ZANZIBAR: AHUKUMIWA KUTUMIKIA CHUO CHA MAFUNZO KWA KUBAKA
- Mahakama imemuhukumu Khalifa Khalfan Mwaveso (25) kwenda kutumikia Chuo cha Mafunzo kwa miaka kumi (10) na kulipa fidia ya Tsh. Laki 2 kwa kosa la kumbaka msichana wa miaka 17
Soma - https://jamii.app/HukumuChuoUbakaji
- Mahakama imemuhukumu Khalifa Khalfan Mwaveso (25) kwenda kutumikia Chuo cha Mafunzo kwa miaka kumi (10) na kulipa fidia ya Tsh. Laki 2 kwa kosa la kumbaka msichana wa miaka 17
Soma - https://jamii.app/HukumuChuoUbakaji
WATUMISHI 22 WA TRA WASIMAMISHWA KAZI KWA KUTOTIMIZA MAJUKUMU IPASAVYO
> Dkt. Mpango ameagiza Watumishi 22 wasimamishwe kupisha uchunguzi dhidi ya tuhuma za uzembe na ufisadi
> Pia, ameagiza maafisa waliokaa kituo kimoja muda mrefu wahamishwe
Soma https://jamii.app/22Wasimamishwa
> Dkt. Mpango ameagiza Watumishi 22 wasimamishwe kupisha uchunguzi dhidi ya tuhuma za uzembe na ufisadi
> Pia, ameagiza maafisa waliokaa kituo kimoja muda mrefu wahamishwe
Soma https://jamii.app/22Wasimamishwa
WIZARA YA AFYA: KUNA HAJA YA KUENDELEZA VITUO VYA TIBA ASILI
> Mkurugenzi wa Sera na Mipango wa Wizara hiyo amesema, Ukoloni umefanya watu wadharau dawa za asili ambazo zilikuwa zinatumika Afrika
> Kwa Takwimu, 80% ya dawa zinaagizwa kutoka nje
Soma https://jamii.app/TibaAsili
> Mkurugenzi wa Sera na Mipango wa Wizara hiyo amesema, Ukoloni umefanya watu wadharau dawa za asili ambazo zilikuwa zinatumika Afrika
> Kwa Takwimu, 80% ya dawa zinaagizwa kutoka nje
Soma https://jamii.app/TibaAsili
DAR: MBARONI KWA KURUSHA MAUDHUI MTANDAONI BILA KIBALI
> Benedict Kimbusu anatuhumiwa kusambaza maudhui kwenye Chaneli ya YouTube inayoitwa Poih the 90s Lyrics bila kibali
> Amedaiwa kufanya kosa hilo kati ya Februari 27, 2014 na Desemba 7, 2020
Soma https://jamii.app/MaudhuiBilaKibali
> Benedict Kimbusu anatuhumiwa kusambaza maudhui kwenye Chaneli ya YouTube inayoitwa Poih the 90s Lyrics bila kibali
> Amedaiwa kufanya kosa hilo kati ya Februari 27, 2014 na Desemba 7, 2020
Soma https://jamii.app/MaudhuiBilaKibali
ARUSHA: DC AWACHAPA BAKORA WANAFUNZI KWA TUHUMA ZA KUUZA MADAWATI KAMA CHUMA CHAKAVU
> Wanafunzi 3 wa Kidato cha Kwanza Shule ya Sekondari Sinoni wameiba madawati 108 yenye thamani ya Tsh. Milioni 10
> Watu 5 waliouziwa wamekamatwa na Polisi
Soma https://jamii.app/ArushaWanafunzi
> Wanafunzi 3 wa Kidato cha Kwanza Shule ya Sekondari Sinoni wameiba madawati 108 yenye thamani ya Tsh. Milioni 10
> Watu 5 waliouziwa wamekamatwa na Polisi
Soma https://jamii.app/ArushaWanafunzi
MR. KUKU AHUKUMIWA MIAKA 10 AU FAINI MILIONI 5
- Tariq Machibya amehukumiwa kwa kujihusisha na biashara ya upatu na kupokea miamala ya fedha bila leseni
- Pia, Tsh. Bilioni 5.4 ambazo zipo kwenye akaunti yake zitaenda kwenye akaunti ya DPP
Soma - https://jamii.app/HukumuMrKuku
- Tariq Machibya amehukumiwa kwa kujihusisha na biashara ya upatu na kupokea miamala ya fedha bila leseni
- Pia, Tsh. Bilioni 5.4 ambazo zipo kwenye akaunti yake zitaenda kwenye akaunti ya DPP
Soma - https://jamii.app/HukumuMrKuku
JAMES HAMBLIN: DAKTARI AMBAYE HAONI UMUHIMU WA KUOGA
> James Hamblin hajaoga miaka 5 na hajapata madhara. Anafafanua kuwa, harufu hutokana na mafuta, mwili huacha kuyatoa usipooga muda mrefu
> Anasema, mtu hutumia wastani wa miaka 2 kuoga, muda ambao angefanya kazi
Soma https://jamii.app/5yrsKuoga
> James Hamblin hajaoga miaka 5 na hajapata madhara. Anafafanua kuwa, harufu hutokana na mafuta, mwili huacha kuyatoa usipooga muda mrefu
> Anasema, mtu hutumia wastani wa miaka 2 kuoga, muda ambao angefanya kazi
Soma https://jamii.app/5yrsKuoga
UGANDA: GOOGLE YAKATAA KUFUNGA 'CHANNEL' KWA MAOMBI YA SERIKALI
> Google imesema inafuata Sheria za Nchi lakini ni lazima iwe Amri ya Mahakama
> UCC iliitaka Google ifute Chaneli 17 za YouTube ikiwemo ya Bobi Wine ikidai hazizingatii Mizania
Soma https://jamii.app/GoogleUG
> Google imesema inafuata Sheria za Nchi lakini ni lazima iwe Amri ya Mahakama
> UCC iliitaka Google ifute Chaneli 17 za YouTube ikiwemo ya Bobi Wine ikidai hazizingatii Mizania
Soma https://jamii.app/GoogleUG
UGANDA: RAIS MUSEVENI AMTEUA MWANAYE KUWA KAMANDA WA KIKOSI MAALUM JESHINI
- Lt. Gen. Muhoozi Kainerugaba (46) amekuwa Kamanda wa Kikosi cha SFC ambacho humlinda Rais wa #Uganda na kusimamia majukumu mengine ya kipekee kulingana na Amri za Rais
Soma https://jamii.app/MuseveniElectSon
- Lt. Gen. Muhoozi Kainerugaba (46) amekuwa Kamanda wa Kikosi cha SFC ambacho humlinda Rais wa #Uganda na kusimamia majukumu mengine ya kipekee kulingana na Amri za Rais
Soma https://jamii.app/MuseveniElectSon
NIGERIA: WALIMU WAITISHA MGOMO KWA UKOSEFU WA USALAMA
> Walimu wameitisha mgomo kutokana na kuwa ktk hatari ya kuvamiwa na Makundi ya Wenye Silaha
> Hivi karibuni Boko Haram waliwateka Wanafunzi 300, hali iliyopelekea shule nyingine kufungwa
Soma https://jamii.app/NigeriaMgomo
> Walimu wameitisha mgomo kutokana na kuwa ktk hatari ya kuvamiwa na Makundi ya Wenye Silaha
> Hivi karibuni Boko Haram waliwateka Wanafunzi 300, hali iliyopelekea shule nyingine kufungwa
Soma https://jamii.app/NigeriaMgomo
BAWACHA YAWATAKA MDEE NA WENZAKE KUACHA KUTUMIA NEMBO YA CHADEMA
- Imesema, Wabunge hao wanashirikiana na Mamlaka kuwahadaa baadhi ya Viongozi wa BAWACHA kwa fedha ili wafike Dar kwenye mkusanyiko wanaouandaa kwa Jina la CHADEMA
Soma - https://jamii.app/BawachaHadaaMdee
- Imesema, Wabunge hao wanashirikiana na Mamlaka kuwahadaa baadhi ya Viongozi wa BAWACHA kwa fedha ili wafike Dar kwenye mkusanyiko wanaouandaa kwa Jina la CHADEMA
Soma - https://jamii.app/BawachaHadaaMdee
MKENYA ANAYETUHUMIWA KWA UGAIDI APELEKWA NEW YORK
> Cholo Abdi Abdullah alikamatwa Ufilipino Julai 2019 amekabidhiwa kwa Maafisa wa #Marekani
> Anatuhumiwa kula njama za kuteka Ndege ya Abiria na kuiangusha kwenye jengo moja Nchini Marekani
Soma https://jamii.app/MkenyaGaidi
> Cholo Abdi Abdullah alikamatwa Ufilipino Julai 2019 amekabidhiwa kwa Maafisa wa #Marekani
> Anatuhumiwa kula njama za kuteka Ndege ya Abiria na kuiangusha kwenye jengo moja Nchini Marekani
Soma https://jamii.app/MkenyaGaidi
WANAFUNZI 759,706 WALIOFAULU DARASA LA 7, WACHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA 1
- Kati yao, Wavulana ni 368,174 na Wasichana ni 391,532
- Wanafunzi 74,166 hawajapangiwa shule katika Awamu ya Kwanza kutokana na uhaba wa Vyumba vya Madarasa
Soma - https://jamii.app/FormOne2021
- Kati yao, Wavulana ni 368,174 na Wasichana ni 391,532
- Wanafunzi 74,166 hawajapangiwa shule katika Awamu ya Kwanza kutokana na uhaba wa Vyumba vya Madarasa
Soma - https://jamii.app/FormOne2021
ARUSHA: POLISI WAONYA BODABODA WANAOCHAKACHUA VYOMBO
> Mkuu wa Usalama Barabarani amewaonya Waendesha Pikipiki wanaochakachua vyombo hivyo ili vitoe mlio mithili ya Bomu
> Asema, milio hiyo imekuwa kero na inaleta mshtuko kwa wasiopenda kelele
Soma - https://jamii.app/MilioBodaboda
> Mkuu wa Usalama Barabarani amewaonya Waendesha Pikipiki wanaochakachua vyombo hivyo ili vitoe mlio mithili ya Bomu
> Asema, milio hiyo imekuwa kero na inaleta mshtuko kwa wasiopenda kelele
Soma - https://jamii.app/MilioBodaboda
WANAOCHUNA NGOZI ZA MIFUGO WATAKIWA KUWA NA LESENI
> Wizara ya Mifugo imesema, watakaoruhusiwa kuchuna Ngozi za Wanyama Machinjioni ni waliopata mafunzo na kupewa Leseni
> Hatua hiyo inakuja kuongeza Ubora wa Ngozi ili ziweze kuuzwa nje ya Nchi
Soma https://jamii.app/RevenueBase
> Wizara ya Mifugo imesema, watakaoruhusiwa kuchuna Ngozi za Wanyama Machinjioni ni waliopata mafunzo na kupewa Leseni
> Hatua hiyo inakuja kuongeza Ubora wa Ngozi ili ziweze kuuzwa nje ya Nchi
Soma https://jamii.app/RevenueBase
GEITA: TAKUKURU WAFANIKIWA KUREJESHA TSH. MILIONI 5.48 ZA MWALIMU ALIYETAPELIWA NA QNET
> Imemrejeshea fedha hizo alizodhulumiwa kwa njia za ushawishi, urubuni na kuahidiwa
> Pia, imewataka Watanzania wajiepushe na biashara wasizo na uhakika nazo
Soma https://jamii.app/TAKUKURUQnet
> Imemrejeshea fedha hizo alizodhulumiwa kwa njia za ushawishi, urubuni na kuahidiwa
> Pia, imewataka Watanzania wajiepushe na biashara wasizo na uhakika nazo
Soma https://jamii.app/TAKUKURUQnet
RAIS WA UFARANSA AKUTWA NA #COVID19
> Emmanuel Macron (42) amekutwa na maambukizi ya #CoronaVirus na ana dalili za wazi hivyo atajitenga kwa siku saba
> Waziri Mkuu, Jean Castex pia atajitenga kwa kuwa ni mtu aliyechangamana na Rais huyo
Soma https://jamii.app/MacronFrance
> Emmanuel Macron (42) amekutwa na maambukizi ya #CoronaVirus na ana dalili za wazi hivyo atajitenga kwa siku saba
> Waziri Mkuu, Jean Castex pia atajitenga kwa kuwa ni mtu aliyechangamana na Rais huyo
Soma https://jamii.app/MacronFrance
MAKOSA NA ADHABU KWA MUJIBU WA SHERIA YA MAKOSA YA MTANDAO YA MWAKA 2015
- Vifungu vya 13 na 14: Vinazuia uchapishaji wa Ponografia zinazohusisha #Watoto na watu wazima
- Kifungu cha 16 kinazuia uchapishaji wa taarifa au data ya uongo
- Kifungu cha 20: Kinaainisha makosa kwa kusambaza, kurusha, kusambaza tena taarifa zinazotumwa bila ridhaa au kughushi
- Kifungu cha 23 kinazuia kutumia mawasiliano ya kielektroniki kwa lengo la kusababisha madhara ya kiakili kwa mpokeaji.
Soma > https://jamii.app/CyberCrimeAct15
#Sheria #Haki #JamiiForums
- Vifungu vya 13 na 14: Vinazuia uchapishaji wa Ponografia zinazohusisha #Watoto na watu wazima
- Kifungu cha 16 kinazuia uchapishaji wa taarifa au data ya uongo
- Kifungu cha 20: Kinaainisha makosa kwa kusambaza, kurusha, kusambaza tena taarifa zinazotumwa bila ridhaa au kughushi
- Kifungu cha 23 kinazuia kutumia mawasiliano ya kielektroniki kwa lengo la kusababisha madhara ya kiakili kwa mpokeaji.
Soma > https://jamii.app/CyberCrimeAct15
#Sheria #Haki #JamiiForums
TATIZO LA KUKOSA USINGIZI (INSOMNIA): ATHARI ZAKE NA NAMNA YA KUJIKINGA (2)
- Hali hii huweza kusababisha Uchovu wa mwili, kuwa na hasira au mkali bila sababu za msingi, kupoteza kumbukumbu na kupata magonjwa ya Shinikizo la Damu au Kisukari
- Kujilinda: Usitumie vinjwaji vyenye Caffeine kama Kahawa usiku/jioni, jiwekee ratiba ya kufanya mazoezi, kula mlo mdogo na mwepesi nyakati za usiku na epuka Msongo wa Mawazo
Soma - https://jamii.app/InsomniaDisease
#HealthCare
- Hali hii huweza kusababisha Uchovu wa mwili, kuwa na hasira au mkali bila sababu za msingi, kupoteza kumbukumbu na kupata magonjwa ya Shinikizo la Damu au Kisukari
- Kujilinda: Usitumie vinjwaji vyenye Caffeine kama Kahawa usiku/jioni, jiwekee ratiba ya kufanya mazoezi, kula mlo mdogo na mwepesi nyakati za usiku na epuka Msongo wa Mawazo
Soma - https://jamii.app/InsomniaDisease
#HealthCare