili wanaorusha maudhui ambayo si Habari wasilipe Leseni
> Amesema kuna tofauti kati ya Habari na Sanaa
Soma https://jamii.app/YouTubeBure
> Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Dkt. Hassan Abbas amesema wanatengeneza Kanuni ili wanaorusha maudhui ambayo si Habari wasilipe Leseni
> Amesema kuna tofauti kati ya Habari na Sanaa
Soma https://jamii.app/YouTubeBure
MAREKANI: DEREK CHAUVIN AKUTWA NA HATIA YA KUMUUA GEORGE FLOYD
> Aliyekuwa Afisa wa Polisi Minneapolis ametiwa hatiani kwa kupiga goti shingoni mwa George Floyd na kumsababishia kifo
> Kitendo hicho kimetajwa kuwa kinyume na Mafunzo ya Kipolisi
Soma https://jamii.app/ChauvinVsFloyd
> Aliyekuwa Afisa wa Polisi Minneapolis ametiwa hatiani kwa kupiga goti shingoni mwa George Floyd na kumsababishia kifo
> Kitendo hicho kimetajwa kuwa kinyume na Mafunzo ya Kipolisi
Soma https://jamii.app/ChauvinVsFloyd
AKAUNTI ZA BENKI ZA MTANDAO WA WATETEZI WA HAKI ZA BINADAMU ZAFUNGULIWA
- Akaunti za Benki za Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) zilifungwa kwa takriban miezi 8 tangu Agosti 2020 kutokana na Uchunguzi wa tuhuma mbalimbali
Soma - https://jamii.app/OpenAccTHRDC
- Akaunti za Benki za Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) zilifungwa kwa takriban miezi 8 tangu Agosti 2020 kutokana na Uchunguzi wa tuhuma mbalimbali
Soma - https://jamii.app/OpenAccTHRDC
ATHARI ZA MSONGO WA MAWAZO (STRESS) MWILINI
- Huvuruga mzunguko wa usingizi ambapo huweza kuathiri vibaya na kusababisha kukosekana kabisa kwa usingizi
- Huvuruga mfumo wa Chakula Mwilini, Tumbo kujaa gesi, maumivu ya Tumbo, kushindwa kumeng'enya Chakula, kutapika na kichefuchefu
- Athari kwenye tishu za Ubongo ikiwemo kushindwa kutumia mbinu za utambuzi katika kudhibiti wasiwasi na hofu
Soma - https://jamii.app/MawazoHuzuni
- Huvuruga mzunguko wa usingizi ambapo huweza kuathiri vibaya na kusababisha kukosekana kabisa kwa usingizi
- Huvuruga mfumo wa Chakula Mwilini, Tumbo kujaa gesi, maumivu ya Tumbo, kushindwa kumeng'enya Chakula, kutapika na kichefuchefu
- Athari kwenye tishu za Ubongo ikiwemo kushindwa kutumia mbinu za utambuzi katika kudhibiti wasiwasi na hofu
Soma - https://jamii.app/MawazoHuzuni
SUDAN KUSINI: MAMLAKA YATEKETEZA CHANJO 60,000 ZA ASTRAZENECA
> Sudan Kusini imesema Chanjo ziliwasili zikiwa zimebakiza muda mdogo kabla ya kuisha matumizi
> CDC-Afrika imesema walikuwa na muda wa kutosha kutumia Chanjo kabla hazijapitwa wakati
Soma https://jamii.app/SudanKusiniAstraZeneca
> Sudan Kusini imesema Chanjo ziliwasili zikiwa zimebakiza muda mdogo kabla ya kuisha matumizi
> CDC-Afrika imesema walikuwa na muda wa kutosha kutumia Chanjo kabla hazijapitwa wakati
Soma https://jamii.app/SudanKusiniAstraZeneca
UAE YAFIKIRIA KUZUIA SAFARI KWA AMBAO HAWAJAPATA CHANJO YA #COVID19
- Umoja wa Falme za Kiarabu umeshatoa Dozi Milioni 9.8 huku ikiwa na idadi ya Watu Milioni 10
- Watu wengi wenye umri kuanzia miaka 16 na zaidi wanapewa Chanjo bure
Soma - https://jamii.app/UnvaccinedUAE
- Umoja wa Falme za Kiarabu umeshatoa Dozi Milioni 9.8 huku ikiwa na idadi ya Watu Milioni 10
- Watu wengi wenye umri kuanzia miaka 16 na zaidi wanapewa Chanjo bure
Soma - https://jamii.app/UnvaccinedUAE
TANZANIA YAPOROMOKA KTK KUIMARISHA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI
- Ripoti ya 2020 ya Reporters Without Borders (RSF) imeitaja #Tanzania kushika nafasi ya 124 kati ya Nchi 180 Duniani
- Mwaka 2019 ilishika nafasi ya 118 huku 2018 ikiwa 93
Soma https://jamii.app/PressFreedom2021
#PressFreedom
- Ripoti ya 2020 ya Reporters Without Borders (RSF) imeitaja #Tanzania kushika nafasi ya 124 kati ya Nchi 180 Duniani
- Mwaka 2019 ilishika nafasi ya 118 huku 2018 ikiwa 93
Soma https://jamii.app/PressFreedom2021
#PressFreedom
MWANZA: RC AWASIMAMISHA WAKUU WA IDARA WATATU KUPISHA UCHUNGUZI
> Kaimu Mweka Hazina, Tabwe Seleman, Kaimu Afisa Manunuzi, Renatus Shule na Kaimu Mhandisi wa Sengerema, William Wandu wamesimamishwa kupisha uchunguzi wa ubadhirifu wa fedha uliotokea
Soma https://jamii.app/SengeremaWakuuWaIdara
> Kaimu Mweka Hazina, Tabwe Seleman, Kaimu Afisa Manunuzi, Renatus Shule na Kaimu Mhandisi wa Sengerema, William Wandu wamesimamishwa kupisha uchunguzi wa ubadhirifu wa fedha uliotokea
Soma https://jamii.app/SengeremaWakuuWaIdara
WAZIRI WA TAMISEMI AMSIMAMISHA KAZI MKURUGENZI MTENDAJI WA BUHIGWE
- Waziri Ummy Mwalimu amemsimamisha kazi Anosta Nyamoga ili kupisha uchunguzi wa tuhuma za ubadhirifu
- Amuagiza Katibu Mkuu wa TAMISEMI kupeleka timu ya uchunguzi
Soma - https://jamii.app/DEDBuhingweOut
- Waziri Ummy Mwalimu amemsimamisha kazi Anosta Nyamoga ili kupisha uchunguzi wa tuhuma za ubadhirifu
- Amuagiza Katibu Mkuu wa TAMISEMI kupeleka timu ya uchunguzi
Soma - https://jamii.app/DEDBuhingweOut