LISSU: VIONGOZI KAMA MAALIM SEIF HAWAZALIWI KILA SIKU
> Akiwa Pemba ktk Mkutano wa kufunga Kampeni za ACT- Wazalendo, amewakata Wazanzibari kumpa kura Maalim ili akamilishe ndoto ya Wazanzibari ya kuwa Taifa lililokuwa kabla ya Muungano
Soma - https://jamii.app/LissuPemba
#TZ2020
> Akiwa Pemba ktk Mkutano wa kufunga Kampeni za ACT- Wazalendo, amewakata Wazanzibari kumpa kura Maalim ili akamilishe ndoto ya Wazanzibari ya kuwa Taifa lililokuwa kabla ya Muungano
Soma - https://jamii.app/LissuPemba
#TZ2020
MAALIM SEIF: WALIMU WA MADRASA WATAINGIA KWENYE 'PAYROLL' YA SERIKALI
> Mgombea Urais #Zanzibar amesema, ni muhimu kwa Walimu wa Madrasa kuingia kwenye malipo ya Serikali kwasababu wanafanya kazi kubwa katika kuwaandaa watoto kiroho
Soma https://jamii.app/MaalimMadrassaWalimu
#Uchaguzi2020
> Mgombea Urais #Zanzibar amesema, ni muhimu kwa Walimu wa Madrasa kuingia kwenye malipo ya Serikali kwasababu wanafanya kazi kubwa katika kuwaandaa watoto kiroho
Soma https://jamii.app/MaalimMadrassaWalimu
#Uchaguzi2020
JOSHUA NASSARI AOMBA RADHI KWA DKT. MAGUFULI
> Aliyekuwa Mbunge wa Arumeru Mashariki kupitia CHADEMA, Joshua Nassari aomba radhi kwa machukizo aliyofanya alipokuwa upinzani
> Nassari alihamia CCM akitokea CHADEMA mwezi Julai 2020
Soma https://jamii.app/NassariVsMagufuli
#Uchaguzi2020
> Aliyekuwa Mbunge wa Arumeru Mashariki kupitia CHADEMA, Joshua Nassari aomba radhi kwa machukizo aliyofanya alipokuwa upinzani
> Nassari alihamia CCM akitokea CHADEMA mwezi Julai 2020
Soma https://jamii.app/NassariVsMagufuli
#Uchaguzi2020
ZEC: MAKOSA KWENYE DAFTARI LA KUPIGA KURA YAMECHANGIWA NA WAPIGA KURA WENYEWE
> Ni kwasababu ya kushindwa kufanya uhakiki wa taarifa wakati zoezi hilo lilipofanyika
> ZEC itatoa msimamo kuhusu Wapiga Kura hao baada ya Kikao cha Uongozi
Soma - https://jamii.app/DaftariWapigaKura
#TZ2020
> Ni kwasababu ya kushindwa kufanya uhakiki wa taarifa wakati zoezi hilo lilipofanyika
> ZEC itatoa msimamo kuhusu Wapiga Kura hao baada ya Kikao cha Uongozi
Soma - https://jamii.app/DaftariWapigaKura
#TZ2020
#CORONAVIRUS: KENYA YAREKODI VISA ZAIDI YA 1,000 NDANI YA SAA 24
> Maambukizi mapya 1,068 yamerekodiwa huku mgonjwa mdogo zaidi akiwa mtoto wa miezi 6
> Idadi ya visa imefikia 47,212, vifo 870 na wagonjwa waliopona hadi sasa ni 33,050
Soma - https://jamii.app/CovidKE
> Maambukizi mapya 1,068 yamerekodiwa huku mgonjwa mdogo zaidi akiwa mtoto wa miezi 6
> Idadi ya visa imefikia 47,212, vifo 870 na wagonjwa waliopona hadi sasa ni 33,050
Soma - https://jamii.app/CovidKE
MMANGA: NITAVUNJA UONGOZI WA TFF NA KUINUA SOKA LA WANAWAKE
> Mgombea Urais kupitia Demokrasia Makini, Cecilia Mmanga amesema TFF ni chanzo cha Migogoro kwenye Mpira
> Pia, watafufua #Michezo mingine ikiwemo kufundisha Watoto Bao
Soma https://jamii.app/MmangaTFF
#Uchaguzi2020
> Mgombea Urais kupitia Demokrasia Makini, Cecilia Mmanga amesema TFF ni chanzo cha Migogoro kwenye Mpira
> Pia, watafufua #Michezo mingine ikiwemo kufundisha Watoto Bao
Soma https://jamii.app/MmangaTFF
#Uchaguzi2020
SERIKALI YAKOPA TSH BILIONI 136.85 KUKARABATI VIWANJA VYA NDEGE
> Serikali imezindua mradi wa ukarabati na upanuzi wa Viwanja vya Shinyanga, Tabora, Sumbawanga na Kigoma ili viwe vya Kimataifa
> Mkopo umetolewa na Benki ya Uwekezaji ya Ulaya
Soma https://jamii.app/MkopoNdege136b
> Serikali imezindua mradi wa ukarabati na upanuzi wa Viwanja vya Shinyanga, Tabora, Sumbawanga na Kigoma ili viwe vya Kimataifa
> Mkopo umetolewa na Benki ya Uwekezaji ya Ulaya
Soma https://jamii.app/MkopoNdege136b
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
DAR: WEZI SUGU 30 WAKAMATWA NA POLISI
> Jeshi la Polisi mkoa wa kipolisi Kinondoni limekamata wezi hao wakiwa na mali mbalimbali
> Watu wote waliopotelewa/kuibiwa na vitu wametakiwa kufika kituoni na risiti kubaini vitu hivyo kama ni vyao
Soma https://jamii.app/Wizi30Polisi
#JFLeo
> Jeshi la Polisi mkoa wa kipolisi Kinondoni limekamata wezi hao wakiwa na mali mbalimbali
> Watu wote waliopotelewa/kuibiwa na vitu wametakiwa kufika kituoni na risiti kubaini vitu hivyo kama ni vyao
Soma https://jamii.app/Wizi30Polisi
#JFLeo
PROF. LIPUMBA: TUTAJENGA UCHUMI WENYE USHINDANI KITAIFA NA KIMATAIFA
> Amesema, ukuaji wa uchumi unahitaji uongozi imara, utawala makini na mipango
> CUF itaweka misingi itakayohakikisha uchumi unakua kwa 8%–10% kila mwaka kwa miaka 10 ijayo
Soma https://jamii.app/LipumbaLindi
#TZ2020
> Amesema, ukuaji wa uchumi unahitaji uongozi imara, utawala makini na mipango
> CUF itaweka misingi itakayohakikisha uchumi unakua kwa 8%–10% kila mwaka kwa miaka 10 ijayo
Soma https://jamii.app/LipumbaLindi
#TZ2020
AAFP: TUTAKUSANYA ILANI ZA VYAMA VYOTE NA KUUNDA SERIKALI YENYE SERA JUMUISHI
> Mgombea Urais, Seif Maalim Seif amesema dhana ya Chama kitakachoshinda kuchukua kila kitu ni kama ulaghai kwani Watanzania wamegawanyika katika nadharia tofauti
Soma https://jamii.app/SeifMaalimAAFP
#TZ2020
> Mgombea Urais, Seif Maalim Seif amesema dhana ya Chama kitakachoshinda kuchukua kila kitu ni kama ulaghai kwani Watanzania wamegawanyika katika nadharia tofauti
Soma https://jamii.app/SeifMaalimAAFP
#TZ2020
UMOJA WA ULAYA WAZUNGUMZA KUHUSU UCHAGUZI WA TANZANIA
> Umoja wa Ulaya (EU) umesisitiza Vyama vyote kuwajibika ktk kuweka mazingira ya Uwazi na Uchaguzi wa amani
> EU wanategemea hatua hii itajenga ushirikiano mkubwa kati yao na #Tanzania
Soma https://jamii.app/EUUchaguziTZ
#TZ2020
> Umoja wa Ulaya (EU) umesisitiza Vyama vyote kuwajibika ktk kuweka mazingira ya Uwazi na Uchaguzi wa amani
> EU wanategemea hatua hii itajenga ushirikiano mkubwa kati yao na #Tanzania
Soma https://jamii.app/EUUchaguziTZ
#TZ2020
ADC: TUNALENGA KUMPA MTANZANIA MAISHA MAZURI
> Mgombea Urais, Queen Sendiga amesema Wakulima wategemee neema ndani ya Uongozi wa ADC
> Ameahidi kuboresha miundombinu akisema barabara zitatengenezwa kwa kiwango cha kupita nyakati zote
Soma - https://jamii.app/ADCBabati
#Uchaguzi2020
> Mgombea Urais, Queen Sendiga amesema Wakulima wategemee neema ndani ya Uongozi wa ADC
> Ameahidi kuboresha miundombinu akisema barabara zitatengenezwa kwa kiwango cha kupita nyakati zote
Soma - https://jamii.app/ADCBabati
#Uchaguzi2020
WAANGALIZI WA NDANI WA UCHAGUZI WALALAMIKIA UKOSEFU WA FEDHA
> Mkurugenzi wa Uchaguzi amewashauri Waangalizi kuwa na fedha badala ya kutegemea Wafadhili
> Asema, Serikali haijategemea Wafadhili ktk Uchaguzi huu unaogharimu Tsh. Bilioni 331
Soma https://jamii.app/WatazamajiHela
#TZ2020
> Mkurugenzi wa Uchaguzi amewashauri Waangalizi kuwa na fedha badala ya kutegemea Wafadhili
> Asema, Serikali haijategemea Wafadhili ktk Uchaguzi huu unaogharimu Tsh. Bilioni 331
Soma https://jamii.app/WatazamajiHela
#TZ2020
SEIF MAALIM: WANANCHI WASISHAWISHIKE NA IDADI YA WATU KATIKA KAMPENI
> Amewataka wananchi kumpigia kura Mgombea mwenye nia ya dhati ya kutatua changamoto zao
> Amesema, Vyama vinavyopiga sana kelele havina ufumbuzi wa matatizo ya wananchi
Soma - https://jamii.app/SeifMaalimAAFP
#TZ2020
> Amewataka wananchi kumpigia kura Mgombea mwenye nia ya dhati ya kutatua changamoto zao
> Amesema, Vyama vinavyopiga sana kelele havina ufumbuzi wa matatizo ya wananchi
Soma - https://jamii.app/SeifMaalimAAFP
#TZ2020
UPDATES: MAWAKALA WA CHADEMA WALIOFARIKI KWA AJALI WAFIKIA 6
> Mawakala 9 walipata ajali wakienda kuapishwa baada ya utaratibu kubadilika
> 3 walifariki palepale, 3 wamefariki wakitibiwa, 1 ameruhusiwa na 2 wanaendelea na matibabu
Soma - https://jamii.app/Ajali6Mawakala
#Uchaguzi2020
> Mawakala 9 walipata ajali wakienda kuapishwa baada ya utaratibu kubadilika
> 3 walifariki palepale, 3 wamefariki wakitibiwa, 1 ameruhusiwa na 2 wanaendelea na matibabu
Soma - https://jamii.app/Ajali6Mawakala
#Uchaguzi2020
MWANZA: POLISI WACHUNGUZA KIFO CHA KATIBU KATA WA CCM ALIYEFARIKI BAADA YA KULA MAKANDE
> Deogratias Medard(42) alifariki muda mfupi baada ya kula Makande na Chai akiwa kwenye Kampeni za Mgombea Ubunge Sengerema (CCM), Hamis Tabasamu
Soma - https://jamii.app/KatibuCCMKata
#Uchaguzi2020
> Deogratias Medard(42) alifariki muda mfupi baada ya kula Makande na Chai akiwa kwenye Kampeni za Mgombea Ubunge Sengerema (CCM), Hamis Tabasamu
Soma - https://jamii.app/KatibuCCMKata
#Uchaguzi2020
UPDP: ADHABU YA KUNYANYASA NA KUDHALILISHA WANAWAKE NI MIAKA 25 JELA
> Mgombea Urais, Twalib Kadege amesema Serikali yake itatoa adhabu hiyo bila huruma
> Chama hicho kimetoa kipaumbele na kuwasimamisha Wagombea Wanawake wengi
Soma - https://jamii.app/UPDPWanawake
#Uchaguzi2020
> Mgombea Urais, Twalib Kadege amesema Serikali yake itatoa adhabu hiyo bila huruma
> Chama hicho kimetoa kipaumbele na kuwasimamisha Wagombea Wanawake wengi
Soma - https://jamii.app/UPDPWanawake
#Uchaguzi2020
NEC YAONYA WAANGALIZI WA NDANI NA NJE KUINGILIA UCHAGUZI
> Mjumbe wa NEC, Balozi Omar Mapuri amewataka wazingatie Sheria, #Katiba na miongozo ya kufanya wajibu wao, na kuhakikisha hawaingilii mwenendo wa Uchaguzi au kusababisha vurugu
Soma - https://jamii.app/NECWaangalizi
#Uchaguzi2020
> Mjumbe wa NEC, Balozi Omar Mapuri amewataka wazingatie Sheria, #Katiba na miongozo ya kufanya wajibu wao, na kuhakikisha hawaingilii mwenendo wa Uchaguzi au kusababisha vurugu
Soma - https://jamii.app/NECWaangalizi
#Uchaguzi2020
KADEGE: NITAANZISHA WIZARA YA MIKOPO NA KUWAPA HALI NZURI KIMAISHA
> Mgombea Urais kupitia UPDP amesema, ataanzisha Wizara ya Mikopo itakayowakopesha fedha Vijana na Wanawake
> Ataongeza kima cha chini cha Mshahara kufikia TSH. 400,000
Soma - https://jamii.app/KadegeUPDP
#TZ2020
> Mgombea Urais kupitia UPDP amesema, ataanzisha Wizara ya Mikopo itakayowakopesha fedha Vijana na Wanawake
> Ataongeza kima cha chini cha Mshahara kufikia TSH. 400,000
Soma - https://jamii.app/KadegeUPDP
#TZ2020
DKT. MAGUFULI: SIKUMFUKUZA GAMBO UKUU WA MKOA
> Amesema hakumfukuza aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo kwenye nafasi hiyo
> Ameeleza, kama angemfukuza asingelipitisha jina la Gambo ili awe Mgombea wa ubunge Jimbo la Arusha Mjini
Soma https://jamii.app/ArushaMjiniJPM
#TZ2020
> Amesema hakumfukuza aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo kwenye nafasi hiyo
> Ameeleza, kama angemfukuza asingelipitisha jina la Gambo ili awe Mgombea wa ubunge Jimbo la Arusha Mjini
Soma https://jamii.app/ArushaMjiniJPM
#TZ2020