JamiiForums
52.5K subscribers
34.4K photos
2.47K videos
31.4K links
Official Telegram Channel | Inform x Engage x Empower
Download Telegram
MUSEVENI: HUWA NAKASIRIKA WATU WAKINIAMBIA NIONDOKE MADARAKANI

- Rais wa #Uganda ambaye anawania muhula wa 6, amesema hajaona mtu mwenye uwezo wa kuongoza, hivyo ataendelea kuwa Madarakani kwasababu Watu wanamuhitaji kuendelea kuongoza

Soma - https://jamii.app/MuseveniMadaraka
#UGElection
UGANDA: BOBI WINE AKAMATWA NA MAAFISA WA POLISI

> Msemaji wa Chama cha NUP, Joel Senyonyi, amesema Mgombea Urais, Robert Kyagulanyi na msafara wake wa watu 90 wamekamatwa kwenye Visiwa vya Kalangala walikokwenda kwa ajili ya mikutano ya Kampeni

#UGElection #HumanRights