TCRA: WATAKAORUHUSIWA KUTENGENEZA SIMU NI MAFUNDI WENYE LESENI WALIOSOMA VETA AU DIT
> Ili kuwaondoa Mafundi Vishoka TCRA wameanza kutoa leseni kwa mafundi waliokidhi vigezo
> Pia TCRA, ina mpango wa kujenga Kiwanda cha Kutengeneza Simu
Soma https://jamii.app/TCRAMafundi
> Ili kuwaondoa Mafundi Vishoka TCRA wameanza kutoa leseni kwa mafundi waliokidhi vigezo
> Pia TCRA, ina mpango wa kujenga Kiwanda cha Kutengeneza Simu
Soma https://jamii.app/TCRAMafundi
MITAMBO YA UMEME YA SYMBION POWER KUPIGWA MNADA
- Mahakama Kuu, Divisheni ya Kazi imeamuru hivyo baada ya Symbion kushindwa kuwalipa mishahara Wafanyakazi kwa miaka mitatu
- Baadhi ya Wafanyakazi wamesema wanadai zaidi ya Bilioni 12
Soma - https://jamii.app/MnadaSymbion
- Mahakama Kuu, Divisheni ya Kazi imeamuru hivyo baada ya Symbion kushindwa kuwalipa mishahara Wafanyakazi kwa miaka mitatu
- Baadhi ya Wafanyakazi wamesema wanadai zaidi ya Bilioni 12
Soma - https://jamii.app/MnadaSymbion
WHO YAONDOA HOFU KUHUSU AINA MPYA YA VIRUSI VYA CORONA
- Shirika la Afya limesema halina ushahidi unaoonesha aina hiyo mpya inafanya watu kuumwa zaidi
- Pia, limesema Chanjo za #COVID19 zina uwezo wa kutoa kinga, lakini uchunguzi unaendelea
Soma https://jamii.app/WHOCoronaVirus
- Shirika la Afya limesema halina ushahidi unaoonesha aina hiyo mpya inafanya watu kuumwa zaidi
- Pia, limesema Chanjo za #COVID19 zina uwezo wa kutoa kinga, lakini uchunguzi unaendelea
Soma https://jamii.app/WHOCoronaVirus
TAKRIBAN TSH BILIONI 1.2 ZILITUMIKA KUPAMBANA NA UVUVI HARAMU
> Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Pauline Gekul, amewataka wanaojihusisha na Uvuvi usiozingatia Sheria na taratibu kuacha kwasababu Serikali haitakuwa na huruma kwa watakaokamatwa
Soma https://jamii.app/UvuviHaramu
> Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Pauline Gekul, amewataka wanaojihusisha na Uvuvi usiozingatia Sheria na taratibu kuacha kwasababu Serikali haitakuwa na huruma kwa watakaokamatwa
Soma https://jamii.app/UvuviHaramu
VIONGOZI WA VITUO VYA AFYA WATAKIWA KUHESHIMU FEDHA ZA DAWA
- Waziri wa Afya ametaka fedha kuheshimiwa ili kuondoa kero ya ukosefu wa Dawa
- Asema, yapo maoni mengi kuhusu ukosefu wa dawa hivyo ni lazima kufanya upekuzi wa matumizi ya fedha
Soma https://jamii.app/FedhaDawa
- Waziri wa Afya ametaka fedha kuheshimiwa ili kuondoa kero ya ukosefu wa Dawa
- Asema, yapo maoni mengi kuhusu ukosefu wa dawa hivyo ni lazima kufanya upekuzi wa matumizi ya fedha
Soma https://jamii.app/FedhaDawa
SERIKALI YAAGIZA KURASIMISHWA KWA TAARIFA ZA WANANCHI
- Waziri wa Katiba na #Sheria, Dkt. Mwigulu Nchemba ameagiza Taarifa za Wananchi ambazo zimesajiliwa ktk Mfumo wa Serikali kurasimishwa ili kuwaondolea usumbufu wa kujisajili mara kwa mara
Soma https://jamii.app/TaarifaWananchi
- Waziri wa Katiba na #Sheria, Dkt. Mwigulu Nchemba ameagiza Taarifa za Wananchi ambazo zimesajiliwa ktk Mfumo wa Serikali kurasimishwa ili kuwaondolea usumbufu wa kujisajili mara kwa mara
Soma https://jamii.app/TaarifaWananchi
WADAU WALALAMIKIA UONGOZI WA DAR GROUP, WAIOMBA SERIKALI IICHUNGUZE
> Hospitali ya Dar Group ilikuwa ikiendeshwa chini ya mashirika zaidi ya 100 ambapo mengi kati yao yameshakufa
> Hivi sasa kuna Bodi ya wajumbe ambayo haiwezi kumuwajibisha Mkurugenzi Mkuu wa hospitali
> Hali hiyo imepelekea Mkurugenzi kuwanyanyasa Watendaji wa Hospitali bila kuwa na kumuwajibisha
Mjadala - https://jamii.app/DarGroup
> Hospitali ya Dar Group ilikuwa ikiendeshwa chini ya mashirika zaidi ya 100 ambapo mengi kati yao yameshakufa
> Hivi sasa kuna Bodi ya wajumbe ambayo haiwezi kumuwajibisha Mkurugenzi Mkuu wa hospitali
> Hali hiyo imepelekea Mkurugenzi kuwanyanyasa Watendaji wa Hospitali bila kuwa na kumuwajibisha
Mjadala - https://jamii.app/DarGroup
SINGIDA: TSH. MILIONI 88.8 ZA MIKOPO UMIZA ZAREJESHWA
> TAKUKURU imerejesha fedha za Raia walizodhulumiwa na Kampuni za Mikopo zinazofanya shughuli Kinyume cha Sheria
> TAKUKURU imebaini baadhi ya Wakopeshaji hawaandai Mikataba ya Ukopeshaji
Soma https://jamii.app/MikopoUmizaSingida
> TAKUKURU imerejesha fedha za Raia walizodhulumiwa na Kampuni za Mikopo zinazofanya shughuli Kinyume cha Sheria
> TAKUKURU imebaini baadhi ya Wakopeshaji hawaandai Mikataba ya Ukopeshaji
Soma https://jamii.app/MikopoUmizaSingida
URUSI NA RWANDA ZAPELEKA MAJESHI JAMHURI YA AFRIKA YA KATI
- Nchi hizo zimefanya hivyo kusaidia kupambana na vurugu kuelekea Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumapili
- Serikali inamshutumu Rais wa zamani, Francois Bozize, kupanga mapinduzi
Soma https://jamii.app/ElectionsCAR
- Nchi hizo zimefanya hivyo kusaidia kupambana na vurugu kuelekea Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumapili
- Serikali inamshutumu Rais wa zamani, Francois Bozize, kupanga mapinduzi
Soma https://jamii.app/ElectionsCAR
MANYARA: TAKUKURU YAREJESHA EKARI 27 ZILIZOPORWA KWA MIAKA 10
> Imbori Hando (72) Mkazi wa Kiteto aliporwa eneo lake na aliposhinda kesi Mahakama ya Ardhi ya Kata, Viongozi wa Serikali na Chama walimpuuza
Soma https://jamii.app/PCCBManyara
> Imbori Hando (72) Mkazi wa Kiteto aliporwa eneo lake na aliposhinda kesi Mahakama ya Ardhi ya Kata, Viongozi wa Serikali na Chama walimpuuza
Soma https://jamii.app/PCCBManyara
MADEREVA WATAKIWA KUZINGATIA SHERIA NA KUTOHATARISHA MAISHA YA WATU
- Serikali imesema hatua zitachukuliwa dhidi ya mabasi yanayokiuka Sheria
- Takwimu zinaonesha vyanzo vikubwa cha ajali ni pamoja na ubovu wa vyombo vya moto na mwendo kasi
Soma https://jamii.app/SheriaMadereva
- Serikali imesema hatua zitachukuliwa dhidi ya mabasi yanayokiuka Sheria
- Takwimu zinaonesha vyanzo vikubwa cha ajali ni pamoja na ubovu wa vyombo vya moto na mwendo kasi
Soma https://jamii.app/SheriaMadereva
WAKURUGENZI WATAKAOKUSANYA CHINI YA 50% KUONDOLEWA
> Waziri wa TAMISEMI, Selemani Jafo, amewaagiza Wakurugenzi wote kufikisha zaidi ya 50% ya makusanyo ya mapato ifikapo Januari 15, 2021
> Januari 15 atatoa taarifa ya miezi 6 ya ukusanyaji
Soma https://jamii.app/MapatoDEDs
> Waziri wa TAMISEMI, Selemani Jafo, amewaagiza Wakurugenzi wote kufikisha zaidi ya 50% ya makusanyo ya mapato ifikapo Januari 15, 2021
> Januari 15 atatoa taarifa ya miezi 6 ya ukusanyaji
Soma https://jamii.app/MapatoDEDs
ZANZIBAR: WAKURUGENZI WA MANISPAA WASIMAMISHWA KAZI KUPISHA UCHUNGUZI
> Mkurugenzi wa Manispaa ya Mjini na Mkurugenzi wa Baraza la Manispaa Magharib 'A' wamesimamishwa kwa tuhuma mbalimbali ikiwemo ubadhilifu wa mali za Umma
Soma - https://jamii.app/ZnzDEDs
> Mkurugenzi wa Manispaa ya Mjini na Mkurugenzi wa Baraza la Manispaa Magharib 'A' wamesimamishwa kwa tuhuma mbalimbali ikiwemo ubadhilifu wa mali za Umma
Soma - https://jamii.app/ZnzDEDs
ATHARI ZA #COVID19: BUNGE LA MAREKANI LAIDHINISHA KUTOA BILIONI 900 KUSAIDIA WANANCHI
- Ktk fedha hizo, zaidi ya Dola Bilioni 300 zitatumika kusaidia Wafanyabiashara
- Rais Trump anatarajiwa kusaini muswada huo kabla haujaanza kutekelezwa
Soma - https://jamii.app/USBungeFedha
- Ktk fedha hizo, zaidi ya Dola Bilioni 300 zitatumika kusaidia Wafanyabiashara
- Rais Trump anatarajiwa kusaini muswada huo kabla haujaanza kutekelezwa
Soma - https://jamii.app/USBungeFedha
MWANZA: MBARONI KWA TUHUMA ZA KUMUUA MKEWE
> Benson Oluochi (54) anatuhumiwa kumuua Elizabeth Benson (45) kwa kumshambulia na fimbo sehemu mbalimbali za mwili akimtuhumu kwa Usaliti
> Uchunguzi ukikamilika mtuhumiwa atafikishwa Mahakamani
Soma - https://jamii.app/AuaMkeFimbo
> Benson Oluochi (54) anatuhumiwa kumuua Elizabeth Benson (45) kwa kumshambulia na fimbo sehemu mbalimbali za mwili akimtuhumu kwa Usaliti
> Uchunguzi ukikamilika mtuhumiwa atafikishwa Mahakamani
Soma - https://jamii.app/AuaMkeFimbo
TABORA: JELA MIAKA 30 KWA KUMPA MIMBA MWANAFUNZI WA DARASA LA 6
> Rwaki Zakaria anadaiwa kutenda kosa hilo kati ya Januari na Februari 2020
> Kosa lake ni kinyume na Kifungu cha 60 cha Sheria ya Elimu Sura 353 iliyofanyiwa marekebisho 2019
Soma https://jamii.app/TaboraJela30
> Rwaki Zakaria anadaiwa kutenda kosa hilo kati ya Januari na Februari 2020
> Kosa lake ni kinyume na Kifungu cha 60 cha Sheria ya Elimu Sura 353 iliyofanyiwa marekebisho 2019
Soma https://jamii.app/TaboraJela30
NADHARIA ZINAWAFANYA WANAOIHITIMU UDAKTARI WAOGOPE DAMU
> Rais wa Chama cha Madaktari amesema, Wanafunzi wanafundishwa nadharia kuliko vitendo
> Mazingira ya ufundishaji yamekuwa magumu, hivyo ubora wa Madaktari wanaozalishwa unakuwa mdogo
Soma https://jamii.app/WahitimuUdaktari
> Rais wa Chama cha Madaktari amesema, Wanafunzi wanafundishwa nadharia kuliko vitendo
> Mazingira ya ufundishaji yamekuwa magumu, hivyo ubora wa Madaktari wanaozalishwa unakuwa mdogo
Soma https://jamii.app/WahitimuUdaktari
DKT. MWIGULU ATAKA SHERIA ZITAFSIRIWE KWA KISWAHILI
> Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Mwigulu Nchemba, ametaka Sheria za Nchi zitafsiriwe kwa lugha ya Kiswahili ili Wananchi waweze kuzielewa hasa katika Uendeshaji wa kesi na kuelewa hukumu
Soma - https://jamii.app/SheriaKiswahili
> Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Mwigulu Nchemba, ametaka Sheria za Nchi zitafsiriwe kwa lugha ya Kiswahili ili Wananchi waweze kuzielewa hasa katika Uendeshaji wa kesi na kuelewa hukumu
Soma - https://jamii.app/SheriaKiswahili
MKURUGENZI WA HALOTEL NA WENZAKE 4 WAHUKUMIWA FAINI YA TSH MILIONI 24 AU JELA MWAKA 1
> Walitakatisha fedha na kuisababishia TCRA hasara ya Tsh. bilioni 75
> Pia, Mahakama imeihukumu Halotel kulipa fidia ya Tsh. bilioni 30 ndani ya mwaka 1
Tazama https://youtu.be/0s01K4ZUMtc
#JFLeo
> Walitakatisha fedha na kuisababishia TCRA hasara ya Tsh. bilioni 75
> Pia, Mahakama imeihukumu Halotel kulipa fidia ya Tsh. bilioni 30 ndani ya mwaka 1
Tazama https://youtu.be/0s01K4ZUMtc
#JFLeo
YouTube
MKURUGENZI WA HALOTEL NA WENZAKE WANNE WAHUKUMIWA FAINI YA TSH MILIONI 24 AU JELA MWAKA 1
Walitakatisha fedha na kuisababishia TCRA hasara ya Tsh bilioni 75
Pia mahakama imeihukumu Halotel kulipa fidia ya sh. bilioni 30
Pia mahakama imeihukumu Halotel kulipa fidia ya sh. bilioni 30
TEMEKE: MKURUGENZI ADAIWA KUTUMIA UBABE KUNUNUA GARI LA TSH. MILIONI 470
> Madiwani wasema Sheria ya manunuzi ya umma haikuzingatiwa ila Kamati ililazimishwa
> Pia, Mkurugenzi anatuhumiwa kunyanyasa Watumishi kwa kuwafungia ndani wakichelewa
Soma https://jamii.app/DEDTMK
> Madiwani wasema Sheria ya manunuzi ya umma haikuzingatiwa ila Kamati ililazimishwa
> Pia, Mkurugenzi anatuhumiwa kunyanyasa Watumishi kwa kuwafungia ndani wakichelewa
Soma https://jamii.app/DEDTMK