#GOOGLE YAPATA SHAMBULIO LA MTANDAO
> Kampuni hiyo imepata shambulio la mtandao lililodumu kwa dakika 45
> Huduma zake mbalimbali kama Gmail na YouTube zilishindwa kupatikana kwa baadhi ya nchi ikiwemo Marekani, Canada, India na Uingereza
Soma https://jamii.app/GoogleIsDown
> Kampuni hiyo imepata shambulio la mtandao lililodumu kwa dakika 45
> Huduma zake mbalimbali kama Gmail na YouTube zilishindwa kupatikana kwa baadhi ya nchi ikiwemo Marekani, Canada, India na Uingereza
Soma https://jamii.app/GoogleIsDown
ZANZIBAR: MAHAKAMA YAMWACHIA HURU ALIYEMBAKA MWANAE, KISA BINTI KAZOEA KUINGILIWA
> Mahakama ya Wete, Mkoa wa Kaskazini Pemba imemuachia huru Salim Khamis Ali (43) aliyembaka binti yake wa miaka chini ya 13 kwa ushahidi wa vipimo kuwa binti huyo alizoea kuingiliwa
> Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania, Zanzibar (TAMWA, ZNZ) kimesema hakiridhishwi na Hukumu za Kesi zinazohusu Ukatili wa Watoto Visiwani humo
Soma https://jamii.app/TAMWAZNZ
> Mahakama ya Wete, Mkoa wa Kaskazini Pemba imemuachia huru Salim Khamis Ali (43) aliyembaka binti yake wa miaka chini ya 13 kwa ushahidi wa vipimo kuwa binti huyo alizoea kuingiliwa
> Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania, Zanzibar (TAMWA, ZNZ) kimesema hakiridhishwi na Hukumu za Kesi zinazohusu Ukatili wa Watoto Visiwani humo
Soma https://jamii.app/TAMWAZNZ
#UHOLANZI YATANGAZA LOCKDOWN YA NCHI NZIMA KWA WIKI TANO
> Ni kuanzia Desemba 15, 2020 hadi Januari 19, 2021 hivyo Shule, Maduka na Makumbusho vitafungwa
> Wamefikia hatua hiyo baada ya kuongezeka maambukizi ya #COVID19 wiki mbili zilizopita
Soma https://jamii.app/5WeeksLockdown
> Ni kuanzia Desemba 15, 2020 hadi Januari 19, 2021 hivyo Shule, Maduka na Makumbusho vitafungwa
> Wamefikia hatua hiyo baada ya kuongezeka maambukizi ya #COVID19 wiki mbili zilizopita
Soma https://jamii.app/5WeeksLockdown
SIMIYU: RC AWATAKA MADIWANI KUACHA TABIA YA KUFUKUZA WATUMISHI KIHOLELA
- RC Anthony Mtaka amesema, hatokubali Madiwani wa Halmashauri yoyote kukaa kikao na kuazimia kumfukuza mtumishi wa Serikali awe Mkurugenzi, Mkuu wa Idara au kitengo
Soma - https://jamii.app/DiwaniKufukuza
#Siasa
- RC Anthony Mtaka amesema, hatokubali Madiwani wa Halmashauri yoyote kukaa kikao na kuazimia kumfukuza mtumishi wa Serikali awe Mkurugenzi, Mkuu wa Idara au kitengo
Soma - https://jamii.app/DiwaniKufukuza
#Siasa
MUSEVENI: HUWA NAKASIRIKA WATU WAKINIAMBIA NIONDOKE MADARAKANI
- Rais wa #Uganda ambaye anawania muhula wa 6, amesema hajaona mtu mwenye uwezo wa kuongoza, hivyo ataendelea kuwa Madarakani kwasababu Watu wanamuhitaji kuendelea kuongoza
Soma - https://jamii.app/MuseveniMadaraka
#UGElection
- Rais wa #Uganda ambaye anawania muhula wa 6, amesema hajaona mtu mwenye uwezo wa kuongoza, hivyo ataendelea kuwa Madarakani kwasababu Watu wanamuhitaji kuendelea kuongoza
Soma - https://jamii.app/MuseveniMadaraka
#UGElection
TANZIA: MMILIKI WA HOTELI ZA SEA CLIFF NA WHITE SANDS AFARIKI
- M/kiti Mtendaji Motisun Group ambaye ni miongoni mwa Mabilionea Nchini #Tanzania, Subhash Patel amefariki leo
- Pia, alikuwa M/kiti wa Shirikisho la Wenye Viwanda Tanzania (CTI)
Soma https://jamii.app/SubhashPatelDies
- M/kiti Mtendaji Motisun Group ambaye ni miongoni mwa Mabilionea Nchini #Tanzania, Subhash Patel amefariki leo
- Pia, alikuwa M/kiti wa Shirikisho la Wenye Viwanda Tanzania (CTI)
Soma https://jamii.app/SubhashPatelDies
SOMALIA YASITISHA MAHUSIANO NA KENYA, WANADIPLOMASIA WATAKIWA KUONDOKA
> #Somalia imetangaza kusitisha uhusiano wake na #Kenya kwa kuwafukuza Wanadiplomasia wote wa Kenya kuanzia leo
> Pia, nchi hiyo imewataka Wanadiplomasia wake kurejea
Soma - https://jamii.app/KEvsSomalia
> #Somalia imetangaza kusitisha uhusiano wake na #Kenya kwa kuwafukuza Wanadiplomasia wote wa Kenya kuanzia leo
> Pia, nchi hiyo imewataka Wanadiplomasia wake kurejea
Soma - https://jamii.app/KEvsSomalia
JOE BIDEN ATHIBITISHWA RASMI KUWA RAIS WA MAREKANI
- Wajumbe wa Electoral College wamemthibitisha Biden kuwa Rais wa Taifa hilo kwa kura zaidi ya 270
- Donald Trump anakuwa Rais wa 5 kupoteza Madaraka baada ya muhula 1 wa Uongozi
Soma - https://jamii.app/JoeBidenVerified
#USElection
- Wajumbe wa Electoral College wamemthibitisha Biden kuwa Rais wa Taifa hilo kwa kura zaidi ya 270
- Donald Trump anakuwa Rais wa 5 kupoteza Madaraka baada ya muhula 1 wa Uongozi
Soma - https://jamii.app/JoeBidenVerified
#USElection
KENYA YAAGIZA DOZI MILIONI 24 ZA CHANJO YA #COVID19
> Dozi hizo zitagharimu Tsh. Bilioni 207.83 na zitatolewa kwa Watumishi walio hatarini kupata maambukizi na Wazee
> #Kenya ni nchi iliyoagiza dozi nyingi zaidi kwa nchi za Afrika Mashariki
Soma https://jamii.app/24DoziCOVID19
> Dozi hizo zitagharimu Tsh. Bilioni 207.83 na zitatolewa kwa Watumishi walio hatarini kupata maambukizi na Wazee
> #Kenya ni nchi iliyoagiza dozi nyingi zaidi kwa nchi za Afrika Mashariki
Soma https://jamii.app/24DoziCOVID19
TANZIA: MSANII MKONGWE WA MAIGIZO, MZEE JENGUA AFARIKI DUNIA
> Mohammed Fungafunga maarufu Mzee Jengua amefariki leo asubuhi huko Mkuranga, Pwani
> Baadhi ya filamu na tamthilia alizoigiza ni Kidedea, Handsome wa Kijiji na Maneno ya Kuambiwa
Soma https://jamii.app/JenguaAfariki
#JFLeo
> Mohammed Fungafunga maarufu Mzee Jengua amefariki leo asubuhi huko Mkuranga, Pwani
> Baadhi ya filamu na tamthilia alizoigiza ni Kidedea, Handsome wa Kijiji na Maneno ya Kuambiwa
Soma https://jamii.app/JenguaAfariki
#JFLeo
RC KUNENGE: ANAYEJIONA HAWEZI KWENDA NA KASI YA SERIKALI HII, AKAE PEMBENI
> Mkuu wa Mkoa wa Dar, Aboubakar Kunenge, amewataka Watendaji wote kuacha kujivuta ktk kusimamia majukumu yao na kuhakikisha miradi inayowalenga Wananchi inakamilika
Soma - https://jamii.app/KunengeKasiWatendaji
> Mkuu wa Mkoa wa Dar, Aboubakar Kunenge, amewataka Watendaji wote kuacha kujivuta ktk kusimamia majukumu yao na kuhakikisha miradi inayowalenga Wananchi inakamilika
Soma - https://jamii.app/KunengeKasiWatendaji
UN WATOA WITO KWA NCHI KUTANGAZA DHARURA YA HALI YA HEWA
> Katibu Mkuu wa UN, Antonio Guterres, amesema Viongozi wa Duniani wanapaswa kutangaza dharura ya hali ya hewa katika Nchi zao ili kuchochea hatua za kuzuia ongezeko la Joto Duniani
Soma - https://jamii.app/ClimateEmergency
#Climate
> Katibu Mkuu wa UN, Antonio Guterres, amesema Viongozi wa Duniani wanapaswa kutangaza dharura ya hali ya hewa katika Nchi zao ili kuchochea hatua za kuzuia ongezeko la Joto Duniani
Soma - https://jamii.app/ClimateEmergency
#Climate
MWANASHERIA MKUU WA MAREKANI ATANGAZA KUJIUZULU
> William Barr ambaye ni mshirika wa karibu wa Rais Donald Trump amesema ataachia rasmi nafasi yake ifikapo Desemba 23
> Barr alisema Idara ya #Sheria haijaona udanganyifu katika Uchaguzi Mkuu
Soma https://jamii.app/AGMarekani
> William Barr ambaye ni mshirika wa karibu wa Rais Donald Trump amesema ataachia rasmi nafasi yake ifikapo Desemba 23
> Barr alisema Idara ya #Sheria haijaona udanganyifu katika Uchaguzi Mkuu
Soma https://jamii.app/AGMarekani
KAGERA: WANAFUNZI 59 WA VETA WAKAMATWA KWA UDANGANYIFU
> Wanashikiliwa na TAKUKURU baada ya kukutwa na Simu ktk chumba cha Mtihani
> Pia, Walimu 3 wanashikiliwa na Tsh. 151,000 zinazodaiwa kuchangwa na Wanafunzi ili kuwapatia Wasimamizi zimekamatwa
Soma https://jamii.app/UdanganyifuVETA
> Wanashikiliwa na TAKUKURU baada ya kukutwa na Simu ktk chumba cha Mtihani
> Pia, Walimu 3 wanashikiliwa na Tsh. 151,000 zinazodaiwa kuchangwa na Wanafunzi ili kuwapatia Wasimamizi zimekamatwa
Soma https://jamii.app/UdanganyifuVETA
UNICEF: WALIMU WAPEWE KIPAUMBELE KWENYE CHANJO YA #COVID19
> Imesema, Walimu wapewe chanjo baada ya Watumishi wa Afya na wengine walio katika hatari ya maambukizi ya #CoronaVirus
> Hatua hiyo itawezesha Walimu kufundisha ana kwa ana
Soma https://jamii.app/UNICEFChanjoWalimu
> Imesema, Walimu wapewe chanjo baada ya Watumishi wa Afya na wengine walio katika hatari ya maambukizi ya #CoronaVirus
> Hatua hiyo itawezesha Walimu kufundisha ana kwa ana
Soma https://jamii.app/UNICEFChanjoWalimu
JE, SHERIA INASEMA NINI KUHUSU KOSA LA KUTOA RUSHWA ILI KUSHINDA MKATABA WA KUTOA HUDUMA?
Kifungu cha 16 kinatoa Adhabu ya Faini isiyopungua Milioni 1 na isiyozidi Milioni 3 au Kifungo kisichopungua miaka 3 na kisichozidi miaka 5 au vyote kwa pamoja
Pia Mahakama yaweza:
> (i) Kumwamuru mtuhumiwa kumlipa mtu au mwajiri wake kiasi chote au nusu ya pesa au mali aliyopewa rushwa;
> Au (ii) Kutaifisha pesa au mali iliyopokelewa kama rushwa na kuwa mali ya serikali
Soma https://jamii.app/MakosaRushwaAdhabu
Kifungu cha 16 kinatoa Adhabu ya Faini isiyopungua Milioni 1 na isiyozidi Milioni 3 au Kifungo kisichopungua miaka 3 na kisichozidi miaka 5 au vyote kwa pamoja
Pia Mahakama yaweza:
> (i) Kumwamuru mtuhumiwa kumlipa mtu au mwajiri wake kiasi chote au nusu ya pesa au mali aliyopewa rushwa;
> Au (ii) Kutaifisha pesa au mali iliyopokelewa kama rushwa na kuwa mali ya serikali
Soma https://jamii.app/MakosaRushwaAdhabu
MDAU: HUWEZI KUPATA UTAJIRI KAMA WEWE SIO MTU WA KUTUNZA SIRI
> Mdau wa JamiiForums.com anasema, Mipango ya utajiri haisemwi bali hutekelezwa na inakuwa. Mipango inayosemwa kabla haijatekelezwa kwa asilimia kubwa haiwezi kutekelezeka
> Anasema, Ukiona mtu anasema ni tajiri basi tambua huyo sio Tajiri kwasababu utajiri hauna mdomo bali una vitendo
Mjadala - https://jamii.app/KutunzaSiriUtajiri
#Mafanikio
> Mdau wa JamiiForums.com anasema, Mipango ya utajiri haisemwi bali hutekelezwa na inakuwa. Mipango inayosemwa kabla haijatekelezwa kwa asilimia kubwa haiwezi kutekelezeka
> Anasema, Ukiona mtu anasema ni tajiri basi tambua huyo sio Tajiri kwasababu utajiri hauna mdomo bali una vitendo
Mjadala - https://jamii.app/KutunzaSiriUtajiri
#Mafanikio
ZANZIBAR: RAIS MWINYI AVUNJA BODI YA MELI NA UWAKALA
> Leo, Desemba 15, Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Mwinyi amevunja Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Meli na Uwakala kutokana na kutoridhishwa na utendaji wa Shirika hilo
Soma https://jamii.app/BodiMamlakaYaMeli
> Leo, Desemba 15, Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Mwinyi amevunja Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Meli na Uwakala kutokana na kutoridhishwa na utendaji wa Shirika hilo
Soma https://jamii.app/BodiMamlakaYaMeli
DAR: JELA MAISHA KWA KUMLAWITI BINTI YAKE WA MIAKA 11
> Huruma Mjumbe (54) amekutwa na hatia ya kumlawiti binti yake kati ya Januari 2017 na Februari 2019
> Mahakama ilijiridhisha kwa ushahidi wa Daktari na mdogo wa mtoto huyo
Soma https://jamii.app/LifeSentence
#ChildRights #JFLeo
> Huruma Mjumbe (54) amekutwa na hatia ya kumlawiti binti yake kati ya Januari 2017 na Februari 2019
> Mahakama ilijiridhisha kwa ushahidi wa Daktari na mdogo wa mtoto huyo
Soma https://jamii.app/LifeSentence
#ChildRights #JFLeo
ACT-WAZALENDO: HATUTAKWENDA UJERUMANI WALA CANADA KULALAMIKIA MASUALA YA TANZANIA
> Mbunge wa Jimbo la Konde, Khatib Haji amesema masuala ya #Tanzania yatazungumzwa Tanzania
> Asema, maridhiano yaliyofanyika ni kwa maslahi ya Wazanzibari
Soma https://jamii.app/UapishoWabungeACT
#JFSiasa
> Mbunge wa Jimbo la Konde, Khatib Haji amesema masuala ya #Tanzania yatazungumzwa Tanzania
> Asema, maridhiano yaliyofanyika ni kwa maslahi ya Wazanzibari
Soma https://jamii.app/UapishoWabungeACT
#JFSiasa