MUSEVENI: HUWA NAKASIRIKA WATU WAKINIAMBIA NIONDOKE MADARAKANI
- Rais wa #Uganda ambaye anawania muhula wa 6, amesema hajaona mtu mwenye uwezo wa kuongoza, hivyo ataendelea kuwa Madarakani kwasababu Watu wanamuhitaji kuendelea kuongoza
Soma - https://jamii.app/MuseveniMadaraka
#UGElection
- Rais wa #Uganda ambaye anawania muhula wa 6, amesema hajaona mtu mwenye uwezo wa kuongoza, hivyo ataendelea kuwa Madarakani kwasababu Watu wanamuhitaji kuendelea kuongoza
Soma - https://jamii.app/MuseveniMadaraka
#UGElection
UGANDA: BOBI WINE AKAMATWA NA MAAFISA WA POLISI
> Msemaji wa Chama cha NUP, Joel Senyonyi, amesema Mgombea Urais, Robert Kyagulanyi na msafara wake wa watu 90 wamekamatwa kwenye Visiwa vya Kalangala walikokwenda kwa ajili ya mikutano ya Kampeni
#UGElection #HumanRights
> Msemaji wa Chama cha NUP, Joel Senyonyi, amesema Mgombea Urais, Robert Kyagulanyi na msafara wake wa watu 90 wamekamatwa kwenye Visiwa vya Kalangala walikokwenda kwa ajili ya mikutano ya Kampeni
#UGElection #HumanRights