WAFAMASIA WAKUMBUSHWA KUHUISHA LESENI ZAO KABLA YA DESEMBA 31
> Baraza la Famasi linawakumbusha Wafamasia, Fundi Dawa sanifu kuhuisha leseni kwa mujibu wa #Sheria ya Famasi
> Pia, kuhakikisha Dawa zinatolewa kwa kuzingatia miongozo iliyopo
Tazama https://youtu.be/nIo6vtAENgw
#JFLeo
> Baraza la Famasi linawakumbusha Wafamasia, Fundi Dawa sanifu kuhuisha leseni kwa mujibu wa #Sheria ya Famasi
> Pia, kuhakikisha Dawa zinatolewa kwa kuzingatia miongozo iliyopo
Tazama https://youtu.be/nIo6vtAENgw
#JFLeo
YouTube
WAFAMASIA WAKUMBUSHWA KUHUISHA LESENI ZAO KABLA YA DESEMBA 31
Msajili wa Baraza la Famasi, Elizabeth Shekalaghe amewakumbusha Wafamasia, fundi dawa sanifu kuhuisha leseni mujibu wa kifungu Namba 22 cha Sheria ya Famasi, Sura 311
#ZANZIBAR: RAIS MWINYI AMSIMAMISHA KAZI MKURUGENZI WA ZSSF
- Mkurugenzi Mwendeshaji wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii, Sabra Issa Machano na Watendaji wengine wanatuhumiwa kuhusika na makosa mbalimbali katika utekelezaji wa miradi ya Serikali
Soma - https://jamii.app/MwinyiZSSF
#JFLeo
- Mkurugenzi Mwendeshaji wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii, Sabra Issa Machano na Watendaji wengine wanatuhumiwa kuhusika na makosa mbalimbali katika utekelezaji wa miradi ya Serikali
Soma - https://jamii.app/MwinyiZSSF
#JFLeo
SHINYANGA: ABIRIA WALIOMPIGA DEREVA WA LORI WAKAMATWA
> Mwita C. Chaguche, Dereva wa Basi la Frester na abiria 3 wamekamatwa na Polisi kwa kumpiga Emmanuel Msuya wakimtuhumu kutaka kusababisha ajali eneo la Samuye barabara ya Shinyanga β Mwanza
Tazama - https://youtu.be/4d_aIDxXyzU
> Mwita C. Chaguche, Dereva wa Basi la Frester na abiria 3 wamekamatwa na Polisi kwa kumpiga Emmanuel Msuya wakimtuhumu kutaka kusababisha ajali eneo la Samuye barabara ya Shinyanga β Mwanza
Tazama - https://youtu.be/4d_aIDxXyzU
YouTube
SHINYANGA: ABIRIA WALIOKUWA WAKIMPIGA DEREVA WA LORI WAKAMATWA
Mwita C. Chaguche, dereva wa Basi la Frester na abiria watatu wamekamatwa na Polisi kwa kosa la kumpiga Emmanuel Msuya
Madereva wote wawili wanashtakiwa kwa matumizi mabaya ya barabara
Madereva wote wawili wanashtakiwa kwa matumizi mabaya ya barabara
ZAIDI YA WATU 100 WAUAWA KWENYE SHAMBULIO #ETHIOPIA
- Shambulio hilo limetokea Mkoa wa Benishangul-Gumuz, siku moja baada ya Waziri Mkuu, Abiy Ahmed kutembelea
- Zaidi ya watu 30 waliojeruhiwa wamelazwa, huku baadhi wakiwa na hali mbaya
Soma - https://jamii.app/100KilledET
- Shambulio hilo limetokea Mkoa wa Benishangul-Gumuz, siku moja baada ya Waziri Mkuu, Abiy Ahmed kutembelea
- Zaidi ya watu 30 waliojeruhiwa wamelazwa, huku baadhi wakiwa na hali mbaya
Soma - https://jamii.app/100KilledET
RAIS MAGUFULI ASHUKU USIRI WA KURUDISHA FOMU ZA MAADILI KWA NJIA YA MTANDAO
> Amesema, Mtu akirudisha fomu kwa njia ya Mtandao na akawepo anayejua βpasswordsβ anaweza kuangalia na kujua siri za Mhusika au kuharibu kwa kuwa wadukuzi wako wengi
Soma https://jamii.app/DodomaUapishoMaadili
> Amesema, Mtu akirudisha fomu kwa njia ya Mtandao na akawepo anayejua βpasswordsβ anaweza kuangalia na kujua siri za Mhusika au kuharibu kwa kuwa wadukuzi wako wengi
Soma https://jamii.app/DodomaUapishoMaadili
MANYARA: MWENYEKITI WA MTAA AFIKISHWA MAHAKAMANI KWA RUSHWA
- TAKUKURU imesema, Mathias Zebedayo alichukua kiwanja bila kufuata taratibu
- Alipohojiwa na Msimamizi wa Kiwanja, alidai kimetwaliwa na Halmashauri, hivyo atoe 100,000 amsaidie kurejesha
Soma https://jamii.app/MkitiRushwa
- TAKUKURU imesema, Mathias Zebedayo alichukua kiwanja bila kufuata taratibu
- Alipohojiwa na Msimamizi wa Kiwanja, alidai kimetwaliwa na Halmashauri, hivyo atoe 100,000 amsaidie kurejesha
Soma https://jamii.app/MkitiRushwa
AINA MPYA YA VIRUSI VYA CORONA YAGUNDULIWA #NIGERIA
- Mkuu wa Kituo cha Kuzuia na Kudhibiti Magonjwa (CDC) Afrika, John Nkengasong amesema, Virus hivi ni tofauti na vilivyogundulika Uingereza na Afrika Kusini
- Sampuli hizi mpya zinachunguzwa
Soma https://jamii.app/CovidNGR
- Mkuu wa Kituo cha Kuzuia na Kudhibiti Magonjwa (CDC) Afrika, John Nkengasong amesema, Virus hivi ni tofauti na vilivyogundulika Uingereza na Afrika Kusini
- Sampuli hizi mpya zinachunguzwa
Soma https://jamii.app/CovidNGR
ARUSHA: WASHUKIWA WAWILI WA UJAMBAZI WAUAWA
> Joseph Bernard (24) na mwingine ambaye hajafahamika wameuawa baada ya kufanya majibizano ya risasi na Polisi
> Wanatuhumiwa kupanga njama za kupora duka, ambapo mmoja wao alikamatwa na kuwafichua
Soma https://jamii.app/Majambazi2Arusha
> Joseph Bernard (24) na mwingine ambaye hajafahamika wameuawa baada ya kufanya majibizano ya risasi na Polisi
> Wanatuhumiwa kupanga njama za kupora duka, ambapo mmoja wao alikamatwa na kuwafichua
Soma https://jamii.app/Majambazi2Arusha
MICHEZO: PSG YAMFUKUZA KAZI KOCHA WAKE
- Klabu ya Paris Saint Germain imemfuta kazi Kocha Thomas Tuchel (47) kwasababu ya kutoridhishwa na matokeo ya hivi karibuni
- PSG inashika nafasi ya tatu katika Msimamo wa Ligi Kuu ikiwa na alama 35
#JamiiForums #JFMichezo #Sports
- Klabu ya Paris Saint Germain imemfuta kazi Kocha Thomas Tuchel (47) kwasababu ya kutoridhishwa na matokeo ya hivi karibuni
- PSG inashika nafasi ya tatu katika Msimamo wa Ligi Kuu ikiwa na alama 35
#JamiiForums #JFMichezo #Sports
WASHTAKIWA WANNE WA MAUAJI YA 2015 YA ALPHONCE MAWAZO WAHUKUMIWA KIFO
- Washtakiwa wanne katika Kesi ya mauaji ya aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo wamepewa Hukumu ya kifo kwa kosa la kuua kwa kukusudia
Soma - https://jamii.app/4HukumuKifo
- Washtakiwa wanne katika Kesi ya mauaji ya aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo wamepewa Hukumu ya kifo kwa kosa la kuua kwa kukusudia
Soma - https://jamii.app/4HukumuKifo
RAIS MAGUFULI: KWENDA NYUMBANI SIO DHAMBI
> Rais Magufuli ameruhusu Watumishi wa Serikali kwenda nyumbani kipindi hichi cha sherehe za mwisho wa mwaka
> Wakurugenzi waliozuiwa na Waziri Mkuu hawatakuwa na ruhusa ya kuondoka
Soma https://jamii.app/DodomaUapishoMaadili
> Rais Magufuli ameruhusu Watumishi wa Serikali kwenda nyumbani kipindi hichi cha sherehe za mwisho wa mwaka
> Wakurugenzi waliozuiwa na Waziri Mkuu hawatakuwa na ruhusa ya kuondoka
Soma https://jamii.app/DodomaUapishoMaadili
SERENGETI: MBARONI KWA TUHUMA ZA KUMUUA KAKA YAKE KWA DENI LA TSH. 700,000
> Juma Masiaga (38) anatuhumiwa kumchinja kaka yake, Chacha (40) kwa madai ya kutomlipa Tsh. 700,000
> Mtuhumiwa alikimbia, amekamatwa leo na anaendelea na mahojiano
Soma https://jamii.app/AuaKakaYake
> Juma Masiaga (38) anatuhumiwa kumchinja kaka yake, Chacha (40) kwa madai ya kutomlipa Tsh. 700,000
> Mtuhumiwa alikimbia, amekamatwa leo na anaendelea na mahojiano
Soma https://jamii.app/AuaKakaYake
ETHIOPIA: WATU 42 WALIOHUSIKA NA MAUAJI YA WATU 100 WAUAWA
> Watu 42 wanaoshukiwa kufanya mauaji ya watu 100 kwenye Jimbo la Benishangul-Gumuz wameuawa na Wanajeshi wa #Ethiopia
> Nchi hiyo imekuwa na machafuko tangu Abiy Ahmed aingie madarakani
Soma - https://jamii.app/42Ethiopia
> Watu 42 wanaoshukiwa kufanya mauaji ya watu 100 kwenye Jimbo la Benishangul-Gumuz wameuawa na Wanajeshi wa #Ethiopia
> Nchi hiyo imekuwa na machafuko tangu Abiy Ahmed aingie madarakani
Soma - https://jamii.app/42Ethiopia
- Bodi ya Wakurugenzi, Menejimenti na Watendaji wa JamiiForums tunakutakia Sikukuu njema ya Krismasi
- Kama mteja na mfuatiliaji wa kazi zetu tunatambua mchango na thamani yako kwetu
- Iwe siku ya furaha kwako na kwa uwapendao
#JamiiForums #MerryChristmas
- Kama mteja na mfuatiliaji wa kazi zetu tunatambua mchango na thamani yako kwetu
- Iwe siku ya furaha kwako na kwa uwapendao
#JamiiForums #MerryChristmas
KILIMANJARO: ALIYEMBAKA MTOTO WA MIAKA 11 ASAKWA
> Polisi wanamtafuta Aggrey Andrew anayekadiriwa kuwa na miaka 45-47 kwa kumbaka na kujeruhi Mtoto
> Aggrey alimlaghai Mtoto kutaka kumtuma dukani, akamfanyia unyama na kumtelekeza Mto Tarakea
Soma https://jamii.app/Mtoto11Abakwa
> Polisi wanamtafuta Aggrey Andrew anayekadiriwa kuwa na miaka 45-47 kwa kumbaka na kujeruhi Mtoto
> Aggrey alimlaghai Mtoto kutaka kumtuma dukani, akamfanyia unyama na kumtelekeza Mto Tarakea
Soma https://jamii.app/Mtoto11Abakwa
RUVUMA: ASKARI MBARONI KWA KUJERUHI KUTOKANA NA WIVU WA MAPENZI
- Keneth Mkwela anatuhumiwa kumjeruhi Andrew Milanzi na kitu chenye ncha kali
- Tukio limetokea ktk nyumba ya wageni baada ya Mkwela kubaini Milanzi alikuwa akiwasiliana na Mwenza wake
Soma https://jamii.app/AskariMbaroni
- Keneth Mkwela anatuhumiwa kumjeruhi Andrew Milanzi na kitu chenye ncha kali
- Tukio limetokea ktk nyumba ya wageni baada ya Mkwela kubaini Milanzi alikuwa akiwasiliana na Mwenza wake
Soma https://jamii.app/AskariMbaroni
KENYA: MADAKTARI WAFIKIA MAKUBALIANO NA SERIKALI, WAMALIZA MGOMO
- Pande hizo zimefikia muafaka baada ya Rais Kenyatta kuingilia kati
- Madaktari wasema, wamerejea kazini ili kuhakikisha Wakenya wanasherehekea Sikukuu bila wasiwasi wa kukosa huduma
Soma https://jamii.app/StrikeOffKE
- Pande hizo zimefikia muafaka baada ya Rais Kenyatta kuingilia kati
- Madaktari wasema, wamerejea kazini ili kuhakikisha Wakenya wanasherehekea Sikukuu bila wasiwasi wa kukosa huduma
Soma https://jamii.app/StrikeOffKE
BURUNDI: RAIS AWASAMEHE WAANDISHI WALIOKUWA JELA
> Wanahabari wanne wa #IWACU walikuwa wanatumikia kifungo cha miaka 2 na nusu jela kwa shutuma za kuhatarisha usalama wa Taifa
> Walifungwa tangu Oktoba 2019 na wameachiwa huru Desemba 24
Soma - https://jamii.app/BurundiWaandishi
> Wanahabari wanne wa #IWACU walikuwa wanatumikia kifungo cha miaka 2 na nusu jela kwa shutuma za kuhatarisha usalama wa Taifa
> Walifungwa tangu Oktoba 2019 na wameachiwa huru Desemba 24
Soma - https://jamii.app/BurundiWaandishi
RAIS MAGUFULI AHIMIZA WATANZANIA KULIOMBEA TAIFA
- Pamoja na kuwatakia heri ya Sikukuu, ametoa wito kwa Wananchi kuendelea kumuomba Mungu ailinde Tanzania dhidi ya #COVID19
- Ametoa wito kwa Mataifa kumtanguliza Mungu ktk kupambana na Ugonjwa huo
Soma https://jamii.app/MisaJPMDom
- Pamoja na kuwatakia heri ya Sikukuu, ametoa wito kwa Wananchi kuendelea kumuomba Mungu ailinde Tanzania dhidi ya #COVID19
- Ametoa wito kwa Mataifa kumtanguliza Mungu ktk kupambana na Ugonjwa huo
Soma https://jamii.app/MisaJPMDom
TANGA: DISKO TOTO ZAPIGWA MARUFUKU SIKU YA KRISMASI
> Polisi wamesema baadhi ya waendeshaji wa Disko hizo huzidisha idadi ya Watoto na kuhatarisha usalama wao kwa kipindi hichi cha sikukuu za Krismasi na Mwaka Mpya
Soma - https://jamii.app/DiskoTanga
> Polisi wamesema baadhi ya waendeshaji wa Disko hizo huzidisha idadi ya Watoto na kuhatarisha usalama wao kwa kipindi hichi cha sikukuu za Krismasi na Mwaka Mpya
Soma - https://jamii.app/DiskoTanga