#UGANDA: MUSEVENI ASEMA ATAPAMBANA NA WAPINZANI WANAOSUMBUA WAFUASI WAKE
- Ametishia kutumia nguvu kukabiliana na Wanasiasa anaodai wanatishia na kuwasumbua wafuasi wa Chama chake
- Asema, Wapinzani wanalazimisha wafuasi wake kuwaunga mkono
Soma https://jamii.app/NRM-Museveni
- Ametishia kutumia nguvu kukabiliana na Wanasiasa anaodai wanatishia na kuwasumbua wafuasi wa Chama chake
- Asema, Wapinzani wanalazimisha wafuasi wake kuwaunga mkono
Soma https://jamii.app/NRM-Museveni
TAASISI NA MASHIRIKA YA UMMA ZATAKIWA KUJIELEZA KUHUSU UCHANGIAJI WA MFUKO WA SERIKALI
> Waziri Dkt. Mpango ametoa siku 9 kwa Taasisi zilizochangia chini ya 15% kujieleza sababu za kutochangia huduma za Jamii na kutozingatia ukomo wa matumizi
Soma https://jamii.app/WakuuKujieleza
> Waziri Dkt. Mpango ametoa siku 9 kwa Taasisi zilizochangia chini ya 15% kujieleza sababu za kutochangia huduma za Jamii na kutozingatia ukomo wa matumizi
Soma https://jamii.app/WakuuKujieleza
NDUGAI: KUKAA VIJIWENI NA KUSUBIRI AJIRA ZA SERIKALI NI MTAZAMO HASI
- Asema inasikitisha Vijana wanashinda na simu wakati wangeweza kuibua miradi itakayowaondolea Umasikini
- Awataka watumie fursa zilizopo kuibua miradi ya kuwainua kiuchumi
Soma https://jamii.app/VijanaAjira
- Asema inasikitisha Vijana wanashinda na simu wakati wangeweza kuibua miradi itakayowaondolea Umasikini
- Awataka watumie fursa zilizopo kuibua miradi ya kuwainua kiuchumi
Soma https://jamii.app/VijanaAjira
TAASISI ZA FEDHA ZASHAURIWA KUPUNGUZA GHARAMA ZA RIBA
- Taasisi hizo na Benki zimetakiwa kupunguza gharama za uendeshaji ili kumudu kupunguza riba kwa wateja
- BoT imesema riba kubwa inaathiri wananchi na uendeshaji wa shughuli za kiuchumi
Soma https://jamii.app/RibaBenki
- Taasisi hizo na Benki zimetakiwa kupunguza gharama za uendeshaji ili kumudu kupunguza riba kwa wateja
- BoT imesema riba kubwa inaathiri wananchi na uendeshaji wa shughuli za kiuchumi
Soma https://jamii.app/RibaBenki
GEITA: WATATU WAFUNGWA MIAKA MITANO KWA UNUNUZI HEWA WA DAWA NA VIFAA TIBA
- Walishtakiwa kwa makosa ya kutumia vibaya madaraka, kutumia nyaraka kumdanganya mwajiri, kupata manufaa yasiyostahili na kuisababishia Serikali hasara ya 32,700,000
Soma https://jamii.app/3JelaGeita
- Walishtakiwa kwa makosa ya kutumia vibaya madaraka, kutumia nyaraka kumdanganya mwajiri, kupata manufaa yasiyostahili na kuisababishia Serikali hasara ya 32,700,000
Soma https://jamii.app/3JelaGeita
PROF. NDALICHAKO AWAONYA MAAFISA ELIMU WANAOSHIRIKI WIZI WA MITIHANI
- Asema, wanaangamiza Taifa kwa kuzalisha Wataalamu wasioweza kutumia Elimu yao, kwani hawakutumia akili kufaulu
- Wakuu wa Shule waliotishwa na Maafisa hao watakiwa kuripoti
Soma https://jamii.app/WiziMitihani
- Asema, wanaangamiza Taifa kwa kuzalisha Wataalamu wasioweza kutumia Elimu yao, kwani hawakutumia akili kufaulu
- Wakuu wa Shule waliotishwa na Maafisa hao watakiwa kuripoti
Soma https://jamii.app/WiziMitihani
RAIS MAGUFULI AMTEUA MWANGESI KUWA KAMISHNA WA MAADILI
> Sivangilwa Sikalalilwa Mwangesi ambaye ni Jaji wa Mahakama ya Rufani ameteuliwa baada ya Harold Nsekela kufariki Dunia
> Ataapishwa kesho, Desemba 24 asubuhi, Ikulu ya Chamwino
Soma - https://jamii.app/TeuziMaadili
> Sivangilwa Sikalalilwa Mwangesi ambaye ni Jaji wa Mahakama ya Rufani ameteuliwa baada ya Harold Nsekela kufariki Dunia
> Ataapishwa kesho, Desemba 24 asubuhi, Ikulu ya Chamwino
Soma - https://jamii.app/TeuziMaadili
URUSI: RAIS PUTIN ASAINI MUSWADA UNAOMPA KINGA YA KISIASA MILELE
- Chini ya Muswada huo, Rais Vladimir Putin, Marais waliopita na Familia zao hawatafunguliwa mashtaka
- Rais atavuliwa kinga atakaposhutumiwa kufanya kosa kubwa kama uhaini
Soma - https://jamii.app/PutinKingaMuswada
- Chini ya Muswada huo, Rais Vladimir Putin, Marais waliopita na Familia zao hawatafunguliwa mashtaka
- Rais atavuliwa kinga atakaposhutumiwa kufanya kosa kubwa kama uhaini
Soma - https://jamii.app/PutinKingaMuswada
KENYA: UNICEF YATOA ULINZI KWA WATOTO WA KOROGOCHO
> Matukio ya unyanyasaji yameongezeka kwa Watoto wa Korogocho kipindi hiki cha Shule kufungwa kutokana na #COVID19
> UNICEF wamefadhili mafunzo ili kuweza kudhibiti ukuaji wa matukio hayo
Soma https://jamii.app/KorogochoKenya
> Matukio ya unyanyasaji yameongezeka kwa Watoto wa Korogocho kipindi hiki cha Shule kufungwa kutokana na #COVID19
> UNICEF wamefadhili mafunzo ili kuweza kudhibiti ukuaji wa matukio hayo
Soma https://jamii.app/KorogochoKenya
UN WATOA WITO KWA SERIKALI KULINDA WAANDISHI WA HABARI KIPINDI CHA #COVID19
> UN wamesema Wanahabari wanapata mazuio na adhabu ktk kutimiza wajibu wao kipindi hiki cha COVID19
> Serikali ziwalinde Waandishi ili kukuza uhuru wa habari
Soma https://jamii.app/MediaCOVID19
#PressFreedom
> UN wamesema Wanahabari wanapata mazuio na adhabu ktk kutimiza wajibu wao kipindi hiki cha COVID19
> Serikali ziwalinde Waandishi ili kukuza uhuru wa habari
Soma https://jamii.app/MediaCOVID19
#PressFreedom
UGANDA: WFP KUPUNGUZA MGAO WA CHAKULA NA FEDHA KWA WAKIMBIZI
- Shirika la Mpango wa Chakula limesema zaidi ya wakimbizi Milioni 1.2 nchini humo watapunguziwa mgao kuanzia Februari
- WFP imesema imepokea nusu ya Fedha inazohitaji kuwahudumia
Soma https://jamii.app/WFPFoodUG
- Shirika la Mpango wa Chakula limesema zaidi ya wakimbizi Milioni 1.2 nchini humo watapunguziwa mgao kuanzia Februari
- WFP imesema imepokea nusu ya Fedha inazohitaji kuwahudumia
Soma https://jamii.app/WFPFoodUG
SERIKALI KUCHUNGUZA MALALAMIKO YA WANANCHI YA KUIBIWA DATA NA VIFURUSHI
> Dkt. Faustine Ndugulile amewaelekeza TCRA-CCC kutathmini malalamiko ya Raia kuwa wanaibiwa vifurushi na Kampuni za Simu
> TCRA-CCC wamekiri kupokea malalamiko mengi
Soma - https://jamii.app/DataWiziTCRA
> Dkt. Faustine Ndugulile amewaelekeza TCRA-CCC kutathmini malalamiko ya Raia kuwa wanaibiwa vifurushi na Kampuni za Simu
> TCRA-CCC wamekiri kupokea malalamiko mengi
Soma - https://jamii.app/DataWiziTCRA
DAR: ADAIWA KUJINYONGA NDANI YA MAHABUSU YA POLISI
> Stella Moses (30) amejinyonga akiwa kituo cha Polisi Mburahati alipojisalimisha Desemba 20 baada ya kutafutwa
> Inaelezwa alikuwa na madeni mengi ambayo huenda ndiyo sababu ya kujinyonga
Soma - https://jamii.app/SuicideInCustody
> Stella Moses (30) amejinyonga akiwa kituo cha Polisi Mburahati alipojisalimisha Desemba 20 baada ya kutafutwa
> Inaelezwa alikuwa na madeni mengi ambayo huenda ndiyo sababu ya kujinyonga
Soma - https://jamii.app/SuicideInCustody
#UGANDA: MWANAHARAKATI WA HAKI ZA BINADAMU AKAMATWA
> Polisi wamekiri kumkamata Nicholas Opiyo kwa tuhuma za kutakatisha fedha
> Wanaharakati wasema sababu za kumkamata ni za kisiasa zinazolenga kuwavunja moyo wa kufuatilia mchakato Uchaguzi
Soma https://jamii.app/ActivistUganda
> Polisi wamekiri kumkamata Nicholas Opiyo kwa tuhuma za kutakatisha fedha
> Wanaharakati wasema sababu za kumkamata ni za kisiasa zinazolenga kuwavunja moyo wa kufuatilia mchakato Uchaguzi
Soma https://jamii.app/ActivistUganda
KILIMANJARO: KIJANA ATUHUMIWA KUMUUA BABA YAKE MZAZI
> James Kimario anatafutwa na Polisi kwa tuhuma za kumuua Welanzari Kimario (56) kwa kumkatakata na panga
> Pia, amemjeruhi mama yake mzazi na sababu ya tukio hilo bado haijabainishwa
Soma https://jamii.app/KijanaAua
> James Kimario anatafutwa na Polisi kwa tuhuma za kumuua Welanzari Kimario (56) kwa kumkatakata na panga
> Pia, amemjeruhi mama yake mzazi na sababu ya tukio hilo bado haijabainishwa
Soma https://jamii.app/KijanaAua
WAZIRI UMMY MWALIMU AHIMIZA WATANZANIA KULINDA MUUNGANO
- Amesema licha ya changamoto zilizopo, kuna fursa kwa Wananchi kujiletea Maendeleo
- Amesisitiza umuhimu wa kutumia fursa zilizopo #Tanzania Bara na Visiwani #Zanzibar ipasavyo
Soma - https://jamii.app/MuunganoTZ
- Amesema licha ya changamoto zilizopo, kuna fursa kwa Wananchi kujiletea Maendeleo
- Amesisitiza umuhimu wa kutumia fursa zilizopo #Tanzania Bara na Visiwani #Zanzibar ipasavyo
Soma - https://jamii.app/MuunganoTZ
MGANGA MKUU WA LONGIDO ASIMAMISHWA KAZI KWA KUSHINDWA KUSIMAMIA FEDHA
> Naibu Waziri wa #Afya, Dkt. Godwin Mollel, amemsimamsha kazi Jastice Munisi kwa kutosimamia fedha zinazotolewa kwa ajili ya Miundombinu na ununuzi wa Dawa na Vifaa Tiba
Soma - https://jamii.app/MgangaAsimamishwa
> Naibu Waziri wa #Afya, Dkt. Godwin Mollel, amemsimamsha kazi Jastice Munisi kwa kutosimamia fedha zinazotolewa kwa ajili ya Miundombinu na ununuzi wa Dawa na Vifaa Tiba
Soma - https://jamii.app/MgangaAsimamishwa
#UGANDA: VIONGOZI WA DINI WATAKA UCHAGUZI KUAHIRISHWA
- Wamependekeza uahirishwe kwa miaka 3, na Katiba kubadilishwa ili kumruhusu Rais Museveni kubaki madarakani
- Wamesema ni kwasababu ya #COVID19 na mivutano baina ya Wagombea na Polisi
Soma - https://jamii.app/ElectionsUG
- Wamependekeza uahirishwe kwa miaka 3, na Katiba kubadilishwa ili kumruhusu Rais Museveni kubaki madarakani
- Wamesema ni kwasababu ya #COVID19 na mivutano baina ya Wagombea na Polisi
Soma - https://jamii.app/ElectionsUG
DAR: MATUKIO YA UHALIFU YARIPOTIWA KUPUNGUA
> Kuanzia Januari hadi Novemba 2020 kumekuwa na matukio ya jinai 128,064 tofauti na 2019 ambapo yalikuwa 138,024
> Hali hiyo imetokana na doria mbalimbali pamoja na ushirikiano kutoka kwa raia wema
Tazama https://youtu.be/rj4MNGHY25o
#JFLeo
> Kuanzia Januari hadi Novemba 2020 kumekuwa na matukio ya jinai 128,064 tofauti na 2019 ambapo yalikuwa 138,024
> Hali hiyo imetokana na doria mbalimbali pamoja na ushirikiano kutoka kwa raia wema
Tazama https://youtu.be/rj4MNGHY25o
#JFLeo
YouTube
DAR: MATUKIO YA UHALIFU YARIPOTIWA KUPUNGUA
Kuanzia Januari hadi Novemba 2020 kumekuwa na matukio ya jinai 128,064 tofauti na 2019 ambapo yalikuwa 138,024
Hali hiyo imetokana na doria mbalimbali pamoja na ushirikiano kutoka kwa raia wema
Hali hiyo imetokana na doria mbalimbali pamoja na ushirikiano kutoka kwa raia wema
SERIKALI YAWATAKA WANANCHI KUTUMIA TEHAMA KUCHOCHEA UKUAJI UCHUMI
- Waziri Mkuu atoa rai kwa wananchi kutumia vizuri Teknolojia ya Habari na Mawasiliano ili kupunguza umaskini
- Serikali itaongeza matumizi ya mawasiliano ya kasi kutoka 45% hadi 80%
Soma https://jamii.app/TEHAMAUchumi
- Waziri Mkuu atoa rai kwa wananchi kutumia vizuri Teknolojia ya Habari na Mawasiliano ili kupunguza umaskini
- Serikali itaongeza matumizi ya mawasiliano ya kasi kutoka 45% hadi 80%
Soma https://jamii.app/TEHAMAUchumi