RC KUNENGE AWAONYA WANAOPANGA KUFANYA FUJO OKTOBA 28
> Mkuu wa Mkoa wa Dar amesema wamejipanga na amewahakikishia usalama Wapiga kura
> Awataka Wananchi wajitokeze bila wasiwasi kupiga kura kwa kuwa Polisi wamejiandaa kudhibiti vurugu
Tazama https://youtu.be/9uAzHABcDiM
#Uchaguzi2020
> Mkuu wa Mkoa wa Dar amesema wamejipanga na amewahakikishia usalama Wapiga kura
> Awataka Wananchi wajitokeze bila wasiwasi kupiga kura kwa kuwa Polisi wamejiandaa kudhibiti vurugu
Tazama https://youtu.be/9uAzHABcDiM
#Uchaguzi2020
YouTube
RC KUNENGE AWAONYA WANAOPANGA KUFANYA FUJO SIKU YA UCHAGUZI
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Aboubakar Kunenge ametoa onyo kwa Watu au Vikundi vya Watu vinavyopanga kufanya fujo Oktoba 28, 2020
Ameeleza kuwa, Vyombo vya Ulinzi na Usalama vimejipanga vizuri kuhakikisha Uchaguzi unafanyika kwa amani na usalama
Ameeleza kuwa, Vyombo vya Ulinzi na Usalama vimejipanga vizuri kuhakikisha Uchaguzi unafanyika kwa amani na usalama
DAR: AHUKUMIWA MIAKA 2 JELA KWA KUMUUA MKEWE BILA KUKUSUDIA
> Yusuph Ismail (45) alimuua Magdalena Fabian kwa kumchapa fimbo na kumnyonga kwa madai ya kukosa uaminifu
> Wakati tukio linatokea Novemba 2013, wawili hao walikuwa wamelewa
Soma - https://jamii.app/HukumuMauaji
> Yusuph Ismail (45) alimuua Magdalena Fabian kwa kumchapa fimbo na kumnyonga kwa madai ya kukosa uaminifu
> Wakati tukio linatokea Novemba 2013, wawili hao walikuwa wamelewa
Soma - https://jamii.app/HukumuMauaji
LISSU: VIONGOZI KAMA MAALIM SEIF HAWAZALIWI KILA SIKU
> Akiwa Pemba ktk Mkutano wa kufunga Kampeni za ACT- Wazalendo, amewakata Wazanzibari kumpa kura Maalim ili akamilishe ndoto ya Wazanzibari ya kuwa Taifa lililokuwa kabla ya Muungano
Soma - https://jamii.app/LissuPemba
#TZ2020
> Akiwa Pemba ktk Mkutano wa kufunga Kampeni za ACT- Wazalendo, amewakata Wazanzibari kumpa kura Maalim ili akamilishe ndoto ya Wazanzibari ya kuwa Taifa lililokuwa kabla ya Muungano
Soma - https://jamii.app/LissuPemba
#TZ2020
MAALIM SEIF: WALIMU WA MADRASA WATAINGIA KWENYE 'PAYROLL' YA SERIKALI
> Mgombea Urais #Zanzibar amesema, ni muhimu kwa Walimu wa Madrasa kuingia kwenye malipo ya Serikali kwasababu wanafanya kazi kubwa katika kuwaandaa watoto kiroho
Soma https://jamii.app/MaalimMadrassaWalimu
#Uchaguzi2020
> Mgombea Urais #Zanzibar amesema, ni muhimu kwa Walimu wa Madrasa kuingia kwenye malipo ya Serikali kwasababu wanafanya kazi kubwa katika kuwaandaa watoto kiroho
Soma https://jamii.app/MaalimMadrassaWalimu
#Uchaguzi2020
JOSHUA NASSARI AOMBA RADHI KWA DKT. MAGUFULI
> Aliyekuwa Mbunge wa Arumeru Mashariki kupitia CHADEMA, Joshua Nassari aomba radhi kwa machukizo aliyofanya alipokuwa upinzani
> Nassari alihamia CCM akitokea CHADEMA mwezi Julai 2020
Soma https://jamii.app/NassariVsMagufuli
#Uchaguzi2020
> Aliyekuwa Mbunge wa Arumeru Mashariki kupitia CHADEMA, Joshua Nassari aomba radhi kwa machukizo aliyofanya alipokuwa upinzani
> Nassari alihamia CCM akitokea CHADEMA mwezi Julai 2020
Soma https://jamii.app/NassariVsMagufuli
#Uchaguzi2020
ZEC: MAKOSA KWENYE DAFTARI LA KUPIGA KURA YAMECHANGIWA NA WAPIGA KURA WENYEWE
> Ni kwasababu ya kushindwa kufanya uhakiki wa taarifa wakati zoezi hilo lilipofanyika
> ZEC itatoa msimamo kuhusu Wapiga Kura hao baada ya Kikao cha Uongozi
Soma - https://jamii.app/DaftariWapigaKura
#TZ2020
> Ni kwasababu ya kushindwa kufanya uhakiki wa taarifa wakati zoezi hilo lilipofanyika
> ZEC itatoa msimamo kuhusu Wapiga Kura hao baada ya Kikao cha Uongozi
Soma - https://jamii.app/DaftariWapigaKura
#TZ2020
#CORONAVIRUS: KENYA YAREKODI VISA ZAIDI YA 1,000 NDANI YA SAA 24
> Maambukizi mapya 1,068 yamerekodiwa huku mgonjwa mdogo zaidi akiwa mtoto wa miezi 6
> Idadi ya visa imefikia 47,212, vifo 870 na wagonjwa waliopona hadi sasa ni 33,050
Soma - https://jamii.app/CovidKE
> Maambukizi mapya 1,068 yamerekodiwa huku mgonjwa mdogo zaidi akiwa mtoto wa miezi 6
> Idadi ya visa imefikia 47,212, vifo 870 na wagonjwa waliopona hadi sasa ni 33,050
Soma - https://jamii.app/CovidKE
MMANGA: NITAVUNJA UONGOZI WA TFF NA KUINUA SOKA LA WANAWAKE
> Mgombea Urais kupitia Demokrasia Makini, Cecilia Mmanga amesema TFF ni chanzo cha Migogoro kwenye Mpira
> Pia, watafufua #Michezo mingine ikiwemo kufundisha Watoto Bao
Soma https://jamii.app/MmangaTFF
#Uchaguzi2020
> Mgombea Urais kupitia Demokrasia Makini, Cecilia Mmanga amesema TFF ni chanzo cha Migogoro kwenye Mpira
> Pia, watafufua #Michezo mingine ikiwemo kufundisha Watoto Bao
Soma https://jamii.app/MmangaTFF
#Uchaguzi2020
SERIKALI YAKOPA TSH BILIONI 136.85 KUKARABATI VIWANJA VYA NDEGE
> Serikali imezindua mradi wa ukarabati na upanuzi wa Viwanja vya Shinyanga, Tabora, Sumbawanga na Kigoma ili viwe vya Kimataifa
> Mkopo umetolewa na Benki ya Uwekezaji ya Ulaya
Soma https://jamii.app/MkopoNdege136b
> Serikali imezindua mradi wa ukarabati na upanuzi wa Viwanja vya Shinyanga, Tabora, Sumbawanga na Kigoma ili viwe vya Kimataifa
> Mkopo umetolewa na Benki ya Uwekezaji ya Ulaya
Soma https://jamii.app/MkopoNdege136b
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
DAR: WEZI SUGU 30 WAKAMATWA NA POLISI
> Jeshi la Polisi mkoa wa kipolisi Kinondoni limekamata wezi hao wakiwa na mali mbalimbali
> Watu wote waliopotelewa/kuibiwa na vitu wametakiwa kufika kituoni na risiti kubaini vitu hivyo kama ni vyao
Soma https://jamii.app/Wizi30Polisi
#JFLeo
> Jeshi la Polisi mkoa wa kipolisi Kinondoni limekamata wezi hao wakiwa na mali mbalimbali
> Watu wote waliopotelewa/kuibiwa na vitu wametakiwa kufika kituoni na risiti kubaini vitu hivyo kama ni vyao
Soma https://jamii.app/Wizi30Polisi
#JFLeo
PROF. LIPUMBA: TUTAJENGA UCHUMI WENYE USHINDANI KITAIFA NA KIMATAIFA
> Amesema, ukuaji wa uchumi unahitaji uongozi imara, utawala makini na mipango
> CUF itaweka misingi itakayohakikisha uchumi unakua kwa 8%–10% kila mwaka kwa miaka 10 ijayo
Soma https://jamii.app/LipumbaLindi
#TZ2020
> Amesema, ukuaji wa uchumi unahitaji uongozi imara, utawala makini na mipango
> CUF itaweka misingi itakayohakikisha uchumi unakua kwa 8%–10% kila mwaka kwa miaka 10 ijayo
Soma https://jamii.app/LipumbaLindi
#TZ2020
AAFP: TUTAKUSANYA ILANI ZA VYAMA VYOTE NA KUUNDA SERIKALI YENYE SERA JUMUISHI
> Mgombea Urais, Seif Maalim Seif amesema dhana ya Chama kitakachoshinda kuchukua kila kitu ni kama ulaghai kwani Watanzania wamegawanyika katika nadharia tofauti
Soma https://jamii.app/SeifMaalimAAFP
#TZ2020
> Mgombea Urais, Seif Maalim Seif amesema dhana ya Chama kitakachoshinda kuchukua kila kitu ni kama ulaghai kwani Watanzania wamegawanyika katika nadharia tofauti
Soma https://jamii.app/SeifMaalimAAFP
#TZ2020
UMOJA WA ULAYA WAZUNGUMZA KUHUSU UCHAGUZI WA TANZANIA
> Umoja wa Ulaya (EU) umesisitiza Vyama vyote kuwajibika ktk kuweka mazingira ya Uwazi na Uchaguzi wa amani
> EU wanategemea hatua hii itajenga ushirikiano mkubwa kati yao na #Tanzania
Soma https://jamii.app/EUUchaguziTZ
#TZ2020
> Umoja wa Ulaya (EU) umesisitiza Vyama vyote kuwajibika ktk kuweka mazingira ya Uwazi na Uchaguzi wa amani
> EU wanategemea hatua hii itajenga ushirikiano mkubwa kati yao na #Tanzania
Soma https://jamii.app/EUUchaguziTZ
#TZ2020
ADC: TUNALENGA KUMPA MTANZANIA MAISHA MAZURI
> Mgombea Urais, Queen Sendiga amesema Wakulima wategemee neema ndani ya Uongozi wa ADC
> Ameahidi kuboresha miundombinu akisema barabara zitatengenezwa kwa kiwango cha kupita nyakati zote
Soma - https://jamii.app/ADCBabati
#Uchaguzi2020
> Mgombea Urais, Queen Sendiga amesema Wakulima wategemee neema ndani ya Uongozi wa ADC
> Ameahidi kuboresha miundombinu akisema barabara zitatengenezwa kwa kiwango cha kupita nyakati zote
Soma - https://jamii.app/ADCBabati
#Uchaguzi2020
WAANGALIZI WA NDANI WA UCHAGUZI WALALAMIKIA UKOSEFU WA FEDHA
> Mkurugenzi wa Uchaguzi amewashauri Waangalizi kuwa na fedha badala ya kutegemea Wafadhili
> Asema, Serikali haijategemea Wafadhili ktk Uchaguzi huu unaogharimu Tsh. Bilioni 331
Soma https://jamii.app/WatazamajiHela
#TZ2020
> Mkurugenzi wa Uchaguzi amewashauri Waangalizi kuwa na fedha badala ya kutegemea Wafadhili
> Asema, Serikali haijategemea Wafadhili ktk Uchaguzi huu unaogharimu Tsh. Bilioni 331
Soma https://jamii.app/WatazamajiHela
#TZ2020
SEIF MAALIM: WANANCHI WASISHAWISHIKE NA IDADI YA WATU KATIKA KAMPENI
> Amewataka wananchi kumpigia kura Mgombea mwenye nia ya dhati ya kutatua changamoto zao
> Amesema, Vyama vinavyopiga sana kelele havina ufumbuzi wa matatizo ya wananchi
Soma - https://jamii.app/SeifMaalimAAFP
#TZ2020
> Amewataka wananchi kumpigia kura Mgombea mwenye nia ya dhati ya kutatua changamoto zao
> Amesema, Vyama vinavyopiga sana kelele havina ufumbuzi wa matatizo ya wananchi
Soma - https://jamii.app/SeifMaalimAAFP
#TZ2020
UPDATES: MAWAKALA WA CHADEMA WALIOFARIKI KWA AJALI WAFIKIA 6
> Mawakala 9 walipata ajali wakienda kuapishwa baada ya utaratibu kubadilika
> 3 walifariki palepale, 3 wamefariki wakitibiwa, 1 ameruhusiwa na 2 wanaendelea na matibabu
Soma - https://jamii.app/Ajali6Mawakala
#Uchaguzi2020
> Mawakala 9 walipata ajali wakienda kuapishwa baada ya utaratibu kubadilika
> 3 walifariki palepale, 3 wamefariki wakitibiwa, 1 ameruhusiwa na 2 wanaendelea na matibabu
Soma - https://jamii.app/Ajali6Mawakala
#Uchaguzi2020
MWANZA: POLISI WACHUNGUZA KIFO CHA KATIBU KATA WA CCM ALIYEFARIKI BAADA YA KULA MAKANDE
> Deogratias Medard(42) alifariki muda mfupi baada ya kula Makande na Chai akiwa kwenye Kampeni za Mgombea Ubunge Sengerema (CCM), Hamis Tabasamu
Soma - https://jamii.app/KatibuCCMKata
#Uchaguzi2020
> Deogratias Medard(42) alifariki muda mfupi baada ya kula Makande na Chai akiwa kwenye Kampeni za Mgombea Ubunge Sengerema (CCM), Hamis Tabasamu
Soma - https://jamii.app/KatibuCCMKata
#Uchaguzi2020
UPDP: ADHABU YA KUNYANYASA NA KUDHALILISHA WANAWAKE NI MIAKA 25 JELA
> Mgombea Urais, Twalib Kadege amesema Serikali yake itatoa adhabu hiyo bila huruma
> Chama hicho kimetoa kipaumbele na kuwasimamisha Wagombea Wanawake wengi
Soma - https://jamii.app/UPDPWanawake
#Uchaguzi2020
> Mgombea Urais, Twalib Kadege amesema Serikali yake itatoa adhabu hiyo bila huruma
> Chama hicho kimetoa kipaumbele na kuwasimamisha Wagombea Wanawake wengi
Soma - https://jamii.app/UPDPWanawake
#Uchaguzi2020