CUF YAZINDUA KONGAMANO LA KUDAI KATIBA MPYA, YATAKA MAONI YA WANANCHI KUHESHIMIWA
- Prof. Lipumba ametoa rai kwa Rais Magufuli kuwapatia wananchi #Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi
- Amesema, Rais anatakiwa kuzingatia ukomo wa Uongozi
Soma - https://jamii.app/CUFTumeKatiba
- Prof. Lipumba ametoa rai kwa Rais Magufuli kuwapatia wananchi #Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi
- Amesema, Rais anatakiwa kuzingatia ukomo wa Uongozi
Soma - https://jamii.app/CUFTumeKatiba
GEITA: TPSC KUJENGA TAWI CHATO
> Chuo cha Utumishi wa Umma #Tanzania kinatarajia kujenga Tawi jipya eneo la Rubambangwe ambalo litahudumia Mikoa yote ya Kanda ya Ziwa
> Tayari fedha za kuanza ujenzi zimeshapatikana, kinachosubiriwa ni hati
Soma - https://jamii.app/ChatoTPSC
> Chuo cha Utumishi wa Umma #Tanzania kinatarajia kujenga Tawi jipya eneo la Rubambangwe ambalo litahudumia Mikoa yote ya Kanda ya Ziwa
> Tayari fedha za kuanza ujenzi zimeshapatikana, kinachosubiriwa ni hati
Soma - https://jamii.app/ChatoTPSC
UPINZANI WA JAMHURI YA AFRIKA YA KATI WATAKA UCHAGUZI KUAHIRISHWA
- Muungano wa Upinzani nchini humo wasema Uchaguzi wa Desemba 27 hauwezi kufanyika kutokana na ghasia zinazoendelea
- Serikali imesema lazima zoezi liendelee kama ilivyopangwa
Soma https://jamii.app/UchaguziCAR
- Muungano wa Upinzani nchini humo wasema Uchaguzi wa Desemba 27 hauwezi kufanyika kutokana na ghasia zinazoendelea
- Serikali imesema lazima zoezi liendelee kama ilivyopangwa
Soma https://jamii.app/UchaguziCAR
WAUZA KUKU WATAKIWA KUUZA KWA UZITO NA SIO KUKADIRIA ILI KUEPUKA HASARA
> Utafiti umegundua jogoo akipimwa urefu na kuku jike akipimwa upana unaweza kukadiria uzito
> Mfugaji anaweza tumia njia hiyo akiona mzani ni gharama kubwa
Soma https://jamii.app/KukuUzito
> Utafiti umegundua jogoo akipimwa urefu na kuku jike akipimwa upana unaweza kukadiria uzito
> Mfugaji anaweza tumia njia hiyo akiona mzani ni gharama kubwa
Soma https://jamii.app/KukuUzito
RUKWA: UHABA WA MADARASA WAPELEKEA WANAFUNZI 564 KUKOSA NAFASI ZA KIDATO CHA 1
> RC Joachim Wangabo amewaagiza watendaji wa Kalambo na Sumbawanga kuhakikisha Madarasa yanapatikana
> Mkoa wa Rukwa una Kata 27 ambazo hazina Shule za Sekondari
Soma https://jamii.app/RukwaMadarasa
> RC Joachim Wangabo amewaagiza watendaji wa Kalambo na Sumbawanga kuhakikisha Madarasa yanapatikana
> Mkoa wa Rukwa una Kata 27 ambazo hazina Shule za Sekondari
Soma https://jamii.app/RukwaMadarasa
SOMALIA NA KENYA ZAHIMIZWA KUMALIZA MVUTANO BAINA YAO
- Mataifa hayo yametakiwa kumaliza mgogoro kupitia mazungumzo
- #Somalia ilivunja uhusiano wa Kidiplomasia na #Kenya na kuishutumu Nchi hiyo kukiuka mipaka inayolinda Uhuru wa Taifa lao
Soma - https://jamii.app/KenyaSomaliaIGAD
- Mataifa hayo yametakiwa kumaliza mgogoro kupitia mazungumzo
- #Somalia ilivunja uhusiano wa Kidiplomasia na #Kenya na kuishutumu Nchi hiyo kukiuka mipaka inayolinda Uhuru wa Taifa lao
Soma - https://jamii.app/KenyaSomaliaIGAD
MTWARA: UDUMAVU WATAJWA KUCHANGIA WANAFUNZI KUFELI MITIHANI
- Wataalamu wa lishe Mkoani humo waagizwa kufanya Utafiti baada ya Udumavu kuonekana kuwepo kwa kiwango kikubwa
- Mkuu wa Mkoa asema tatizo hilo linarudisha nyuma maendeleo ya Elimu
Soma https://jamii.app/UdumavuElimuMtwr
- Wataalamu wa lishe Mkoani humo waagizwa kufanya Utafiti baada ya Udumavu kuonekana kuwepo kwa kiwango kikubwa
- Mkuu wa Mkoa asema tatizo hilo linarudisha nyuma maendeleo ya Elimu
Soma https://jamii.app/UdumavuElimuMtwr
#CORONAVIRUS: MAELFU WAPIMWA THAILAND BAADA YA MLIPUKO KUIBUKA SOKONI
- Ni baada ya maambukizi mengi kuhusishwa na Soko kubwa zaidi la vyakula vya Baharini
- Kutokana na hali hiyo, Wafanyakazi wa Soko hilo wameagizwa kubaki nyumbani
Soma - https://jamii.app/Covid19-TH
- Ni baada ya maambukizi mengi kuhusishwa na Soko kubwa zaidi la vyakula vya Baharini
- Kutokana na hali hiyo, Wafanyakazi wa Soko hilo wameagizwa kubaki nyumbani
Soma - https://jamii.app/Covid19-TH
SERIKALI YATOA ONYO KWA WATUMISHI WANAOPIGA RISASI RAIA HIFADHINI
- Watumishi wa Idara ya Wanyamapori wapigwa marufuku kupiga risasi wananchi wanaofanya shughuli mbalimbali ikiwemo ujangili
- Wametakiwa kuacha vitendo hivyo na kutumia Sheria
Soma https://jamii.app/OnyoRisasiRaia
- Watumishi wa Idara ya Wanyamapori wapigwa marufuku kupiga risasi wananchi wanaofanya shughuli mbalimbali ikiwemo ujangili
- Wametakiwa kuacha vitendo hivyo na kutumia Sheria
Soma https://jamii.app/OnyoRisasiRaia
DODOMA: TAWA YAZINDUA BUCHA LA NYAMA PORI
> Hafla za Uzinduzi zilifanyika maeneo ya Chang'ombe ambapo Bucha hiyo imekuwa ya kwanza kati ya Bucha 46 zilizopata usajili
Soma https://jamii.app/DodomaTAWA
> Hafla za Uzinduzi zilifanyika maeneo ya Chang'ombe ambapo Bucha hiyo imekuwa ya kwanza kati ya Bucha 46 zilizopata usajili
Soma https://jamii.app/DodomaTAWA
TANGA: WAKANDARASI MIRADI YA MAJI WATAKIWA KUACHA SIASA KWENYE KAZI
- Wakandarasi wametakiwa kuepuka kufanya kazi kwa mazoea na kuacha siasa
- Naibu Waziri wa Maji, Mhandisi Mahundi amesema, mazoea hayo yanakwamisha malengo ya maendeleo
Soma - https://jamii.app/MiradiMaji
- Wakandarasi wametakiwa kuepuka kufanya kazi kwa mazoea na kuacha siasa
- Naibu Waziri wa Maji, Mhandisi Mahundi amesema, mazoea hayo yanakwamisha malengo ya maendeleo
Soma - https://jamii.app/MiradiMaji
SAUDI ARABIA YAFUNGA ANGA NA MIPAKA KUDHIBITI AINA MPYA YA #COVID19
> Aina mpya ya #COVID19 iliyogundulika Uingereza yaifanya Saudi Arabia kufunga anga na mipaka hadi Desemba 27
> Shughuli za ndani zitaendelea kwa kufuata miongozo ya #Afya
Soma https://jamii.app/COVID19SaudiArabia
> Aina mpya ya #COVID19 iliyogundulika Uingereza yaifanya Saudi Arabia kufunga anga na mipaka hadi Desemba 27
> Shughuli za ndani zitaendelea kwa kufuata miongozo ya #Afya
Soma https://jamii.app/COVID19SaudiArabia
#KENYA: MADAKTARI WA HOSPITALI ZA UMMA WAGOMA
- Wameungana na Watumishi wengine wa #Afya kwenye mgomo baada ya mazungumzo na Serikali kugonga mwamba
- Wanalalamikia kutopewa Bima ya Afya na vilevile, kufanya kazi kwenye mazingira magumu
Soma - https://jamii.app/DoctorsStrikeKE
- Wameungana na Watumishi wengine wa #Afya kwenye mgomo baada ya mazungumzo na Serikali kugonga mwamba
- Wanalalamikia kutopewa Bima ya Afya na vilevile, kufanya kazi kwenye mazingira magumu
Soma - https://jamii.app/DoctorsStrikeKE
SAYARI ZA JUPITER NA SATURN KUONEKANA KTK UMBO MOJA LEO
> Jupiter na Saturn zitaonekana ktk umbo moja kutoka Duniani tukio ambalo hutokea mara 1 kila baada ya miaka zaidi ya 400
> Ili kushuhudia tukio, utapaswa kuangalia Kaskazini Magharibi
Soma https://jamii.app/JupiterSaturn
> Jupiter na Saturn zitaonekana ktk umbo moja kutoka Duniani tukio ambalo hutokea mara 1 kila baada ya miaka zaidi ya 400
> Ili kushuhudia tukio, utapaswa kuangalia Kaskazini Magharibi
Soma https://jamii.app/JupiterSaturn
POLISI: MAUAJI MENGI YANATOKANA NA WIVU WA MAPENZI
- Jeshi la Polisi limewataka Viongozi wa Dini kutoa Elimu ili kupunguza vifo hivyo
- Matukio mengine yaliyotajwa ktk Ripoti ya Polisi 2020 ni unyang'aji wa kutumia silaha na Shule kuungua
Tazama - https://youtu.be/f8HyTmMTXH4
- Jeshi la Polisi limewataka Viongozi wa Dini kutoa Elimu ili kupunguza vifo hivyo
- Matukio mengine yaliyotajwa ktk Ripoti ya Polisi 2020 ni unyang'aji wa kutumia silaha na Shule kuungua
Tazama - https://youtu.be/f8HyTmMTXH4
YouTube
POLISI: MAUAJI MENGI YANATOKANA NA WIVU WA MAPENZI
Jeshi la Polisi limewataka Viongozi wa Dini kutoa Elimu ili kupunguza vifo hivyo
Matukio mengine yaliyotajwa ktk Ripoti ya Polisi 2020 ni unyang'aji wa kutumia silaha na Shule kuungua
Matukio mengine yaliyotajwa ktk Ripoti ya Polisi 2020 ni unyang'aji wa kutumia silaha na Shule kuungua
KIJUE KISIMA CHA AJABU KILICHOPO BAGAMOYO
> Kisima cha miaka zaidi ya 800 kilichopo Kaole kinastaajabisha kutokana na Maji yake kutopungua kwa Majira yote ya Mwaka
> Pia, kinatoa Maji yasiyo na chumvi licha ya kuwa karibu sana na Bahari
Soma https://jamii.app/KisimaKaole
> Kisima cha miaka zaidi ya 800 kilichopo Kaole kinastaajabisha kutokana na Maji yake kutopungua kwa Majira yote ya Mwaka
> Pia, kinatoa Maji yasiyo na chumvi licha ya kuwa karibu sana na Bahari
Soma https://jamii.app/KisimaKaole
WAKURUGENZI 4 WATAKIWA KUJIELEZA KWA KUZUIA WALIMU KUHUDHURIA MKUTANO
> Wakurugenzi wa Msalala, Kahama, Korogwe na Sikonge wametakiwa kueleza sababu za kutowaruhusu Walimu kuhudhuria mkutano wa Umoja wa Wakuu wa Shule za Sekondari (TAHOSSA)
Soma https://jamii.app/DEDsKujieleza
> Wakurugenzi wa Msalala, Kahama, Korogwe na Sikonge wametakiwa kueleza sababu za kutowaruhusu Walimu kuhudhuria mkutano wa Umoja wa Wakuu wa Shule za Sekondari (TAHOSSA)
Soma https://jamii.app/DEDsKujieleza
JE WAJUA? NCHINI SUDAN MTU MWEUSI HUITWA MTUMWA
> Nafasi nyingi za Kisiasa zinakaliwa na Waarabu na Wanubi ambao ni weupe huku Watu weusi wakifanya kazi za kawaida
> Ndoa kati ya Mtu mweusi na mweupe huonekana kama kitu kibaya kiasi cha Wahusika kukutana na upinzani mkubwa ktk Jamii
Soma - https://jamii.app/SudanUbaguzi
> Nafasi nyingi za Kisiasa zinakaliwa na Waarabu na Wanubi ambao ni weupe huku Watu weusi wakifanya kazi za kawaida
> Ndoa kati ya Mtu mweusi na mweupe huonekana kama kitu kibaya kiasi cha Wahusika kukutana na upinzani mkubwa ktk Jamii
Soma - https://jamii.app/SudanUbaguzi
MAREKANI: JOE BIDEN APATIWA CHANJO YA #COVID19
> Rais mteule wa #Marekani Joe Biden amepewa chanjo hiyo 'live' ili kuonesha zoezi hilo ni salama
> Aidha, Rais Trump ambaye mwezi Oktoba alipata Corona, hajasema ni lini atapokea chanjo hiyo
Soma https://jamii.app/ChanjoBiden
> Rais mteule wa #Marekani Joe Biden amepewa chanjo hiyo 'live' ili kuonesha zoezi hilo ni salama
> Aidha, Rais Trump ambaye mwezi Oktoba alipata Corona, hajasema ni lini atapokea chanjo hiyo
Soma https://jamii.app/ChanjoBiden
WAZIRI MKUCHIKA: AJIRA HAZITATOLEWA KWA UPENDELEO, TARATIBU ZITAFUATWA
- Asema, Serikali imewekeza ktk Teknolojia na maisha ya kupendeleana ili kupata Ajira yamekwisha
- Aonya walio na mazoea ya kuajiriwa kwa kuwaandikia viongozi vikaratasi
Soma https://jamii.app/MfumoAjiraTZ
- Asema, Serikali imewekeza ktk Teknolojia na maisha ya kupendeleana ili kupata Ajira yamekwisha
- Aonya walio na mazoea ya kuajiriwa kwa kuwaandikia viongozi vikaratasi
Soma https://jamii.app/MfumoAjiraTZ